Kamwe asema mechi yao dhidi ya Augsburg imeondoa migogoro ya ndoa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 173

  • @christophernilongo364
    @christophernilongo364 2 หลายเดือนก่อน +5

    Hongera Sanaaa msemaji mwenye weledi Na ufundi wa level ya kimataifa. Unajua brother

  • @RICHARDDEFAO
    @RICHARDDEFAO 2 หลายเดือนก่อน +3

    Amina MUNGU BABA MWENYEZI atulinde dhidi ya maadui
    Naamini tutafika mbali

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kipa wa Yanga Big up sana

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 หลายเดือนก่อน +3

    Big up Semaji mwanaume haogopi mapambano

  • @LucasMapolu
    @LucasMapolu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera,sana,yangakazi,lnderee,

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwa pira hili yanga iko vizur sana

  • @RodgersBartholomew
    @RodgersBartholomew 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pongez nyingi sana team yangu 🎉 Mungu azidi kuibariki ifike hatua za juu zaidi 🙏🙋‍♂️

  • @LeticiaBukuku
    @LeticiaBukuku 2 หลายเดือนก่อน +5

    😂😂😂😂 me mwenyew ndoa yangu imetulia baada ya kuiona yanga

  • @neemaerasto1842
    @neemaerasto1842 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ali kamwe umetisha sana kwa maneno yako

  • @hafidhlabdi-sq5rp
    @hafidhlabdi-sq5rp 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hapo nyuma Kuna kikao Cha Engineer,andre mitne na Gamondi

  • @katowawambura4652
    @katowawambura4652 2 หลายเดือนก่อน +5

    Tumeridhika kabisa Wanayanga, hasa ukilinganisha na ligi Ugerumani

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 2 หลายเดือนก่อน +18

    Team ety iko vzr mungu ijaalie team etu ifike mbali katka michuano ya caf champions league 💚💚💚💛💛💛💛💐💐💐❤️❤️🌹🌹🌹

  • @lodricklema9593
    @lodricklema9593 2 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga ipo vizuri sana

  • @athmanjnr3231
    @athmanjnr3231 2 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂😂Ali Kamwe wee kiboko na hyo maneno yko

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nimefurai sana kuona timu yangu

  • @ElibarickSiyanga
    @ElibarickSiyanga 2 หลายเดือนก่อน +2

    Yanga rahaaaaa

  • @Samweldlemaanda
    @Samweldlemaanda 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sawa yaan yanga hii kolo atakula 10

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 2 หลายเดือนก่อน +3

    Binafsi nzengeri ananikooshaa nakbali wapendwa wangu pamoja tunaweza

  • @AlawiHalima
    @AlawiHalima 2 หลายเดือนก่อน +4

    Yanga songa mbele tupo nyuma yenu DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @mwanangusana
    @mwanangusana 2 หลายเดือนก่อน +3

    Tx Galax itapendeza.....
    Hii match ikionyeshwa kuliko kuficha ficha kama makolo ubwela waliochezea 6 😂😂

  • @ChimbaeBalenga-qg7ci
    @ChimbaeBalenga-qg7ci 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ila ally kamwe ww unajua kukera sana

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuwa msemaji professional, sio blaa blaa. Kujisifia kwingi, badala ya kujifunza na mechi. wajerumani wamepiga coordination na touch za hatari. Tumeona beki ya Yanga ilivyokuwa ikisumbuliwa. kwa Yanga Marx Zengeli amecheza vizuri.

  • @neemaerasto1842
    @neemaerasto1842 2 หลายเดือนก่อน +1

    🤣🤣🤣🙆🙆❤️eti taulo na ndala za hotel 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wew ni noma sana

  • @RukiaKanyoni
    @RukiaKanyoni 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Yanga.

  • @BabaMkuu
    @BabaMkuu 2 หลายเดือนก่อน +7

    Hata ingekuwa tumefungwa 2 -0 cc tungefurahi kwa 7bu hii timu kwa stori sio level yetu lkn kilichotokea kocha wao amethibitisha au tunasemaje wananchi?

