WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 มิ.ย. 2022
- WACHAWI WAJARIBU KUMUUA MTOTO YUNIS MARA 2, APONYA WAGONJWA KUTOKA ULAYA, APEWA ZAWADI YA VATICAN..
Mtoto YUNIS au EUNICE OGOT wa Wilayani Rorya, mkoani Mara nchini Tanzania, ameendelea kufanya maajabu katika uponyaji wake wa kutumia maji na maombi, ambapo anatibu watu wa ndani na nje ya nchi…
Mapya ya hivi karibuni ni tukio la kutibu kundi la watu waliopooza, wapatao saba kutoka nchini Djibouti, ambao walifika kwa mtoto huyo wakiwa katika hali mbaya, mwingine akiwa anasukumwa kwenye kiti cha kusukuma (Wheel Chair), lakini baada ya kuombewa na kumwagiwa maji na Yunis alipona na kuanza kutembea mwenyewe…wengine wamekuwa wakitibiwa kutoka Ulaya ambao wamepona na kumpa zawadi ya sanamu kubwa ya Bikiria Maria, yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni nane…
Maajabu ni mengi…fuatilia muendelezo huu pamoja na ushuhuda wa watu wengine….
NAMBA ZA SIMU ZA BABA YUNIS: +255 783 426 393 au +255 686 967 279
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
na ibilisi awezi kufikia sister Eunice mungu azidi kuinua na mwanawe yesu Christo na mama yetu maria ubarikiwe zaidi mungu akupe nguvu nami pia niweze kufikia ubarikiwe sana sister Eunice 🙏🙏🙏🙏🇰🇪🇪🇺
Baba angu alikuwa anaumwa mwaka jana akaenda, akachukua maji na yalimponesha
Glory to God
Ni wapi uko
Naomba mambi yake jaman
@@sarablessing2176 Musoma shirati
@@talsirakayombo8477 mydr sina kweli labda niongee na mzee jioni akirudi nikutumie
Sawa dr
Kwa nini Mimi naamini kila kitu, kwa sababu Mama Bikira Maria ananguvu ya ajabu ya kutumia Maji, Kwokwote kule alikowahi kuwatokea watu, amekuwa anaonyesha jinsi ya kutubu, kusali, kusamehe na kutumia Maji . Na sikuzote huwa anawatojea watoto kwenye pori, ambapo kuna mawe, miti, sehem iliyotulia na iliyojificha, I love her unconditionally ❤, This is so beautiful, Nampenda sana Mama Bikira Maria hasa jinsi anayotugombania sisi Wanawake na Familia zetu. Kanisa letu wakati mwingine linachukua muda mrefu sana kutangaza mambo kama haya, she’s blessed, Mama Bikira Maria endelea kumtumia Mtoto huyu, kupitie yeye utufundishe mengi.
Mh😢😢
free masoni huyo
bikira maria amefariki miaka kadhaa iliyo pita Hana lolote la kufanya hiyo ni imani ya kishirikina
Mama Bikira Maria ni suluhisho Kweli ya dhiki zetu!
Kanisa Katoliki ni Dini ya kweli yenye Neema kuu🙏🏽
Mimi ni Shahidi🙏🏽
siyo dini bali kanisa la kweli. Makanisa yapo mengi, mf. Filipi, thethalonike! Aidha, kuna madhehebu mfano Roman katoliki, Anglican, Lutheran, Arthodox Catholic, Marian Catholic nk.
Mungu mwenyewe akiamua kumtumia mtu haijalishi ni dini gan
Through jesusu Christ everything is possible
Mungu anaeza tumia hata mtu hajawahi India kanisa kuonyesha mkono wake..husikii akisema KANISA LAO CATH..hawasemi chochote
Mungu azidi kumuinuwa mtoto huyu🙏🏽🤲🏼
Yesu alise acheni watoto waje kwangu 🙏🙏🙏
Kweli Ni Karama ya kipekee🙏🏽ambayo Mariamu Mama wa Mungu huwateuwa mwenyewe
Mimi ni Shahidi pia🙏🏽
Mungu yu naye Eunice na atazidi kukutunza pamoja na familia yako
God bless this little angel Eunice I know one day I will go their
Thank you jesus for the life of the little girl , Amen
Aje na dar. Jamani
Anapatikana mkuwa gani jani please u help me
Barikiwa sana wajina..nami napokea kwa Jina la Yesu
I heal myself,my woman Nana Adwoa Erica and my family from every deadly deseases and illness through this beautiful girl in Jesus Christ name ... Amen
Ntaweza kufika uko aje ..:,
Hi friend an from Jericho how can I get Tunis no.
Plus help me to get Tunis no
Please help me to get Tunis no.
