ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
😂😂 jaman tuliofurahi zaidi kuiona shilling kwa mara nyingine Tena tujuane haswaaa IBRA gutale Nawapenda sanaaa 🎉❤❤❤
Team shiringi mbona mmenenepa sana maashaallah ,,, Ibra wewe ni big star,,,,,wallah nimekukubali mno kwenye moyo askali mwaminifu
Aise niliimias Sana Shingi .... David, Edna, Alice, Ngokwe, Mzee Mkude and others you are the best ...!
Roma wakati sisi tulikuwa tunangoja shilingi,kumbe nanyi mlikuwa mnakula na kunona,, ila shukran kwa kuleta shilingi tena
Wow ,wakenya mpooo jamani tujuane kwa likes❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪
Vizuri saaaaanaaaaa❤ I love this movie so much,yani nilikuwa na asira ilipo simama
Eeeeh tulio kua tunaifatilia shilingi tokea mwanzo Hadi hii Leo tujuane kwa like jmn
Mnabana saut sana
Sauti inakata kata ko inakata mood
Waturudishie kale ka nyimbo kale shilingi 🎤🎵🎶🎹🎷🎸 heiyeeee inamajina mengiii
Hongera Sana DJ Kwa kujitahidi kutuletea shilingi Kwa MDA mrefu sna mashabiki walitamani kuona muedelezo wake .natumai itaashika moto huko mbele
Wewe acha mZeee
Kenya tupo ndani tangu mwanzo, thanks guys you are back again
Bring more episodes of shilingi, we are here to support, naipenda tamthilia ya shilingi
OG nembo wa mtaa from Kenya nimerudi nimen like zangu 😂
Am happy that Chuma is polite and kind
Mbona Shilingi haiendelei?
Shilingi is back hongera zko jd
Much love watching from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nmechelewa lkn nmefika..wp dj🤸🤸❤❤🎉🎉
Niupenda sana mziki wenu uko tamu sana ❤❤❤❤❤❤
Sjilingi yetu jamani imeludi hadi laha.Mbalikiwe sana watu wetu❤😂
Wakwanza mimi hapa nipeni maua yangu boy from Msumbiji 🇲🇿🔥🔥🔥
Mmh jaman niliimiss sana❤❤
Rara yashilungi ingiya 🙏🙏💯
Waooo tuliisubuli kwa hamu sana jamani
Labda kwakua ni mwanzo lakini shilingi ya kwanza ilikua bomba zaidi
Umeona eeee
Me wamenichanganya nimeishia wapo hospital nashangaa Iko hivi dah
Maisha yanaenda kasi sna aaah kibena hyo
Shilling ndio kila kitu❤❤❤
Mashaallah mungu awazidishie nguvu muzidi kutuburudishan kutuelimisha tunawapenda sana❤
Shilingi ni moja ya movie nzuri mno, hongeren sana washiliki
Waauuh nimefurai sana kuona shilingi kwa mara nyengine❤❤🎉
Mumeiharibu sauti ni mbaya haxisikiki vzr Radha inapotea
Ooooh shilingi, twaomba mtuludishie kawe kawimbo bas
Wawoooooh 🤩 mtanifany nigukuzwe kaz
Butale na ibra na chuma jamani mmekuwa sana pamoja na Edna jamani kibena amekuwa msomi movie tamu jamani
Jamaniiii nawapendaaa sana ibra na gutare
Mfumo mliyo kuja nao Sivyo vnye ilikuwa inaendelea mumefeli Apa for sure Siezi Ambia mtu mwengine aingalie MUMEFELIIIIII😮😮😮😮😮😮
Kweli kabisaa,iko na utafauti na ile ya mwanzo
Yani tupo sambamba nanyi good nice one job 👏👏🇿🇦🇿🇦
❤❤❤❤❤wow that's good pull up 👏👏 niko hapa kwa mpigo tena sana ❤❤❤
Adi haileti shangwe wakuu ...mbna msilete SHILINGI tulio izoea .....yani kila k2 kipya apa ndani ....inaboa DJ...fanya marekebisho vile inafaa..tuletee SHILINGI etu
Wao jamn kweli imetoka je inatoka lini tena
Naona mmeamua kutuletea kinacho tusihaiki great thanks for you brothers
Sauti naona haipp vizuri sana maneno mengine hayatoki vizuri naona spika ipo juu
Gutale my best friend you make me feel good each time l see you talking 😂😂
Nilikua naitamani ❤
Niliitafuta sana tamthilia hii ❤❤❤❤
Lots of ❤❤❤❤ from kenya
Hii stori naipenda mno toka mwanzo
Bom trabalho ❤❤❤🎉 😘 from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado Pemba
muinto bem
Sijaiyelewa kabisa naiyona tofauti kabisa bora niachane nayo😮
Mama tiiii mwaissa na mnyamwezi njoooniiii
Sasa hapa sawa sawa kaka,tunashkuru umetundea haki sawa.Kongole
Naipenda sana hii series ya Shilingi, ila mbona imeanza mbali hivi na pia kwengine haisikiki vizuri. Shida ipo wapi?
