Kuwa msemaji professional, sio blaa blaa. Kujisifia kwingi, badala ya kujifunza na mechi. wajerumani wamepiga coordination na touch za hatari. Tumeona beki ya Yanga ilivyokuwa ikisumbuliwa. kwa Yanga Marx Zengeli amecheza vizuri.
Hata ingekuwa tumefungwa 2 -0 cc tungefurahi kwa 7bu hii timu kwa stori sio level yetu lkn kilichotokea kocha wao amethibitisha au tunasemaje wananchi?
Jmn ifike sehemu tuwe na mabadiliko sana lkn mda wote yanga akifanya vzr bdo anaonekana wa hovyo hata simba akifanya vzr bdo kila upande wana fanya hovyo hv kwann tusiwe wazalendo tu Yanga in short wameupiga mwingi kama kwel ww ni mwana michezo ebu kubari tu kuwa kwa sas yanga ni fire 🔥 😂😂😂😂 hata simba akicheza vzr tuta mpa maua but this time to-morrow utakuwa nani daima mbele nyuma mwiko .
Gamondi pisi sana...tunaomba wote wapangwe Kwa zam. Tunakuombea sana sana kocha wetu ...wasikae sana bechi tunakuomba sana sana kocha wetu ...wewe ndio mpambanani na wachezaji tunaomba na tunakuombea Kwa mungu.
KATIKA WASEMAJI WA OVYO NI WEWE SHIDA UNAONGEA UONGO KUTUPA HABARI YA UONGO KUWA WAPINZA I WAMEFINGWA WAKATI SIO KWELI HAWAJACHEZA MECHI YOYOTE,,INAMAANA WEW NI SIMBA KWELI NDIO MAANA UNAIONGELEA ILI IPATE HASIRA NA KWELI WAO HAWAJAKUJIBU KWASABABU WANAJIELEWA
Wakati. Mwingine Ally kamwe kuwa professional, usidhani unaongea na watanzania tu . Kuna tafsiri na dunia inaona Azam sport, Acha utoto that's international tour. Yanga ina fuatiliwa na watu wengine duniani. Sikiliza clip hii halafu jitafakari.
@fidelismuna9484 Ahsante ,,umenijibu kwa tusi na Azam wanaona ni sawa,tusi hili kuwa highlighted reply. Azam wanaona ni sahihi kutukana kwenye jukwaa lao hili,kwa sababu tu nimemtaka Ally kamwe, kuongea na dunia badala ya mashabiki wa kariakoo.
@@fidelismuna9484acheni matusi, jibu hoja. JumbeOjaso amezungumza vizuri. mechi hii ni ya kujifunza, na kweli kwa timu ya ufundi na wachezaji lazima wajifunze kwao. Semaji yeye kujigamba tu, azungumze kiprofessional, kuzungumza mambo ya ndoa manake nini. wote washabiki wa yanga.. tunazungumza ukweli, hakuna usimba na uyanga hapa. acheni kushadadia kila kitu
Umelongw ww ss kip sio mchezaj hahah kwel makol mpila hamjui sas kip kaz yak nn yul sio ayub Wal Manul w vp et kip ndo 2mxhukul kip w vp kip c moj y mchezaj au
@@yakobokuzenza6837Wewe ndo punguani, hata hujui miongoni mwa influence kubwa inayowafanya mashabiki waende Yanga day au Simba day ni kuona timu yao baada ya usajili mpya inachezaje. Sasa kama wachezaji wapya wote utawaona wakicheza kabla ya tamasha, tafsiri yake kiu ya mashabiki kuona wachezaji wapya itapungua, na kuna uwezekano timu ikaanza kukosolewa hata kabla ya siku ya tamasha. Timu si tatizo kuonesha mechi kipindi cha pre-season lakn kwa simba na yanga ambazo ndo zina huo utaratibu wa matamasha kuna kitu kinapungua, lakini timu zngne zinaonyesha mechi zao sababu hazina huo utaratibu wa matamasha kama sisi. Pia timu zingine ni kubwa hazina pressure ya kujaza uwanja kama sisi, wao kila tukio wanajaza
😂😂😂 piga kelele tu ... Huko wenzako wanahangaika na kuvunja mikataba ya akina deborah wameona ni afadhal awesu awesu na kagoma kuliko uhalisia wa wanachokiona huko Cairo 🤣
Hongera Sanaaa msemaji mwenye weledi Na ufundi wa level ya kimataifa. Unajua brother
Amina MUNGU BABA MWENYEZI atulinde dhidi ya maadui
Naamini tutafika mbali
Kipa wa Yanga Big up sana
Big up Semaji mwanaume haogopi mapambano
Hongera,sana,yangakazi,lnderee,
Kwa pira hili yanga iko vizur sana
Pongez nyingi sana team yangu 🎉 Mungu azidi kuibariki ifike hatua za juu zaidi 🙏🙋♂️
😂😂😂😂 me mwenyew ndoa yangu imetulia baada ya kuiona yanga
Ali kamwe umetisha sana kwa maneno yako
Hapo nyuma Kuna kikao Cha Engineer,andre mitne na Gamondi
Tumeridhika kabisa Wanayanga, hasa ukilinganisha na ligi Ugerumani
Team ety iko vzr mungu ijaalie team etu ifike mbali katka michuano ya caf champions league 💚💚💚💛💛💛💛💐💐💐❤️❤️🌹🌹🌹
Inshallah 🙏🤲🏻🤲🏻🏆✅🔜😊
Inshaallah 🤲
Amina
Inshallha biidhin I llhahi taala 🙏
Kwa timu gan sas
Yanga ipo vizuri sana
😂😂😂😂😂Ali Kamwe wee kiboko na hyo maneno yko
Nimefurai sana kuona timu yangu
Yanga rahaaaaa
Hapo sawa yaan yanga hii kolo atakula 10
Binafsi nzengeri ananikooshaa nakbali wapendwa wangu pamoja tunaweza
Yanga songa mbele tupo nyuma yenu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO
Tx Galax itapendeza.....
