Part 1_USHUHUDA WA MCH.JONAS WA CONGO ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI TANGU AKIWA NA MIEZI MIWILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

ความคิดเห็น • 61

  • @edwiniluther3263
    @edwiniluther3263 2 ปีที่แล้ว +7

    Ahsante mno Wewe kwa Msaada wa Yesu Kristo Umenibadilisha kupitia shuhuda zako hakika Jactani Mungu ipo siku atakuita kwake na akuteteee na Ulinzi wake uwe you yako Mtumishi Bwana Yesu Kristo...Barikiwa mno

  • @gracekinyaki2376
    @gracekinyaki2376 2 ปีที่แล้ว +5

    Barikiwa Mtumishi wa Mungu kwa shuhuda.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 2 ปีที่แล้ว +6

    Ndio maana Adam Aston mbaya aliambiwa na Bwana Yesu kuwa ata watoto wadogo wapo jehanum mmmhmm kwakweli Yesu wetu utusaidie Baba, kaka jack me nabarikiwa sana na huduma yako Mungu akusaidie kulitimiza kusudi lilikuleta duniani jamani.

  • @dokasa9176
    @dokasa9176 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu tu ndiye njia ya uzima wa milele,barikiwa sana Mtumishi Jacktan

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 2 ปีที่แล้ว +3

    Amen YESU ANAOKOA

  • @francisalcardo544
    @francisalcardo544 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana kwa shuhuda nzuri nashauri kuwe kuna mfulurizo wa mara kwa mara yaan kila siku badala ya part2 kupita zaidi ya siku moja au mbili iwe ni kila siku ... Asante

  • @leahbhoke8718
    @leahbhoke8718 2 ปีที่แล้ว +2

    Hallelujah Hallelujah Yesu Ni Bwana Mwokozi wa mataifa yote

  • @macamezungu7031
    @macamezungu7031 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki saana Jack 🙏

  • @leahdaniel271
    @leahdaniel271 2 ปีที่แล้ว +3

    Tone moja la Damu ya YESU KRISTO huharibu kazi za Lusifa za miaka elfu na kusambaratisha nguvu zake zote

  • @faze_narq6890
    @faze_narq6890 2 ปีที่แล้ว +3

    Thank you Jacktan! I was looking for him for continuation of pastor Jonas from Congo!! Ooh my goodness, this is a Devine connection, thank you Jesus! Most of his videos and interviews are done in Spanish or in French and I really wanted to follow but I couldn’t!! So glory be to God cause now I’ll get the chance to finish his testimonies. The lord richly bless you brother Jacktan.

  • @mindenlightenment
    @mindenlightenment 2 ปีที่แล้ว

    May the lord grant you grace to do more than this it's wonderful 🎊

  • @langistany6811
    @langistany6811 2 ปีที่แล้ว +1

    Bwana Aku Bariki Jacktan, Huyu pastor Jonas ana ushuhuda mzito sana, Nime wai kuhusikiliza hote mpaka mwisho, ushuhuda wa Jonas una Mambo mazito sana. Bwana Aku Bariki tena

  • @irenewilfred7767
    @irenewilfred7767 2 ปีที่แล้ว +2

    Yes anaokoa

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki lakini mwenzelezo jamani

  • @sarahsarai8690
    @sarahsarai8690 2 ปีที่แล้ว +2

    Amina barikiwa sana

  • @marynguma7241
    @marynguma7241 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akuzidishie mtumishi jacktan

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 2 ปีที่แล้ว +1

    Ameen, Haleluyaaaa BWANA YESU KRISTO atukuzwe sana

  • @restutamsanya6698
    @restutamsanya6698 2 ปีที่แล้ว +1

    Arise and shine

  • @myself4128
    @myself4128 2 ปีที่แล้ว +2

    Shetani anarecruit mpaka watoto halafu wazazi tumekaa tuu hatuwafundishi kusali na kufunga ...

