Hii inafundisha nn dini haongoz nchi watu ndio wanaoongoza nchi kwahiyo usijidanganye kwamba eti sisi ni wengi tuongeze nchi kwasababu dini yetu nzuri sana inamfumo mzuri wakuongoza kutoka kwenye kitabu chetu big no no no watu ndio wanaoongaza sio dini au kitabu kitakatifu
Prof Jamal, ni msimulizi mzuri wa hadithi/matukio. Binafsi napenda namna unavyowasilisha stori Kwa ubunifu mkubwa unaopelekea watu wengi kufuatilia 'The Story Book' hakika unastahili sifa zako Kwa kazi nzuri unayoifanya 🔥🔥
Apewe maua yakee jamal april kazi anayoifanya hakika ni bola zaidii na ni nzuli sijui nani atafanya niache kusikiliza the story book labda kifo maana hakuna mwingine wa kuweza kunitenganisha na simulizi hiziii 🎉🎉🎉🎉
Daah ubaguzi wa kiislaam kutaka kuiendesha nchi kidini nichanzo kikubwa sana cha haya mapigano😭😭😭 naunga mkono🙋 maana hata huku Zanzibar waislaam wana ubaguzi sana tena hawana tofauti na wasudani 🤔 maana nao huwa wanataka utawala wakidini😔 inaonesha waamini wadini ya kiislam wakiwa wengi kuliko dini nyingine huwa wana force sana mambo😭😭 ni ushamba wakiwango cha juu🙏🙏
Niungeni mkono kwa like nyingi tukiamin na sisi kama vijana ipo siku tutapambana na huu uongozi wasasa na kutengeneza serikali yenye kijali maslahi y kiraia
Sijawai kupata like nyingi leo nawaomba mlifanyie kazi 🙏🏾
Ukazifanyie nn
Wasafi media is back conglaturation kwa changamoto mliopata mkaishinda
Congratulations
Sijachelewaa
Hatari sana
Mara hii mimi ni wa kwanza,wapi likes jameni
Roho ilikuwa imesha nikauka brother
God bless you jamal April
Here from 254 🇰🇪🇰🇪we love you than how we love our media personality youre Gods chossen
Npewe 1k likes pls🙏
Am from Kenya...I love this man .. stories of reality.... Can I get like from .. my fellow Kenyans who are watching..plus majirani zetu wataanzania..
Let's goo professor
Kazi safi jamal hongera Sana
Mwicho wa DUNIA IMEFIKA tumwabe mungu ,🤲🤲🤲🤲.Safi Sána Jamal .❤❤😭😭😭.🇹🇿🇹🇿👍🇲🇿🇲🇿
Msiishie kuomba like tu ndugu zangu....jaribuni kutoa message ama nyongeza ya content kulingana na somo ulilopat kupitia story husika
Sasa hii comment naipa like
@@user-eh2rb2ou5e this is Tz😂😂
Sijui like ni chakula mkoje 😅😅😅😅
Inafaa you tube iweke feature ya kublock watu wenye wanaomba likes,
Umetish san professar jamal April hun bay ❤❤❤❤
Naombeni likes mbili tu
🙏🙌👏 Bado Tunaendelea Kujifunza....Na tuko Tayarii
Much love from Kenya+254..nimekuwa mlevi wa story book 📚 napenda historia
Leo mm wa kwanza naomba like😅
Mm ni member mpya jamani like zenu tafadhal😊😊😊
Leo angalau nimewahi kuwa wa 47 kucomment na wa 1568 kutazama sio kazi ndogo wazee. nipeni like zangu bwanaa
Duuh Hadi ww unaomba like 😂😂 nilikuwa ntakuona mtu ambae upo vzur ila kwa hili mmh
Mexico 🇲🇽
Ahhh wasafi unanipa akili asate jamal
Hii inafundisha nn dini haongoz nchi watu ndio wanaoongoza nchi kwahiyo usijidanganye kwamba eti sisi ni wengi tuongeze nchi kwasababu dini yetu nzuri sana inamfumo mzuri wakuongoza kutoka kwenye kitabu chetu big no no no watu ndio wanaoongaza sio dini au kitabu kitakatifu
Jamal April Mustafa the best ever⚡💥⚡ napenda filamu zako nzuri unapoelezea ❤
CLEMENT MBOLO
Kama umesikia jina hilo gonga like hapa tujuane tuliokuwa makini
Jamani watz ndugu mkenya hapa nipingeni likes nimekuwa nikiwapi vipi ndugu wenzagu
Prof Jamal, ni msimulizi mzuri wa hadithi/matukio. Binafsi napenda namna unavyowasilisha stori Kwa ubunifu mkubwa unaopelekea watu wengi kufuatilia 'The Story Book' hakika unastahili sifa zako Kwa kazi nzuri unayoifanya 🔥🔥
sijawahi kupata like nyingi acha leo nipate hata tatu😊😊
Zinakusaidia nn
Utakuja firwa kupenda like,acha usenge
😂😂😂😂nyie watu
@@jacobmwalituke8981 ivi dhambi niipi kuomba like nakutukana matusi mazito Kama Hayo kwamtu asie nahatia mh 😢😢😢
@@jacobmwalituke8981😂😂😂
Asante sana Jamal April Mustapha naku sikiya ni kiwa DRC Kinshasa 🇨🇩🇨🇩
Tunawapenda sana wacongo, huku Tanzania 🇹🇿 kuna mtaa Dar_Es_Salaam unaitwa mtaa wa Congo kariakoo.