Hii match ikionyeshwa kuliko kuficha ficha kama makolo ubwela waliochezea 6 😂😂
Ila ally kamwe ww unajua kukera sana
Kuwa msemaji professional, sio blaa blaa. Kujisifia kwingi, badala ya kujifunza na mechi. wajerumani wamepiga coordination na touch za hatari. Tumeona beki ya Yanga ilivyokuwa ikisumbuliwa. kwa Yanga Marx Zengeli amecheza vizuri.
🤣🤣🤣🙆🙆❤️eti taulo na ndala za hotel 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wew ni noma sana
Hongera sana Yanga.
Hata ingekuwa tumefungwa 2 -0 cc tungefurahi kwa 7bu hii timu kwa stori sio level yetu lkn kilichotokea kocha wao amethibitisha au tunasemaje wananchi?
Safi sana semaji la caf ndugu Ali Simba
Jumanne Balekeeeee😄
ira tumejitaidia Sana mungu atusaidie tutafika mbari wenye roho mbaya na chuki mungu atashughulika now 🙏🏿🙏🏿
😂😂😂achana na interview hii mimi nimezoom tu kikao kule nyuma kinakitu litakufa jitu
Jmn ifike sehemu tuwe na mabadiliko sana lkn mda wote yanga akifanya vzr bdo anaonekana wa hovyo hata simba akifanya vzr bdo kila upande wana fanya hovyo hv kwann tusiwe wazalendo tu Yanga in short wameupiga mwingi kama kwel ww ni mwana michezo ebu kubari tu kuwa kwa sas yanga ni fire 🔥 😂😂😂😂 hata simba akicheza vzr tuta mpa maua but this time to-morrow utakuwa nani daima mbele nyuma mwiko .
Shida ya yanga hawakubali matokeo
Unataka wakubar vp ndugu
Pacome yuko wapi?
Sio yanga tu hata Wana Simba wameridhika
Bwana Ally Simba
Eti madunduka walifungwa 6 ?
😂😂😂 we chalii una maneno ya shombo duuh daima mbele nyuma mwiko
Wenzenu waliocheza kipindi cha kwanza sio waliocheza kipindi cha pili. Lakini mmegongwa😂😂😂
😂😂😂ndoa zilizokua na mgogoro zimepona🎉🎉🎉🎉🎉
Tumeridzika na kiwango kilichooneshwa na yanga yetu
Ally Kamwe una udhi sana
Gamondi pisi sana...tunaomba wote wapangwe Kwa zam. Tunakuombea sana sana kocha wetu ...wasikae sana bechi tunakuomba sana sana kocha wetu ...wewe ndio mpambanani na wachezaji tunaomba na tunakuombea Kwa mungu.
kwan hii account y gamondi au matumiz mabay y bando
Nic
Ni 2/1 sawaa
Stress za magoma zinawatesa UTOPOLO 😂😂😂
Tumepoteza nini sasa mchezo ya kirafikituu haina umuhimu ata
Semaji wakati mwingine maswali ya msingi yajibiwe na majibu ya msingi. Punguza utani.
