WIRING: JINSI YA UFUNGAJI WA FENI NA TAA KATIKA CIRCUIT BOARD "SIMPLE" -(HOME PRACTICAL💡)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • #Neutral_Grounding,_Why_transformer_neutral_connected_to_earth_|_Neutral_earthing_
    #havells ||Tanesco #tanesco #electrician #africabusiness #usa #1mviews
    💡+++🔌+++💡
    (SUBSCRIBE)
    KARIBU SANA TUJI FUNZE UMEME KATIKA VIPINDI VYETU VINAVYO ENDELEA KUPITIA CHANNEL YENU PENDWA YA TH-cam👉( ODESSA ELECTRICAL_INSTALLATION)+🔌+💡, PIA
    KAMA WEWE NI MWANAFUNZI UNAE JIFUNZA UMEME AU UNA TAMANI KUFAMU UMEME KUPITIA VIPINDI HIVI VYA PRACTICAL NA THEORY VITA KUSAIDIA SANA KU UELEWA KWA HARAKA UMEME UKIWA NI MFATILIAJI NA MUUDHURIAJI MZURII KATIKA VIPINDI VINAVYO ENDELEA.
    💡+++🔌++💡
    1:UNAWEZA KUTUPATA WHATSAPP KWA NAMBA 👉0713973162 NIKUUNGE KATIKA GROUP LETU LA WHATSAPP KUCHANGIA MAMBO MBALI MBALI YANAYO HUSIANA NA ELIMU KUHUSU UMENE.
    ODESSA ELECTRICAL INSTALLATION TOGETHER WE CAN 💡+++🔌+++💡💪.
    👇.....on TH-cam.....👇
    / @odessaelectricaltechn...

ความคิดเห็น • 10

  • @BarakaGeorge-nm9th
    @BarakaGeorge-nm9th 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tumekuelewaa mkufunzi je kwenye leguletor hakuna live & nutul?

  • @GoodluckLekamoi
    @GoodluckLekamoi 2 หลายเดือนก่อน +2

    Daah asee broo nakuelew mpk rah MUNGU azidi kukufanyia uwepesi kwa Kila jambo

  • @IsmailKabwanga
    @IsmailKabwanga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tunatumiaje single waya kuwasha taa na feni

  • @Rajabu.dobeye-qw7fq
    @Rajabu.dobeye-qw7fq 8 หลายเดือนก่อน +1

    saf sana ndg zangu mungu awabaliki sana ili muendelee kutupa dalasa la uhakika.

  • @AsmnJuma
    @AsmnJuma 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna zingne zishaonganiahwa kapastor kwaiyo apo alip renga ndio muhimu zaid na zaid

  • @PeterBanda-xb6pf
    @PeterBanda-xb6pf 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asantee

  • @IbrahimMohamed-q5z
    @IbrahimMohamed-q5z ปีที่แล้ว +1

    Mwalim sema sijaona capacitor hapo mwalim au fane inawaka tu fresh bila capacitor na hata kma ipo pengne cjaiona ungetuelekeza hata namna ya kuiweka pia mwalim

  • @brunokazaura4973
    @brunokazaura4973 ปีที่แล้ว +1

    Mfano nafunga ukumbi unao hitaji feni tano, kuna madhara gani kama hizo feni zote zitafungwa kwa kutumia regulator moja????