ความคิดเห็น •

  • @masala8099
    @masala8099 3 ปีที่แล้ว +1

    uislam raha sana elimu tupu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 ปีที่แล้ว

    Mashaallah jadhaakallahu kher

  • @suleimanngassa2046
    @suleimanngassa2046 3 ปีที่แล้ว

    Maashallah

  • @OmariJumaKizaro
    @OmariJumaKizaro 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @Chris-in1vc
    @Chris-in1vc ปีที่แล้ว

    Mr. Kijogoli,. Hoja zako wala hazina mashiko. Pili, wewe biblia haikuhusu maana hatumjui unayemuabudu. Kama Yesu aliwaagiza wanafunzi wake wakamchukue punda, na akasema wakiwaulizeni nani kawaagiza waambie kua Yeye ndiye anayemtaka ( Wala SI kumuazima, huna ushahidi), na hakuna andiko lisemalo hajarudishwa, basi unyamaze kimya. Maana SI Kila kitu cha kuandika ktk biblia, maana kama Kila kitu cha Yesu kingeandikwa, nadhani hata dunia hii isingetosha. Pili, wasema Ati Muhammad ni shahidi mwaminifu, Lol! Acheni kufuru zenu, tokea lini Muhamad aliyeitwa mwenye dhambi na Allah, Tena amepewa licence au kibali Cha kufanya dhambi mpk kufa kwake bila kuhukumiwa, aje kua mwaminifu ! ( Soma Quran 48:1-2). Isitoshe, ameshawahi kuwa nabii na msemaji wa shetani kipindi Cha utume wake, na akaeujudia sanamu za mabinti wa Allah pamoja na wapagani ( soma Q22:52 na tafsiri zake, kama Al jalalayn, ibn kathir,. Al tabari, asbab an Nuzul,. Ibn Abbas n. K). Yesu pekee ndie Mtakatifu ktk Quran yenu ( soma Q19:19), na ni Neno na Roho ya Mungu ( soma Q4:171), na hajafa kama Muhammad na yupo hai siku zote mbinguni ( soma Q4:157). Sasa waislamu mnajidanganya Ati Muhammad ndie mtu wa mwisho ( nabii), hakuna ajaye, wakati Muhammad mwenyewe kasema Yesu anakuja siku ya kiama kama Hakimu Haki kuhukumu wanadamu ( soma sahih al bukhari 3448), na Shetani Al Dajal ambaye hata mtume wenu alimuogopa na kumuomba Allah amnusuru nae,. Huyo Al Dajjal akimuona Yesu tu sura take siku ya kiama, atayeyuka kama chumvi inavyoyeyuka kwenye Maji ( sahih Muslim 2897), na mvuke TU WA jasho la Yesu utawauwa wale wote wasiomwamini Yesu ( sahih Muslim 2937a). Sasa huyo ni binadamu au sio binadamu! Na kwanini Yuko hai mpaka Leo zaidi ya miaka 2,000 na Muhammad kafa na kaoza !, Akitegemea ufufuo wa wafu?. Kama kila kiumbe kinakufa Kwa Nini kifo kinamuogopa huyo Yesu!. Acheni ujinga mmepewa akili kujua baya na zuri, la uongo na la kweli, mtumie akili kujua tofauti.

    • @MohamedDhidha
      @MohamedDhidha 5 วันที่ผ่านมา

      I pity you for your ignorance is on another level.....