Woow🎉🎉 shilingi n tamu jmn bs endleeni kutupa episode nyngn mana 2lkw tumeboeka
Wow ❤❤❤❤❤ nilikuwa hatasiingii yuo nilikuwa nimebieja
Vraiment napenda sana ❤❤❤
Jamani leo ndo nafika hadi machozi yanidondoka nmekuwa njiulizia kila wakati kama ilitoka
We are getting you clearly from Kenya 254, nimemiss mchumba wangu Edna😂❤
😂😂😂😂wewe
Mumenona vibaya bana
Lovely ❤❤ shilling
Jamaaniii mpaka kawimbo kamebadilishwa mbona kale kalikuwa kananoga sana
WAMEFELI KILA KITU KABIXAA SIYO WIMBO TUUH
Yaani imekuwa kama mpya ndoo inaanza
@@BabaRittatz kama mtindo ndio huo heri waachane nayo tuuh wasiendelee maana watapokea matusi buree Kwa mashabiki
❤❤❤ mach from kenya🌿🌿🌿🌿
Jamn 🙏 kazi mzuri sana lakini jitadi sana sauti ❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hoyee Wana shilingi mpo😂😂
Eeee yani jamani mumenawili sana😮😮😮
Niliisubiri sana hii filamu pumbavu zangu thankful dj❤❤
Hahaha
Maasha Allah twende nalo
Leo ntalals vizuri ❤❤❤❤❤😂
Oyeeee mzigo tayari ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Allahamdulillih Hatimae Shilingi Move Yetu pendwa ya shilingi Imerud Tena
Endeleeni kuporomosha sasa tuzidi kuenjoy ❤❤❤❤❤
Movie ni nzuri tatizo sauti tafuteni vinasa sauti ewa ni vidogo sana c uraisi MTU kuviona au cpy voice
Jamani Roma brand Sauti sio nzuri
Ahsante sana🙏🙏
💃💃💃💃💃💃 hadi raaaa jamani ilikua naitamani sana mumefanya vizuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks dj for your job meany love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tumesubiri sana kazi nzuri bwana roma
Big up aki kuwamiss sana hongera ibra kwa busara zako
Much love Wana shilingi but sauti du!!!!!!
Sema kutamani shilingi wee, DJ sukuma mob tusiboeke6tena.
Wapili mm hapa leo nipeni like zangu🇲🇿🇲🇿🔥🔥Mozambique🇲🇿🇲🇿
Wooooow tupeni mambo xx
DJ filamu ni nzuri Ila sauti inasumbua kweli 😢😢 endeleeni kututengenezea vifaa ya sauti🎉
Pole umenifanya nicheke na iyo dhumbua badala ya sumbua😂😂
@@mejumaabaraza3989 nikweli Kaka 🤣
Inasumbua kweli 🤣
@@ashfrederic3369 nimekuelewa mm😂😂😂
@@mejumaabaraza3989 naandika vizuri Ila wewe njo unaandika vibaya angalia muzuri vile niliandika
Woow hatimae shiling hiyooo❤❤ lkn wimbo sio mtam
Jamani tumewa miss. We love Sana jamani kwa movie zenu💋💋♥️
Sauti sio mzr jmn😊😊😊😊
Ww tulikuwa twasubiri kwahamu sana asante dj
Mmeniboooa Sana msitoe episode ingine adi muunganishe tokea pale mlipoachia hizi mmetoa n ujinga
Ivi mim nimekosea wapi kabisa mmmm asanteni sana kwa kuja ila mulishakuwa majitu
Asnte dj hpa sasa umetufurhisha❤❤
Omar omar begap sajo goma ndolimeanza🎉🎉🎉
❤❤❤❤ nimefurai sanaaaa ongereni
Léo nimefurai sana DJ Roma uku nsubiji
Wow shuklani dj❤sema hii part2 kama imepoa poa ivi au bado mzigo aujachanganya vizuri😊😊
Yani bado aisisimui kununua Bando langu 😅
Nawapenda Sana nimefurahi Sana kuiyona shilingi
wow walio mmiss ibra wa like
Maiki mnayotumia muweke sawa atuwasiki vzr
I'm so happy ❤
Tumeshukuru sana dj ila hii imerudia.
