MZUNGU; NAWAPENDA WAMASAI NDIO MAANA WAMENIOA

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 150

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 4 ปีที่แล้ว +36

    Am sooo proud of you madam wakenya mwafata kizungu muzugu afata Kiswahili wakenya bado nimaslave wa wazugu that’s why I love Tanzania culture

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 4 ปีที่แล้ว +2

      Pichuna Kichuna siyo wakenya tu ndugu ni ulimbukeni wa kiafrika! Kwenye mikutano yote ya Umoja wa mataifa, wote viongozi wa afrika lazima waongee lugha za kigeni! Sijawai kujua ni kwa nini hivyo???

    • @noelwasonga1454
      @noelwasonga1454 4 ปีที่แล้ว +4

      Kuongea kingereza kwa wa kenya kina mkera sana huyu mtanzania,inafa ajuwe kwamba taifa la Kenya apo awali wali chukuwa jukumu yaku jenga taifa kwa uchumi na lugha mbili kiswahilli na kingereza.

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 4 ปีที่แล้ว

      noel wasonga mmm sidhani kama kweli amekereka kwa sababu gani lakini pia hajaonyesha hisia ya kukerwa! Mtazamo wangu tu!

    • @kahawathungu
      @kahawathungu 4 ปีที่แล้ว +2

      Mbona mimi nipo vizuri tu kiswahili na ni mkenya? Tuseme tu ni nia ya mtu.

    • @bayohnews3599
      @bayohnews3599 4 ปีที่แล้ว +2

      Ko huyu mzungu nae ni slave wakiswahili, lugha ni lugha tu, bora irahisishe mawasiliano kwa watumiaj, kuna muda nikiwa Na watu wakabila langu, kiluga chetu ni muim kW muda uo kuliko lugha yoyote dunian,

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 4 ปีที่แล้ว +1

    INGEKUWA NI MWAFRICA ANAONGEA KIZUNGU DAH WATU WANGE TAPIKA DAMU ILA WAZUNGU WAKIONGEA KISWAHILI 👏👏👏👏👏 TUJIFUNZE KU SUPPORT WA FRICA WANAPO ONGEA KIZUNGU SI KUWAPONDA

    • @othmanhamad6991
      @othmanhamad6991 4 ปีที่แล้ว +1

      Lakini anaongea kiswahili fasaha kuliko wabongo wengi, hasa wale wanaojiita mastaa

  • @norshadipuyaga7936
    @norshadipuyaga7936 4 ปีที่แล้ว +5

    She is doing field work,,dont be proud of this people ,they always look forward to introduce their culture every where, dont wondee if u see some days maasai fight their own blessed culture

    • @kevinjohn4507
      @kevinjohn4507 4 ปีที่แล้ว

      wanamalengo ya mbali sana hawa wenzetu, kuna kitu kinapandikizwa hapo siyo bure

    • @rajabkafuta3385
      @rajabkafuta3385 4 ปีที่แล้ว

      @@kevinjohn4507 U read my mind

  • @mako331
    @mako331 4 ปีที่แล้ว +2

    Just beautiful true love l guess

  • @poahman5890
    @poahman5890 4 ปีที่แล้ว +9

    Umeamua kuolewa na muafrica zaa kiafrica sio kizungu juu tuna mashindano ya population na China na India sitaki tena sitaki kuskie eti Miaka 5 una watoto 2 wakowapi wengine 3

    • @najjykerry9058
      @najjykerry9058 4 ปีที่แล้ว

      Hahahaaa hahahaaa

    • @jamilayusuf2096
      @jamilayusuf2096 4 ปีที่แล้ว

      Hii kali ati wako wapi 3 hakuna kupunguza lazma idadi ikamilike😁😁

  • @chistinawallasch2827
    @chistinawallasch2827 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa kutuelimisha baadhi ya Watanzania wengine, wamesahau mila zao na kupiga marufuku mila haya ni Malisa makubwa sana.

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 4 ปีที่แล้ว +1

    Wabongo kweli hatuna macho, hawa watu wana ramani wanazisomaaa, siku akimaliza kazi iliyomleta ndipo tutabaki midomo waziii, walianza kuleta dini, sasa hivi wanajileta wenyewe!!! Hatare sana

  • @nestorymsacky6838
    @nestorymsacky6838 4 ปีที่แล้ว +5

    Stephanie a friend of mine, shes amazing

  • @scholasticamabena1104
    @scholasticamabena1104 5 ปีที่แล้ว +1

    Nice .

