Inaitwa Sliver town hiyo km ukitokea Langa kuja Raylands Rasta,Daaa hile take away ya Golden Dish simchezo,Spangala mtoto kilwa Road Marehem alipigwa risasi Joz,2pac yupo cape town hila mteja akuna tena kunyoa,
Analysis yangu fupi . Waliokupokea pale capetown kwa nyange ndo walikuw watu mhm lakin ukahama kwend gugulethu kwa wahuni huku ndo ulikutana na kichaa wako 😂
Daaah mzee baba umefikiaa location ngumu sana Langaa sio pw location ngumu sana kuna weziii balaa pole San 🇹🇿🇿🇦
yesss
Safi sana
Much love from capetown
Shukrani sana
Leo number moja kutoka 🇩🇪
Makaladi Ni watu gani
Very nice
💪💪💪
Simulizi safi sana
Inaitwa Sliver town hiyo km ukitokea Langa kuja Raylands Rasta,Daaa hile take away ya Golden Dish simchezo,Spangala mtoto kilwa Road Marehem alipigwa risasi Joz,2pac yupo cape town hila mteja akuna tena kunyoa,
😢😢dah
Sema huyu mwamba anakumbuka sana maeneo…rylands,gatesville zote hizo mwamba kakumbuka afu kitambo kichiz
@@aminmohammed4249 kweli yupo vzr sana maana matobo yote na ya juwa, hata Mimi nilisha sau,
Analysis yangu fupi . Waliokupokea pale capetown kwa nyange ndo walikuw watu mhm lakin ukahama kwend gugulethu kwa wahuni huku ndo ulikutana na kichaa wako 😂
Nakubali
Makaladi ndo zao kukaba pole
Nipo Tz ndan ya Dsm
Kutoka zanzabar nipo nafatili babu seif Ali marufu kama Mava walete
Ila maisha ya ughaibuni ni somo tosha
Weacha tu
Nafurahishwa na hicho kitoeo cha kuku
😂😂😂😂😂
Nilichojifunza kimojawapo kwenye hii mikasa ni kwamba sauth Africa ni nchi ambayo amani ya watu wake ni ndogo sana yani muda wwte unakula chuma😢
Nikweli usemalo mm natokea kuichukia sana watu hawajali maisha ya mtuu 🥹🥲
Kundu chuna