Bien sn karibu tena
Watching from Kenya, trans-nzoia County, kitale town
Leo mm wa kwanza
Tulimiss san Shilingi jaman, ila hongereni pia kwa kunenepa
Sauti iko tsini sana dj wetu
Shurkani sana dj wetu❤❤❤
😂😂 jaman tuliofurahi zaidi kuiona shilling kwa mara nyingine Tena tujuane haswaaa IBRA gutale Nawapenda sanaaa 🎉❤❤❤
Team shiringi mbona mmenenepa sana maashaallah ,,, Ibra wewe ni big star,,,,,wallah nimekukubali mno kwenye moyo askali mwaminifu
Aise niliimias Sana Shingi .... David, Edna, Alice, Ngokwe, Mzee Mkude and others you are the best ...!
Roma wakati sisi tulikuwa tunangoja shilingi,kumbe nanyi mlikuwa mnakula na kunona,, ila shukran kwa kuleta shilingi tena
Wow ,wakenya mpooo jamani tujuane kwa likes❤❤❤
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇸🇦🇸🇦🇰🇪🇰🇪
Vizuri saaaaanaaaaa❤ I love this movie so much,yani nilikuwa na asira ilipo simama
Eeeeh tulio kua tunaifatilia shilingi tokea mwanzo Hadi hii Leo tujuane kwa like jmn
Mnabana saut sana
Sauti inakata kata ko inakata mood
Waturudishie kale ka nyimbo kale shilingi 🎤🎵🎶🎹🎷🎸 heiyeeee inamajina mengiii
Hongera Sana DJ Kwa kujitahidi kutuletea shilingi Kwa MDA mrefu sna mashabiki walitamani kuona muedelezo wake .natumai itaashika moto huko mbele
Wewe acha mZeee
Kenya tupo ndani tangu mwanzo, thanks guys you are back again
Bring more episodes of shilingi, we are here to support, naipenda tamthilia ya shilingi
OG nembo wa mtaa from Kenya nimerudi nimen like zangu 😂
Am happy that Chuma is polite and kind
Mbona Shilingi haiendelei?
Shilingi is back hongera zko jd
Much love watching from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nmechelewa lkn nmefika..wp dj🤸🤸❤❤🎉🎉
Niupenda sana mziki wenu uko tamu sana
❤❤❤❤❤❤
Sjilingi yetu jamani imeludi hadi laha.Mbalikiwe sana watu wetu❤😂
Wakwanza mimi hapa nipeni maua yangu boy from Msumbiji 🇲🇿🔥🔥🔥
Mmh jaman niliimiss sana❤❤
Rara yashilungi ingiya 🙏🙏💯
Waooo tuliisubuli kwa hamu sana jamani
Labda kwakua ni mwanzo lakini shilingi ya kwanza ilikua bomba zaidi
Umeona eeee
Me wamenichanganya nimeishia wapo hospital nashangaa Iko hivi dah
Maisha yanaenda kasi sna aaah kibena hyo
Shilling ndio kila kitu❤❤❤
Mashaallah mungu awazidishie nguvu muzidi kutuburudishan kutuelimisha tunawapenda sana❤
Shilingi ni moja ya movie nzuri mno, hongeren sana washiliki
Waauuh nimefurai sana kuona shilingi kwa mara nyengine❤❤🎉
Mumeiharibu sauti ni mbaya haxisikiki vzr Radha inapotea
Ooooh shilingi, twaomba mtuludishie kawe kawimbo bas
Wawoooooh 🤩 mtanifany nigukuzwe kaz
Butale na ibra na chuma jamani mmekuwa sana pamoja na Edna jamani kibena amekuwa msomi movie tamu jamani
Jamaniiii nawapendaaa sana ibra na gutare
Mfumo mliyo kuja nao Sivyo vnye ilikuwa inaendelea mumefeli Apa for sure Siezi Ambia mtu mwengine aingalie MUMEFELIIIIII😮😮😮😮😮😮
Kweli kabisaa,iko na utafauti na ile ya mwanzo
Yani tupo sambamba nanyi good nice one job 👏👏🇿🇦🇿🇦
❤❤❤❤❤wow that's good pull up 👏👏 niko hapa kwa mpigo tena sana ❤❤❤
Adi haileti shangwe wakuu ...mbna msilete SHILINGI tulio izoea .....yani kila k2 kipya apa ndani ....inaboa DJ...fanya marekebisho vile inafaa..tuletee SHILINGI etu
Wao jamn kweli imetoka je inatoka lini tena
Naona mmeamua kutuletea kinacho tusihaiki great thanks for you brothers
Sauti naona haipp vizuri sana maneno mengine hayatoki vizuri naona spika ipo juu
Gutale my best friend you make me feel good each time l see you talking 😂😂
Nilikua naitamani ❤
Niliitafuta sana tamthilia hii ❤❤❤❤
Lots of ❤❤❤❤ from kenya
Hii stori naipenda mno toka mwanzo
Bom trabalho ❤❤❤🎉 😘 from mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado Pemba
muinto bem
Sijaiyelewa kabisa naiyona tofauti kabisa bora niachane nayo😮
Mama tiiii mwaissa na mnyamwezi njoooniiii
Sasa hapa sawa sawa kaka,tunashkuru umetundea haki sawa.Kongole
Naipenda sana hii series ya Shilingi, ila mbona imeanza mbali hivi na pia kwengine haisikiki vizuri. Shida ipo wapi?