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 4 ปีที่แล้ว +9

    She has something unique to do, that thing is behind her and whoever sent her

    • @georgim433
      @georgim433 4 ปีที่แล้ว

      Labda biashara haramu ya uuzaji wa pembe za ndovu na vifaru

  • @jumajumaali7904
    @jumajumaali7904 5 ปีที่แล้ว

    Very Good

  • @palmirasoares7510
    @palmirasoares7510 ปีที่แล้ว

    Ela fala Suely que ternura

  • @ibrahimnyalusi436
    @ibrahimnyalusi436 4 ปีที่แล้ว +29

    Naona hawa ni wapelelezi

    • @rahjah5882
      @rahjah5882 4 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Nyalusi wanapeleleza nini?

    • @bwerumaster6691
      @bwerumaster6691 4 ปีที่แล้ว

      ha ha ha watapeleleza nini?

    • @gloriousn6425
      @gloriousn6425 4 ปีที่แล้ว +4

      Ibrahim Nyalusi Ibrahim Nyalusi umeonaa eeh ,hawa sio was kuaminiwa.Ukute ni FBI au CIA wanajitiaga kuja hata miaka 10 afrika kujichanganya kumbe mwenzio yupo kazini .
      Na sie tunavowanyenyekea ndo kabisaaa 😩😏

    • @ibrahimgwasma235
      @ibrahimgwasma235 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa

  • @manubei3574
    @manubei3574 4 ปีที่แล้ว +2

    She love nature

  • @franklwehela7595
    @franklwehela7595 4 ปีที่แล้ว

    Aisee

  • @TeamKRX
    @TeamKRX 5 ปีที่แล้ว +3

    Kkk alafu kapewa sim🤣🤣😂😂anatouch tu haaaa wajinyonge 🤣🤣

  • @wm9669
    @wm9669 3 ปีที่แล้ว

    Yes !virtue is the best

  • @younggoodmanbrown6873
    @younggoodmanbrown6873 4 ปีที่แล้ว +1

    Europeans wazungu sijui ni gani ya Binadamu coz anatumia 5 litres ya maji kuflash kusukuma mavi alio kunya lakini anashindwa kutumia lita 1 ya maji kusafisha mkundu wake eti anatumia toilet tissue kufuta huo mkunduwe duh! Tena watalii wa kizungu hawapendi tour guide mtanashati kuwaongoza utaona tour guide mwenye Rasta ndio wanao wapenda!! Alafu huyo mdada ni spy yuko kazini hapo kuchunguza kitu

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo6510 4 ปีที่แล้ว

    Safiiii sanaaaaaa mdhungu

  • @jamilayusuf2096
    @jamilayusuf2096 4 ปีที่แล้ว +2

    Anatwanga kiswahili 😛😝

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia3203 4 ปีที่แล้ว +1

    safi sana

  • @palanjomepukori-rk2ut
    @palanjomepukori-rk2ut ปีที่แล้ว

    Kaswida

  • @yusuphjuma4638
    @yusuphjuma4638 4 ปีที่แล้ว +3

    Jamaaa analinda chombo hatar

  • @yusufally6853
    @yusufally6853 4 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mazingira and kila KTU.

  • @meksonyjoseph8909
    @meksonyjoseph8909 4 ปีที่แล้ว +6

    mmm hapo kuna kitu wana Tafiti mbwa hao mzungu ana akili Sana. ipo siku hato onekana washa maliza yao

  • @tanzaniampyakaulimbiu3553
    @tanzaniampyakaulimbiu3553 ปีที่แล้ว

    Tunaomba mchango wa kugharamia harusi ya MBUNGE (David Ernest Silinde (MTANZANIA)) na Mcheza soka (Misa Rodríguez (Mhispania)) ITAKAYOFANYIKA MBINGUNI MBEYA

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 4 ปีที่แล้ว

    Mimi mzungu na mswahili nikipishana basi lazima nimchunguze sana mzungu hata kama ameshapita, anaweza kupiga la kichwa kwa nyuma...