  • @bakarimavura7226
    @bakarimavura7226 2 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana semaji la caf ndugu Ali Simba

  • @RashidShidhani
    @RashidShidhani 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jumanne Balekeeeee😄

  • @johnsonMazoya
    @johnsonMazoya 2 หลายเดือนก่อน

    ira tumejitaidia Sana mungu atusaidie tutafika mbari wenye roho mbaya na chuki mungu atashughulika now 🙏🏿🙏🏿

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 2 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂achana na interview hii mimi nimezoom tu kikao kule nyuma kinakitu litakufa jitu

  • @samwelmasunga8293
    @samwelmasunga8293 2 หลายเดือนก่อน +2

    Jmn ifike sehemu tuwe na mabadiliko sana lkn mda wote yanga akifanya vzr bdo anaonekana wa hovyo hata simba akifanya vzr bdo kila upande wana fanya hovyo hv kwann tusiwe wazalendo tu Yanga in short wameupiga mwingi kama kwel ww ni mwana michezo ebu kubari tu kuwa kwa sas yanga ni fire 🔥 😂😂😂😂 hata simba akicheza vzr tuta mpa maua but this time to-morrow utakuwa nani daima mbele nyuma mwiko .

  • @brianbalozi7199
    @brianbalozi7199 2 หลายเดือนก่อน +3

    Shida ya yanga hawakubali matokeo

    • @producerjm3314
      @producerjm3314 2 หลายเดือนก่อน

      Unataka wakubar vp ndugu

  • @christophersizya2574
    @christophersizya2574 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pacome yuko wapi?

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 2 หลายเดือนก่อน +4

    Sio yanga tu hata Wana Simba wameridhika

  • @kollysam6463
    @kollysam6463 2 หลายเดือนก่อน +2

    Bwana Ally Simba

  • @AminaMsimbe
    @AminaMsimbe 2 หลายเดือนก่อน +2

    Eti madunduka walifungwa 6 ?

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 2 หลายเดือนก่อน +2

    😂😂😂 we chalii una maneno ya shombo duuh daima mbele nyuma mwiko

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wenzenu waliocheza kipindi cha kwanza sio waliocheza kipindi cha pili. Lakini mmegongwa😂😂😂

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂ndoa zilizokua na mgogoro zimepona🎉🎉🎉🎉🎉

  • @eliambwilojr1918
    @eliambwilojr1918 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tumeridzika na kiwango kilichooneshwa na yanga yetu

  • @SalumuWawa
    @SalumuWawa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Kamwe una udhi sana

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 2 หลายเดือนก่อน +1

    Gamondi pisi sana...tunaomba wote wapangwe Kwa zam. Tunakuombea sana sana kocha wetu ...wasikae sana bechi tunakuomba sana sana kocha wetu ...wewe ndio mpambanani na wachezaji tunaomba na tunakuombea Kwa mungu.

    • @jacksonmbewe-pl2nl
      @jacksonmbewe-pl2nl 2 หลายเดือนก่อน

      kwan hii account y gamondi au matumiz mabay y bando

  • @SalimuShemndoa
    @SalimuShemndoa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nic

  • @ShabaniMcharo
    @ShabaniMcharo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni 2/1 sawaa

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 2 หลายเดือนก่อน +1

    Stress za magoma zinawatesa UTOPOLO 😂😂😂

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 หลายเดือนก่อน +2

    Tumepoteza nini sasa mchezo ya kirafikituu haina umuhimu ata

  • @ThomasGai-kz5cu
    @ThomasGai-kz5cu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Semaji wakati mwingine maswali ya msingi yajibiwe na majibu ya msingi. Punguza utani.