Hi everyone I'm very grateful l thank God .......I'm here to ask l wanna go there but l don't know the directions pliz help 🙏🙏🙏🙏 I'm zim pliz help
I claim and receive my healings through Yunis in the Mighty Name of Jesus Christ of Nazareth, AMEEEEEEEN
Mungu akuepushe na na roho za maadui hakika mungu nikila kitu katika maisha yetu
Amakwahakika munguanaipenda Tanzania munguibaliki alziyatanzania nawatuwake mbaliki mtotohuyu iliatuponye kwakupitiayeye
Mimi ni evangiliste imani Bujumbura muombaji aniombea mimi na jamah langu kwa magonjwa hatuna nauli tungefika Amen
Wazazi hawa ni kielelezo kwetu sisi wazazi wa leo tunao asi uzazi hatutaki kuzaa,Tunakufuru,
Mungu wetu
Baba tusamehe🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Utuponye kupitia mtoto huyu mteule wako🙏🏽
Mmmmmh Mungu bariki kazi ya mikono yako yunisi
Aamiin
mwenyez Mungu aendelee kumtumia mtoto katika uponyaji wetu na magonjwa na changamoto mbalimbali tulizo nazo...
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele muobe mola wako moja kwa moja anakusikia
Asante mungu kwa hii zawadi ya uponyaji endelea kuonekania na kumfunika huyu mtoto kwa damu yako takatifu
Mungu akubariki wewe mutoto Eunice Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🇩🇪🇪🇺
Be blessed Eunice, kusaidiea wagonjwa Amen
Mungu akubark sana Sister Eunice uendelee kuwasaidia wagonjwa na wenye shida mbalimbali.
Serikali usisahau kiipa hifamiliya ulinzi
Mungu Aliyampa kibar huyu mtoto tumtukuze sana
Duuh maajabu haya
I Ekeoma I received my miracle baby in jesus name Amen
Mtangazaji uko vizuri.
Ila haiitwi goroko.
Inaitwa grotto ya Bikira Maria. Ni nyumba ya mama yetu Bikira Maria mama wa mkombozi wetu Yesu Kristu
Mungu ambariki mtoto yunis na mm anitende amina 🎉🎉🎉l
Ninaamini nguvu za mungu zilipo ndani mwako, nimefunguliwa na mwanangu .mungu akutie nguvu
Mungu akubariki mtoto Eunice
MUNGU Akuepushe na nguvu za movu shetani.AMEN🙏
Mungu aonekane juu ya huyu mtoto.waovu watoweke katika jina la yesu.
With God everything are possible 🙏
Mama bikira maria utuguse mahari popote panamaumivu na ugonjwa usiotibika utuponye mama yetu mama wamungu tusikue🙏🙏🙏🙏.
Mungu habarki uyo mtoto ahendele kuponya watu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yunis please pray for my family, my children, and I🙏
Hongera mtoto bikra kwa kazi unayo fanya mungu akulinde
Mungu akulinde mtoto mzuri,
Mungu bariki Mtoto Eunice aendelee kuombea watu na ku wachawi wote
Hakika Mungu anaweza anatumia watoto wadogo.hekima ya Mungu sio ya mwanadamu.kila jicho litamuona
Hakika Mungu anatenda but nauliza swali naeza pataje Uyu dada Eunice nkona magojwa yenye hospital wameshindwa
Mungu akulinde mtoto yunic
Mungu akulinde sana mtoto unice kwa kazi unayoifanya...
Am a living testimony may God bless BMG TV and sister Eunice I got instant healing, may God's name be glorified.
Where does she comes from
Bikira Maria ndiye aliteuliwa kumleta Mkombozi wetu Yesu Kristo atufie Msalabani. Hallelujah thank you Jesus Christ of Nazareth.
MashaAllah...ningelikuwa karib tyungefika from kenya
Njooo nitakupeleka ulipe nauli niko kenya pia
Mungu awe nawe wakati wowote,
Nina fistula kutoka Kenya, Mimi Pia nimgogwa, kisukari, Artheratis. Naomba Mtoto Unice hanikumbuke kwamaombi. Mungu hakupe nguvu na maono saidi, Amen
Hello naomba mungu akubariki sana kwa huduma zako nami nko na shida ile ambayo inahitaji tutuonane tu ili huweze kunisaidia ,tafadhali mniambie hii ni inch gani ili niweze kuabiri ndenge nikuje❤❤❤❤
Blessing child may God continue to protect her for healing power from Almighty God IJN🙏
Bwana Mungu atukuzwe sanaa. Asante mama Maria.
AMEN 🙏
Mungu akamuongoze huyu mtoto,,akamhifadhi aweze kufanya kazi ya mungu,,ila swali ni mali siyo mbaya,but isiwe kama wazazi wata take advantage kwa huyu mtoto ndiyo waweze kupata mali.Juu mwenye hana cha kuwalipa,nikuonyesha hataweza kuupokea uponyaji.
Alichakiandaa mungu mwanadamu hawezi kukiharibu wala kuingilia amemleta mungu kwa maana
Mungu akubariki Sana Sana... Kwa kazi unayofanya.
Thank you angel yunis.
God the Father, Son and the Holy Spirit I receive my Healing and that of my Family Right Now in Jesus Name Amen.