  • @justinwakudat6792
    @justinwakudat6792 4 ปีที่แล้ว +4

    Sas mzungu anaongea kiswahili misenge mingine inacoment kingreza unashindwa kwelewa mzungu na manamba niyapi

  • @MrMPUTO
    @MrMPUTO 6 ปีที่แล้ว +5

    huyo nyuma hapo ndo anamiliki huu mzigo nn maana kakaba hajakupa hata muda uombe contact

    • @credo7837
      @credo7837 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

  • @Bkysaiboytz
    @Bkysaiboytz 4 ปีที่แล้ว

    Vizuri

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 4 ปีที่แล้ว

    Weeee Masai kwa hela hapo nakataa wanapenda mnoo

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 3 ปีที่แล้ว

    Aanyorr oleng enkanashe ang

  • @Sangoyamboka
    @Sangoyamboka 4 ปีที่แล้ว

    Mzungu, wewe ni balaa. Unaongeya Swahili vizuri kabisa. Una roho ya upenda. Ninakusifu Kweli Kweli.

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 4 ปีที่แล้ว

    Hawa wengi wao wanakuwa shushushu...na wamwaga sumu katika jamii lililo nje za Mikoa mikubwa na nchi unashangaa hayo maandamano yametokea mashambani vipi kumbe mabinti kama hawa wamesha mwaga sumu miaka zilizopita na watu wamesha komaa......

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania 4 ปีที่แล้ว +6

    Mtu huyu kutoka ng’ambo pamoja na ukweli kuwa lipo aliloficha zaidi ya kuupenda utamaduni wa kimasai lakini lililo dhahiri tayari ni kupata breed ya kimasai itakayoenda kukuzwa na kuchunguzwa ng’ambo then itajatumika kuilaghai Tanzania kama sio Africa siku moja.

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 4 ปีที่แล้ว

    Wanafanya service poa

  • @rodgerskaleke4552
    @rodgerskaleke4552 4 ปีที่แล้ว +5

    Hawa wazungu kuna vitu wanafnya utafiti sio bure na hawana urafiki wa bure hao watu

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 4 ปีที่แล้ว

      ila muhind anayekunyonya kila siku akupi ata shiling na anakubagua ndani ya nchi yako yeye anafaida kwako.wabongo pumbavu

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 4 ปีที่แล้ว

      tembea dunia nzima kama utaona mwalab au muhind kaowa mmasai.na ndio watu wakubwa wanao wabagua nchin kwenu na kuwadhalau.

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 4 ปีที่แล้ว

      Tatizo bado tunadanganyika sana kupitia ukoloni mambo leo!

  • @tegemeamushi4790
    @tegemeamushi4790 4 ปีที่แล้ว

    SEHEMU YOYOTE MMAREKANI LAZIMA ATENGENEZE ALLIE(eitheir kwa kuzaliana na wenyeji au kupandikiza) 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤔hapo wame fanikisha mpango tayari tuna mtoto AMERICAN-TANZANIAN MASAI

  • @mustaphahassan589
    @mustaphahassan589 4 ปีที่แล้ว

    Mnawapenda au mwawatumia kuingiza pesa

  • @kamrudinelias3922
    @kamrudinelias3922 4 ปีที่แล้ว

    Wazungu wana roho nzuri, mama hebu chungulia historia ya wazungu hadi leo....

    • @ke.4612
      @ke.4612 3 ปีที่แล้ว

      Kuna wazungu wenye roho nzuri na kuna wenye roho ya shetani

  • @AMBINHED
    @AMBINHED 4 ปีที่แล้ว

    Huyo mzungu ana yake yuko kiserekali ana mshahara wasiri kutoka ...... serekini kwao yupo kwenye mission tu hakuna mapenzi wala nini. Wanapandikiza network yao hapo

  • @petermim
    @petermim 4 ปีที่แล้ว +7

    I suggest, don't trust any visitor🇹🇿🇹🇿

  • @judymukui7171
    @judymukui7171 4 ปีที่แล้ว +1

    Hadi umeanza kuongea kama wao

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 4 ปีที่แล้ว +3

    Pumbavi mmoja wewe nani kakwambia km wazungu wana roho nzuri makatili sana hao kila siku wanchinja ndugu zetu falastina

