TUMEONYESHWA KILA HATUA, WANAVYOTUMA MIZIGO CHINA- TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.ย. 2024
  • Silent Ocen ni Kampuni ya Kitanzania inayofanya kazi ya kusafirisha mizigo kutoka China kwenda Afrika ikiwemo Tanzania.

ความคิดเห็น • 200

  • @deniskaijage1857
    @deniskaijage1857 5 ปีที่แล้ว +21

    Kitu kimoja kinawafamya muwe bora zaidi ni kutoa habari za ukweli wala siyo uzushi uzushi

  • @shahamtindo
    @shahamtindo 5 ปีที่แล้ว +38

    Millard Ayo mko vizuri sana kwenye kupromote wabongo waishio nje.. Hongereni sana 👏👏👏

    • @rehemahramadhani3428
      @rehemahramadhani3428 5 ปีที่แล้ว

      asante

    • @romzget1892
      @romzget1892 4 ปีที่แล้ว

      @@rehemahramadhani3428 mdada umebadilisha namb whatsap maan sikupati jack ap

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 5 ปีที่แล้ว +20

    Huwa naitumia saana hii kampuni ys Silent Ocean kunisafirishia mizigo yangu
    Big Up saaana S,Ocean👏🏼

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 5 ปีที่แล้ว +2

      Khalid naona comment yko hapa !! But plzz naomba tuwasiliane nitafute kwa hii nomber plzz +974 30170668 plzz

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 5 ปีที่แล้ว

      Haji Khatib sawa mkuu

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 5 ปีที่แล้ว +1

      Khalid huwa wanachaji kiasi gani kwa cbm moja ? Au kwa kg ? Garama yote mpaka Tz inacost vp?

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 5 ปีที่แล้ว +2

      Ghalib Mansour huwa wanachaj 380 na kitu Usd kwa CBM moja
      Yaani almost 400$usd kwa cbm moja

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 5 ปีที่แล้ว +1

      @@khalidballeth5957 Khalid mm cbm siifahamu ukubwa wake ... unaweza nifahamisha ukubwa labda au ni mfano wa kg ngapi tuseme

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 4 ปีที่แล้ว +3

    Mungu nijalie niende china n mm

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474
    @sendeesupriydewoochiagaliy7474 5 ปีที่แล้ว +2

    great a lot research wa tanzania Tuige kwa wenzetu

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 5 ปีที่แล้ว +8

    Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo

    • @eminentmnzavas4463
      @eminentmnzavas4463 3 ปีที่แล้ว

      Cheki video ya kwanza kuna phone number zao na web site yao

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 5 ปีที่แล้ว +5

    Kweli mnakiu ya habr hongereni sanaaaaa Kwa investment yenu

  • @beijoozessence1048
    @beijoozessence1048 5 ปีที่แล้ว +3

    Dahhh haah ukweli nimefuraishwa sana kwa kweli silent.oceAn mkombozi wa Mtanzania akiwa china ivi mbona muna moyo mzuri ivooioooo""live longggg

  • @josephinekimenye2192
    @josephinekimenye2192 4 ปีที่แล้ว +1

    kwa kweli mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
    kwa mfano akitaka kuagiza mzigo toka china na hajui aanzie wapi mnamsaidiaje

  • @nalyismail9915
    @nalyismail9915 4 ปีที่แล้ว +3

    Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah

    • @fatmamajid7908
      @fatmamajid7908 3 ปีที่แล้ว

      Group lipi ?
      Naomba kuona bidhaa zenu

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 ปีที่แล้ว

      InshaaAllah allah atujaalie sote tunufaike na Silent ocean

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 6 หลายเดือนก่อน

      Wapo vzr na bei ni nzr na mzigo inachelewa.

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 5 ปีที่แล้ว +2

    Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.

