2024 bado tunasikiliza tunapata nguvu mpya. Enzi hizo hakina mekap wala poda na walipendeza. Ndio ile hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao ya Ambwene
hawakuhiaji mavazi mavuri, wala kalikiti na nywele ndefu, hawakuhitaji mafuta ya kubadili ngozi, hawakuhitaji vito vya dhahabu maskion wala shingoni mwao, kila walipokua waliwakwenda na watoto wao, hawakuhitaji backup ili watoe sauti hawa wapendwa hakika walikua na MUNGU aliye HAI. Kizazi hiki hakijaonekana tena, I miss old Days
Wamama wasiku hizi wangapi wnaeza jitolea kumuimbia mwenyezi mungu wakiwa wamewafunga watoto wao kwa shingo zao?Hanna mungu aonekanie familia za hawa waimbaji popote walipo.
Nikiangalia huwa naishia kulia maana inanikumbusha marehemu tulipokuwa wadogo alikuwa anasikiliza akiwa nyumbani anafanya kazi zake, akiwa anapika au anafua alikuwa akisikiliza pia inanikumbusha familia yetu tulipokuwa tunaishi wote kabla yakusambaa, kwakweli naumia sana nasikia furaha na uzuni pia
Aisee nimekumbuka mbali sana, Kila jumapili mama alikuwa anapamba sebule yake Kwa vitambaa vya kufuma na nyuzi alafu anaweka hizi nyimbo kwenye radio ya cassette, hapo tumetoka kanisani baada ya kwenda Kwa kulazimishwa....😅😅😅😅
Hivi Ulyankulu Barabara ya 13 na Ulyankulu Mapigano zilikuwa Kwaya mbili za Makanisa mawili Tofauti au walitoka kaisa Moja? na Je ni Kweli kuwa hizi kwaya ziliundwa na wakimbizi?
2024 bado tunasikiliza tunapata nguvu mpya. Enzi hizo hakina mekap wala poda na walipendeza. Ndio ile hatukupambwa kama wao tukapendeza zaidi yao ya Ambwene
Hii kwaya ukiangalia unahisi upo mbinguni
hawakuhiaji mavazi mavuri, wala kalikiti na nywele ndefu, hawakuhitaji mafuta ya kubadili ngozi, hawakuhitaji vito vya dhahabu maskion wala shingoni mwao, kila walipokua waliwakwenda na watoto wao, hawakuhitaji backup ili watoe sauti hawa wapendwa hakika walikua na MUNGU aliye HAI. Kizazi hiki hakijaonekana tena, I miss old Days
Kweli
Kweli kaka
Nitie nguvu Ee BWANA YESU ktk safar yangu nifike salama Jerusalem Mpya.amen
Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri na waliotangulia mbele za haki awarehemu hakika nyimbo zenu zinanibariki sana
Glory be to God🙏 ...missed this songs... April 2024
Kweli Hawa waliimba Kwa kumaanisha,Roho aliimba ndani Yao,naomba nijifunze kwao
Nilikuzwa na hizi nyimbo. Zinanikumbusha mengi sana. Miaka ya 2001-2002 nikiwa bado mchanga.
Nakumbuka MDA mrefu dada emu temba mungu akulaze Mahali pema malayakwanza kusikia nyimbo hizi tulikuwa wote tukielekea shinyanga
safi mwalongo uzidi kubalikiwa
Namshukuru sana baba yangu na kumkumbuka nikisikia nyimbo hizi tena zinagusa moyo wangu sana
Hapa ni kabla ya shetani hajaja duniani.
The song has stood the test of times, still blessing us
Amina sana
. Hizi ndio njimbo za kweli. Nakaumbuka mbali tangu mwaka 1997 ikiwa na miaka 11
kweli hawa walikua watu wa mungu mbarikiwe
waimbaj wa SK hiz wajifunze kwa hawa,siyo kujipodoa utadhan wanamwimbia mtu wa fulan Mungu haangalii sura anaangalia moyo tu
Asante baba na mama kwa kutulea kwa nyimbo hizi tamuu zisizochosha kusikiliza.
2024 Lakin bado zinatuinua tunapochoka.❤❤
Hakika kazi ya mungu mliifanya vizuri na mliotangulia mbele za haki mungu awakumbuke
Cina chakuwapa ila MUNGU awazidishie ck Akuishi maana huu niwito wakuimba
Napenda hizi nyimbo
Nakumbuka mbali sana kwa kweli sitachoka kuaangalia nyimbo hizi
Mungu awabariki watumishi wa Mungu
Daaaaaaaaa Namkumbaaa sana Mama Alinunuaaa kandaa ya hiiii kwaya bhasssss mwezi mzimaaaa n nyimbo hz tyuuuuu
❤❤❤ nyimbo za kusikiliza mda wot
Da! Hatari sana
Tizama vile wamevaa, wanavyoimba hadi raha nilitamani sana niwe kipindi hicho
Mlee mtoto katika njia impasayo naye hataicha hata atakapokuwa mzee.....kiukweli hizi nyimbo zilifanya nimjue Yesu kipind cha utotoni hadi sasa......