    • @khadijaomar8427
      @khadijaomar8427 4 ปีที่แล้ว

      Wakoloni🤣🤣🤣🤣

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 ปีที่แล้ว +2

      Ndugu yako yupi kachinjwa Palestina,mbona Alshabab na Boko haram wanaua Waafrika wenzao Kila siku huoni Hilo au ndo nyani haoni kundule

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 4 ปีที่แล้ว

      @@mathiaszakaria7052
      We kafiri nyamaza nyie ndio wauwaji wakubwa boko haramu ni vikundi vya kizungu hebu zinduka wewe

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 4 ปีที่แล้ว

      @@zuheorsalim7759 huna akili kichwani kumejaa tope

    • @zuheorsalim7759
      @zuheorsalim7759 4 ปีที่แล้ว

      @@mathiaszakaria7052 we kichwa chako kimejaa najsi ya mbwa

  • @mkurangacnajemasabatochane4626
    @mkurangacnajemasabatochane4626 4 ปีที่แล้ว

    Umempenda Masai kwasababu ukituma taarfa za kiuchunguz na uiz wa rasmal hutagundulika jasus

  • @erickkabyemela267
    @erickkabyemela267 4 ปีที่แล้ว

    Majasusi

  • @davidomach6082
    @davidomach6082 4 ปีที่แล้ว

    Huyu ni mzungu ama shwahili

  • @vannymills5148
    @vannymills5148 2 ปีที่แล้ว

    Good for you choosing Maasai man to be husband you not happy with German man .You to live hard life no electricity no running no internet no telephone to contact your family in Germany , Stephanie like to live isolating. Take good care of Maasai animals okay.

  • @saidikikoko
    @saidikikoko 4 ปีที่แล้ว +7

    If dont make dollar dont make sense hiyo ndio kauli yao hao wazungu hayupo hapo km alivyosema anamakubwa sana anayafanya hapo trust me,

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 4 ปีที่แล้ว

      Uko sahihi na akimaliza mission yake anasepa!

    • @manubei3574
      @manubei3574 4 ปีที่แล้ว +1

      No, don't be like that. Humans have heart. Let her live what she love.
      You love their dollars when they tours, but you hate their love when love.
      But, What matters is you're not the one loved!

    • @josephisaya8166
      @josephisaya8166 4 ปีที่แล้ว

      manu bei kabisa bado tunajishusha wa tz sana huyo kapenda hakuna cha mission wala nini this world is global now unaweza kumpenda na kumpenda na mtu yoyote

    • @yusufally6853
      @yusufally6853 4 ปีที่แล้ว +1

      Saidi Kikoko that is true br

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 ปีที่แล้ว +1

    Uamuzi wa jambo, ni wa mwenye jambo. Nisawa, kipenda roho dawa

  • @subiramohd885
    @subiramohd885 4 ปีที่แล้ว +3

    nyie wazungu kwenu njaa kali ndomana mkipata sehem ya kula mnajichomeka

    • @egenitoto7132
      @egenitoto7132 4 ปีที่แล้ว

      Sio njaa ila amependa kwani huyo mzungu amekosea kuumpenda mu African mungu ndiye aliwaunganisha Ss wa African tunajizarau wenyewe kwani unatofautiana nini na Mzungu sini nywele na rangi ngozi moja alafu alivyo zaliwa yy na ndivyo ilivyo zaliwa ww tunabidi tuwe na Akili nonsense

  • @mimmohsherrykaesther5375
    @mimmohsherrykaesther5375 4 ปีที่แล้ว

    Pia mimi na penda masaai naroho yangu yote

  • @nellywizz9631
    @nellywizz9631 4 ปีที่แล้ว +2

    Adi amekua na lafuz ya kimasai

  • @Future88746
    @Future88746 4 ปีที่แล้ว

    Ukoloni mambo leo , rudi kwenu

  • @shabanijuma9478
    @shabanijuma9478 4 ปีที่แล้ว

    Uyu kapenda dudu

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 4 ปีที่แล้ว

    Jamani muzungu anawongea kishwahili kazuli hadilaha😘❤💕

  • @mgala0782
    @mgala0782 4 ปีที่แล้ว +5

    Hawa watu ni sawa na wapelelezi tu hakuna kitu happy wanachotaka hapo ni kuondoa kabisa Mila na desturi za hai wamasai na inawezekana wanataka kumiliki hiyo ardhi yao mimi hai siwaamini hata kidogo maana naona wanafanya research juu ya wamasai eti ukarimu, undugu na Hawa watu mhhh hakuna kitu hapo

