HADAA - MAU MPEMBA NA MAKAME NUHUSI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 มิ.ย. 2021
- #MauMpemba #KomboKichwa #VitukoZanzibar
HADAA - MAU MPEMBA NA MAKAME NUHUSI
Furahi na jifunze na vichekesho vya Mau Mpemba. Mau Mpemba ni msanii wa Zanzibar anaejulikana sana kwa aina yake ya sanaa ya maigizo kwa kutumia asili yake ya Pemba. Kwa kushirikiana na wasanii mbali mbali Tanzania, Mau Mpemba anasisimua na kuvunja mbavu za watu wengi wanaopenda aina yake ya maigizo.
Aina ya sanaa anayofanya Mau Mpemba ni mfano wa kuingwa kwani, anatumia kile kidogo alichonacho ili kufurahisha na kuelimisha pia.
Ukihitaji kuunga mkoni harakati za wasanii hawa ili waweze kuleta furaha kila siku katika jamii zetu, hakikisha unatangaza biashara yako au kutoa ushauri wako kupitia.
+255 777 001500 - ตลก
Hahahaa😂 hapo mpango umeenda vzr
duh hii kamu aloo mau kammuuza mwenziwe😀😀
Wa 1 mm leo 😁😁😂🤣
makame daima apigwa yeye tu😀
Mm wa kwanza
Aaaaa weeechaleee
😀😀 Allah awafanyie wepesi insha'Allah awape umrii
Mzee mau huo muhogo umechumwa mboga au
Pole cn makame
Leo WA mwanzo 🙄🙄🙄🥰🥰
Uhakika
🤣🤣🤣pumu impata nkohoaji
Huhuhuhuhu 😅😅
Hee
Hahahaa janja na jajawi
ABDUL BASIT
💯💯💯💯😄😄😄😄
Fundi toa kituchauhakika
😂😂😂😂😂😂😂
Comedian wakubwa
Zanzibar MAU MPEMBA vs MAKAME
na wengineo wanakuja vzl tuh
Ndugu zangu Kazan zaid
🤣🤣🌃
😂🤣