MWITENI ALLY SIMBA LAKINI KIPIGO CHENU SIMBA KIPO PALEPALE
Afrika nitimu kubwa sana hiyo hata yanga ni kubwa inaubira sana yanga kwa tanzania
Jumanne tena😮
Ahaaaa
KATIKA WASEMAJI WA OVYO NI WEWE SHIDA UNAONGEA UONGO KUTUPA HABARI YA UONGO KUWA WAPINZA I WAMEFINGWA WAKATI SIO KWELI HAWAJACHEZA MECHI YOYOTE,,INAMAANA WEW NI SIMBA KWELI NDIO MAANA UNAIONGELEA ILI IPATE HASIRA NA KWELI WAO HAWAJAKUJIBU KWASABABU WANAJIELEWA
Wewe ndo simba
Kwan km kwel mbn wanafch
Acha kuteseka upate amani ndugu utakufa mapema
Kweli semaji dua muhimu maana wenye husda ni wengi
Wakati. Mwingine Ally kamwe kuwa professional, usidhani unaongea na watanzania tu .
Kuna tafsiri na dunia inaona Azam sport, Acha utoto that's international tour.
Yanga ina fuatiliwa na watu wengine duniani.
Sikiliza clip hii halafu jitafakari.
Acha unyumbu ww kwan hapo kakosea wapi au ndio unaishi kwa mihemuko tu nyambafu ww! Sijui nyie kolozidad mnafel wap
@fidelismuna9484
Ahsante ,,umenijibu kwa tusi na Azam wanaona ni sawa,tusi hili kuwa highlighted reply.
Azam wanaona ni sahihi kutukana kwenye jukwaa lao hili,kwa sababu tu nimemtaka Ally kamwe, kuongea na dunia badala ya mashabiki wa kariakoo.
@@fidelismuna9484umempa jibu sahihi ni Nyumbu
@@fidelismuna9484acheni matusi, jibu hoja. JumbeOjaso amezungumza vizuri. mechi hii ni ya kujifunza, na kweli kwa timu ya ufundi na wachezaji lazima wajifunze kwao. Semaji yeye kujigamba tu, azungumze kiprofessional, kuzungumza mambo ya ndoa manake nini. wote washabiki wa yanga.. tunazungumza ukweli, hakuna usimba na uyanga hapa. acheni kushadadia kila kitu
Wapewe maua yao wanajangwani Sina mashaka timu yangu
hana point uyo anabwabwaja tu
Madunduka + kolo tarehe 8 watapigwa 8 Kwa mpira huu😂
😂❤❤❤
Tumeona kipimo kizur mmejishindia nyuma mwiko😂
Magoma anakusubiri urudi😂😂baba
Mpra umepigwa
Acha ushamb roh inakuuma wakat boli umeinjoi
Jumanne😂😂😂
Mzee wa MSHIKEMSHIKE,WENZETU WANAPIGWA KIMYAKIMYA HUKO
Ayo yamagoma yamekujaje hapo
Kamwe kavaa nembo ya simba mkono wa kushoto kumbe magoma anasema kwel
Marehemu mambosasa aliyekuwa golikipa wa simba ndo aliiba taulo na kukamatwa nayo huko Misri, nchi iliaibika sana kipindi kile.
So mbaya vijana wako vizur
Siyo kila kitu chekundu ni cha Simba. Acheni ujinga wa rangi.
Hhhahaahhahahahahahhahahahah we tulia
Kwaniukiduniyani kunawatu niwagonjwa wakuelewa
Kipa ndo yuko vizuri sio wachezaji
Kipa ni kocha sio
Wanao umia hawajifichi,kama vipi kujinyonga ruksa,mbona mapema sana!mkichelewa mtavimba mpasuke,kipele cha mwingine kikuwashe wewe?
Makolo vichwa vinawauma
Ali kamwe utaua watu kwa misemo yako wavulana wahudumu wa hotel wameiba taulo za hotel
Kamwe umevaa kitu chekundu mkononi
Umelowa
huyu ndio msemaji cio yule muimba gonjera
Jana mngefugwa nyingi kipa ndo apewe mauwa yake kama sio kipa mzur mngekula nyingi sana usiwape watu nguvu bado timu haiko vizur
Ndo maana nae yuko uwanjan nae nimchezaji ulitaka tumshukuru mangungu au
We kwel nikolo hlf ni mbumbumbu uzuri watim unaanxia kwa kip istosh Tim tulochez nay nikubw hvo kiwang kixur kimeonyshw kwa hio tunajipongez
Umelongw ww ss kip sio mchezaj hahah kwel makol mpila hamjui sas kip kaz yak nn yul sio ayub Wal Manul w vp et kip ndo 2mxhukul kip w vp kip c moj y mchezaj au
We kaizi kazi ya kipa nn au kazi yake ni kulala nonsense
Kwani kipa ni wa timu gani?
AUSBERG ALIIFUNGA BEYERN 1-0 NA LEO YANGA KAPIGWA 2-1 KWA HIYO YANGA =BEYERN
Furaha ya Nini wakati umepoteza Mchezo sababu kibao wee seme tu umefungwa bc
Sasa unalia mwamba imekuuma
Yanakuhusu?
