Mapigano Ulyankulu Kwaya Safari Yao Waisrael Official Video

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024
  • Safari Yao Waisrael By Mapigano Ulyankulu Kwaya

ความคิดเห็น • 102

  • @deboramsangi360
    @deboramsangi360 5 หลายเดือนก่อน +17

    2024 bado tunasikiliza tunapata nguvu mpya. Enzi hizo hakina mekap wala poda na walipendeza. Ndio ile hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao ya Ambwene

  • @donaldmmary4762
    @donaldmmary4762 6 ปีที่แล้ว +16

    Hii kwaya ukiangalia unahisi upo mbinguni

  • @ntimifrank2770
    @ntimifrank2770 5 ปีที่แล้ว +24

    hawakuhiaji mavazi mavuri, wala kalikiti na nywele ndefu, hawakuhitaji mafuta ya kubadili ngozi, hawakuhitaji vito vya dhahabu maskion wala shingoni mwao, kila walipokua waliwakwenda na watoto wao, hawakuhitaji backup ili watoe sauti hawa wapendwa hakika walikua na MUNGU aliye HAI. Kizazi hiki hakijaonekana tena, I miss old Days

  • @kingnikhmanay2707
    @kingnikhmanay2707 6 ปีที่แล้ว +14

    Nitie nguvu Ee BWANA YESU ktk safar yangu nifike salama Jerusalem Mpya.amen

  • @peterchristian-rv6xo
    @peterchristian-rv6xo 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri na waliotangulia mbele za haki awarehemu hakika nyimbo zenu zinanibariki sana

  • @evanceernest256
    @evanceernest256 5 หลายเดือนก่อน +8

    Glory be to God🙏 ...missed this songs... April 2024

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn7904 5 ปีที่แล้ว +8

    Kweli Hawa waliimba Kwa kumaanisha,Roho aliimba ndani Yao,naomba nijifunze kwao

  • @kembero
    @kembero 2 ปีที่แล้ว +5

    Nilikuzwa na hizi nyimbo. Zinanikumbusha mengi sana. Miaka ya 2001-2002 nikiwa bado mchanga.

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 ปีที่แล้ว +1

    Nakumbuka MDA mrefu dada emu temba mungu akulaze Mahali pema malayakwanza kusikia nyimbo hizi tulikuwa wote tukielekea shinyanga

  • @georgechawala117
    @georgechawala117 12 วันที่ผ่านมา

    safi mwalongo uzidi kubalikiwa

  • @elizabethcharles6278
    @elizabethcharles6278 8 หลายเดือนก่อน +1

    Namshukuru sana baba yangu na kumkumbuka nikisikia nyimbo hizi tena zinagusa moyo wangu sana

  • @charlesmwalongo4568
    @charlesmwalongo4568 8 หลายเดือนก่อน

    Hapa ni kabla ya shetani hajaja duniani.

  • @mwalimurono5595
    @mwalimurono5595 2 ปีที่แล้ว +8

    The song has stood the test of times, still blessing us

  • @ElizabethabrahamHassan
    @ElizabethabrahamHassan 2 วันที่ผ่านมา

    Amina sana
    . Hizi ndio njimbo za kweli. Nakaumbuka mbali tangu mwaka 1997 ikiwa na miaka 11

  • @miriyamasanja73
    @miriyamasanja73 7 ปีที่แล้ว +12

    kweli hawa walikua watu wa mungu mbarikiwe

    • @jestonjonas5591
      @jestonjonas5591 6 ปีที่แล้ว +1

      waimbaj wa SK hiz wajifunze kwa hawa,siyo kujipodoa utadhan wanamwimbia mtu wa fulan Mungu haangalii sura anaangalia moyo tu

  • @scholarsticaoscar7471
    @scholarsticaoscar7471 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba na mama kwa kutulea kwa nyimbo hizi tamuu zisizochosha kusikiliza.
    2024 Lakin bado zinatuinua tunapochoka.❤❤

  • @peterchristian-rv6xo
    @peterchristian-rv6xo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika kazi ya mungu mliifanya vizuri na mliotangulia mbele za haki mungu awakumbuke

