Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
tizama mpaka mwisho usisahau kushare
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/Dars...
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
TH-cam @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.
Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.
jazzaka allahu kheir
Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha
Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam
😊😊😊😊😊
insha'Allah shukran
nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim
nchini malii bamako, ama senegall,
MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera
Barikiwa mtumishi wa MUNGU
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu
Amina kaka mungu akupe mwisho mwema
Mashallah ❤
Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi
Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa
Asalam aleykum aalim allahu batik nahitaji mafuta mix13 Yakinga nayapataje nipo zbr
Mashallah
Mashaallah tabarakallah shukran
Jazakallau kheira 🤲
Amiin
Shukran jazakallahu kheir sheikh
Masha allah,
Shukran
Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik
Inshaallah kher
Nzr sana
Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu
mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia
Maashaallah
Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha
Masha Allah
Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla
Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO
Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi
Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa
@@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka
Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako
Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?
Shekh nayaitaji nayapataje
Amiiina
Ata jina lake la zaituni ni nzur
❤❤❤❤❤
InshaAllah
Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei
@shekhe Othoman Micheal dodoma tunayapata je?
Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi
Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako
Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda
Tutayapa vipi ayp mavuta
NAMBA ZIPO PIGA
Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus
Nayapataje
Nitapataje mafuta plz
Nayapataje na yanaitew
Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa
Shukuran
Sheghe asalamu alaikum
Nina watoto wangu
Kweli kitunguu maji kikal sana
Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?
Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?
Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta
HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA
🙏🙏
Tulipo Oman tunapataje
Tanga yanapatikana wapi
Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?
asalaam alleykhum mafuta sh ngapi
Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi
Unayauza bei gani
Namba ya kupiga
ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?
Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi
manake ndimu na limao sio kitu kimoja
Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei
Nita yapata vipi mafuta hayo
Yanapatikana wapi kwa dar
namba iko kwenye screen piga
Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje
Wa aalaykumu salaam warahmatullah nipo burundi, naweza kukusaidiy
Nayapataje
Yanaitwaje
Nahitaji napataje
Nayaitaji hayo mafuta napataje
namba ziko piga simu
Mimi nipo Tanga nayapataje
Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa
Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali
Ama madukani tutasema inaitwaje
Ndio kibilit upele
Nataka mafuta Niko Nairobi
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Nayaitaji nitayapata vipi
Namba ziko piga simu
Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji
Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti
Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???
Kariakoo yapo
Tukija twayatafuta kwa jina gani ?
Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?
Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio
Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?
Nayataka mafuta niko nairobi ni bei gani
Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?
Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa
piga namba iyo kwenye screen yk
Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?
Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani
mafuta n sh ngp maaalim
Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp
namba ziko piga
naomba namba yako tafazar shehe
namba ziko juu
Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti
Beigani hy dw?
Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani
Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta
Mafuta ya mzaituni naburundi yapo
MashAllah
Mashaallah
MASHALHA,Mungu,akuzidishie,ilimu,
Amiin
Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee
Namba ya kupiga
Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo
Asalam aleikum ni sh ngapi