Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
    Mashaa Allah Sheikh Othman Michael akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Mafuta Haya Yanavuta Riziki / Faida Ya Mafuta Ya Mzaituni Na Ndimu / Sheikh Othman Micheal
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/Dars...
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    TH-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv

ความคิดเห็น • 123

  • @BenardMasereka
    @BenardMasereka 9 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks 4 da teaching bro am watching u from Uganda however am new.

  • @cookinglist1004
    @cookinglist1004 ปีที่แล้ว +2

    Salama aleku shekh haya mafuta kwa ngapi mie niko Omani na taka chupa 2 shukran mungu akuzidishie elm zaid Ishaalla Amin.

  • @JinaJuma-gy1us
    @JinaJuma-gy1us 10 วันที่ผ่านมา

    jazzaka allahu kheir

  • @nasramwalami7759
    @nasramwalami7759 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah somo zuri shehe mie ninatatzo la mgong kuwaka Moto mikon kufa ganz kuuma kwa ndani ayo mafuta uloyasema marakwanza mm nayahitaji shingap nayahitaji nisaide shehe ntayapatje uu mwaka unafika nimetumia dawa San mpka Sasa sijapona na dalili ya kupon Sina naumia tu na maumivu naomb unisaide shehe ayo mafuta niyapate nipone na mm Mana cn rah ya maisha

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว +2

    Mungu akujalie shekhe halafu mimi mkrusto lakin napenda sana duwa napenda nijuwe na wengi wanajuwa mimi muislam nashangaa watu tofaut wananiita iaisha halafu wanasema nimekaa kislam

  • @HabibaHassan-t2u
    @HabibaHassan-t2u 2 หลายเดือนก่อน

    insha'Allah shukran

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 10 หลายเดือนก่อน

    nafata sana darsa zako nashidwa kukupata ntaipataje niko mbali maalim
    nchini malii bamako, ama senegall,

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq ปีที่แล้ว

    MashaAllah Allah akupe umri wenye kheri na wewe tuzidi kupata faida duniani na akhera

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +3

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU

  • @IndorameJafety
    @IndorameJafety ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu cheh wetu

  • @muhammadhussain449
    @muhammadhussain449 ปีที่แล้ว

    Amina kaka mungu akupe mwisho mwema

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 10 หลายเดือนก่อน

    Mashallah ❤

  • @aminasalim7571
    @aminasalim7571 8 หลายเดือนก่อน

    Mashallah nataka ayo mafuta nko malindi

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 6 หลายเดือนก่อน

    Nasumbuliwaa na maguu wallah kutembea balaa

  • @KhamisMcha-u3z
    @KhamisMcha-u3z หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum aalim allahu batik nahitaji mafuta mix13 Yakinga nayapataje nipo zbr

  • @MbiliWay-f9e
    @MbiliWay-f9e 9 หลายเดือนก่อน

    Mashallah

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 ปีที่แล้ว

    Mashaallah tabarakallah shukran

  • @RasiyaRasi-m1f
    @RasiyaRasi-m1f 11 หลายเดือนก่อน

    Jazakallau kheira 🤲

  • @MeshakiAbdul-sp9uc
    @MeshakiAbdul-sp9uc 9 หลายเดือนก่อน

    Amiin

  • @khadijamohamed8919
    @khadijamohamed8919 ปีที่แล้ว

    Shukran jazakallahu kheir sheikh

  • @ZamdaKhamisi-v9c
    @ZamdaKhamisi-v9c ปีที่แล้ว

    Masha allah,

  • @NiyonkuruSiyaba-ff1wu
    @NiyonkuruSiyaba-ff1wu ปีที่แล้ว

    Shukran

  • @biashaqtr-xd2mf
    @biashaqtr-xd2mf ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah mashallah Alhadulilahi Allahu Barik

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 ปีที่แล้ว +1

    Inshaallah kher

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 10 หลายเดือนก่อน

    Nzr sana

  • @zainabukombo411
    @zainabukombo411 11 หลายเดือนก่อน

    Kweli walahi nimejipaka Kuna vitu vinakimbia ktk miguu yangu

  • @rukorioyusuf1268
    @rukorioyusuf1268 ปีที่แล้ว

    mashallah nahitaji haya mafuta naomba unitumie hiyo clip nifike huko plz nifanyiwe visimo pia