  • @zanzibaronetv988
    @zanzibaronetv988 5 ปีที่แล้ว +2

    Licha yakua mnafanya kazi kujipatia Riski lkn pia hongereni na Ahsante kwa juhudi mnazozifanya Ahsante sanaaaa

  • @djmossikahayodjmossikahayo8537
    @djmossikahayodjmossikahayo8537 ปีที่แล้ว

    Good News millard tv

  • @DumperClassic
    @DumperClassic หลายเดือนก่อน

    Safi sanaa

  • @kriegerfrieden
    @kriegerfrieden 5 ปีที่แล้ว +5

    Nice sanaaa milad
    Endelea kutufunza vitu vizur

  • @ahmadiakili261
    @ahmadiakili261 5 ปีที่แล้ว +9

    MillardAyo itabaki kuwa juu

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 5 ปีที่แล้ว +3

    Hakuna kama silent ocean na ijumaaa wananipakilia mzigo wangu thanks we support you

  • @sellah4603
    @sellah4603 5 ปีที่แล้ว +5

    Millard Ayo kama uko nayee chin mwambie anifanyie mpango w canon uko nibei chee awake kwenye begi nitakuja mpoke 🤝

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 10 หลายเดือนก่อน

    Hongereni saana kwakuturaisishia usafirishaji

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz 5 ปีที่แล้ว +5

    Silent Ocean itabaki Kuwa Juu Kama Kamaida Tunakimbizaaaaa Mgaddam Mgaddam Nakuona Generally ukitoa Survey Unatishaaaaa

  • @MavaziClothing
    @MavaziClothing 5 ปีที่แล้ว +2

    Wageuzieni kibao hao Jamaa ndiyo mtakuwa juu bongonians.
    Mkifuata maneno yangu mtakuja kunishukuru baadae.

  • @elizabethkayinga1149
    @elizabethkayinga1149 5 ปีที่แล้ว +1

    Duh hamjauliza hata bei labda tungepata ujasiri wa kwenda kuchukua mzigo China waandishi wengine bhana

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sna Millard Ayo

  • @anoldamarini9788
    @anoldamarini9788 5 ปีที่แล้ว +1

    Yupo vizur sana ok

  • @deking96
    @deking96 5 ปีที่แล้ว +14

    Je? Naweza kuagiza mzgo bila kwenda uko na nikaupata mzgo

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 ปีที่แล้ว +1

      yes you can do without to go china

    • @pastorjacobgasper4645
      @pastorjacobgasper4645 5 ปีที่แล้ว +1

      Romzget how?

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 ปีที่แล้ว

      @@pastorjacobgasper4645 0713089612 call or tsap for more bro

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 5 ปีที่แล้ว +1

      @@romzget1892 wewe unahusika silent ocean? ..nahitaji kuagiza mzigo

    • @romzget1892
      @romzget1892 5 ปีที่แล้ว +1

      @@hamzamussa8727 No siusiki silent ocean sema uwaga nanunuaga vitu online mala kwa mala

  • @YonasKatabaz
    @YonasKatabaz 9 วันที่ผ่านมา

    Natamani kuwa wakala wa kuuza magari kutoka china mnanisaidiaje

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 5 ปีที่แล้ว +2

    Jaribu kumuuliza kama wanahusika na bidhaa katika sector ya kilimo na mifugo pleaz

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 2 ปีที่แล้ว

    👍

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben1446 3 ปีที่แล้ว

    Safiiii mnatupatia vitu vizur

  • @EphraimJoseph-zp1yi
    @EphraimJoseph-zp1yi 3 หลายเดือนก่อน

    Naulizia kwa kontena Moja LA mzigo wanasafirisha kwa shingapi please nisaidie

  • @samirasleiman3508
    @samirasleiman3508 ปีที่แล้ว

    Silent ocean mbona sim zenu hazipatikani?

  • @zuuothman9170
    @zuuothman9170 4 ปีที่แล้ว +1

    Tuleteen na huku oman tunapata tabu sana tunaibiwa mizigo yetu haifik salama

    • @romzget1892
      @romzget1892 4 ปีที่แล้ว

      mdada nakutafuta vepe whatsap ckupati ume change whatsap number me n jackson umenipata?