  • @samsonsanya8314
    @samsonsanya8314 3 ปีที่แล้ว +3

    Cina chakuwapa ila MUNGU awazidishie ck Akuishi maana huu niwito wakuimba

  • @KatemboKisaka
    @KatemboKisaka 20 วันที่ผ่านมา

    Napenda hizi nyimbo

  • @deomwanicheta553
    @deomwanicheta553 3 ปีที่แล้ว +3

    Nakumbuka mbali sana kwa kweli sitachoka kuaangalia nyimbo hizi

  • @reaganzakaria3491
    @reaganzakaria3491 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki watumishi wa Mungu

  • @humphreyenden4627
    @humphreyenden4627 2 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaaaa Namkumbaaa sana Mama Alinunuaaa kandaa ya hiiii kwaya bhasssss mwezi mzimaaaa n nyimbo hz tyuuuuu

  • @derickjuma4251
    @derickjuma4251 4 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤ nyimbo za kusikiliza mda wot

  • @leonardnicolaus2758
    @leonardnicolaus2758 2 ปีที่แล้ว

    Da! Hatari sana

  • @eddonics7865
    @eddonics7865 6 ปีที่แล้ว +3

    Tizama vile wamevaa, wanavyoimba hadi raha nilitamani sana niwe kipindi hicho

  • @davidimmael1300
    @davidimmael1300 3 ปีที่แล้ว +1

    Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataicha hata atakapokuwa mzee.....kiukweli hizi nyimbo zilifanya nimjue Yesu kipind cha utotoni hadi sasa......

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej ปีที่แล้ว

    Hii kwaya inanikumbusha nipo mdogo sana mungu aliwatia nguvu sana kupitia nyimbo inukeni tena watu wa mungu

  • @johnmukunzimoses7921
    @johnmukunzimoses7921 ปีที่แล้ว

    Ninawapenda sana nyimbo hizo nirikuwa nikizisikiriza nikiwa mtoto

  • @gladnesisrael5515
    @gladnesisrael5515 ปีที่แล้ว +1

    Nlianza kusikia hizi nyimbo tangu 1998 kipind hcho hakuna CD, ni kanda za tape, za radio cassette. Nyimbo nzuri sana

  • @fei3668
    @fei3668 6 ปีที่แล้ว +1

    Daah nakumbuka mbal sana

  • @benedictlukas5387
    @benedictlukas5387 2 ปีที่แล้ว

    Nakumbuka mbali xana barkiwen watumish wa mungu

  • @BlessBawitevanneau-nk4eh
    @BlessBawitevanneau-nk4eh 3 หลายเดือนก่อน

    Nabarikiwa sana kupitiya nyimbo hizo

  • @victormajenge1173
    @victormajenge1173 7 ปีที่แล้ว +2

    Duuu Mungu aendelee kuwabariki sana mliopo bado muendelee na utumishi..

  • @childofgodthroughjesuschri3326
    @childofgodthroughjesuschri3326 6 ปีที่แล้ว +2

    Yaani hizo sauti jamani wamebarikiwa

  • @lydiamasoya8344
    @lydiamasoya8344 3 ปีที่แล้ว +1

    Barikiweni sana na Mungu wetu niyi watu mnnanibariki saaaaaana Amina

  • @leticiamakoye4871
    @leticiamakoye4871 3 หลายเดือนก่อน

    Amina hakika rirudi ktk muonekano huu

  • @hellen9056
    @hellen9056 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana mmehubili injili sana

  • @bonahfidequeen10
    @bonahfidequeen10 2 ปีที่แล้ว +3

    I just came from my childhood memories. Deep nostalgia

  • @kipletingtanui217
    @kipletingtanui217 2 ปีที่แล้ว +3

    Thanks to our Dad he used to play this songs 2001, good songs with great messages. Congratulations Unyanguli Songs choir.