Mungu akulinde zs uponyaji dió tunaitaji Kwa Jina la yesu
Any angle of heaven on earth tat is here now to deliparate all siners to folllow Gods work bora uwe na imani i trust this girl mungu azidi kumwinua
Amen God gives you more strength
MUNGU am.bariki huyu mtoto Ampe power zaidi
Amen 🙏 mungu amubariki form Uganda 🇺🇬
Mungu wa mbinguni tunakushukuru kwa zawadi ya watoto,maana neno lako linasema kwakuwa mambo hayo uliwaficha wenye hekima na akili akawafunulia watoto wachanga, Mungu wa mbinguni akutunze vema mtoto yunic,akuepushe na hila za movu shetani, karama yake yendelee kukua,asante Yesu kwa uponyaji.
Daarh nimesikiliza miujiza machozi yananitoka mungu yupo kwa watoto wadogo
I claim my healing from Yunice in Jesus name amen, distance is not a buria 🙏🙏🙏
Yule mutoto mungu amubariki Sana na sisi tunaomba afike kwetu Burundi amwangiye watu maji wapone
God bless u Yunis parents
Mwenyezi mungu ana makusudi yake kweli mtoto Wacha akauponye ulimwengu🙏🙏
Inavyoonesha huko musoma watu wengi hupenda uchawi mungu atamlinda huyu mtoto 🙏🙏
Uchawi upo sehemu yoyote duniani
Uongo mtupu haifai kuamini mambo kama hayo ni shirki thambi isio samehewa milele usijaribu kwenda huko kumoba kutibiwa ni ukitaka kumomba muobe mungu moja kwa moja
Mungu Baba Ni asante kubwa kwako maana wanao wengi wameponywa kupitia mtoto Yunis mbarikiwa na mteule wako. Nasi tulip mbali tuponywe kwa Imani, am in a🛐🛐🙏🙏💯
I receive healing through her in the name of jesus christ . Amen
Mungu akukinge na wanaya hao🙏🙏🙏
Amina mama Maria mama wa yesu utuombe sisi wakosefu ,jisi ulivyo katika mtoto Eunice,Amina
Asante mungu kwa miujiza yako
Be blessed Eunice
Mungu ni mwema
Huyu Mtoto anatoka wapi niende jameni..Eunice uniombe katika jima la Yesu Amen.
Mungu akulinde na kukuongezea imani ili utusaidie waafrika wenzako chini ya maombez ya mama bikra maria
Pray for me baby Eunice through the almighty name of Jesus Christ.
Aliyetumwa na MUNGU hauliwi kizembe,SABABU MUNGU humjulisha taarifa zijazo kabla hazijafika.Mungu anaweza kumtumia MTU atakavyo,
Amen even Jesus started preaching when he is young so God has power heal any diseas
Asante Mungu
Mungu bariki Mtoto Eunice na maombi zake zitufikia tukiwa hapa kenya
Yesu Kristo akutunze Mtoto wa Bikira Maria. Ubarikiwe sana.
Nime ziuganiza na uduma wake naoba kupona maganja na babagu pia aponne Amen
Amina 🙏
Mungu akubari sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubaliki sana
Hakika Mungu anatupenda watoto wake huwa anatupa msaada siku zote.
Mwenyezi mungu pamoja na mama wetu Maria wasidi kumlinda huyo mtoto Amina ❤
Amina
Niwo mbe na Mimi nipate mutoto 🤰🤰🤰🤰🙏🙏🙏🙏
Thank you Jesus Christ for baby unice may you protect her Mary mother of God pray for us
MUNGU akulinde mpaka atakapo kuita mwenyewe ila sio binadamu akuue ashinde kwa nguvu ya Mungu na YESU na Mama yetu Bikila Maria
Pray for me baby Eunice and God will bless you
Mungu akulinde akukinge na watu walio kinyume na mapenzi ya Mungu 🙏
Safi sana Mungu anspenda watu wake na njia za Mungu hazichunguziki
Mungu alikua na sababu kuhusu mtoto mdogo 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ku balance simulizi hii inapaswa Mfanye na Mahojiano na Askofu wa Jimbo husika
Ukifuatilia vizuri watoto wa Fatima,, walipitia changamoto kubwa Sana Hadi kuaminiwa,, yaan hao lazima wawe very challenged na Kanisa, ili kuwa na hakika Kama ni bikira maria kweli,, ndiye anae watokea, c unajua kanisa katoliki sio wakukurupuka, so it takes time hata miaka,,
Uzuri hawaja wazuia,
Asante MUNGU kwa zawadi hii kubwa.
Ongera mtoto bikria nampenda xana Mambo ya lisari 🎉🎉
Glory to almighty father,..for giving us angle yunis 4 da healing....mungu bariki huyu mtoto zaidi.
Mungu azidi kukubariki na kukutia nguvu katika huduma yako ,munapo ishi niwapi jamani
Mtoto yunis abarikiwe sana aendelee kuponya watu kwa jina la yesu
Ubarikiwe sana
Mungu wa mbinguni kwa Imani niliyonayo naamini nakwenda kupona na roho ya umaskini na naamini nitakuwa tajiri kwa uwezo wa mungu
thanks God for wanderfuil work is doing 🙏
Wachawi waganga na wenye wako na roho ya nyoka wakufe kwa Jina la yesu
I believe I can receive healing of the pain am in right now through angel baby Yunis.I pray that i may get finances to vist her soon for a miracle