Viongozi wa kidini mjini Mombasa wameelezea wasiwasi wao
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2020
- Viongozi wa kidini mjini Mombasa wameelezea wasiwasi wao kwa serikali kuendelea kuruhusu raia kutoka uchina kuingia humu nchini wakati wakenya wanaoishi nchini humo hawajaruhusiwa kurejea nyumbani. Wanadai hatua hiyo huenda ikawaweka wakenya katika hatari ya maambukizi ya virusi vya corona ikizingatiwa kuwa mataifa yaliyostawi yamesitisha safari za kwenda na kutoka uchina.
Nakubaliana kabisa. Wote waende nyumbani including Uhuru. We need sober leaders.
If all Kenyan tungechagua kiongozi wa maadhili kaa huyo sheikh msemaji afueni sisi wote umati Adam .
I surport you pia uhuru aende hatutaki ujinga sass
Hapo mmeongea vizuri sana wakenya wenzangu wakwende kabisaa hatuwataki tena
Mawia jamani wakwende shda tulijiletea kuwachagua hawana akili!!!
@@albertmangera2269 yeah!
Nimependa sana vile umeongea , maana ni ukweli,
Uislamu tuaongea ukwli tu ju ni agizo. Kutoka kwa Allah.
Kweli kabisa mlivyoongea
Tumekataa ndege ya uchina hapo umeongea hongera
This is the right time for all Kenyans to standup and take this Corrupt Government home without fear.
Yes
We are behind you...lets do this💪
Waislamu na wakristo it's time to pray 💔
Ino ndio comment muhimu nimeona kutoka Corona ianze, mda wakurudi kwa maombi mungu mwenyewe atatupigania corona
@@babyhamisi5331 AMEN, tumuite mungu wa shadrak meshak and abedinego ,hakika hii moto ya corona haitatuchoma
waislamu na wakristo ya nn kwan wengine walijiumba
The chair man has spoken very clearly and given proper facts these are the religious leaders that Kenya need , the chair man has the peoples best interest at heart
ALLAH awahifadhi hao mashekh nawoooote mfano waooo.
Vitanda kumi na moja walale wenyewe na wake zaoo.......
Hapo sasa
Nimecheka sanaa😂😂😂
Kenyans we are tired with this government ...tukiamua kuandamana kila mtu ana hasira tunaumia sote
I support you
The govt of goons destroying the Future of everyone
Tuanze sasa hivi maadamano
Pia mm nilikua naonelea hivo
Webe ni ureure
Yes 🤒🤒
Nakubaliana, na maneno, yenu, kwanza maandamano, yaanze, leo
Akili zao zimepotozwa na bbi hawajali chochote ila wajitafutie viti pamoja na jamii zao uhuru na raila Mungu yuko na amesoma fikira zenu jehanamu yawangonja.
Bbi na 2022
Absolutely
Sawa Ruto
😂😂😂😂😂😂😂 wallah
Kweli kabisa
Kweli kabisa kwanza waziri wa usalama matiangi afutwe kazi kwa sababu ameshinda kufanya kazi yake
I support the first dude...he has valid points Kenyans are very ill equipped to handle a global epidemic like corona virus.
You are the Big Dude
Ushanena aki kama nzige zimetushida... Je,corona tutaweza kweli???
I love this sheikh, as he looks into serious issues.
Albert Mangera point taken
Aawapi
Hatuwezi
This is the same mistake china did when they arrested the Whistleblower.. now look whats happening there. TUMECHOKAAAA!
Kabisa 🙉🙉🙉😭😭😭
Na alijifiya maskini doctari!
imagine hata huku warabuni wamestopisha watu kusafiri , hii si mchezo viongozi wa kiismamu mumefanya vizuri kuingilia kati coz wenzenu viongozi wakikristo wamelala tu wangoja kufanyiwa michango na na harambee wapelekewe mapesa washibishe familia zao , Mungu awabariki na kuwapa ujasiri ndugu zetu .