  • @khadijamdemu7972
    @khadijamdemu7972 ปีที่แล้ว

    Maashaallah

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Na nilikuwa napenda sana kila ijumaa kusikiliza mawaidha

  • @muniranahimana1540
    @muniranahimana1540 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @meemmeem8
    @meemmeem8 ปีที่แล้ว

    Samahani shekhe sikumaliziya kukwambiyaninahisi watu wananichezeleya watt wangu kwa uchawi nakila akitaka kupelekwa kwenye duwa hukimbiya naomba watakuja nisaidiye inshaalla

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +4

    Nami natia Nia ya baraka za MUNGU kwa jina la YESU KRISTO

    • @NunuKupela
      @NunuKupela ปีที่แล้ว

      Tia Nia Kwa Mungu c yesu Kwan nabii Issa (yesu) amezaliwa na kumwamudu Mungu ktk msikiti wa sinagogi
      Sifa ya uungu ni kutokuzaa na kuzaliwa

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +2

      @@NunuKupela kwa Imani yangu YESU KRISTO ndio njia ya mimi kupata majibu yangu Toka kwa MUNGU Baba,,,, huwezi kumtenganisha MUNGU baba na Yesu kristo,,,,,,upo hapo kaka

    • @Mpakistanog
      @Mpakistanog 9 หลายเดือนก่อน

      Dada upo sawa kwasababu umeongelea iman yako

    • @aminathaabubakarmasoud565
      @aminathaabubakarmasoud565 8 หลายเดือนก่อน

      ​Ndo utulie huko na Yesu wako kwani umeitwa hapa?

  • @RukiaShelukindo
    @RukiaShelukindo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh nayaitaji nayapataje

  • @MwanaRamathani
    @MwanaRamathani 4 หลายเดือนก่อน

    Amiiina

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ata jina lake la zaituni ni nzur

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 10 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @عايشه-ر8و
    @عايشه-ر8و ปีที่แล้ว

    InshaAllah

  • @saadaali-o2j
    @saadaali-o2j ปีที่แล้ว

    Assalamualaikum warahmatullah wabarakatuh sheikh mvuje naskia simzuri ukipaka malaika hawakusogelei

  • @jeniphertemu8626
    @jeniphertemu8626 3 หลายเดือนก่อน

    @shekhe Othoman Micheal dodoma tunayapata je?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Nasikia wengine wanachanganya na mafuta ya mkunazi

  • @saphinalutaha9077
    @saphinalutaha9077 ปีที่แล้ว

    Nawapenda mashekhe mnaongeaga ukwel wengne utaskia wanaupako

  • @NyabyendaAbdoul
    @NyabyendaAbdoul 11 หลายเดือนก่อน

    Sheikh tunauliziiya kwasisi tuishi inji jirani Rwanda

    • @NyabyendaAbdoul
      @NyabyendaAbdoul 11 หลายเดือนก่อน

      Tutayapa vipi ayp mavuta

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  11 หลายเดือนก่อน

      NAMBA ZIPO PIGA

  • @gasperkimariolesewa8157
    @gasperkimariolesewa8157 ปีที่แล้ว

    Asalaam aleykum, samaan hii dawa ipo dukan kwako, marashi rose na bahatinukus

  • @marymolel800
    @marymolel800 9 หลายเดือนก่อน

    Nayapataje

  • @Faridahmoraa-gw9ew
    @Faridahmoraa-gw9ew หลายเดือนก่อน

    Nitapataje mafuta plz

  • @JanethNdalu
    @JanethNdalu 7 หลายเดือนก่อน

    Nayapataje na yanaitew

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 ปีที่แล้ว +1

    Asalaam aleykum Sheikh. Nahitji hiyo. Dawa lakini Niko Mombasa

  • @Zaitunibirungi-gl3jd
    @Zaitunibirungi-gl3jd ปีที่แล้ว

    Shukuran

  • @meemmeem8
    @meemmeem8 ปีที่แล้ว

    Sheghe asalamu alaikum
    Nina watoto wangu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Kweli kitunguu maji kikal sana

  • @ScloasticaAyuma-jc7kn
    @ScloasticaAyuma-jc7kn ปีที่แล้ว +1

    Assalam alaykum warahamdullah wabarakatu Sheikh, niko kenya mpeketoni, naweza pata aje?

