Hahahaaaaaa Masanja hiyo RISE ON au raizoni kama tulivyozoea kuiita Yaani umeua,ila masanja alizaliwa akiwa mchekeshaji,yaani kila anachosema lazima utacheka.....hata akihubiri dini utacheka tuu...mungu ampe maisha marefu
@@victorsomba867 aisee, hapa kenya kizazi cha sasa ndo tunachukua hatua kuangamiza ukabila na kuimarisha Kiswahili...manake tuki ngoja wanasiasa, yesu atakua amerudi duniani...
Salama tuheshimiane..pls ongea na andunje mwenzio awepo hapo, ila mchungaji..kiatu mie hoi.. hata pepo likitaka kukuvamia linapita kwenye upenyo hapo ... 😂
hivi nyie wehu mnakumbukaga lkn kuwa mnatuingiza ndani saa moja usiku ili kuwatizama tu unatukuta familia nzima tupo ndani tumekaa tunaangalia tv tulivyo fanana sasa kama wachina 😂😂😂🇹🇿🇦🇪
Huduma zetu ni pamoja na: - Ubunifu wa wavuti - Ubunifu wa nembo - Usajili biashara/kampuni - Tiketi ya ndege na basi (ya Ndani na Kimataifa) - Usajili wa Pasipoti na Visa - Usajili vyuo vya nje - Uagizaji bidha ndani na nje ya nchi.
Duuu umeacha njia chagua moja dunia au Mungu ile njia n nyembamba sana ndgu wengi watataka kuingia lkn wasiweze iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa n njema sana lkn kwa Mungu n machukizo akili kichwani mwako masanja
amabye hakumuona Jyoti ,,,,agonge LIKE hapa ili twende sambamba
Tunaomba ze comedy irudi Tena🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤️❤️❤️❤️❤️💪💪💪💪
MashaAllah🙌🙌🙌🙌🙌tunarudi kwenye kuvunja mbavu kihalali🙌🙌🙌
Eemungu waludi tu jamani nime wamisi hawa watu sana
Hahahaaaaaa Masanja hiyo RISE ON au raizoni kama tulivyozoea kuiita
Yaani umeua,ila masanja alizaliwa akiwa mchekeshaji,yaani kila anachosema lazima utacheka.....hata akihubiri dini utacheka tuu...mungu ampe maisha marefu
Njooni tena the real fun comedians ever in Tanzania
Safiii sn hongereni Original Comedy 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Mi kiatu cha mchungaji tu🙌🙌🙌😂😂😂😂😂
😅😅😅KIATU...KTK UBORA WAKE GOLD MGUUN
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiatu😷😷
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
😂😂😂
Masanja you are very clever
Yani watanzania wote mwa zungumza Kiswahili kwa ufasaha... nimependa....
Tulivunjiwa mipaka ya kuongeleshana lugha mama now nchi nzima tunaelewana na kuishi Kama ndugu
@@victorsomba867 aisee, hapa kenya kizazi cha sasa ndo tunachukua hatua kuangamiza ukabila na kuimarisha Kiswahili...manake tuki ngoja wanasiasa, yesu atakua amerudi duniani...
Mpoki
Maklegani
Wakuvanga
Masanjaa
Amekosekana Joti & Vengu timu itimie aisee nyie watu tunawakubali ile mbaya yaani .....
Masanja umetishaaa mambo ya kanisan yabaki hukooo hapo upo kwenye kutafta hela...
Jot yuko wapi jamani
Itapendeza kama original comedy irud tena hewan.
Joti wapi?
Nimecheka jamani mpaka nimeangukaj jamani masanja ivyo viatu
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
Hao wanaabudu kwa masaja nawapa pole
Nikucheka nadhani mwanzo wa mpk mwisho
Vipi joti yuko wapi
Woyooo...so Happy orijino komedi imerudiii
Joti yuko wapi
Mwanaume umetisha
Hakuna comedy hapa...Tanzania bado mpo mbali
Joti yuko wapi jamaniiiiiu
Yaani viatu vya mchungaji ni 🤝
My favorite original comedy
Mbona Kindururu Joti cjakiona hapo kwenye INTRO au kilinyea KAMBI 🙆♂🙆♂🙄🙄😂😂
Joti yupo wapi?
I can't wait 😂 walinifanya nifeli shule hawa
Hahahahaaaa
Hahahaha! Unazingua😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkanda mizaji ndani ya kiatu cha ngongingo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🥰
Joti Yuko wapi
Ahsante Sana Kwakurudi
Salama tuheshimiane..pls ongea na andunje mwenzio awepo hapo, ila mchungaji..kiatu mie hoi.. hata pepo likitaka kukuvamia linapita kwenye upenyo hapo ... 😂
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
Rudini tena nawakubali sana.
Jamaniiii 😂😂😂😂 masanja una nini wewe yaani ulivyopandisha hapo nimecheka kwa nguvu kabisaaa
Tumewamiss sana jamani...Nawapenda mnoooo....
Joti yuko wapi?
Huyu mmoja sijui aliuguaa.. mbona kaisha hivyo
😄😄😄masanja bhana😄😄
Mbona Mr nixhai/joti cijamuona hapo !!??
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
Jamaa nae kama wew mchungaji acha mambo ya zamani uendane na wokovu mchungaji anavaaje viatu kama ivyo et
Noma sana
Alafu masanja unalamika waumini wanakukimbia
Masanja si kwa jeje hilo!! 😀😀
Wa kwanza kukomenti
Sasa uchungaji na comed mbona kama vitu viwil tofauti au mimi ndio sijui jmn! Kweli mmh waumin wake endeleen kuabudu
Ndo maana ya comedy
Ni kweli kabisa.
Mungu hapendi mizaha
Huyo churaaa!!!!! huwa ni mchekeshaji mzuri lkn hajatusua kama wengine
hivi nyie wehu mnakumbukaga lkn kuwa mnatuingiza ndani saa moja usiku ili kuwatizama tu unatukuta familia nzima tupo ndani tumekaa tunaangalia tv tulivyo fanana sasa kama wachina 😂😂😂🇹🇿🇦🇪
Jamani hiyo laizoni ya mtumishi inauzwa wapi!!
Original comedy haijawah kutokea kama hawa bado vengu hayupohapo
Uyu msenge sana
Wow wow nawapenda mno Hawa watu😘😘😘😘😘
Nawa kubal sanaaa mlikuwa mnanifanya nisilale
WOW, itakua poa sana, nitanunua dstv
Mpoki wa Kigamboooni
Joti yuko wapi.....
Bila Joti wapi.. mmmmh naona badoo badooo..
Huduma zetu ni pamoja na:
- Ubunifu wa wavuti
- Ubunifu wa nembo
- Usajili biashara/kampuni
- Tiketi ya ndege na basi (ya Ndani na Kimataifa)
- Usajili wa Pasipoti na Visa
- Usajili vyuo vya nje
- Uagizaji bidha ndani na nje ya nchi.
Sema Mbona hamjaja na Joti aisee
Kama hayupo Joti hiyo ze comedy Itakuwa ze kichekesho😏
Joti ashajitenga hataki hata ujamaa nao wanazingua tuuu
We miss you so much guys🤗
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
Jamni tumewasi sana.
We appreciate you the original comedy.
Jamani simurudishe kundi lenu hili tumewamis kweli yaani hapa kakosa vengu tu
Mko talented sana
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Mungu ametuona katurudshia kitu yetu
Cant wait for Original Comedy
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
@@simbafuns785kviewso iohbvyytct
Wachungaji waleo,huku Mungu huku komedy,dah wapi tunaelekea?
Mwisho ni binguni,Mungu alitupa akili tuitumikishe hatwabiya tuleye mikono
Kwani kuna ubaya gani kuwafurahisha watu
Kwani umeambiwa uwafuate
Ndiyo wanaofaa maana hawategemei pesa ya waumini kununua magari makubwa, wanakulisha neno wakimaliza mnaingia wote mtaani kusaka tonge,
Mbinguni
DUUUUUUUU THE COMEDY 2021 & FOREVER
Hivi vengu vipi aisee, kitambo sana jamaa hatujui anaendeleaje
Kwa kweli,ila Seki alishasemaga wasemaji zaidi familia yake ,
Duuu umeacha njia chagua moja dunia au Mungu ile njia n nyembamba sana ndgu wengi watataka kuingia lkn wasiweze iko njia ionekanayo machoni pa mtu kuwa n njema sana lkn kwa Mungu n machukizo akili kichwani mwako masanja
Umundu gwa Mwakaleli
waliokuwa na maisha ya furaha kwamtazamo wa sura zao ni mpoki n amasanja na joti tu.
Toka pepo
Kweli Mch Wa kisasa hatariii!!!
Tid chuckes watoto wadogo sana nyie 😂😂
Hahahaha Masanja jamani
Hapa ata nikilipa kifurushi naona ela yangu inaenda kihalali
Yani limasanja linapendaga kutumia sana fursa ndio mana anafanikiwa huyu kaka
Salama kabongeka
hahhaaa ko ni dstv tu si wengn inakula kwetu?
Nakuelewaga sana mwarabu wa Dubai 🤣🤣🤣🤣🤣🤜.
Wapi joti?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mambo ya kanisani yaache kanisani usije ukachanganya mada 🤣🤣haki mchungaji unavisa weyee
Mabao yote yanga day th-cam.com/video/EKEejbzxMNY/w-d-xo.html
jaman
Lakin masanja una nini hicho kiatu
Masanja💝💝u
Yule aliyekua anaumwa yuko wapi
TID got voice aisee.
Wanaume
Masanja dah namkubal kinom
T.I.D Talented 🙌
Ndiyo mmerudi kwa awamu nyingine au?
Huyu Mchungaji huyu, Anawachunga mbuzi wake Vibaya Mwisho Atawapeleka Motoni.
Masanja bana
wap joti jman?
Mbona joti simuoni
Safiii
Ila masanja
Uwiiiiiiiii kiatuu chaa baba mchungajiiiii sasaaaaa hahahahaaaaa
Daah
Ni pande za wapi hizo zilikua NYNYI,
mbona hamna WELEDI ktk kazi !
😂😂😂masaja kweli ni mwisho sikwakiyato isho
awa jamaa wapo tuuu!!!! Daaaaah!!