I support you
Marylyn Kenya kabisa tumechoka
SubhanaAllah Mtihani Wallay 😭😭😭Kilichobakia Ni Kufa Tukijiona 😭😭😭Allah Tunusuru Waja Wako
Ameen
Amiin ya rabb
Amin rabil amin
Aamin
This president has failed completely
Umeongea vizuri Sana huu ukweli kabisaa
hii Kenya tumechoka bana!! tunafaa kuaanza maadamano sasa hivi😣😣
Faida ya BBI hiyo, kenya imekufa kitambo sana, kenya Kuna shida ya drugs, health sector, barabara mbovu, uchavu mitaani na barabarani, port ya mombasa inaomboleza, uwizi na hali ya usalma imezorota kutoka lamu garissa mandera mombasa marsabit na kwenginneko, may God get rid of all corrupt leaders and their allies. I will be very happy if this virus clean those corrupt leaders.
I like the way you speak becouse it's now time to go back to the streets and demonstrate coz hatuna lingine plz Kenyans we have to do something plz.
Mombasa mumeogea point nawependa bure tuombeni Mungu atuepushie na ili janga.. Government yatamini pesa sio binadam
Nahasira sana,najutia kuzaliwa nchi yetu hii ya kenya,ukoloni upo bado,watunyanyase na kesho tukapange foleni kuwapigia kura,Yangu hawapati inshallah nisipo sobwa na corona,watataniona paa,
Hapo kweli kabisa
Let’s all protest Kenyans wake up wake up🙆♀️🙆♀️🙆♀️👏👏👏
I love this, praise God for you mr chairman.
I like this sheikh. He brings out our wrath and frustration with a dash of flavour. Tell this Chupili kafament wasikize
Waziiiii umeongea kama watu million 10 Kenya hongera sanaaaa
Hongera baba umeongea ukweli mutupu tuandamane jameni uhuru atatua
Hawa Viongozi wanafaa kuombewa washikwe nawazimu. Kwa ulafi wao natamaa Bila kujali binadamu wengne katika taifa hili... Laana zAMungu zawashukie kwa dhulma zao na uharibifu katika ardhi ya Mungu. Amen!
Wasishikwe nawazimu,wafe wao kwa hizo mikutano zasiasa na corona, waoze kwa Siku moja
Yes🤔we sung the song" wageni karibu Kenya,Kenya nchi nzuri hakuna matata😎😎may God open the spritual eyes and ears of our leaders,😘😘😘😘
Ufisadi tunaeza vumilia lakini Corona itatumaliza Ni Corona solution no bbi
Kweli kabisa
Kweli kabisaa
Ubarikiwe sheikh may you live long inshaallah
Woi jamen hii italeta shida kabsaaa huku
Tunaumizwa na chikungunya leo mwenda tuletea CORONAVIRUS nchini ugonjwa uloshindwa na tiba kwa nchi za kitajiri Khah!!!!
Na dengue fever jameni
Allah atustiri yaa Rabb
@@sakinat2527 Amiin dada
Hata wakimfuta kazi mitandao ipo tutawamulika tu washenzi
Mm nitawamulika sasa .wamenichosha
Napenda kuona wananchi wenye kueleza kitu kwa weledi pia kujiamini kabisa nice kikubwa kuomba duwa mungu atunusulu
True Kabsaaaa Sheikh Juma ngao,Viongozi au Serikali Ya Kenya haitaki Ukweli.
wasee tu andamane mpaka state house juu hii kitu ni sisi itamaliza wao wako na pesa wataka kwa ma mansion zao,na mmoja wao aki patwo nayo ata providiwa na the best doctors,so it's up to us,tunaweza enda mpaka iyo airport na tuifuruge,wao hawana shunguli na sisi wanafikiria kuhusu BBI
Yes tuko nyuma yenyu munyoki nyumbani kenya yetu hatari kweli. Uhuru na raila bbi tu
kweli kabisa sheikh,,,
Umesema kweli sheik hii serikali yetu haifikirii kabisa ni mwenyezi mungu to Ndo atatuokoa
💪hongera sheikh umeongea ukweli kanisa.God bless you
Jambo hili linakaa kaa tu kawaida kusikia wakati wote kwa wakenya.lakini endapo mtu mmoja kudhibitishwa kuwa na virusi ndio watajua hii ni jangaa .kwa sababu kutoka mwaka tuliopiga kura hadi waleo sisi tunachojua ni siasa tu. Kenyans should stand with ALI GERE ...a Hero and a patriot. Si jambo la kushinikiza tu.