  • @neemajulius8017
    @neemajulius8017 ปีที่แล้ว +1

    Dah nimekumbuka mbali sana Mungu awapumzshe kwa Aman wazazi wangu nashkur kwajili yenu mlinifny nizijue izi nyimbo ambazo sas ni Faraj kwangu🙏

  • @emanueljohn5787
    @emanueljohn5787 6 ปีที่แล้ว +2

    Hawa Wali kuwa ndo waimbaji wa mungu

  • @mwanaishamghwai5181
    @mwanaishamghwai5181 ปีที่แล้ว

    Eeeeh acha watekee

  • @thomasschone4134
    @thomasschone4134 3 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio waliomuimbia mungu

  • @EdwardMbaye
    @EdwardMbaye 5 หลายเดือนก่อน

    Wamenikumbusha mbali Sana tabora kipindi hicho wamekuja ng'ambo

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 ปีที่แล้ว +1

    Mbarikiwe sana kwa ujumbe wa neno la Mungu mnaoutoa kwa njia ya nyimbo mkiwa na watoto migongo kweli mlijitoa kwa roho na kweli

  • @alexanderlwinga6029
    @alexanderlwinga6029 2 ปีที่แล้ว

    Nimefarijika saaana nawimbo huu wa zama hizo!!

  • @rukiandunguru1462
    @rukiandunguru1462 10 หลายเดือนก่อน

    Usianguke ❤

  • @untidiucymbwilo1754
    @untidiucymbwilo1754 6 ปีที่แล้ว +1

    njema sana kitambo mno.

  • @andrewshayo5612
    @andrewshayo5612 4 หลายเดือนก่อน

    Toka nikiwa mdogo sijui kuhesabu miaka had leo 2024

  • @yulithalugaba9552
    @yulithalugaba9552 4 ปีที่แล้ว +3

    Was very awesome choir, still awesome, will be awasome forever!!! You used to bless be those days when we're still using Radio Cassettes

  • @rw161musamvu5
    @rw161musamvu5 5 หลายเดือนก่อน +1

    Nyimbo hizi ni zamwaka gani nauliza nawapenda saana

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 4 หลายเดือนก่อน +1

      98

    • @rarirover44
      @rarirover44 4 หลายเดือนก่อน +1

      @@DativaMboweduh aiseee nawakumbuka kama vile leo aiseee wako moyoni walikuwa wabunifu mnooo! sijui wako wapi sasa hivi 😢

    • @DativaMbowe
      @DativaMbowe 4 หลายเดือนก่อน

      @@rarirover44 yaani inanigusa Sana kwaya hii

  • @EmmanuelMikael-in1ej
    @EmmanuelMikael-in1ej 8 หลายเดือนก่อน

    Hizi kwaya zinznikumbusha nipo mdogo sana.

  • @amanimwakilembe791
    @amanimwakilembe791 6 ปีที่แล้ว +4

    Still my favorite gospel song in 2018.. Hongereni sana Kwaya ya Mapigano Ulyankulu, mwenyezi Mungu awabariki sana.

  • @josephwabwire1276
    @josephwabwire1276 6 ปีที่แล้ว +2

    Wamama wasiku hizi wangapi wnaeza jitolea kumuimbia mwenyezi mungu wakiwa wamewafunga watoto wao kwa shingo zao?Hanna mungu aonekanie familia za hawa waimbaji popote walipo.

  • @kibagengeonlineservices6038
    @kibagengeonlineservices6038 4 ปีที่แล้ว +5

    i really love this hearing these songs really brings out the happiness in me

  • @loycekemuma2122
    @loycekemuma2122 7 หลายเดือนก่อน

    Iko sawa

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 2 ปีที่แล้ว

    Niliisikiliza mwaka 2003 Bado naipenda sana

  • @jamesjerome9476
    @jamesjerome9476 10 ปีที่แล้ว +7

    You guys remind me 20yrs ago, u are awesome

  • @misheckchapewa5895
    @misheckchapewa5895 7 ปีที่แล้ว +3

    Mungu awabariki kwa nyimbo zenu.

