ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Professor Kabudi, moja kati ya vichwa vizuri sana tulivyobarikiwa kuwa navyo, mtu anaka degree kake kamoja tu anakuja kumtukana prof 🙌
Hivi ukiwa na degree zaidi ndiyo kusema unajua sana kuliko asiye na degree
Sana aiseee anajua sana
@@FridayMwassa huo ndo ukweli, mwenye degree 3 huwez mlinganisha na mwenye diploma,
Professor majalala
Professor maneno. Professor ni utafiti wa kusaidia jamii
Keake kustaafu,ni kuwa jalalani!
#ProKajalal
Ahahahaaaa umetukumbusha mbali
a.k.a MUHESHIMIWA MUNGU”
Ukimdharau Proffessor Kabudi. Jitafakari
Professor wa jalalani
Mmmmh!!!!!😂😂😂😂
Kabudi huaminiki!,utaremba kwa misamiati mingi, lakini wewe hufai kuwa kiongozi!
ameudhalilisha sana uprofesa wake na ubunge wake fake jitu la ovyo sana binadamu unamwabudu binadamu mwenzako kwa sbb amekupa cheo tu
Ukiwa na moyo wa kunyenyekewa hutaweza kushangaa maneno hayo ya unyenyekevu aliyoyasema Prof. Kabudi.Tuwe wanyenyekevu
Rudi jalalani
Ukishatoka umetoka boss😂😂
Kusema ukweli, Prof. Kabudi aliidhalilisha taaluma yake
Usomi wa aina hii is useless. Uchawa. Useless
Usomi wenye kiburi haukufikishi popote. Kuwa mnyenyekevu hakuondoi Kariba Yako ya usomi.
Professor Kabudi, moja kati ya vichwa vizuri sana tulivyobarikiwa kuwa navyo, mtu anaka degree kake kamoja tu anakuja kumtukana prof 🙌
Hivi ukiwa na degree zaidi ndiyo kusema unajua sana kuliko asiye na degree
Sana aiseee anajua sana
@@FridayMwassa huo ndo ukweli, mwenye degree 3 huwez mlinganisha na mwenye diploma,
Professor majalala
Professor maneno. Professor ni utafiti wa kusaidia jamii
Keake kustaafu,ni kuwa jalalani!
#ProKajalal
Ahahahaaaa umetukumbusha mbali
a.k.a MUHESHIMIWA MUNGU”
Ukimdharau Proffessor Kabudi. Jitafakari
Professor wa jalalani
Mmmmh!!!!!😂😂😂😂
Kabudi huaminiki!,utaremba kwa misamiati mingi, lakini wewe hufai kuwa kiongozi!
ameudhalilisha sana uprofesa wake na ubunge wake fake jitu la ovyo sana binadamu unamwabudu binadamu mwenzako kwa sbb amekupa cheo tu
Ukiwa na moyo wa kunyenyekewa hutaweza kushangaa maneno hayo ya unyenyekevu aliyoyasema Prof. Kabudi.
Tuwe wanyenyekevu
Rudi jalalani
Ukishatoka umetoka boss😂😂
Kusema ukweli, Prof. Kabudi aliidhalilisha taaluma yake
Usomi wa aina hii is useless. Uchawa. Useless
Usomi wenye kiburi haukufikishi popote. Kuwa mnyenyekevu hakuondoi Kariba Yako ya usomi.