  • @hassanmassaga2476
    @hassanmassaga2476 4 ปีที่แล้ว

    Wazungu machoko tu

  • @michaelmchodo2862
    @michaelmchodo2862 4 ปีที่แล้ว +2

    Asije akawa CIA

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 4 ปีที่แล้ว

      sasa CIA anafata kitu gani tanzania nyie mnafkil CIA anatumwa kama anaenda kununua nyaya wabongo bwana.mwingine eti anafanya mision zake sasa bongo watakuibia nn sasa ikiwa baba zako walishaiba na kufilisi nch toka enz izo.sasa yupo mtetezi JPM kuwa naaman.TZ nchi nzuri sasa kama uamin utakuwa na matatizo ya akili.

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 4 ปีที่แล้ว

      Rafu Chief Yaelekea hauijui Tanzania vyema wewe!

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu so albino kwel mbn kiswahili imenyooka ivo

  • @mohdsalum3832
    @mohdsalum3832 4 ปีที่แล้ว

    Safi

  • @omaramjumas4354
    @omaramjumas4354 4 ปีที่แล้ว

    unawapenda wamasai ndio mana wamekuoa una mana unaolewa una achwa au unaishi nao?

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 4 ปีที่แล้ว

    huyo mswahili tu mbona ? sema tu amekula vidonge amekua kama dada zetu

  • @alexchungu9505
    @alexchungu9505 4 ปีที่แล้ว

    Hata mimi masaai ya zaman, nawapaje mzungu

  • @mosseslazaro610
    @mosseslazaro610 4 ปีที่แล้ว +6

    Huyo anafanya utafiti,mission yake ikishatimia anaondoka

    • @Kijana-wa-Tanzania
      @Kijana-wa-Tanzania 4 ปีที่แล้ว +1

      Very correct!

    • @user-kc9cz5hw9w
      @user-kc9cz5hw9w 4 ปีที่แล้ว

      Kabisa

    • @fransiscamatemu987
      @fransiscamatemu987 4 ปีที่แล้ว

      Mosses Lazaro yap kama yule alie olewa na mzee mwenye bushaaa tena mke wa tatu😂😂alitak kujua why do they praise busha 😂😂

  • @MEG-yemane
    @MEG-yemane 4 ปีที่แล้ว

    I'm really, don't believe this people!!!!

  • @hellacredis3198
    @hellacredis3198 4 ปีที่แล้ว

    Ni kweli nApenda wamaasai coz wako na cassava kubwa Tena wanajua kuitumia, very sweet..

  • @janetmwangi3868
    @janetmwangi3868 4 ปีที่แล้ว +1

    Why do the maasai fall for this. I thought their culture was deep and well out of bounds for any foreigners.

    • @shalomkind4575
      @shalomkind4575 3 ปีที่แล้ว

      Its very easy to mingle with masais they are lovely loving people

  • @dr.tumainiandrea6957
    @dr.tumainiandrea6957 4 ปีที่แล้ว

    Panzi haichagui kabila

  • @alihaji7201
    @alihaji7201 4 ปีที่แล้ว

    Hi muzungu napenda masaai sabab inawaburuza kw kila wanalolitaka that all

  • @adijaadija8339
    @adijaadija8339 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @gracemalatwe5344
    @gracemalatwe5344 4 ปีที่แล้ว

    Ayo matumiz mabaya yamzungu

    • @credo7837
      @credo7837 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂

  • @emmanuelkonki59
    @emmanuelkonki59 4 ปีที่แล้ว

    She is doing for a purpose .,....hii no upelelezi msifurahie mtakuja kuona baadae mtanikumbuka Mimi KONKI

  • @gogolamavi
    @gogolamavi 4 ปีที่แล้ว

    Mpelelezi huyu

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 4 ปีที่แล้ว +1

    amechoka na stress za ulaya