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 หลายเดือนก่อน +2

    MWITENI ALLY SIMBA LAKINI KIPIGO CHENU SIMBA KIPO PALEPALE

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 หลายเดือนก่อน +1

    Afrika nitimu kubwa sana hiyo hata yanga ni kubwa inaubira sana yanga kwa tanzania

  • @mrskingo7142
    @mrskingo7142 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jumanne tena😮

  • @lizacontractors1924
    @lizacontractors1924 2 หลายเดือนก่อน

    Ahaaaa

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 หลายเดือนก่อน +2

    KATIKA WASEMAJI WA OVYO NI WEWE SHIDA UNAONGEA UONGO KUTUPA HABARI YA UONGO KUWA WAPINZA I WAMEFINGWA WAKATI SIO KWELI HAWAJACHEZA MECHI YOYOTE,,INAMAANA WEW NI SIMBA KWELI NDIO MAANA UNAIONGELEA ILI IPATE HASIRA NA KWELI WAO HAWAJAKUJIBU KWASABABU WANAJIELEWA

    • @stevenghambi3471
      @stevenghambi3471 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo simba

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 2 หลายเดือนก่อน

      Kwan km kwel mbn wanafch

    • @chrisantfredrick663
      @chrisantfredrick663 2 หลายเดือนก่อน

      Acha kuteseka upate amani ndugu utakufa mapema

  • @BullahSambiga
    @BullahSambiga 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli semaji dua muhimu maana wenye husda ni wengi

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati. Mwingine Ally kamwe kuwa professional, usidhani unaongea na watanzania tu .
    Kuna tafsiri na dunia inaona Azam sport, Acha utoto that's international tour.
    Yanga ina fuatiliwa na watu wengine duniani.
    Sikiliza clip hii halafu jitafakari.

    • @fidelismuna9484
      @fidelismuna9484 2 หลายเดือนก่อน

      Acha unyumbu ww kwan hapo kakosea wapi au ndio unaishi kwa mihemuko tu nyambafu ww! Sijui nyie kolozidad mnafel wap

    • @JumbeOjaso
      @JumbeOjaso 2 หลายเดือนก่อน

      @fidelismuna9484
      Ahsante ,,umenijibu kwa tusi na Azam wanaona ni sawa,tusi hili kuwa highlighted reply.
      Azam wanaona ni sahihi kutukana kwenye jukwaa lao hili,kwa sababu tu nimemtaka Ally kamwe, kuongea na dunia badala ya mashabiki wa kariakoo.

    • @jumannemsengi2195
      @jumannemsengi2195 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@fidelismuna9484umempa jibu sahihi ni Nyumbu

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 2 หลายเดือนก่อน

      ​​@@fidelismuna9484acheni matusi, jibu hoja. JumbeOjaso amezungumza vizuri. mechi hii ni ya kujifunza, na kweli kwa timu ya ufundi na wachezaji lazima wajifunze kwao. Semaji yeye kujigamba tu, azungumze kiprofessional, kuzungumza mambo ya ndoa manake nini. wote washabiki wa yanga.. tunazungumza ukweli, hakuna usimba na uyanga hapa. acheni kushadadia kila kitu

  • @KamgishaIsaya
    @KamgishaIsaya 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wapewe maua yao wanajangwani Sina mashaka timu yangu

  • @BOAZMWANGOGE
    @BOAZMWANGOGE 2 หลายเดือนก่อน +1

    hana point uyo anabwabwaja tu

  • @philiminamlosa
    @philiminamlosa 2 หลายเดือนก่อน +1

    Madunduka + kolo tarehe 8 watapigwa 8 Kwa mpira huu😂

  • @BabaNuria
    @BabaNuria 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂❤❤❤

  • @SalumMahimbo-e4l
    @SalumMahimbo-e4l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tumeona kipimo kizur mmejishindia nyuma mwiko😂

  • @KassimSibiya-m7x
    @KassimSibiya-m7x 2 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma anakusubiri urudi😂😂baba

  • @JacklineMbuya-ym1ri
    @JacklineMbuya-ym1ri 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mpra umepigwa

