Mashaallah Wallah Ucku huu tuliburudika sana Ila nawashauri msiweke utangulizi mwingi mpk watazamaji tukachoka kama hii ya safari hii Kama kaswida ya Maryam ya wazazi ilikuwa nzuri sana ila aliimba wakati watu wamechoka sana Huo ndo ushauri wangu mwalim wangu Koba
Assalamu ghalaykum. Mimi ni mpezi sana sana wa qaswida ila qaswida za hivi hapana kwakweli. wakati mwingine mawahabi wanakuwa sahihi khalafu tuna watukana bure
wallah mnaangalia maslah yenu sasa mm hapa najifunza nn sijasikia dawa hata moja iv nyie mlio imba hapa mngejitolea mkafundishe kuna sehemu dini hawaijui mmekaa 2 kupiga vinanda et ndo dini hiyo ni dini ya baba yenu.m2me hakukaa na masalaf wakaanza kiumba ila walikaa na kujiulza 2naifikishaje dini ya haki siku ya malipo mtaulizw
Mnaleta mambo ya kishwaitani kwenye dini. Nani kasema kama huu ndio uislamu? Hizi sio kasida ni nyimbo tu kama nyimbo nyegine. Tumuogope Mungu jamani tuacheni upumbavu
@@giovannithebarber4333 Tatizo sio kumtaja Mtume ni hiyo miziki yenu. Hivi kuna tofauti gani kati ya taarabu/bongo flavor na hizo zenu? Na je kwenye taarab wakimtaja mtume ndio zinakua kasida. Wacheni ujinga kupenda mambo ya haramu.
Doooh mwamba hii ajem iliniliza kwa kwel maashallah kila la kheir shariif koba
Hapo angeimba Mohammad Muhiya sijui balaa lake ingekuwaje....🤔 الله الله الله!!!
Mashaallah
Wallah
Ucku huu tuliburudika sana
Ila nawashauri msiweke utangulizi mwingi mpk watazamaji tukachoka kama hii ya safari hii
Kama kaswida ya Maryam ya wazazi ilikuwa nzuri sana ila aliimba wakati watu wamechoka sana
Huo ndo ushauri wangu mwalim wangu Koba
wallah usiku huu ungesimama usiku nakumuomba allah
Maashaallwah
Inna lillahi wainnaa ilayhi rajiuun.
Hili ni janga kubwaa Allah atuhidi.
Mimi ni mpezi wa qaswida ila qaswida za hivi hapana kwakweli ni janga
Assalamu ghalaykum. Mimi ni mpezi sana sana wa qaswida ila qaswida za hivi hapana kwakweli. wakati mwingine mawahabi wanakuwa sahihi khalafu tuna watukana bure
Bingwa Koba wewe si wa hapa
wawap?wa motoni au
Maa shaa Allah
😭😭😭Ajamun jayyid👏👏
Mashaallah koba
الله الله یاااااااسلام
Hawatokua radhi mayahud na manaswara mpaka mfuate mila zao innalillah wainnailayih raajiuun
wallah mnaangalia maslah yenu sasa mm hapa najifunza nn sijasikia dawa hata moja iv nyie mlio imba hapa mngejitolea mkafundishe kuna sehemu dini hawaijui mmekaa 2 kupiga vinanda et ndo dini hiyo ni dini ya baba yenu.m2me hakukaa na masalaf wakaanza kiumba ila walikaa na kujiulza 2naifikishaje dini ya haki siku ya malipo mtaulizw
Haikuhusu
Huu ni sawa na mziki.
Nawe ulikuwa unasikiliza mziki?
Mimi ni mpezi wa qaswida ila qaswida za hivi hapana kwakweli huu ni mziki
Mashaallah suleyman munt
Yaa salaaaaam yaaaah salaaaaam Masha Allah alikua wapi muhiyyah
Doooooh fundi mwili unaccmka
Mnaleta mambo ya kishwaitani kwenye dini. Nani kasema kama huu ndio uislamu? Hizi sio kasida ni nyimbo tu kama nyimbo nyegine. Tumuogope Mungu jamani tuacheni upumbavu
Utakuja kufa vibaya wewe ndugu yngu huwezi kuzuia sifa za mtume au kuto tajwa
@@giovannithebarber4333 Tatizo sio kumtaja Mtume ni hiyo miziki yenu. Hivi kuna tofauti gani kati ya taarabu/bongo flavor na hizo zenu? Na je kwenye taarab wakimtaja mtume ndio zinakua kasida. Wacheni ujinga kupenda mambo ya haramu.
Rudi ukasome tuu nakushauri hivo kama ndugu yangu
@@giovannithebarber4333 Siwezi kwenda kusoma huu ujinga. Tumuogope Allah jamani
@@nahedstationery3851 ujinga ni pale mtu anaposifia anacho kipenda alafu wewe unamkosoa
Haitoishia hapo watakuja wachezaji punde tu
tumepiga hatua nzur.ila tumefeli kwnye vipaza saut czmaneno hayaskilikan
mmepga ha2a ya kuelekea motoni au
@@mrumbihassan6697 km anaetia watu motoni ni babu yako bc ndio
@@binbarwan7401 anaezusha bidaa ni m2 wa wap?
@@mrumbihassan6697 bidaa ni nn kwn
@@binbarwan7401 ومن عمل عملن ليس علية ءمرنا رد
waman ghamila ghamalan laisa ghalayha amrunaaaa rad.hiyo ndio maana ya bid'aaa
Assante
😢😢😢😢😢😢😢😧😧😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Hii Naghma😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ajmi Lee mashallah sheikh wetu Allah akujaalie mwisho mwema b.y.samurai
Ajamy ina utamu wake