DULLAYO ATAJA MAZITO ALIYOPITIA Baada ya KUSHUKA KIMUZIKI, KULALA BARAZANI | UNLOCK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- DULLAYO ATAJA MAZITO ALIYOPITIA Baada ya KUSHUKA KIMUZIKI, KULALA BARAZANI | UNLOCK
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Nakuelewa sana poleeee sana
Dulayo noma diamond haoni ndani hapa
Mtangazaji unajifanya Star kuliko Unaemuhoji.....Be have baaaasi
❤❤❤dullayooo
Daaaaa utangazaji siyo 2 kipaji hata darasa linaitajika
Kama hujarogwa hujui nikweli unachosema ata hao wanahoji unafikiri hawajui wao we yewe wanarogana sana tu uctumie nguvu kumuelezea
I'm waiting
Ok kama umejitambua basi simama tena ...mungu yupo pamoja na wewe .tunajifunza kutokana na makosa yetu
Wasafi ntakuuwa jamani...
Nimependa sn gisi imesetiwa iyo seemu...
We mwandishi hujui kumhoji mtu yaan unauliza suali mtu hajibu unasahau kumrudisha msanii kwnye suali ulilouliza#kwa mfno uliuliza”ukiachana na pombe ulishawahi kutumia bangi au Ngada”???hakuna majibu yaliotoka!!
Hujaskiza vzuri wew, unarusha rusha
💪
Mbona me naona jamaa anapresent fresh tuu pia sio kila kipnd lazima kiwe shangwe kama vipindi vengine manake hiki ni kipindi cha usiku sio the switch yani kama lavidavi uwe na swagga kama xxl hapana kila kipndi kina maudhui yake kwahyo sio mbaya jamaa ni mkali mpaka kukaa wasafi sio kazi rahisi kama rahisi fanya wewe tukuone kama kupaji najua mnatamani kua kama yeye manake mnajifanya mnajua sana kujaji mamayo zenu ninyi
Aache kwanza pombe kali zinamkaanga mdomo anapanik wapi huyu akae atulie ajipange upya Hana haja ya kupanik maisha kushuka kupanda kawaida
We we ni muongeaji sio mtangazaj
Fact
Mtangazaji unafosi sana kumudu kipindi pasipo kujua unajikuta unaharibu. Haufit kabisa
Mtangazaji ndio anaonekana msanii,msanii anaonekana mtangazaji 😀😀
Unazingua Qenge wewe 😂😂😂
😊😊😊😊
Mtangazaji mweupe kabisa, hamna kitu
uhakika mbaba
Hakuna mtangazaji hapo
Mtangazaj apo akuna kabisa yani
Mtangazaji😂😂😂
Double kick
😂😂😂 Msanii ndo yupi hapo
Unamjua dullayo wewe