  • @salumsalum2901
    @salumsalum2901 5 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana silent Je kama niko zanzibar upo uwezekano wakunifikisha mzigo wangu hadi zanzibar

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 5 ปีที่แล้ว

      Salum Salum upo uwezekano mm mwenyewe naishi zanzibar naletea

    • @salumsalum2901
      @salumsalum2901 5 ปีที่แล้ว

      @@ringotv4918 hapa zanzibar office ya Silent iko wapi?

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 5 ปีที่แล้ว

      Unafuata bandarini

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 ปีที่แล้ว

    Hakika mmetusaidia sana kwenye hili safi sana. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @adelynemizengo1514
    @adelynemizengo1514 5 ปีที่แล้ว

    Safi sana aisee

  • @heshimabigete3735
    @heshimabigete3735 4 ปีที่แล้ว

    Content

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 5 ปีที่แล้ว +1

    ooohnimefurahisana

  • @jennykwayu7880
    @jennykwayu7880 4 ปีที่แล้ว +1

    One day yes RIP my mother

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m 4 ปีที่แล้ว

    Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 5 ปีที่แล้ว

    Mashaa Allah yani

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 ปีที่แล้ว

    Ujawauliza bhana kuhusu gharama za malipo ya usafirishaji mzigo kutoka China to Tanzania

  • @husseinheri4363
    @husseinheri4363 5 ปีที่แล้ว

    Nimekubali

  • @emyemy2229
    @emyemy2229 4 ปีที่แล้ว

    Duu naipenda hivi bila kwenda inawezekana

  • @kingjafu7759
    @kingjafu7759 5 ปีที่แล้ว +5

    We jamaa Umekula shrimp 🍤

  • @secilialyimo6070
    @secilialyimo6070 4 ปีที่แล้ว

    Nicee Ayo

  • @gadafigadafi4464
    @gadafigadafi4464 4 ปีที่แล้ว +1

    Broo tembelea Dubai kujuwa soko lale na urahisi wakazi zake asant

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 4 ปีที่แล้ว +1

    Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 ปีที่แล้ว

    Jee kwawale waliopo Zanzibar wanafaidika vipi nahuduma hizi

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 4 ปีที่แล้ว

    Nimejifunza. iposiku

  • @allymohd4884
    @allymohd4884 5 ปีที่แล้ว +8

    Mtangazaji sauti inafanan na millard mwenyew au mdog wako

  • @mywater6796
    @mywater6796 5 ปีที่แล้ว +1

    wanatuma na accessories kama simu na laptops tusaidie na address yake au wechat

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 3 ปีที่แล้ว

    no zao

  • @zainabusaidi9500
    @zainabusaidi9500 5 ปีที่แล้ว

    Kwa dubai mpo sehem gani na gharama zenu ni kiasi gani

  • @user-rq2vc7uf7s
    @user-rq2vc7uf7s ปีที่แล้ว

    Watukumbuke na watu wa Egypt hata mara 1 kwa mwaka

  • @massawejacob
    @massawejacob 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba contact za huyu op manager hapo

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 ปีที่แล้ว

    Tunaomba namba

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 3 ปีที่แล้ว

    Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 3 ปีที่แล้ว

    Niko senegal vipi wanatuma mzigo west africa au east africa tu

  • @samueldavid5208
    @samueldavid5208 5 ปีที่แล้ว

    Mbona me sielewi yaan gharama. Zao zipo vipi?

  • @nyangipatrick5665
    @nyangipatrick5665 5 ปีที่แล้ว

    Naomba kupata namba zako ww mtangazaji mana nahitaj nikuulize vitu kadhaa plz naomba sana

  • @umtweve4501
    @umtweve4501 5 ปีที่แล้ว

    Laaa! Mchizi Wa kichina anabonga lugha nimependa hyo

  • @stellahmatondwa7168
    @stellahmatondwa7168 4 ปีที่แล้ว

    Ifikie mda na ss tuexport na sio kuemport tu Ni hasara kubwa Kwa Tanzania

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 4 ปีที่แล้ว

    Ningenda kupata no yako manager ahmed tamim pls nitafurahi sana nataka kuanza biashara

  • @barakahchogo5533
    @barakahchogo5533 4 ปีที่แล้ว

    Je ,wanaweza kumsaidia mtu kumnunulia mzgo

  • @muharamkigogo2955
    @muharamkigogo2955 5 ปีที่แล้ว

    Hivi miladi ayo tulizie kiasibganinkusafirisha mzigo au garama zao

  • @rukiyahussan4190
    @rukiyahussan4190 5 ปีที่แล้ว +3

    Naomba unisaidie namba ya uyo meneja

  • @mwananchipress3569
    @mwananchipress3569 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe Tabia za makuli zinafanana tuu ahha matumbo wazi

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 5 ปีที่แล้ว +2

    Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani

    • @ramadhannasibu7753
      @ramadhannasibu7753 5 ปีที่แล้ว

      Silent Ocean na huko Dubai wapo kwa jina la KILIMANJARO CARGO

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 ปีที่แล้ว +1

      Ramadhan Nasibu naomba no zao

    • @ramadhannasibu7753
      @ramadhannasibu7753 5 ปีที่แล้ว

      +971543478776/+971589399892

    • @fatwimamakungu5456
      @fatwimamakungu5456 5 ปีที่แล้ว

      Ramadhan Nasibu shukran

    • @rafaeltem2525
      @rafaeltem2525 5 ปีที่แล้ว +1

      Fatwima Makungu ndugu yangu niko Tanzania songea nafanya biashara naomba nisaidie natamani kuja huko

  • @stevngota1038
    @stevngota1038 5 ปีที่แล้ว +2

    Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 4 ปีที่แล้ว

    Naomba no za simu zenu pls nataka kuanza biashara

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 5 ปีที่แล้ว +2

    Huyu anaongea kam ayo

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 3 ปีที่แล้ว

    Ago ni TABIA GANI HIYO KUTUWEKEA CLIP YAO BILA MAWASILIANO YAO?

  • @isackcharles3310
    @isackcharles3310 4 ปีที่แล้ว

    Nitumie no ya mmoja mtz

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 ปีที่แล้ว

    Sasa mmnatamani kufanyahio biashara nahitaji niwenakiasi gani kwaajili hakutuma hela bilayamm kufika namba ya cimu yahuko naomba jamani

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 ปีที่แล้ว

      Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean

  • @taanimedia6489
    @taanimedia6489 5 ปีที่แล้ว

    good work ayo

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias4469 5 ปีที่แล้ว

    Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa

    • @eligiuselias4469
      @eligiuselias4469 5 ปีที่แล้ว

      Na mawasiliano yangu ni eligiuselias1212@gmail.com

    • @rachelmjema2860
      @rachelmjema2860 3 ปีที่แล้ว

      @@eligiuselias4469 hlw

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 6 หลายเดือนก่อน

      Ah usiamini mzigo bila sehemu kwenda mwenyeo.

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 5 ปีที่แล้ว +1

    Tunapataje mawasliano ya cm ili tuweze kuwatafuta hiyo kampuni

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 5 ปีที่แล้ว

    Daah so sad tumeshindwa kushona nguo

  • @lidialameck5590
    @lidialameck5590 5 ปีที่แล้ว

    Milard Ayo, hao silent ocean hatupati mawasiliano yao, maana hata ukiingia google haipati useful info, please tupe mawasiliano, tunawahitaji sana. Nice job

    • @jumachabai2874
      @jumachabai2874 5 ปีที่แล้ว

      Lidia Lameck weka email yako nitakupatia mawasiliano ya wahusika

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 5 ปีที่แล้ว

      @@jumachabai2874 plzz me naomba hayo mawasiliano ya wahusika !!! Email.yng ni amour.turbo@gmail.com