  • @rajabuvumbi7926
    @rajabuvumbi7926 ปีที่แล้ว

    Sheikh, Asalam aleiykum? Sheikh kuna dawa huwa mara unaitangaza inayohusu upungufu wa nguvu za kiume. Mm nina changamoto hiyo na maumivu ya mgongo na kiuno na nuru ya macho kuona, nitazipata wapi na zinauzwa kiasi gani?

  • @MwanashaAmin-u6u
    @MwanashaAmin-u6u ปีที่แล้ว

    Asalam aleikum Niko malindi nitapaje hayo mafuta

  • @salimalharrasi3943
    @salimalharrasi3943 10 หลายเดือนก่อน

    HAYO MAFUTA YANA JINA GANI IKIWA NUT AKIAGIZIA

  • @marywambuijamesnjuguna7946
    @marywambuijamesnjuguna7946 ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @TausiSeif-g2d
    @TausiSeif-g2d 7 หลายเดือนก่อน

    Tulipo Oman tunapataje

  • @ZariannaJuma
    @ZariannaJuma 6 หลายเดือนก่อน

    Tanga yanapatikana wapi

  • @StecyBukuru-xm6tk
    @StecyBukuru-xm6tk ปีที่แล้ว

    Cheih mtu akiwa Burundi haya mafuta anaweza kuyapata wapi?

  • @siwaomary9873
    @siwaomary9873 ปีที่แล้ว

    asalaam alleykhum mafuta sh ngapi

  • @niajepoa1212
    @niajepoa1212 9 หลายเดือนก่อน

    Mafuta yanaitwaje na yanapatikana wapi

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Unayauza bei gani

  • @SadaOthman-q1f
    @SadaOthman-q1f 3 หลายเดือนก่อน

    Namba ya kupiga

  • @aishamzeehamissi6859
    @aishamzeehamissi6859 ปีที่แล้ว

    ASALAM SHEKHE NJOO TANGA. AU DAWA ZAKO HAPA TANGA ZAPATIKANA WAPI?

  • @mamdiakite698
    @mamdiakite698 10 หลายเดือนก่อน

    Nimerudi tena sheh nimechanganyikiwa mafuta ya ndimu kitungu swaumu kitungu maji apo sasa ndio sielewi
    manake ndimu na limao sio kitu kimoja

  • @januarymwaringa2346
    @januarymwaringa2346 ปีที่แล้ว

    Hiyo dawa naitaka Mimi Niko kenya kwale nipe bei

  • @AliceKyalo-b7n
    @AliceKyalo-b7n 2 หลายเดือนก่อน

    Nita yapata vipi mafuta hayo

  • @rosemarysospeter1328
    @rosemarysospeter1328 8 หลายเดือนก่อน

    Yanapatikana wapi kwa dar

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  8 หลายเดือนก่อน

      namba iko kwenye screen piga

  • @mamysarah7071
    @mamysarah7071 ปีที่แล้ว +1

    Asalam.alaykum.nikoburundi.shehe.yatanifikiyaje

  • @LaizerChionda-de6ul
    @LaizerChionda-de6ul 2 หลายเดือนก่อน

    Nayaitaji hayo mafuta napataje

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  2 หลายเดือนก่อน

      namba ziko piga simu

  • @ZariannaJuma
    @ZariannaJuma 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nipo Tanga nayapataje