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 ปีที่แล้ว +1

    Kweli mlikuwa waimbaji wazuri

  • @esterlogose
    @esterlogose 5 หลายเดือนก่อน

    Nikiangalia huwa naishia kulia maana inanikumbusha marehemu tulipokuwa wadogo alikuwa anasikiliza akiwa nyumbani anafanya kazi zake, akiwa anapika au anafua alikuwa akisikiliza pia inanikumbusha familia yetu tulipokuwa tunaishi wote kabla yakusambaa, kwakweli naumia sana nasikia furaha na uzuni pia

  • @samwelndabila6630
    @samwelndabila6630 6 ปีที่แล้ว +2

    Daaa!!! Napenda sana

  • @destinimani6745
    @destinimani6745 2 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli hii choir ina mafundisho ya ya Mungu

  • @jordanbenard4361
    @jordanbenard4361 11 หลายเดือนก่อน

    Respect. TZ gospel artists.❤

  • @renatasimon3311
    @renatasimon3311 6 ปีที่แล้ว +1

    M'barikiwe wapendwa wa Mungu

  • @anithapaul3249
    @anithapaul3249 8 ปีที่แล้ว +3

    mbalikiwe sana

  • @clementbankuwiha8877
    @clementbankuwiha8877 6 ปีที่แล้ว +1

    aise ,haijawahi kutokea kwaya kama hii mpka mwisho wa dunia

  • @fredrickonyango5038
    @fredrickonyango5038 4 หลายเดือนก่อน

    True gospel songs that uplifts spiritual soul

  • @ombenisomi2210
    @ombenisomi2210 9 ปีที่แล้ว +6

    Hehehehe am so happy with these songs, daah full of anointing

  • @Mhandisi2008
    @Mhandisi2008 9 หลายเดือนก่อน

    Aisee nimekumbuka mbali sana, Kila jumapili mama alikuwa anapamba sebule yake Kwa vitambaa vya kufuma na nyuzi alafu anaweka hizi nyimbo kwenye radio ya cassette, hapo tumetoka kanisani baada ya kwenda Kwa kulazimishwa....😅😅😅😅

  • @mulangalirojosue405
    @mulangalirojosue405 3 หลายเดือนก่อน

    Kila mwaka hua nasikiya hizi nyimbo

  • @venniechep7309
    @venniechep7309 7 ปีที่แล้ว +3

    hearing these songs really brings out the happiness in me

  • @damarisikai-2397
    @damarisikai-2397 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @raymondmainamugure204
    @raymondmainamugure204 7 ปีที่แล้ว +4

    Great Great singers indeed.

    • @lydiashoki8974
      @lydiashoki8974 3 ปีที่แล้ว

      Their songs were scriptural....

  • @davidpeter9014
    @davidpeter9014 6 ปีที่แล้ว +1

    looking you're way,,,, exactly

  • @bernardmaloko9558
    @bernardmaloko9558 ปีที่แล้ว

    hili kanisa wanalosali hawa wanakwaya lipo wapi?

  • @oscarlukabile6112
    @oscarlukabile6112 8 ปีที่แล้ว +3

    I lyk diz songs

  • @DicksonGabriel-z3t
    @DicksonGabriel-z3t ปีที่แล้ว

    👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍

  • @fabianemmanuel6253
    @fabianemmanuel6253 7 ปีที่แล้ว

    nzurii

  • @mbogela1
    @mbogela1 2 ปีที่แล้ว

    Hivi Ulyankulu Barabara ya 13 na Ulyankulu Mapigano zilikuwa Kwaya mbili za Makanisa mawili Tofauti au walitoka kaisa Moja? na Je ni Kweli kuwa hizi kwaya ziliundwa na wakimbizi?

    • @niragirajanvier6775
      @niragirajanvier6775 6 หลายเดือนก่อน

      Yes izi choir mbili zilihundua nawa kimbizi kutoka Burundi

  • @patrickogoti8636
    @patrickogoti8636 9 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @lucybilly6683
    @lucybilly6683 3 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤

  • @bettkmax6302
    @bettkmax6302 20 วันที่ผ่านมา

    Here in 2024 September

  • @Marlyak
    @Marlyak 11 หลายเดือนก่อน

    Can someone translate this song for me

  • @anithapaul3249
    @anithapaul3249 8 ปีที่แล้ว +1

    😍😍😍😍

  • @neemasubeth1502
    @neemasubeth1502 7 ปีที่แล้ว

    fil blecd

    • @titojonathani2700
      @titojonathani2700 7 ปีที่แล้ว

      kati ya vitu ambavyo havina grantee ni nyimbo za inijli

  • @leaditina9643
    @leaditina9643 3 ปีที่แล้ว

    💖💖💖💖