EXCLUSIVE: Mahojiano na Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024
  • Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi ni mmoja wa viongozi waliozungumza kwenye Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa na baada ya hapo tulimtafuta na kuzungumza nae kwa kina baadhi ya mambo yanayohusu siasa, uongozi na usalama.
    Tazama mahojiano haya maalum.

ความคิดเห็น • 14

  • @davidcurtis8556
    @davidcurtis8556 5 ปีที่แล้ว +6

    Huyu sasa anaongea kiswahili vizuri kuliko baadhi ya watanzania anafuata misingi yote ya kiswahili, lakini pia anajibu kwa upendo dah! Be blessed mr President

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino3461 5 ปีที่แล้ว +3

    Yuko vizuri kabisa Kwa kuongea Kiswahili

  • @epainetholima9490
    @epainetholima9490 5 ปีที่แล้ว +1

    Dah umeongea kiswahili kwa ufasaha hongera mh rais

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 5 ปีที่แล้ว +2

    Filipe Jacinto Nyusi raisi wangu huyo

  • @peterm9404
    @peterm9404 5 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa anaongea kiswahili kizuri sana

  • @ramadhanabas4455
    @ramadhanabas4455 5 ปีที่แล้ว

    Ni lazima aongee kiswahili kwa sababu ameishi Tanzania. Shule ya msingi amesoma wilayani Tunduru.

  • @davierobert5563
    @davierobert5563 5 ปีที่แล้ว

    Yuko vizuri aisee

    • @nangayamohamed9087
      @nangayamohamed9087 5 ปีที่แล้ว

      Kasoma primary tunduru huyo kaishi sana tunduru

  • @mrkasebelekasebele2129
    @mrkasebelekasebele2129 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anatoka mpakani kabisaa mwa Tanzania na Msubiji ndio maana anaongea kiswahili fasaha, yaani jirani mnooo.

  • @nelsonsimtowe4268
    @nelsonsimtowe4268 5 ปีที่แล้ว

    Ni azam tv ama bora ata online tv za vijana angekua millard ayo kikeke salum asingekosea mkooo ovyooo

  • @nelsonsimtowe4268
    @nelsonsimtowe4268 5 ปีที่แล้ว

    Waaandishi wahabari nchini makanjanjaa sana loooh ulizaswali lakufulumushwaa watanzania msumbiji unachekacheka kisa kiswahili dada umechemkaa sana maswali ya kitoto poleni azam mko ovyoo wenzenu wanazalilika maswa ya mepesi loooh

  • @jumamwita2317
    @jumamwita2317 5 ปีที่แล้ว

    kuhusu watanzania kupigwa nchini kwake anasemaje kuhusu hilo sio kuongea kiswahili hapa....
    anaonekana ana busara sanaa naomba atumie hiyo busara kwa watanzania wanaoteseka nchini kwake...
    na ww mwandishi unahoji mambo gani hayo wakati juzi tu watanzania wameuwa huko siungegusia? hivi mnasomaga wapi nyie ...