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 6 หลายเดือนก่อน

    Assalamaleykum nitayapata wapi? Niko Msa

    • @ZahraShariff-dm2jf
      @ZahraShariff-dm2jf 6 หลายเดือนก่อน

      Mm naitaji Sana mafuta maguu yanasumbuwa Sana kisingino nimaliza tibaa sipitali

    • @ZahraShariff-dm2jf
      @ZahraShariff-dm2jf 6 หลายเดือนก่อน

      Ama madukani tutasema inaitwaje

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio kibilit upele

  • @sharondinah3361
    @sharondinah3361 ปีที่แล้ว

    Nataka mafuta Niko Nairobi

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 ปีที่แล้ว +1

    Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo

  • @AliceKyalo-b7n
    @AliceKyalo-b7n 2 หลายเดือนก่อน

    Nayaitaji nitayapata vipi

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  2 หลายเดือนก่อน

      Namba ziko piga simu

  • @stevenkessy7359
    @stevenkessy7359 ปีที่แล้ว

    Niko arusha bei gani hiyo sheh Mimi nahitaji

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Kwel hizo dawa nazijuwa karafuu maiti na almiti

  • @Mwanakengombo
    @Mwanakengombo ปีที่แล้ว

    Mafunzo mataam sana nipo mtwapa naeza yapata vipi then bei pia ni shilling ngapi???

  • @amranmwemfula6939
    @amranmwemfula6939 ปีที่แล้ว +1

    Kariakoo yapo

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 ปีที่แล้ว

    Kuna sehemu duka mueka hapa mombasa au mtu hapa mombasa Kwa kuuz hizo dawa?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Ndio warabu wanapenda kupikia oman tulikuwa tunapikia kuna alishangaa kuna ya kula nilimwambia ndio

  • @suhaylasalim9111
    @suhaylasalim9111 ปีที่แล้ว

    Bei gani hiyo sheikh hayo mafuta na unapatikana wapi?

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 ปีที่แล้ว

    Asalaam aleykum Sheikh othuman. Mombasa inapatikana?

  • @najmaali3596
    @najmaali3596 ปีที่แล้ว

    Sheh napata wapi? Kwa huku Mombasa

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  ปีที่แล้ว

      piga namba iyo kwenye screen yk

  • @kemondobukoba2188
    @kemondobukoba2188 ปีที่แล้ว

    Naitaji ayo mafu rakinibniko bukoba napataje ayo mafuta?

  • @saadaali-o2j
    @saadaali-o2j ปีที่แล้ว

    Sheikh mafuta yote hayo chupa 8 ni kiasi gani

  • @RamadhanMsangazi
    @RamadhanMsangazi ปีที่แล้ว

    mafuta n sh ngp maaalim

  • @ZahraShariff-dm2jf
    @ZahraShariff-dm2jf 6 หลายเดือนก่อน

    Sheikh naomba ujibu hio mafuta nitayapata vp

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  6 หลายเดือนก่อน

      namba ziko piga

  • @LucyNyanda
    @LucyNyanda ปีที่แล้ว

    naomba namba yako tafazar shehe

    • @DarsaTV.
      @DarsaTV.  3 หลายเดือนก่อน

      namba ziko juu

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Na mvuje ni dawa kubwa nakumbuka walikuwa wanafungiwa dawa watoto ndio altiti

  • @ZainaIssa-nt8wl
    @ZainaIssa-nt8wl ปีที่แล้ว

    Beigani hy dw?

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib ปีที่แล้ว

    Mafuta yaliyochangajywa na vitu vyote hivyo unauza bei gani

  • @bakarimohammed2381
    @bakarimohammed2381 ปีที่แล้ว +2

    Unapatkana was shehe nije ninunue ayo mafuta

  • @mariamjuma5457
    @mariamjuma5457 ปีที่แล้ว

    MashAllah

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah

  • @عايشه-ر8و
    @عايشه-ر8و ปีที่แล้ว +1

    Amiin

    • @dafrosamapunda
      @dafrosamapunda ปีที่แล้ว

      Ubarikiwe sana maisha marefu kwako shehee

  • @SadaOthman-q1f
    @SadaOthman-q1f 3 หลายเดือนก่อน

    Namba ya kupiga

  • @mwanakonyaume3611
    @mwanakonyaume3611 ปีที่แล้ว

    Sasa niayo yalosomewa lkn ya dukani hayana nguvu au apa nilipo yapo