BREAKING: PUTIN NUCLEAR LAZIMA ITUMIKE, AYAONYA MATAIFA YANAYOIPA SILAA UKRAINE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Check more here: bit.ly/3yrpH70
If you find any error in material provided please take a minute to tell us about it. We will resolve it at the earliest.
COPYRIGHT VIOLATION
For Copyright Issues: We try our best to verify the ownership of content with the contributor. If you think your material is wrongly used, or if its a violation of copyright.
Kutazama Video Zaidi Jiunge Whatsapp Channel yetu apa👇👇 whatsapp.com/channel/0029VaCS0RC84OmDyyoduI0S
Nakukubali urusi nawewe ndie kiongozi unae jielewa piga mashoga hayo
😂😊
Kinukishe usiwe mnyonge😊😊😊😊
mikwara 😂
Safi sana
Safi Putin baba
Ukweli uko wazi hii vita anapigana nato kwa kumtumia zelensyk na serikali yake na zelensyk aliwekwa makusudi ili baadae aje aende tofauti na urusi ndomaana kakomaa sana coz nyuma yake kuna nguvu kubwa! Urusi anapigana vita ngumu sana na poa hataki kutumia nuclear ila ana uwezo wa kifanya ivo na sema anaogopa madhara yake ata wao wanakuwa kama na huluma pia nuclear ni raisi kuitamka lkn ni silaha haribifu sana kwa maisha pia itazuka vita kubwa sana! Na nato lazima watimize mission kumzima mrusi ambae ndio mbishi alietayari kutetea anachoamini.
Siye yetu macho
Huo ni woga
Marekani alipopiga hiroshima na nagasaki alikuwa nishujaa?? uwe unafikilia kabla ya kuongea, Nato unaweza kupigana nayo kwa silaha za kawaida ukaweza? nato wapo wengi na marekani ikiwemo, ingekuwa ni nchi nyingine tayari tungeongea mengine maana Nato ni tishio, alafu kama ni uwoga kwahiyo walitengeneza nyuklia ili wazitunze? nyuklia inatumika kama taifa lako lipo hatarini kuangamizwa, Nato wanaipa Ukraine kila aina ya silaha kuiangamiza Urusi, je unataka Urusi akae wamuangamize yeye na hizo nyuklia zake? inakuwa namaana gani sasa kuwa na nyuklia ikiwa watakuangamiza bila wewe kuzitumia?
Apime ata jioneya mwenyewe urusi ita poteya katika ramada ya ulimwengu
😂😂😂hvi unajua vizuri urusi au
hao nato wanajua ndomana hawatki kuingia moja kwa moja
hao nato wanajua ndomana hawatki kuingia moja kwa moja
hao nato wanajua ndomana hawatki kuingia moja kwa moja