Nilijua tu watakuja kutamba kufungwa 2-1
Chezeni nao na nyie tuwaone wakina Debora
Utajua tarehe 8,dawa itakapokuingia.
Naulizajeeee mmegongwa ngapiiii
Kwan wew umeonaje😂😂😂
6 kwa 2
7-2=5
Hatujafungwa kama wenzetu waliokula 6 maanina
5 kw 1
😂😂😂😂😂
Timu haiwezi kuwa surprise kama mashabiki wanaiona ikicheza kabla ya Yanga day. Msitegemee mashabiki kujaa siku ya Yanga day
Hayo ni mawazo yako.Hata punguani ana mawazo yake pia
@@yakobokuzenza6837Wewe ndo punguani, hata hujui miongoni mwa influence kubwa inayowafanya mashabiki waende Yanga day au Simba day ni kuona timu yao baada ya usajili mpya inachezaje. Sasa kama wachezaji wapya wote utawaona wakicheza kabla ya tamasha, tafsiri yake kiu ya mashabiki kuona wachezaji wapya itapungua, na kuna uwezekano timu ikaanza kukosolewa hata kabla ya siku ya tamasha. Timu si tatizo kuonesha mechi kipindi cha pre-season lakn kwa simba na yanga ambazo ndo zina huo utaratibu wa matamasha kuna kitu kinapungua, lakini timu zngne zinaonyesha mechi zao sababu hazina huo utaratibu wa matamasha kama sisi. Pia timu zingine ni kubwa hazina pressure ya kujaza uwanja kama sisi, wao kila tukio wanajaza
makolo wanasemaje
❤ yanga we
Kwanimagoma nixhangaziyako ww
Ndio walifungwa
Du kwel yanga kiboko wanagongwa lkn wanashangilia
Umefungwa et umetoa tiba zwazwa kweli wewe kipa kakulinda
Kwanikipa kazi yake nini manula zote kamba zile unateseka ukiwa wapi
Tumefungw kwel lkn sio lig ss we let Tim yk itufung km utakuw nauwez
Kwa hiyo kipa kazi ya uwanjani nnn au ulitaka alale kama yuko room
Nguvu zaudaga tupu
Zizingatiwe tarehe Kama tarehe 5 jee tarehe 8
Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie
Kama tulivyowanyuka nje ndani dadeki jaman mbona msimu unachelew kuanza
Semaji Fifa
G
Ligi kuu hatuoni mpinzani
Naomba kujua yanga kucheza na tmu yenye mzungu hata mmoja ni lini?Jana wamekamia lakin wameliwaaaaaaa
Yaani umeisha sahau ile mrete mzungu wa simba kwa kuwa umesema mzungu hata mmoja
@@NasCebu Simba walicheza na sevila je yanga walishawah kucheza na tmu gan ya wazunguuuui?
Wala 7 tulieni Bado tunadeni Hadi tuwatoboe 10
@@NasCebuusisahau bado tunaden nayie 7 ndogo mnoo
😂😂😂😂 kaka sikupendi wewe nabado mtafungwa saana unajikuta unajua sana kuliko mungu. Mwaka huu hamna chenu jiandaeni
Pole mchawi kolo na bado
Angalia kwanza ni mechi ya aina Gani ndpo uanze kumkandia.
Unafaa kuwa mke njoo Inbox
Kwani amekwambia wewe anakupenda, mpende hata mama yako inatosha tu.😂
Mmegongwa na namungo aliechangamka
Tarehe 08/08/2024 sio mbali. Tupo hapa.
Ushamba huo wewe xi bor yanga kuliko waliokula 6
Mpe uyoooo umbea tu
😂😂😂 piga kelele tu ... Huko wenzako wanahangaika na kuvunja mikataba ya akina deborah wameona ni afadhal awesu awesu na kagoma kuliko uhalisia wa wanachokiona huko Cairo 🤣
@@Samweldlemaandaonyesha matokeo
magoma fc
Pumbavu ,zako yanga haina uongoz mpaka dk hiii,magoma kakate rufaa Hawa wanongoza tmu kwa utaratbu wa Nan?
Mbn Kama una uchungu? Angalia ucje kuzaa
@@Kasika-hi6hf nikizaa nakuzaa wewe na injinia
Hahahahaaaa Bado hujasema na utasemaaaa
Ukifatilia sana mamb yasiyokuhusu utajiharishia mwishowe
Ebu tuliza kipili pili chakoo😂😂😂 yanga baba lao💛💚💪😘
Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie
Mbwa ww apo,afu kwan si kuna kolo TV si mkaangalie utumbo wenu,wanga nyinyi 😂