PROF MUHONGO AITAKA SERIKALI KUISHAWISHI CHINA ISHU YA UWEKEZAJI"KWASASA HATUNA KIWANDA HATA KIMOJA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 18

  • @danielouma
    @danielouma 3 หลายเดือนก่อน

    Asante Professor Muhongo!

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 3 หลายเดือนก่อน

    Maptofesa hawa wanaweza kisoma data tuu

  • @matikowambura7657
    @matikowambura7657 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ivi wee mzee unaowambia wanakuwelewa au ndo kupigia mbuzi gitaa na kucheza hawezi

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 3 หลายเดือนก่อน

    Serikali yetu sijui kama inafanyia kazi mawazo ya huyu mwamba.huyu professor ni chuma kweli kweli.

  • @SamsonSony-yc3iz
    @SamsonSony-yc3iz 3 หลายเดือนก่อน

    Kumbe ata wale wanaokaa nyuma wanaongea point

  • @karyori69
    @karyori69 3 หลายเดือนก่อน

    Ulipokuwa Waziri ulifamy nn?

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 3 หลายเดือนก่อน

    Hao Wachina wa Kua nao Makini Sana..

  • @joshuashebati7938
    @joshuashebati7938 3 หลายเดือนก่อน

    👏🏼

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 3 หลายเดือนก่อน

    yy atachofanya atanunua mali ghafi ili akatengeneze chuma huko kwao zen auze dunia nyinyi sahauni viwanda so if that is case aache kuonge nadhari aiambie ukwel tusomeshe wasomi wetu kuhusu uzalishaji wa chuma zen tuzalishe kwetu wenyewe na tujiuzie na kuuza kwa majirani ila mchina hawazi kuwekeza kwetu huo ndio uhalisia

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 3 หลายเดือนก่อน

    jiulize swali lingine sisi si tunapamba na tulikuwa na maviwanda ya nguo angalia ni watanzania wangapi wanatumia bidhaaa zinazotokana na pamba ya tanzania ubovu sisi tunafikiri wengine watusaidie kuleta maendeleo yeu nani anaweza fanya hivyo wale ni wafanya biashara hawawezi ktusaidi waue biashara zao 4get that

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tz nchi ya ajabu mnoo mwaka 1975 China ilifanya mradi wake wakwanza mkubwa nje ya China reli ya Tazara ambayo wazungu walibeza nakusema China haiwezi tekeleza ikafanikiwa mradi ule ni waheshma mnoo katika historia ya China hadi Leo, tz ilitakiwa ifaidike kwelikweli kwa mchina ila sasa viongozi tulonao kwakua ni wapenda kuomba omba haswa kwa wazungu Leo tunaegemea ulaya na usa watu ambao wala hawana misaada ya maana zaidi ya kutoa masharti magumu na ya ajabu.

    • @section8ight174
      @section8ight174 3 หลายเดือนก่อน

      Never put all your eggs in one basket!!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 3 หลายเดือนก่อน

      @@section8ight174 izo baskets zingine Zinanini dunia ya Leo economic diplomacy ni kila kitu Kuna hegemony imeenda mbele kwa wengi China offers best kuliko izo baskets zingine ambazo zinakupa misaada na mikopo yakukubana na kukupangia hadi ufundishe nini na uajiri watu wangapi nenda kaangalie imf n world Bank au US aid funds ukaone masharti yao u will lucidly understand what I suppose to mean.

  • @BARAKA-ns3jv
    @BARAKA-ns3jv 3 หลายเดือนก่อน

    Sisi tuliosoma sayansi sisi tuna elewa anamwaga madini haswa hivi ndo vitu vya kusikiliza mbaka roho inapenda

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 3 หลายเดือนก่อน

    naona huyu jamaaa anaongea mambo ya makaratasi yaaan china awekeze viwanda vya chuma tanzania yy chuma yake anauzia wapi yy anazalisha na anataka auze ww unamwambia awekeze kwenu yy atauza wap coz akiwekeza kwetu chuma yote ya east ++central++south itakuwa inatokea tz yy atauza wap

  • @tanzanitemusicacademy
    @tanzanitemusicacademy 3 หลายเดือนก่อน

    th-cam.com/video/RatdqLDW5qI/w-d-xo.htmlsi=Uk9p74FD4e7aL41X. Yaliyo kuja Dodoma 😄😄