  • @valentinandukuvalentinandu4779
    @valentinandukuvalentinandu4779 2 ปีที่แล้ว +1

    barikiwa mtumishi kwa kutuketea shuhuda za kutufunza mambo ya dunia hii yalivo

  • @langistany6811
    @langistany6811 2 ปีที่แล้ว +2

    Hio mwezi miwili ni alipo kua tumboni mwa mamaye, maana yake yeye ali hanza kumtumikia shetani akiwa tumboni mwa mamaye.

  • @judithminja770
    @judithminja770 2 ปีที่แล้ว +1

    JESUS the name above all. Waiting for pt2🙏

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 2 ปีที่แล้ว +1

    Following

  • @bazuriyaido6616
    @bazuriyaido6616 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu atusaaidie kweli

  • @tatumluv6054
    @tatumluv6054 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @piusmtwale7690
    @piusmtwale7690 2 ปีที่แล้ว +1

    MUNGU akubariki sana jacktan

  • @prophetrichard7669
    @prophetrichard7669 2 ปีที่แล้ว +1

    Weiting for part 2

  • @alydjuma3082
    @alydjuma3082 2 ปีที่แล้ว +1

    Ushuhuda muzuri Sana ubarikiwe tunataka wa 2 please

  • @jacksonsyskl4601
    @jacksonsyskl4601 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo jonas ana ongea uongo mutupu ukimufwata sana.
    Amejifanyia maneno isiyo na uhakika na maneno yaku badilika kila mara akiya ongea yeye mwenyewe.

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 2 ปีที่แล้ว +6

      Pole hapa sio Jonasi kutunga Uongo au Ukweli ...Wewe Jackson ndo unatakiwa ubadilike kukaa na Kristo njiani Mwake....
      Na Ubishi kwa Mahala hapa nahisi sio Mahala husikaaa....Jackson Husiitetee dhambi kubali kuwa Kristo ndiye Mungu Muweza...
      Wewe hukuzaliwa na dhambi na kutetea Ukatolikii...

    • @mwigarleysaid5406
      @mwigarleysaid5406 2 ปีที่แล้ว

      Kwani ukweli ukoje?

    • @brightsmartcleaning
      @brightsmartcleaning 2 ปีที่แล้ว

      Una point.. Ntaifuatilia.. Nillisoma english version nikaona hadithi zake zinaingiliana kati ya msimuliaji mmoja hadi mwingine. Na analenga sana kuponda kanisa Katoliki..... Silitetei ila ushuhuda kama ni wauongo (labda anasema ukweli) dhidi ya mambo ya imani nyingine inaweza kuhamisha watu toka ukweli.

    • @mindenlightenment
      @mindenlightenment 2 ปีที่แล้ว +2

      Biblia inasema zijaribuni roho

  • @joshuarafael5186
    @joshuarafael5186 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki part2 inatoka lini

  • @alifridahocharo
    @alifridahocharo 2 ปีที่แล้ว +1

    Part 2 please

  • @kersirukangika2440
    @kersirukangika2440 2 ปีที่แล้ว

    Kwanini uweke iyo picka ya musalaba wa wa freemasson.

  • @naomikalinga3042
    @naomikalinga3042 2 ปีที่แล้ว +1

    Du!tunaishi Ni kwaneema ya MUNGU barikiwa jactan ushuhuda umenifuza kitu

  • @piusmtwale7690
    @piusmtwale7690 2 ปีที่แล้ว +1

    Kila mwanadamu ameletwa duniani kwa kusudi maalumu sema unakuta atujatambua kusudi lenyewe ndo maana hatutimizi hakika tangu nikusikie kwenye radio ya kwaneema fm mpaka sasa wewe unatimiza kusudi lako

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  2 ปีที่แล้ว

      Amen,asante sana kwa kuendelea kunifatilia

  • @naomindulesi3259
    @naomindulesi3259 2 ปีที่แล้ว

    Namba 3 ipo wapi?

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 2 ปีที่แล้ว +1

    Muendelezo kaka jactan please

  • @ipyanadanny9959
    @ipyanadanny9959 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU tusaidie tushinde vita ya kiroho

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 2 ปีที่แล้ว

    Nabii wa uomgo TU g

  • @margaretomwakwe9162
    @margaretomwakwe9162 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen