Dawa Ya Kufukuza Majini Na Uchawi Tumboni / Kisa Cha Bi Haula Na Mumewe / Sheikh Othman Micheal
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- Dawa Ya Kufukuza Majini Na Uchawi Tumboni / Kisa Cha Bi Haula Na Mumewe / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Dawa Ya Kufukuza Majini Na Uchawi Tumboni / Kisa Cha Bi Haula Na Mumewe / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Tunaipateje shekhe
Plz shehe nyoosha majina ya madawa kwa kiswahili simple
Hiyo dawa ya mvusho inatwaje shekhe
Naitaji dawa kunakitu kinatembea tumbon nsha zunguka sana sana mpka nimechoka
Pole daa Allah akupe afueni
Ndugu yangu naye anaumwa hivyo hivyo jaman dawa tulitaka hiyo tunaweza tukaipata na shilingi ngapi
Tunaitaka shehe ndio majan ya mkunazi ni dawa
Ndio iyo dawa ndo nilikuwa nasema ilifaa ata kipindi kile Cha kolona
me pia kuna vitu vinatembea mpaka kifuan mpka nashindwa kula
Naitaji hiyo yakidonge jaman nikobdodoma
Tunaipataje dawa ya kufusha
Hiyo dawa ya mwisho ni tofauti na ile ukinywa hutakiwi kutoka baada ya masaa ndio unaanza kuendesha?
Napataje hi dawa
namba ziko hapo chini piga
Ndio mkunde kunde ni dawa nzur
Ndio kuna jasho la afya na la ugonjwa mama alikuwaga anasema kuna jasho la afya na ugonjwa
Hiyo dawa nitaipata vipi?
Si ndo mkunde poli.unatumia mzizi au majan unachemsha mizizi yake
Zaman ilikuwa naumwaga sana kichwa utazan kipada uso yani kilikuwa kinapasuwa nashukuru siku hizi wala
Kama mie umetumia nin my
❤😒😒
🎉🎉