Woow🎉🎉 shilingi n tamu jmn bs endleeni kutupa episode nyngn mana 2lkw tumeboeka
Wow ❤❤❤❤❤ nilikuwa hatasiingii yuo nilikuwa nimebieja
Vraiment napenda sana ❤❤❤
Jamani leo ndo nafika hadi machozi yanidondoka nmekuwa njiulizia kila wakati kama ilitoka
We are getting you clearly from Kenya 254, nimemiss mchumba wangu Edna😂❤
😂😂😂😂wewe
Mumenona vibaya bana
Lovely ❤❤ shilling
Jamaaniii mpaka kawimbo kamebadilishwa mbona kale kalikuwa kananoga sana
WAMEFELI KILA KITU KABIXAA SIYO WIMBO TUUH
Yaani imekuwa kama mpya ndoo inaanza
@@BabaRittatz kama mtindo ndio huo heri waachane nayo tuuh wasiendelee maana watapokea matusi buree Kwa mashabiki
❤❤❤ mach from kenya🌿🌿🌿🌿
Jamn 🙏 kazi mzuri sana lakini jitadi sana sauti ❤🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Hoyee Wana shilingi mpo😂😂
Eeee yani jamani mumenawili sana😮😮😮
Niliisubiri sana hii filamu pumbavu zangu thankful dj❤❤
Hahaha
Maasha Allah twende nalo
Leo ntalals vizuri ❤❤❤❤❤😂
Oyeeee mzigo tayari ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Allahamdulillih Hatimae Shilingi Move Yetu pendwa ya shilingi Imerud Tena
Endeleeni kuporomosha sasa tuzidi kuenjoy ❤❤❤❤❤
Movie ni nzuri tatizo sauti tafuteni vinasa sauti ewa ni vidogo sana c uraisi MTU kuviona au cpy voice
Jamani Roma brand Sauti sio nzuri
Ahsante sana🙏🙏
💃💃💃💃💃💃 hadi raaaa jamani ilikua naitamani sana mumefanya vizuri🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks dj for your job meany love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tumesubiri sana kazi nzuri bwana roma
Big up aki kuwamiss sana hongera ibra kwa busara zako
Much love Wana shilingi but sauti du!!!!!!
Sema kutamani shilingi wee, DJ sukuma mob tusiboeke6tena.
Wapili mm hapa leo nipeni like zangu🇲🇿🇲🇿🔥🔥
Mozambique🇲🇿🇲🇿
Wooooow tupeni mambo xx
DJ filamu ni nzuri Ila sauti inasumbua kweli 😢😢 endeleeni kututengenezea vifaa ya sauti🎉
Pole umenifanya nicheke na iyo dhumbua badala ya sumbua😂😂
@@mejumaabaraza3989 nikweli Kaka 🤣
Inasumbua kweli 🤣
@@ashfrederic3369 nimekuelewa mm😂😂😂
@@mejumaabaraza3989 naandika vizuri Ila wewe njo unaandika vibaya angalia muzuri vile niliandika
Woow hatimae shiling hiyooo❤❤ lkn wimbo sio mtam
Jamani tumewa miss. We love Sana jamani kwa movie zenu💋💋♥️
Sauti sio mzr jmn😊😊😊😊
Ww tulikuwa twasubiri kwahamu sana asante dj
Mmeniboooa Sana msitoe episode ingine adi muunganishe tokea pale mlipoachia hizi mmetoa n ujinga
Ivi mim nimekosea wapi kabisa mmmm asanteni sana kwa kuja ila mulishakuwa majitu
Asnte dj hpa sasa umetufurhisha❤❤
Omar omar begap sajo goma ndolimeanza🎉🎉🎉
❤❤❤❤ nimefurai sanaaaa ongereni
Léo nimefurai sana DJ Roma uku nsubiji
Wow shuklani dj❤sema hii part2 kama imepoa poa ivi au bado mzigo aujachanganya vizuri😊😊
Yani bado aisisimui kununua Bando langu 😅
Nawapenda Sana nimefurahi Sana kuiyona shilingi
wow walio mmiss ibra wa like
Maiki mnayotumia muweke sawa atuwasiki vzr
I'm so happy ❤
Tumeshukuru sana dj ila hii imerudia.
Bien sn karibu tena
Watching from Kenya, trans-nzoia County, kitale town
Leo mm wa kwanza
Tulimiss san Shilingi jaman, ila hongereni pia kwa kunenepa
Sauti iko tsini sana dj wetu
Shurkani sana dj wetu❤❤❤