Vituko vya wizi No.2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2021
  • #zanzibar #pemba #pembaComedy
  • ตลก

ความคิดเห็น • 36

  • @ggohf7004
    @ggohf7004 4 หลายเดือนก่อน

    Tuwamiss jamani mbona mpo kimya sana

  • @abdulazizimohd4230
    @abdulazizimohd4230 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona hatuoni vitu vipya awa jamaaa

  • @khudhaimambwana2639
    @khudhaimambwana2639 ปีที่แล้ว

    Karafuu pemba

  • @zubeirsalum128
    @zubeirsalum128 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwaja watu tena kundi kubwa

  • @salumukhamis2066
    @salumukhamis2066 2 ปีที่แล้ว

    Good job Allah atuwongoze inshallah

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 2 ปีที่แล้ว

    Mnaweza but Ongezeni bidii,, mtafika mbali

  • @hemedhafidh6265
    @hemedhafidh6265 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri

  • @alinassor391
    @alinassor391 2 ปีที่แล้ว

    Chongoe na timu yako kuweni serious ktk kz zenu

  • @bimuabdallah9083
    @bimuabdallah9083 ปีที่แล้ว

    Babu waharibu nimemkuta nakarafuu au nnakuta nakarafuu usichanganye kipemba ndo tukitakacho

  • @barghashally7791
    @barghashally7791 2 ปีที่แล้ว

    Maashallh

  • @ibrahimrashid7017
    @ibrahimrashid7017 2 ปีที่แล้ว

    Vipaji munavo pemba

  • @kitaaofficial4119
    @kitaaofficial4119 2 ปีที่แล้ว

    🔥👍Good job!

  • @takdirmahmoud
    @takdirmahmoud 2 ปีที่แล้ว

    Mnajitahidi, Mashaallah

  • @idarousally4104
    @idarousally4104 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzur wana kazeni mtatoboa

  • @safiasafiahamad4276
    @safiasafiahamad4276 2 ปีที่แล้ว

    Mbona stori zenu mbaya

  • @saidmohd7914
    @saidmohd7914 2 ปีที่แล้ว

    big up mashllah

  • @hemedmedy693
    @hemedmedy693 2 ปีที่แล้ว

    Huyo aliekabidhiwa mikarafuu kachemka

  • @samerjunior2158
    @samerjunior2158 2 ปีที่แล้ว

    Mara hii karafuu gumzo pemba kumenoga

  • @maryamabdullah9169
    @maryamabdullah9169 2 ปีที่แล้ว

    Mbele geuka hahaaaaa nyuma kimbiyaaa

  • @zanwisetz
    @zanwisetz 2 ปีที่แล้ว +1

    Tupo pamoja tunawasapoti kazi zenu

  • @imash04tv20
    @imash04tv20 2 ปีที่แล้ว

    hapo mnatakiwa mujitahidi kwenye kutengeneza stori maana naona zinajigongagonga kwa mfano mwanzo wa mchezo kijana kanamsimamisha mzee kwa heshima na inatafsirika kwamba wanajuana lkn aliposimamishwa yy kijana hapohapo kanaanza kukasiriki na kusema ww mzee nn,? sasa mlisahau hapo mwanzo mmeanza kwa udugu na urafiki,? alitakiwa kijana aitikie kwa heshma bila ya kumjibu kwa sauti na kejeli halafu aanze kufikiria huyu mzee ameniitia nn au kashanigundua kama nna karafuu baada ya kuja kwenye wito hapo ndio ifuatie kama kumchenjia kukasirika au kumpotezea na yy kuendelea na safari yake na washauri muwe makini sana katika kuekti kabla ya kufikisha ujumbe kwani mtakapojipanga vzr ndipo watu watakapoupokea vzr lkni ikiwa haufahamiki mnaanza kulose na mapema na hatimae kufeli na hatutak iwe hivyo

    • @zfc_film_Production
      @zfc_film_Production  2 ปีที่แล้ว

      asante kwa maoni yako tutajitahidi kuzalisha kazi zenye ubora, umeangalia video zengine pia ,usisau kulike video zetu🤝

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 2 ปีที่แล้ว

      @@zfc_film_Production tengeza vitu vizr like zitakuja tu

    • @maryammbarouk2655
      @maryammbarouk2655 2 ปีที่แล้ว

      Kwelii ynii unafaaa kuwaa dairtaa yanii