  • @SelemaniLingamka
    @SelemaniLingamka 2 หลายเดือนก่อน +2

    Acha ushamb roh inakuuma wakat boli umeinjoi

  • @shagison_official
    @shagison_official 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jumanne😂😂😂

  • @AbrahamChengula
    @AbrahamChengula 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa MSHIKEMSHIKE,WENZETU WANAPIGWA KIMYAKIMYA HUKO

  • @japhetindobeji7239
    @japhetindobeji7239 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ayo yamagoma yamekujaje hapo

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kamwe kavaa nembo ya simba mkono wa kushoto kumbe magoma anasema kwel

  • @SalvatoryMtunga
    @SalvatoryMtunga 2 หลายเดือนก่อน +1

    Marehemu mambosasa aliyekuwa golikipa wa simba ndo aliiba taulo na kukamatwa nayo huko Misri, nchi iliaibika sana kipindi kile.

  • @AsaphuNguvumali
    @AsaphuNguvumali 2 หลายเดือนก่อน +1

    So mbaya vijana wako vizur

  • @reubenmakalla745
    @reubenmakalla745 2 หลายเดือนก่อน +1

    Siyo kila kitu chekundu ni cha Simba. Acheni ujinga wa rangi.

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 2 หลายเดือนก่อน

      Hhhahaahhahahahahahhahahahah we tulia

  • @JuxSule
    @JuxSule 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaniukiduniyani kunawatu niwagonjwa wakuelewa

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kipa ndo yuko vizuri sio wachezaji

    • @JuliusNduye
      @JuliusNduye 2 หลายเดือนก่อน

      Kipa ni kocha sio

  • @UpendoUpendomgani
    @UpendoUpendomgani 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wanao umia hawajifichi,kama vipi kujinyonga ruksa,mbona mapema sana!mkichelewa mtavimba mpasuke,kipele cha mwingine kikuwashe wewe?

  • @kessysenga8700
    @kessysenga8700 2 หลายเดือนก่อน +4

    Makolo vichwa vinawauma

  • @athumanmapunda
    @athumanmapunda 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ali kamwe utaua watu kwa misemo yako wavulana wahudumu wa hotel wameiba taulo za hotel

  • @AlfredNkulizahe
    @AlfredNkulizahe 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kamwe umevaa kitu chekundu mkononi

  • @leonidaskyarubota8145
    @leonidaskyarubota8145 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umelowa

  • @ShabnMande-gw1nm
    @ShabnMande-gw1nm 2 หลายเดือนก่อน +1

    huyu ndio msemaji cio yule muimba gonjera

  • @hamadmohamedy
    @hamadmohamedy 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jana mngefugwa nyingi kipa ndo apewe mauwa yake kama sio kipa mzur mngekula nyingi sana usiwape watu nguvu bado timu haiko vizur

    • @yasinismail5837
      @yasinismail5837 2 หลายเดือนก่อน +2

      Ndo maana nae yuko uwanjan nae nimchezaji ulitaka tumshukuru mangungu au

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 2 หลายเดือนก่อน +1

      We kwel nikolo hlf ni mbumbumbu uzuri watim unaanxia kwa kip istosh Tim tulochez nay nikubw hvo kiwang kixur kimeonyshw kwa hio tunajipongez

    • @OfrahMsigala
      @OfrahMsigala 2 หลายเดือนก่อน +2

      Umelongw ww ss kip sio mchezaj hahah kwel makol mpila hamjui sas kip kaz yak nn yul sio ayub Wal Manul w vp et kip ndo 2mxhukul kip w vp kip c moj y mchezaj au

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 หลายเดือนก่อน

      We kaizi kazi ya kipa nn au kazi yake ni kulala nonsense

    • @terrence9477
      @terrence9477 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani kipa ni wa timu gani?

