Kumbe hawakopeshi tuu na kuuwa wanauwa jamani 😢😢😢😢😢 OYA Vipi tena jamani.
Taasisi za mikopo kuweni makini sana kudai sio kupiga jamani 😢😢😢😢
Wahusika wakamatwe. Kampuni ifungiwe, pia itoe fidia ya kutosha Kwa familia
ACHA WIVU KAMPUNI IKIFUNGWA NDIO ITASAIDIA NINI!? Kampuni ikifungwa si anafungua nyingine ndani ya dakika 5 tu. Acha roho ya kimaskini.
Oya mmeamua kuua kabisa😢😢
Wanawake tujitahidi sana kuwashirikisha waume zetu mambo km haya. Pole Sana ndugu yangu. Hii kampuni ifungiwe wallah mmetoa uhai wa mtu kisa deni limebaki laki moja na elf 70??
Hyo kampuni ifungwe
@@rosemilingi7860
Inshu Sio Riba Inshuuu Ni Kwamba Wanadai Vibayaaa Mnooo Hao Mbwaaaaa Yaani Ata Saa Kumi Usiku Wanatimba Hao
Pole sana dada lakini hii ni kesi tayari hiyo kampuni ya OYA inatakiwa wahojiwe vizuri!
Hii nchi kila kitu mama samia hakunaga viongozli wengine wasidizi
Uyu si mbwa kwa hyo unataka waongee na nani au kwa sababu nyie uko znz maisha mmeyapatia
Hata kama wanafanya mapuuzi mama samia 😅😅😅 ujinga mtupu hapa wanawake mna tamaa munakopa hamuwashirirkishi wanaume zenu mmbwa nyie
Labda Viongozi wengine ni vilaza tu havina au havifanyi chochote wakiambiwa. Labda kwenye hao wanahume WAlikuwa wanamtaka huyo mwanamke kimapenzi!!!? Au vipi? 😢😢😢
Hawa sio wakukopa kwao hawafai kabisa
Acheni kukopakopa.mikopo yenyewe yana liba.mnanunua ugomvi na mungu.
pole sana dada ila mikopo ni adui wa maendeleo yako binafsi 3:50
Mikopo ina riba na riba ni haram. Haram inamazala mengi siyokifotu tyjitahidi tuepuke na mikopo ya Riba. Kwani inatumaliza kinyakinya kwavitendo. Sshatujijui. Mazalani mengi kwa binadam kupitia riba. ,,,,tukinai na halizetu
Sahihi kabisa. Tukinai na tulichonacho. Na madhara ya riba yanatupata Kwa kuwa si riziki yetu ya halali tuliyokadiriwa bali ni Sisi ndo tunalazimishia.
Mikopo yote duniani ina riba madam, hata misaada tunayopata kutoka nje ni hivyo
Yani hii nchi imeharibika kwel itakuaje mumuuwe mtu kwa kumdai dah inauma sana lakin viongoz msome maisha magumu raia wanateseka wanakopa mpaka wanauliwa serekal hili msilinyamazie kimya😂😂😂
Kwa nini wadimfuate aliyenunua?? Hawa oya wanamakosa.
Hii ndiyo hasara ya mikopo ya riba ALLAH. anasema acheni riba lakini mnaleta kibri
Kso sad
Shida watu wa Tanga mnapenda sana mkopo mikopo Tena wakati mwingine ya ovyo ovyo wengine kazi hawana Wala Biashara hawana 😢ila Poleni wafiwa wote
Eti nikope ninunue simu?
So sad 😭
Uyu demu ana mpango utafanyaje kitu mumeo ajui
Wanawake mmezidi tamaa hivi nikitugani kinachokupa ujasili wakukopa pesa bira yakumshilikisha mmeo je unajiamini nini juu yahilo mnazalausana nyinyi wanawake
ILA WANAWAKE JAMANI UNAKOPA HELA UNANUNUA SIMU BASI TU
Unakopa mume hajuiii duuu ona Sasa umemsababisha maafa kwa kijana wa watu 😢😢😢😢
Kwani hii oya ni nn??
Wanawake tuacheni tamaa jamani eee tuwe tunawashirikisha waume zetu jamani,, sasa kama ilibaki laki si ungechukua mkopo wa laki ulipe deni then ubaki unadaiwa laki na riba yake ulivyokuwa huna akili na tamaa zako ukachukua tena laki tatu dah!! Hata uo mkopo wa kwanza sidhani kama ulichukua na mumeo kama unavyosema
Wanyongwe hao wasenge
Hii oya ifungiwe
Inaumiza sana hata mimi aunt yangu alimuua mjomba wangu kwa mikopo Allah amrehemu, uncle alishangaa watu wamekuja kwake na kuanza kupiga mdana kiwanja chake hapo ndo akajua kuwa mkewe alikopa uncle akapata stroke ile hali ikadumu kwa mwezi mmoja mpaka umauti ulivyomkuta
Hawa Oya nawachukuia Sana nimeona utendaji kazi wao wanadhurumu Sana sikuzote nikiona gari zao roho inaniuma Sana sijui kampuni hii ina wahusika serikalini
WALAATAKRAAB RIIBAA
TAMAAA MBAYA SANA UNAKOPAJE BILA KUSHIRIKISHA MUME
Polee dada.
Olooooooh ngoja tusikie serikari tuone itafanyaje
Pole sana dada angu ila jaman kila kitu sio mama samia watunzania tuwe uelewa kdg raisi ana majukumu mengneyo kuna viongoz wa ngazi chini
Iiiiooo😂😂😂😂😂 unakopa unanunua cm huyu dada kabila gani
Jina lenyewe et OYA😂😂 mbona kama wahuni tuu
Mhh.mkopo shikamoo
Jamani. Unauwa kisapesa
So sad Rip😭🙏
Kwa kweli mmh
Hapa hakuna mwanamke ,kananuka mikopo tuu,
Pole sana ila wakati wakuomba msaada acheni kutumia lugha ya kumtaja mh rais kama jinzia yako mm sipend na nahisi haipendezi kabisa kujifananisha omba kitu kwa mkuu wako kama unauhakika amekupita kiuwezo lakin kama una fananisha utapata tabu sana ombakama unaomba kwa mkubwa wako hatamm ukinomba kiivyo wathah sikupi
Jmn maskini pole
Umasikini jamaani ugonjwa! Asinge kuwa masikiini asinge kopa mpaka mumewe kuwawa. Hujamponza wakati wake ulishafika na hao ni wauwaji tu. Laki 3 sio ya kumuuwa mtu. 😭😭 mtihani huu.
Hii kampuni ya OYA ifungiwe haifai hata kidogo, jopo la wanasheria maarufu kutoka chama cha wanasheria simameni ili haki iweze kutendeka.
mwandishi uliza deni limelipwa au zamana mmetoa
Huyu dada nae ana makosa, unachuaje mkopo bila kumshirikisha mumeo.
Pole Sana mwanangu
Daaàh kweli sasa dunia imekwisha, yani unatoa uhai wa mtu kisa pesa amakweli utu siku hizi umetoweka
Iyo kampuni ya Oya ukiwakopa wanakufata ata saanane za usiku
Hiyo campuni haifai
Oooo jamani RIP.
Mambo ya kausha damu
Uchunguzi utendeke kwa makin wenda hao ndo watekaji na pia mkewe nae akamatwe
kaa mjane sasa tuone mshenz ww ,kutwa mahera ya watu mnayatolea macho,mkinyimwa hamkubari
Raisi wa TLS tunakuomba umusaidie uyu dada wew ndotaa yetu kwasasa watanzania bira wew tutaisha kaka yetu mwambukuzi tunakuangukia wew musaidie uyu dada
Wanawake tuache tamaa mimi kitu ambacho naogopa ni mkopo wa riba
Hawa oya sio wakiwa hata wanadai 10000 wanafuata watu nyumbani hata saa Tisa usiku hii kampuni sio
Pole sana dada .
Ni ya mwavita makamba
Oya ifungiwe
NAPE ALIKEMEA KABISA
DENI HALIFUNGI MTU HATA NCHI INAMADENI IWEJE WAUE
MIKOPO YA MITANDAONI IFUTWE
IBAKI BRANCH
Pole sana Dadaangu
Kifo bhana yan utakwepaaa lkn huja bila sababu kubwa mungu mkali sana ww polen nyie watu 😢😢
Uwo mkopo wapili walimlazimisha kuwa hakope na amalizie deni la kwanza ila kosa hakumwambia hali halisi
Wanawake mda mwingine mnazingua yani unakopa ununue simu aseee 💔
Hili jimwanamke ndio chanzo sura mbaya ovyooo unachukua hela ya mkopo unaenda kununua simu unaakili timamu?
Inawezekana labda alikuwa nakimbia kudaiwa, kwa nini wasije mapema?
Wamama wanapenda hyo oya ila n marejesho makubwa yaan wamama hawogopi wallah mpk wanachanganyikiwa na wanadhalilishwa sana wallah kampuni mbaya nawaona watu wanahaha sana marejesho makubwa na n miez 3 n tabu tu maisha magumu punguzen marejesho yaan hta uchukue million 5 miez mitatu Huku alizimia mtu
Wanawake ni hatar chukua tahadhar wadauuu
ila wanawke mnapend mahmuz yenu binfs mpka ttzo linakuw kubwa ndo mnajtez
Imetoka kausha damu mpaka kuuwa jamani bunge lipo wap jamani mikopo yote kuanzia kwenye simu ifutwe
Ubaya ya riba ndio huu
Mimi nashangaa mtu tayari amefiwa halafu mnakwenda kumuhoji hii inakaaje? Ukope ukanunua simu!!!
Duh
Kudai haki bila kufuata sheria ni vurugu
Wanna wake muache mikopo jmn
Unachukua cm bila mmeo kujua kwel hizi ndoa zasasa zimekuaje Yesu tusaidie
Mnataka haki sawa tulien hivyo hivyo
Du pole sn dada, hukujua kweli.
Oyah mkopo wenyewe riba kuubwa nno tena wakati wa kulipa wanakuja asubuhi au usiku wa manane
Yaani wanawake na mikopo tena mikopo unaenda kununua simu navitu kwatamaa sjui mnakuwaje wanawake acheni tamaa sasa mpaka unapelekea kuuwawa mtoto wawatu unaonaje huomkopo ungeutumia kwenye kufanya biashara ili uzalishe uwezekurejesha we unaendakununua simu nyoko sana wewe mama
Alafu et nimwislam naunajuwa mkopo unariba na riba niharamu ayo ndo maripo ya mwenyenyezi mungu pole sana ndugu wa marehemu
Ndugu Zangu TuweWakweli Kwenye Ndoa&Familia Zetu?
😢😢😢 Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake mola ampe khauli thabiti ndugu yetu 😢😢😢
Duu,inaumiza sana.poleni wafiwa.
Hiyo kampuni ya oya ni kweli wanatembea 4 na ni wababe kweli. Pole mfiwa.
Wanawake mnatuponza sana kwakwel anyway.
Et mama samia mama samia ndo alikutuma ukope we nimshamba sana ungekuwa ni mkewandugu yangu tunakupa taraka ata kabla yakumzika marehemu nimekuchukia sana wewe dada nahili nisomo kwa wanawake wanaenda kukopa bila kuwashilikisha wapenzi wao au waume zao nahuyu siyo wakwanza atahuku kwetu wameshatokea kama wanaume2 nawengine wamefungwa wakati hawajui mkopo wa hawakushilikishwa yaani mimi mkewangu akikopa ajipange kwenda kukopea kwako
Hawa jamaa na wafahamu wapo morogoro balaaaa lake siyo la kawaida
Jambo la kwanza hao waliouwa wazibitiwe na kufungwa maisha yao halafu hiyo Oya ifungiwe mazima na family ilipwe billion kumi za kitanzania ili Campuni nyengine iwe ni funzo
Oya ni hatari inafirisi sana watu
Jmn , kwann lkn😢 laki tatu zimuuwe mtu? Ila wanawake msikopekope ovyo jmn
Hao jama kwani wemezoea kupiga watu
Poleni sana wafiwa
Sasa hao si nisawa na majambazi jamani?mbona watoa hela za riba wanajichukulia maamuz yao,hakuna serekali?nisawa na wale wanakaa jariakoo wanachezesha michezo ya wiz na polisi wapo
Wafungiwe hawa
Mmelazimishwa kukopa kazi iendelee
Kausha damu OYA imemwaga damu isiyo na hatia, dah inasikitisha sana, hii kampuni haifai.
Oya.....siwataki kabsaa wazee wa kuongeza riba
Huyu yuwa faa kuwa kwaeda lkn mtiani😢😢
Pole dada, wanamakosa sana deni haliwezi kuua mtu, ugejua usingenunua hata hiyo simu,