    • @lidialameck5590
      @lidialameck5590 5 ปีที่แล้ว

      @@jumachabai2874 pklameck@yahoo.com
      Ahsante

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 5 ปีที่แล้ว

      @@jumachabai2874 nitumie namba zao kazibureh@gmail.com

    • @fridafungo948
      @fridafungo948 4 ปีที่แล้ว

      Lidia Lameck ingia Instagram silent ocean

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 5 ปีที่แล้ว

    Millard Ayo
    tutafutie contact za kuwasiliana na Ahmed Tamim

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz 5 ปีที่แล้ว +2

    Ndivyow Karibuni Sanaaa Silent Ocean

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 5 ปีที่แล้ว +3

    Makuli adi China waapo sio poa

    • @petermarco9559
      @petermarco9559 5 ปีที่แล้ว +1

      😁😁😁

    • @wizydeko1496
      @wizydeko1496 5 ปีที่แล้ว

      @@petermarco9559 awee acha tu

    • @banshbansh2329
      @banshbansh2329 5 ปีที่แล้ว

      Njaa iko kila sehemu duniani

    • @OmarBaabdeTz
      @OmarBaabdeTz 5 ปีที่แล้ว

      We Unajua China Ndio Yenye Population Nyingi Duniani Asa Hao wote wawe Matajiri Mhhh! 😂

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 5 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂 Wizy Deko

  • @islamubakarpba9561
    @islamubakarpba9561 5 ปีที่แล้ว +2

    Huyo meneja ni wawapi mbn anaongea kipemba

    • @salumjadi4938
      @salumjadi4938 5 ปีที่แล้ว

      Pemba sio ktk Tanzania ????

    • @jumbeink3173
      @jumbeink3173 4 ปีที่แล้ว

      Mtu wa songea huyo

  • @rajabuhassani4504
    @rajabuhassani4504 4 ปีที่แล้ว

    Ayo bwana we acha 2

  • @walterswai6829
    @walterswai6829 5 ปีที่แล้ว

    Kama nilivyokwambia

  • @kingaweys
    @kingaweys 3 ปีที่แล้ว

    Kumbe kuna wacheina wabeba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nuhurajai1992
    @nuhurajai1992 5 ปีที่แล้ว

    Miladi acha ubaili ongeza bum kule ili Mambo yaende sawa bin sawiya

  • @yasinhamis7060
    @yasinhamis7060 4 ปีที่แล้ว

    Nivizuli

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 5 ปีที่แล้ว

    WHAT ABOUT SENDING TO KENYA

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 4 ปีที่แล้ว

    Galama za usafirikwenda na kurudi pesa NGAPI za madafu nataman kufika

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i 6 หลายเดือนก่อน

      Weka milion tano kwenda juu mbali ya mzg maana tiket huwa inafika mpk milion tatu kupanda na ikate tiketi mapema huwa bei inashuka

  • @burudani9901
    @burudani9901 4 ปีที่แล้ว

    Wanatumia app gan

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 4 ปีที่แล้ว

    Kwann weng walio uko ni waislam

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 4 ปีที่แล้ว

    Hoyamirad badojapan

  • @frankebella6762
    @frankebella6762 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi lkn mbona muna muiga sauti ya milard hayo

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 5 ปีที่แล้ว

    Ahmedi Tamim niapatie contact yako

  • @christianalex341
    @christianalex341 5 ปีที่แล้ว

    Itabidi nije huko nitafute kibarua hata cha kusafisha godauni

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 5 ปีที่แล้ว

    Mnipe ata kitengo kam iko Ayo

  • @rozmihambo1935
    @rozmihambo1935 3 ปีที่แล้ว

    Tuko njiani

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 5 ปีที่แล้ว

    Nakbal san AyO tv

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 5 ปีที่แล้ว

    Nitafutie Nazi ya forklift operator, China