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 หลายเดือนก่อน +1

    AUSBERG ALIIFUNGA BEYERN 1-0 NA LEO YANGA KAPIGWA 2-1 KWA HIYO YANGA =BEYERN

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 หลายเดือนก่อน +1

    Furaha ya Nini wakati umepoteza Mchezo sababu kibao wee seme tu umefungwa bc

    • @WingoNamtema-u9l
      @WingoNamtema-u9l 2 หลายเดือนก่อน

      Sasa unalia mwamba imekuuma

    • @terrence9477
      @terrence9477 2 หลายเดือนก่อน

      Yanakuhusu?

  • @TheMrisho
    @TheMrisho 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilijua tu watakuja kutamba kufungwa 2-1

    • @VeronicaEmmanuel-t2v
      @VeronicaEmmanuel-t2v 2 หลายเดือนก่อน

      Chezeni nao na nyie tuwaone wakina Debora

    • @chrisantusnditi8670
      @chrisantusnditi8670 2 หลายเดือนก่อน

      Utajua tarehe 8,dawa itakapokuingia.

  • @ElisanteElisante
    @ElisanteElisante 2 หลายเดือนก่อน +2

    Naulizajeeee mmegongwa ngapiiii

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂

  • @Sostere98
    @Sostere98 2 หลายเดือนก่อน +2

    Timu haiwezi kuwa surprise kama mashabiki wanaiona ikicheza kabla ya Yanga day. Msitegemee mashabiki kujaa siku ya Yanga day

    • @yakobokuzenza6837
      @yakobokuzenza6837 2 หลายเดือนก่อน

      Hayo ni mawazo yako.Hata punguani ana mawazo yake pia

    • @Sostere98
      @Sostere98 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@yakobokuzenza6837Wewe ndo punguani, hata hujui miongoni mwa influence kubwa inayowafanya mashabiki waende Yanga day au Simba day ni kuona timu yao baada ya usajili mpya inachezaje. Sasa kama wachezaji wapya wote utawaona wakicheza kabla ya tamasha, tafsiri yake kiu ya mashabiki kuona wachezaji wapya itapungua, na kuna uwezekano timu ikaanza kukosolewa hata kabla ya siku ya tamasha. Timu si tatizo kuonesha mechi kipindi cha pre-season lakn kwa simba na yanga ambazo ndo zina huo utaratibu wa matamasha kuna kitu kinapungua, lakini timu zngne zinaonyesha mechi zao sababu hazina huo utaratibu wa matamasha kama sisi. Pia timu zingine ni kubwa hazina pressure ya kujaza uwanja kama sisi, wao kila tukio wanajaza

  • @JanuaryJanuary-ln7wu
    @JanuaryJanuary-ln7wu 2 หลายเดือนก่อน +1

    makolo wanasemaje

  • @JuxSule
    @JuxSule 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwanimagoma nixhangaziyako ww

  • @FaridaHaji-d2w
    @FaridaHaji-d2w 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio walifungwa

  • @MwalimuAdamu
    @MwalimuAdamu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Du kwel yanga kiboko wanagongwa lkn wanashangilia

  • @shanelmbunga1301
    @shanelmbunga1301 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umefungwa et umetoa tiba zwazwa kweli wewe kipa kakulinda

    • @AbuubakriMdigoTz
      @AbuubakriMdigoTz 2 หลายเดือนก่อน

      Kwanikipa kazi yake nini manula zote kamba zile unateseka ukiwa wapi

    • @asmaSheha
      @asmaSheha 2 หลายเดือนก่อน

      Tumefungw kwel lkn sio lig ss we let Tim yk itufung km utakuw nauwez

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa hiyo kipa kazi ya uwanjani nnn au ulitaka alale kama yuko room

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nguvu zaudaga tupu

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zizingatiwe tarehe Kama tarehe 5 jee tarehe 8