Our president and deputy really really really what else do you want us to do so that you listen to our voices.
Mm Sina usemi thanks Allah awape nguvu mtutetee cc wanyonge
Wakenya serikali mwamfuta kazi mtu kwa sababu amesema ukweli mbona mwakubali ndege za china zije kenya .ingekuwa mm pia ningeipika picha nikasambaza tumechoma jamani njaa ipo uchumu umepanda tena mwataka kutuletea maradhi .
Tafathali ...hao viongizi wa kidini .. Tuongozeni...kwa kila namna ...mwazo....mm sioni faida ya wachina ....kwa sababu tangu 2 wajenge reli maisha yamekua nagumu sana ... ....just imgn hii kitu ikiingia. ....ushagooo ..
MM MTAZANIA NAOMBA MSAMAHA KWA NDUGU ZANGU, ALLAH HAKUSEMA KISIMA KILE PALE JIDUBUKIZE MM NITAKUOKOA KASEMA JIOKOE NA MM NITAKUOKOA NA BINADAM SOTE TUNAHAKI BILA YA KUBAGUANA NA SERKALI INA WAJIBU WAKE NA PIA SERKALI ATIZAME ROHO ZA WANANCHI WAKE HATA KAMA KENYA INA DENI YA MCHINA ITAFIKA WAKATI ITAISHA INSHA-ALLAH NITAIOMBA KENYA SERKALI NA WANANCHI WAKE WASHIKAMANE NDIYO UMOJA NA NGUVU ✊💪 WAKUOGOPEWA NI MOJA TU ALLAH SIYO MCHINA TIZAMENI WAZEE NDUGU WATOTO TUWAHIFAZI HIZO NDIZO DUA NDIZO ZITALETA MAENDELEO YA NCHI BILA KUJUA NDUGU ZANGU WOTE 👍
Ukweli
Aki huyu shiekh ameongea ukweli kabisaa tho amefanya nicheke kidogo pale pa vitanda walela wenyewe na bibi zao twaumia sisi wanyonge
Laiti kama the first one ungekua president hakungekua Na udhalimu Na ufisadi mwingi manake umeongea ukwel mtupu👌🙏
We need to understand just only one thing. No one surpass the power of the Almighty God. Oppressed kenyans, all religious affiliation we need to stand together join our hands and pray against all the people involved in this drama, the people who wants to harm the life's of poor civilians. May Almighty God accepts your prayers and punish them all. May the Almighty God protect the people of kenya and its neighbors. Love from another side of the world.
tamaaa ni mbaya sana.
Hapo Sasa...
Hongera sheikh
True take precautions
Umeongea point sana sheikh
I support you ..president alipe deni ys china warudi huko nkt
Kweli kabisa kenya tuiskie tuu ni kenya bt utaratibu hakuna kabisa mwasema nzinge tu je matakataka umezisahau zilivyo tapaka Mombasa hata hutamani kuka mombasa je Corona ikija tutarishe makaburi hakuna usaidizi mwengine ufisadi umepita mizizi nanyi mwasema corona mutapambananayo matokeo na mutajua hapo? Ikifika ni kuomba mungutu
Swadaqta umenigusa Sana ustadhi
Umesama kweli shekh👌santaa
These guys dropped some hard barz..."Locust wametushinda.Hatuna lab.Tunatuma specimen South Africa kupimwa.Tutapambanaje na Corona?Hatuna capacity ya Nzige....Corona tutapambanaje nayo???". 😤😤😤
Tumechoka kama wakenya... We are ready to go to the streets.👊
true brother,i support you too
Mwenyezi mungu ndiyo atatunusuru Sisi walala hoi
Allah help us ,,tuko nyuma yako Mwalimu ,,Tumechokaa sana
Salute u. I support u. Kenya they loves money than people life's 😢😢that's so sad, kaa all countries umefukiwa, bona Kenya, mnakubali? ?? . Nimechokaa mm, kuitwa Mkenya
Kabisa. Yani Kenyans we value monew more than life itself.
