Allah awabariki mfike mbali katika kazi zenu ila msivuke maadili tu Insha Allah kidundo pia ni chumvi bila wewe mchuzi haunogi tunakupata from uk 🇬🇧 huku kila la kheri ❤️👍🏽👍🏽
Nimepata kucheka kidogo🤣🤣...ila siachi kuuliza... Kwa #scene ilivyo #Kidundo alikua na simu tatu... 1) #simringtone❌ ilishindikanaje kuweka #ringtone ambayo tunaweza kuisikia wakati wa sim kupigwa..?
Una wazo zuri, lakini hebu tumia muda zaidi kutafakari maoni yako. ...Hii ni sanaa ... Ni heri ya simu kutokuita kuliko kuitaa masuala mengine mengi yengeibuka ambayo yangekuwa vigumu kupata jawabu kuliko huko simu kutokuita....
@@newstarrecords-pemba sahih kabisa, sanaa ni #imagination...maana yake ni kua kinachotokea kwenye sanaa kwa 100% hakiwi Cha kweli isipokua kwa baadhi ya matukio...sijajua Kama sim ingeitika kungekua na hoja ipi ambayo ingeibua masual magumu.... Kichwa Cha habari "kidundo na sifa za kijinga" 1) maana yake ni kua kidundo alitafuta sifa kwa baba mkwe 2) kupitia sifa hizo alijibiisha aonekane tajiri, na hii ilidhihirika Baada ya kua na vishawishi Kama vile gari, headphones, na sim tatu za maana... Kupitia ujumbe wa kichwa Cha habari tulitegemea tusikie kwel "Sifa' kazipata Baada ya kupokea sim tofauti so #ringtone ingechota akili za wengi na kuhisi Kama kweli anapigiwa badala yake n kinyume
Na pia ringi za gari tumeona 3 tu 1 hatujaiyona kwahio mue mnatuonyesha zote 4 🎸 na pia vikombe vyakahawa hamjatuwekea idadie tukaviona vyote 🎸 na jengine ukoalikoenda kuchukuwa cm hamkutuonesha pia nahitaj 🎸🎸🎸🤣🤣🤣
Allah awabariki mfike mbali katika kazi zenu ila msivuke maadili tu Insha Allah kidundo pia ni chumvi bila wewe mchuzi haunogi tunakupata from uk 🇬🇧 huku kila la kheri ❤️👍🏽👍🏽
Kidundo et anaishi nyuden jaman hhhhhhhhh🤣🤣🤣🤣🤣🤣💯💯💯💯
Said mjomba wamtoa kidundo shoo vibay Ka 😂😂😂😂
Ujumbe mzur sana kidundo umetufurasha tulio wengi mungu akukuze kipaji choko kizidi kusonga mbele zaidi
Ujumbe mzuri Ila jitahid kurefusha Ili iweze kuleta ujumbe mzuri zaidi
Kidundo hi big up sana
Kidundo......😂😂😅kanda laekwa mpeto!!!! 😄😄👌👌👌👌
Nakubl
Sijui kwann watu wanapenda kujisifia ukweni atakama hawanakitu
Kidundo scene hii haijampendeza sana, Ila big up sana
Dah kidundo kumbe unaongea ki Town nakubali sana
🤣🤣🤣🤣 kidundo jamaa kashakutia aibu
Kidundo kunamshinda Ticha Mudi kwa ubosi
Hahahaha jamani hahahaha nimecheka duuu mtihani hahahaha
Ahsante sana bwana kidundo
Kunpatikwa jamaa yangu
Ni wa pemba mahili gani hawa
hhhhhhh kidundo wa leo zamu yakoo ndio ukomee
Good looking
Mbavu zanguu jaman
Wapemba sis kwa sifa😂😂😂🤣😀
😅😅😅😅😅😂😂😂
Ipo vzr
Hiii kali duh
Kidundo 🔥🔥
Mimeuwa
Kidundo ni khatari
Hakuna pembeni wala chengejuu😁😁😁
😀😀😀
My first
Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kidundo
Hakuna pembeni wala shengejuuu. Hahahaaa
Kidundundo anajuwa
Hahaaaa muazara kadam nasi
hhhhhhhhhhhh
Hhhhhhhhh duh hili balaa
Kidundo shkamoooooooooo
Kidundo hii hapana rudi katika luha ya asili
😀😀😀😀😀😀
kidunde kumbe hata pesa ya kahawa hana halaf anataka kumtumia milion kumi . na laki mbili mbili za kujiendezea maisha 😀😁😁😁😁😁😁😀
hatariiiii
😃😃😃😃😃
😳😳😳
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha
😄😄😄😄😄 funzo zuri.
haswaaa
😂🤣😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hhhhh. Asnty kw ujumbe
Haha as a😀😀😀😀😀
Hakuna Pembeni wala Shengejuu
Hatar
chukua masikeli yako uwendevyo
Hakuna pembeni wa shengejuu!
hahaha
😂😂😂😂
Nimepata kucheka kidogo🤣🤣...ila siachi kuuliza...
Kwa #scene ilivyo #Kidundo alikua na simu tatu...
1) #simringtone❌
ilishindikanaje kuweka #ringtone ambayo tunaweza kuisikia wakati wa sim kupigwa..?
Sio lazima binafc hta mm sim ni nadra sana kueka ringtone
Una wazo zuri, lakini hebu tumia muda zaidi kutafakari maoni yako. ...Hii ni sanaa ... Ni heri ya simu kutokuita kuliko kuitaa masuala mengine mengi yengeibuka ambayo yangekuwa vigumu kupata jawabu kuliko huko simu kutokuita....
@@newstarrecords-pemba sahih kabisa, sanaa ni #imagination...maana yake ni kua kinachotokea kwenye sanaa kwa 100% hakiwi Cha kweli isipokua kwa baadhi ya matukio...sijajua Kama sim ingeitika kungekua na hoja ipi ambayo ingeibua masual magumu....
Kichwa Cha habari "kidundo na sifa za kijinga"
1) maana yake ni kua kidundo alitafuta sifa kwa baba mkwe
2) kupitia sifa hizo alijibiisha aonekane tajiri, na hii ilidhihirika Baada ya kua na vishawishi Kama vile gari, headphones, na sim tatu za maana...
Kupitia ujumbe wa kichwa Cha habari tulitegemea tusikie kwel "Sifa' kazipata Baada ya kupokea sim tofauti so #ringtone ingechota akili za wengi na kuhisi Kama kweli anapigiwa badala yake n kinyume
Na pia ringi za gari tumeona 3 tu 1 hatujaiyona kwahio mue mnatuonyesha zote 4 🎸 na pia vikombe vyakahawa hamjatuwekea idadie tukaviona vyote 🎸 na jengine ukoalikoenda kuchukuwa cm hamkutuonesha pia nahitaj 🎸🎸🎸🤣🤣🤣
Cm za mabosi mara nyingi huweka vibration hawapendi mikelele
😂😂😂😂😂😂😂