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 หลายเดือนก่อน

      Kama tulivyowanyuka nje ndani dadeki jaman mbona msimu unachelew kuanza

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 2 หลายเดือนก่อน +1

    Semaji Fifa

  • @SalimuShemndoa
    @SalimuShemndoa 2 หลายเดือนก่อน +1

    G

  • @IdaAdek
    @IdaAdek 2 หลายเดือนก่อน

    Ligi kuu hatuoni mpinzani

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba kujua yanga kucheza na tmu yenye mzungu hata mmoja ni lini?Jana wamekamia lakin wameliwaaaaaaa

    • @NasCebu
      @NasCebu 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani umeisha sahau ile mrete mzungu wa simba kwa kuwa umesema mzungu hata mmoja

    • @kalebphilip3426
      @kalebphilip3426 2 หลายเดือนก่อน

      @@NasCebu Simba walicheza na sevila je yanga walishawah kucheza na tmu gan ya wazunguuuui?

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 2 หลายเดือนก่อน

      Wala 7 tulieni Bado tunadeni Hadi tuwatoboe 10

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@NasCebuusisahau bado tunaden nayie 7 ndogo mnoo

  • @RosemaryMarube
    @RosemaryMarube 2 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 kaka sikupendi wewe nabado mtafungwa saana unajikuta unajua sana kuliko mungu. Mwaka huu hamna chenu jiandaeni

    • @LightnessCharlseKimaro
      @LightnessCharlseKimaro 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pole mchawi kolo na bado

    • @WingoNamtema-u9l
      @WingoNamtema-u9l 2 หลายเดือนก่อน +1

      Angalia kwanza ni mechi ya aina Gani ndpo uanze kumkandia.

    • @issaadinaniissa6487
      @issaadinaniissa6487 2 หลายเดือนก่อน +1

      Unafaa kuwa mke njoo Inbox

    • @Last403
      @Last403 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani amekwambia wewe anakupenda, mpende hata mama yako inatosha tu.😂

  • @JaphetBikayamba
    @JaphetBikayamba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mmegongwa na namungo aliechangamka

    • @khamisally9559
      @khamisally9559 2 หลายเดือนก่อน +2

      Tarehe 08/08/2024 sio mbali. Tupo hapa.

    • @Samweldlemaanda
      @Samweldlemaanda 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ushamba huo wewe xi bor yanga kuliko waliokula 6

    • @NuruSeif-uf2ge
      @NuruSeif-uf2ge 2 หลายเดือนก่อน

      Mpe uyoooo umbea tu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 piga kelele tu ... Huko wenzako wanahangaika na kuvunja mikataba ya akina deborah wameona ni afadhal awesu awesu na kagoma kuliko uhalisia wa wanachokiona huko Cairo 🤣

    • @fredypaul6714
      @fredypaul6714 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Samweldlemaandaonyesha matokeo

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 หลายเดือนก่อน +1

    magoma fc

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pumbavu ,zako yanga haina uongoz mpaka dk hiii,magoma kakate rufaa Hawa wanongoza tmu kwa utaratbu wa Nan?

    • @Kasika-hi6hf
      @Kasika-hi6hf 2 หลายเดือนก่อน +2

      Mbn Kama una uchungu? Angalia ucje kuzaa

    • @kalebphilip3426
      @kalebphilip3426 2 หลายเดือนก่อน

      @@Kasika-hi6hf nikizaa nakuzaa wewe na injinia

    • @FloraChami-o7s
      @FloraChami-o7s 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahaaaa Bado hujasema na utasemaaaa

    • @user-qe2lb9ns8h
      @user-qe2lb9ns8h 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ukifatilia sana mamb yasiyokuhusu utajiharishia mwishowe

    • @GladyWilly
      @GladyWilly 2 หลายเดือนก่อน +1

      Ebu tuliza kipili pili chakoo😂😂😂 yanga baba lao💛💚💪😘

  • @burnmotto1876
    @burnmotto1876 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kupigwa kupigwa tu mbwa nyie

    • @UmmyHamisi-ru2rw
      @UmmyHamisi-ru2rw 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mbwa ww apo,afu kwan si kuna kolo TV si mkaangalie utumbo wenu,wanga nyinyi 😂