Nikweli asemayo shekh ndege zistopishwe kwende china mpaka huu ugonjwa uishee jamani Kenya inamajanga tele Al-shabab tuu wanatuendesha mbio
Aki Kenya ni nchi ambayo ingekuwa juu kimaeneleo.Lakini ndio nchi ambayo imezoroteka kiuchumi Africa kwa sababu ya UFISADI Na UBINAFSI
Kilioooo!cha haki.Aiibu hiyooo ya vichwa vya kenya wanajuwa tu kuiba mali ya uma na kujaza matrilion kwa Bank zao.
True sheikh wambie ukweli Kenya hatuna uwezo wa kupambana na Corona viruses
Hapo kweli
Mumenena bravo
😭😭
Oh Allah bless Kenya 🙏🤲🤲😭😭
Maryan Adhan zanzibar ushafika
I salut you bro corruption ya goverment
Very trueeeeeeeee
Devolution..
This coastal leaders make so much sense, wote wafutwe, halafu kuna hawa wafanyakazi wote kila mtu aulizwe pesa ambazo zimetengwa kuprocure vyombo wamezitumiaje, waulizwe hadharani.
Ni kawaida nchi zetu za Afrika na viongozi wetu wanajali pesa zaidi kuliko wananchi
" Wameshindwa na funza, wataweza covid 19!!!
Mimi namuomba MUNGU hiyo CORONA impate Uhuru tena afe ndio wengine watakaojiweka madarakani wawe na adabu
Ha, ha, ndio
ameen
Hahaaa, hivyo vitanda walale was na watoto wao
Kweli imeshindwa kupeana dawa za ukimwi, mungu mungu serikari yetu inatuua mungu shuka kwakweli hatuna aki wanyonge 😢😢mungu tupee wakumbwa wanatujali 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kabisaaa we will refuse this greeed by the government hatutaki BBI mpaka wachina wazuiwe kuingia humu nchini
Sahihi kabisaa sheikh
kwa mara ya kwanza juma ngao amesema ya maana.siku zote anabonga zero
Atakae wafuta kazi nani,kama raisi wetu wa Kenya alijua kuna ndege imeingia Kenya kutoka china,hakuchukua hatua yeyote,hapo kuna njama Fulani inaendelea,wanataka kuitisha misaada Kenya watie pesa mifukoni,huku twaendelea kufa,pasipo kujua pia wao wamo hatarini,nashangazwa sana na serikari yetu ya Kenya,pesa mbele
This is a world war item....BT why is the President not speaking no planes to be allowed until tukue tayari ata mask na sanitizer zitatosha kweli
Masheikh wetu we are with you in every steps you are taken
whoever is behind this,,that's arrival of Chinese in Kenya,,,go to hell,,a Satan without horns
Serekali wangefunga usafiri wa kutoka inje ya nchi.. ingekuwa Bora zaidi
Kabisaa, tuko ready like yesterday kuandamana, hii serikali itatumaliza bila sisi kujua
hahaha This guy is funny and he doesn't even realize it!
Kuweni macho wakenya wangu
Samahani kwa wote ... Lakini hakuna hatua Serikali itachukua...munadaiwa maBilioni...lazima mukubali matokeo yaishe...
Kabisa hapo tuko pamoja sana warudi kwao kwanza for surely Kenya hatutaki hao watu