Hii kwaya inanikumbusha nipo mdogo sana mungu aliwatia nguvu sana kupitia nyimbo inukeni tena watu wa mungu
Ninawapenda sana nyimbo hizo nirikuwa nikizisikiriza nikiwa mtoto
Nlianza kusikia hizi nyimbo tangu 1998 kipind hcho hakuna CD, ni kanda za tape, za radio cassette. Nyimbo nzuri sana
Daah nakumbuka mbal sana
Nakumbuka mbali xana barkiwen watumish wa mungu
Nabarikiwa sana kupitiya nyimbo hizo
Duuu Mungu aendelee kuwabariki sana mliopo bado muendelee na utumishi..
Yaani hizo sauti jamani wamebarikiwa
Barikiweni sana na Mungu wetu niyi watu mnnanibariki saaaaaana Amina
Amina hakika rirudi ktk muonekano huu
Mungu awabariki sana mmehubili injili sana
I just came from my childhood memories. Deep nostalgia
Thanks to our Dad he used to play this songs 2001, good songs with great messages. Congratulations Unyanguli Songs choir.
Dah nimekumbuka mbali sana Mungu awapumzshe kwa Aman wazazi wangu nashkur kwajili yenu mlinifny nizijue izi nyimbo ambazo sas ni Faraj kwangu🙏
May their soul rest in peace
Amen🙏!God bless you
Hawa Wali kuwa ndo waimbaji wa mungu
Eeeeh acha watekee
Hawa ndio waliomuimbia mungu
Wamenikumbusha mbali Sana tabora kipindi hicho wamekuja ng'ambo
Mbarikiwe sana kwa ujumbe wa neno la Mungu mnaoutoa kwa njia ya nyimbo mkiwa na watoto migongo kweli mlijitoa kwa roho na kweli
Nimefarijika saaana nawimbo huu wa zama hizo!!
Usianguke ❤
njema sana kitambo mno.
Toka nikiwa mdogo sijui kuhesabu miaka had leo 2024
Was very awesome choir, still awesome, will be awasome forever!!! You used to bless be those days when we're still using Radio Cassettes
Nyimbo hizi ni zamwaka gani nauliza nawapenda saana
98
@@DativaMboweduh aiseee nawakumbuka kama vile leo aiseee wako moyoni walikuwa wabunifu mnooo! sijui wako wapi sasa hivi 😢
@@rarirover44 yaani inanigusa Sana kwaya hii
Hizi kwaya zinznikumbusha nipo mdogo sana.
Still my favorite gospel song in 2018.. Hongereni sana Kwaya ya Mapigano Ulyankulu, mwenyezi Mungu awabariki sana.
Wamama wasiku hizi wangapi wnaeza jitolea kumuimbia mwenyezi mungu wakiwa wamewafunga watoto wao kwa shingo zao?Hanna mungu aonekanie familia za hawa waimbaji popote walipo.
Huwezi wapata siku hizi kabisa
Sisi Ni kupaka make up na kuringa tuu
i really love this hearing these songs really brings out the happiness in me
Iko sawa
Niliisikiliza mwaka 2003 Bado naipenda sana
You guys remind me 20yrs ago, u are awesome
Mungu awabariki kwa nyimbo zenu.
Kweli mlikuwa waimbaji wazuri
Nikiangalia huwa naishia kulia maana inanikumbusha marehemu tulipokuwa wadogo alikuwa anasikiliza akiwa nyumbani anafanya kazi zake, akiwa anapika au anafua alikuwa akisikiliza pia inanikumbusha familia yetu tulipokuwa tunaishi wote kabla yakusambaa, kwakweli naumia sana nasikia furaha na uzuni pia
Daaa!!! Napenda sana
Samwel Ndabila
Kwa kweli hii choir ina mafundisho ya ya Mungu
Respect. TZ gospel artists.❤
M'barikiwe wapendwa wa Mungu
mbalikiwe sana
aise ,haijawahi kutokea kwaya kama hii mpka mwisho wa dunia
True gospel songs that uplifts spiritual soul
Hehehehe am so happy with these songs, daah full of anointing
Aisee nimekumbuka mbali sana, Kila jumapili mama alikuwa anapamba sebule yake Kwa vitambaa vya kufuma na nyuzi alafu anaweka hizi nyimbo kwenye radio ya cassette, hapo tumetoka kanisani baada ya kwenda Kwa kulazimishwa....😅😅😅😅
Kila mwaka hua nasikiya hizi nyimbo
hearing these songs really brings out the happiness in me
Nice
Great Great singers indeed.
Their songs were scriptural....
looking you're way,,,, exactly
hili kanisa wanalosali hawa wanakwaya lipo wapi?
I lyk diz songs
👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
nzurii
Hivi Ulyankulu Barabara ya 13 na Ulyankulu Mapigano zilikuwa Kwaya mbili za Makanisa mawili Tofauti au walitoka kaisa Moja? na Je ni Kweli kuwa hizi kwaya ziliundwa na wakimbizi?
Yes izi choir mbili zilihundua nawa kimbizi kutoka Burundi
Amen
❤❤
Here in 2024 September
Can someone translate this song for me
😍😍😍😍
fil blecd
kati ya vitu ambavyo havina grantee ni nyimbo za inijli
💖💖💖💖