Mwana mboka ✌️
Jamani naombeni bax hata like5tu
Afuuu watu mfike mahala mkuee
CLEMENT MBOLO
Kama umesikia jina hilo gonga like hapa tujuane tuliokuwq makini❤❤❤
sio mbolo ni mboro nyie watoto wa dar vp bhana
Hahaha yaani jamaa yote aliyoyasema umeskia mboyo kijana ovyo kweli
Jamal The professor 💫
Sitaki like hata moja
Nani kakuuliza
Mi sitaki like jaman sina pakuzilepeka>>>
Wakwanza kutoka dr Congo
Karibu Tanzania Dar_Es_Salaam 🇹🇿 kariakoo mtaa wa congo upo Tanzania, yote hii tunawapenda sana wacongo❤❤
Jaman mm naombeni like angalau nijue zin umuhim gan
Apewe maua yakee jamal april kazi anayoifanya hakika ni bola zaidii na ni nzuli sijui nani atafanya niache kusikiliza the story book labda kifo maana hakuna mwingine wa kuweza kunitenganisha na simulizi hiziii 🎉🎉🎉🎉
Eeh mungu ibariki tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wpii likes kwa Professar Jamal April ❤❤❤
❤
Professor
Gonga like moja kama una kubali jamal 😢
Huyu jamaa anajua
Kwa wanao amini Jamal ni mnyama nipe like🎉
like moja =na 78Tsh naombeni like 200 jaman nipate ata 15600Tsh
Weee
unapataje iyo pesa
jaman nipate like ata 3 tu
Jamaaaaaall🙌🏻
Professor Jamar april.hupo sawa sana mwanandugu
Unamanish
Tujuane Team Professor Jamal April 🔊🔊🔊
Kama unamkubali Jamal April Gonga like hapa kwani hata wewe unaeyefatilia The Story Book Hujakosea kuitizama
Nimewahi
nzuri sana
Mmoja kati wasimulia story bora kutokea africa mashariki
Nakubali profsa wa usmuliz salam nyingi kutoka kahama Tanzania
Tunao Anza part 1gonga like hapa @jamal_aprily😅😅
Atimaye umerudi tana Kaka nakunda saanaa❤❤
Naombeni japo Like 1 tu 😢
Professor jamal April,,hatari sana hii
Sudan
unachwelewa sana kuachia vitu kaka
Waah hizi picha za watoto zinatamausha
I love your work professor ❤❤
Tunaosubir party 2 ya OMAR AL BASHIR gonga like hapa
Hivi hizo like hua Zina maana gn nyie wenzetu
Jamal uko top 🔥🔥
One love from Kenya
Good good 👍🏾
Unajua prof
Safi Sana Jamal
Tatizo wa Africa tunauzwa na viongozi wetu yani kwa Rugha nyepesi TUNAJITAFUNA SISI WENYEWE kwakujijali binafsi
Mukubwa nakupenda Sana keep bringing out new ones niko naweye mba tu mba
tunae mkubali jamali tujuane kwa like🎉
Nakukubali sana prof Jamal 🔥🔥🌹
Nakupenda Ila kumuita BASHIR dikteta umeniuzi
Amekuudhi kuvip Tena ??
Sasa hati ya kukamatwa ilitolewa kwa nn acha kureson kwq mihemuko ya kidini
@@barakarobert9516 Dini Gani?
One love from malawi ❤
Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿
❤
Wapi like zangu jamani😢😢😢
Pamoja sana
Kwan hizo like nizakaz Gani? Heb nipeni hata kumi labd kesh nitaamka na hel ya chai😂
Daaaaah mashaalah ya Salam ya Salam kwa hakika simulizi nzuri sana yenye mafunzo mwanana
Nice
Hivi wanao omba like zinawasaidia nn
Wew hujaomba ila tunakupa . Wanapata pacent kidogo . Pesa
Waombe na mboo ziwabandue basi 😅
@@MashakaZacharia-if9pm 😂😂
Kula like na ww
Nipeni like Mimi sijawi kupata hata Moja 😂😂
LIKE ZANGU NA MIMI JAMANI
Daah ubaguzi wa kiislaam kutaka kuiendesha nchi kidini nichanzo kikubwa sana cha haya mapigano😭😭😭 naunga mkono🙋 maana hata huku Zanzibar waislaam wana ubaguzi sana tena hawana tofauti na wasudani 🤔 maana nao huwa wanataka utawala wakidini😔 inaonesha waamini wadini ya kiislam wakiwa wengi kuliko dini nyingine huwa wana force sana mambo😭😭 ni ushamba wakiwango cha juu🙏🙏
17: 40 bwana Clement Mboro wangapi wamesikia hiyo😂😂😂
Vijana wa hovyo sana ko yooote umeskia hilo tu 😂
Wote Wenye Kuomba Like Wanawekeza Watoto Wao Kuja Kuwa Omba Omba Unaomba Kila Siku Ujui Kama Unajenga Kizazi Chako Kuka Kuwa Ombaomba Apa Duniani
Jamal april🎉🎉 nakubali sana kazi zako
jamal upewe mauwa yako kwa simulizi zako mzuri brother much love from USA🔥🔥❤🔥
Kenya tunapenda the story book,, nipe like 🤗💟
God bless South Sudani🙏🙏
This guy jamal is so 🔥
Niungeni mkono kwa like nyingi tukiamin na sisi kama vijana ipo siku tutapambana na huu uongozi wasasa na kutengeneza serikali yenye kijali maslahi y kiraia
Na mimi ni wa pili naomba zangu
Wasafi Media for life ❤❤❤
Omar Al Bashir ni mbabe haswaaa
We need some like, please we wanna saw how it look like
utupe ya kenya pia, we're on the same page
Namkubali sana Jamal april
History nzuri ambazo zinatuhusu Sisi WA Afrika
Simulizi kali sana hii👏👏🔥🔥🔥