Watu 12 wameripotiwa kufariki kwenye ajali mbili tofauti katika kaunti za garissa na machakos
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Watu kumi na wawili wameripotiwa kufariki kwenye ajali mbili tofauti katika kaunti za garissa na machakos. Katika kisa cha kwanza, watu kumi walifariki baada ya basi walimokuwa kugonga trela iliyokuw aimeegeshwa kwenye barabara kuu ya garissa kuelekea mwingi na huko kangundo kaunti ya machakos, mama na mwanawe walifariki baada ya kukanyagwa na trela.
Innaah lillaah wainnah illahi rajion ,Allaah Awarahammuh na kuwapaa subrah watu waooo
Very sad
God help kenyans ❤😂🎉
God have mercy to our country this is too much painful
My condolonces
So sad😢
So sad😭😭😭
Nyie munataka barabara nawakati munapinga selekali yenu? 😂
You belong mathare hospital