"EPISODE 2" INAENDELEA, UTACHEKA, VITUKO VYA KUVUNJA MBAVU-AFYA COMEDY

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 เม.ย. 2024
  • #Afya #Comedy
  • ตลก

ความคิดเห็น • 42

  • @juliuspole101
    @juliuspole101 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hizo cheko zinaharibu but mko vizuri hongereni

  • @EzekielNgasa
    @EzekielNgasa 5 วันที่ผ่านมา

    Hongera tunaftahi

  • @mkanyafamily
    @mkanyafamily 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mko vizuri sana lakini icho kicheko kinachotokea kina haribu

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Asante sana kwa maoni yako mdau, tutayafanyia kazi

  • @patrickmbugua9252
    @patrickmbugua9252 3 หลายเดือนก่อน

    Mbavu za umma wa kuu. Natokea Nakuru kenya. Afya comedy the big show east n central africa.

  • @user-xw5qb6py9v
    @user-xw5qb6py9v 3 หลายเดือนก่อน

    Watching from UAE
    Kucheka kweli ni dawa
    Kazi nzuri, 👍👍👍

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 WAPOVIZURI SANA 😂😂😂
    wananikumbusha mbali sana Dr Mjusi & Profesa Kazi.
    DAAAH! TUKO PAMOJA SANA

    • @VenasVenasi
      @VenasVenasi 3 หลายเดือนก่อน

      Nitaenderea kuwa nanyi Kira siku

  • @samwelishilabhi6005
    @samwelishilabhi6005 3 หลายเดือนก่อน +1

    hebunikumbushe Uingi wa mbuzi Na mende
    Ila sasa Matusi Yapungue Ninaangalia Na Watoto😂😂😂😂😂😂😂

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂Hakuna tusi hapo mkuu wangu hii show imehaririwa. Labda kama kuna neno hujapenda tuwie radhi 🙏

  • @user-og4mq8ph4y
    @user-og4mq8ph4y 3 หลายเดือนก่อน +1

    Niko saudia ila natokea kenya, i say congratulations to make my day❤

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Asante sana kwa kutufuatilia. Endelea kuwa nasisi mambo mengi mazuri yanakuja

  • @ApolyScott
    @ApolyScott 3 หลายเดือนก่อน +1

    wamasai😂😂

  • @MohdNassib-wr3ky
    @MohdNassib-wr3ky หลายเดือนก่อน

    Waaaaa😂😂😂😂🔥🇹🇿

  • @SMLS995
    @SMLS995 3 หลายเดือนก่อน

    muna weza sana mazee

  • @MusaRomani
    @MusaRomani 3 หลายเดือนก่อน

    Hongereni sana bwana

  • @HamuduniRichard-cg3kl
    @HamuduniRichard-cg3kl 2 หลายเดือนก่อน

    Mko vizuri ila hivyo vicheko mvitoe

  • @JulaybibiBabah
    @JulaybibiBabah 2 หลายเดือนก่อน

    Nawakubali Sana

  • @shukurudastan6237
    @shukurudastan6237 3 หลายเดือนก่อน

    Toeni hicho kicheko😊

  • @abounkurunziza2827
    @abounkurunziza2827 3 หลายเดือนก่อน

    ❤ mmenimaliza

  • @user-rr3qb5oi9e
    @user-rr3qb5oi9e 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko pamoj 😂😂😂😂😂

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Asante sana kaka

  • @josephngoga6266
    @josephngoga6266 3 หลายเดือนก่อน

    Hongeren san❤

  • @dennowderullow1118
    @dennowderullow1118 3 หลายเดือนก่อน

    Hicho kicheko cha haribu(haiowani na washeshi)washeshi wapo inje wanao cheka wamo ndani ya holi🤔

  • @SitaniRongo
    @SitaniRongo 3 หลายเดือนก่อน +1

    Pamoja🎉🎉

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Asante kaka

  • @ole_bamuriat3
    @ole_bamuriat3 3 หลายเดือนก่อน

    A E O U 😂😂😂

  • @AaronKorir-iy7zl
    @AaronKorir-iy7zl 3 หลายเดือนก่อน

    Toa iyo kicheko kitenge

  • @JacobPhiri-uu2ih
    @JacobPhiri-uu2ih 3 หลายเดือนก่อน

    Kjk😅❤

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

  • @hilalskach6205
    @hilalskach6205 3 หลายเดือนก่อน +1

  • @mwanawetumwatumwa3000
    @mwanawetumwatumwa3000 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂

  • @JacobPhiri-uu2ih
    @JacobPhiri-uu2ih 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kkkk

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน

    Kunasehemu mnakata kabla neno halijaisha

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Ukiona hivyo ujue hilo neno halikutakiwa kwenda hewani ndio maana tume "mute" (Na tungetoa kipande kizima basi ingeondoa maana na utamu. Hii ni show ya TV

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 3 หลายเดือนก่อน

      @@AFYA_COMEDY anha! Badi mngekuwa mnawaambia maneno gani hayatakiwi kutumika ili wakiwa wanaandaa vipindi vyao wawe wanachunga maneno yasiyo faa ili kuleta ubora wa kazi zao....

  • @divombughi6063
    @divombughi6063 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa watu naweza kupata namba zao za cm?

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Ndio mkuu

    • @AFYA_COMEDY
      @AFYA_COMEDY  3 หลายเดือนก่อน

      Wamezitaja humo kwenye ye show

  • @user-yv8zw5lm9g
    @user-yv8zw5lm9g 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 😂