Yaani hata kabla cjaisikiliza hii ngoma,nme like kwanza maana huyu jamaa hajawahi kuniangusha.Daaaaa....jamaa kichwa sanaaaaa,Tanzania one ndo huyuuuuu.....😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Nakubali sana unavyo andika prof but no body listening wahusika wanakunywa chai and close their ear's... Keep the fire burning .hata misri haikujengwa kwa siku moja.
Hujawaigi kutuangusha,,, mbunge unaeongoza binadamu na wanyama,,, Polomosheni like za kutosha kama ishara ya kupaza juu sauti ya mnyonge na kuacha kulia lia,,,,
Kali sana hiyo Naielewa broo like zangu na professor jay
Fya.. Tano safi. Shikamoo Benz Mic U in the game kaka.
Haujawahi kuniangusha brother, (msilie)
prof j ni hatareeeee Safi kamanda
kaz nzuri mmetish mbaya
Msilie kwenye taabu piga moyo konde shavu kwa Chidi Beenz return to game
Asante prof unakata kiu zetu
Pamoja Sana mti mkavu
Hakika watanzania tuna umoja sana, tulipokuwa kwenye matatzo hamukuachia k
ngoma, leo MO amerudi full mangoma, twende sawa, @LOVE MY COUNTRY.
Nimeipitisha kiroho safii
Aisee wanangu mbunge anayeongoza wanadamu na wanyama amepiga kuua,
Showing love from +254
Likes zije
Asante mheshimiwa Prof Jizeee kwa kutukumbuka watu wa ghetto kutulisha madini yetu.Kibabe zaidi💪
Good up bro kazii safi sana haya fungienii na hii bhac maana hamchelewii
Kali sana ata Kenya tunatambua jay ni babayao TZ bt jay tunataka ufanye Kazi na khalgraph jones
Dahh yani kiukweli Bro wewe ni noma dadeki toka enzi zile ujawayi kuniyangusha bro #msiliye 😢😥 +1
Chidi n level nyingine
Umembania chuma.. hajachana hii ngoma inahitaji remix....
prof ww ni role model wangu ktk harakati za maisha
Professor Jay naomba uweke ile ngoma ya salamu Bibi na Babu tafadhali
Mbona ipo,,
Never stop loving this my song
Yaani hata kabla cjaisikiliza hii ngoma,nme like kwanza maana huyu jamaa hajawahi kuniangusha.Daaaaa....jamaa kichwa sanaaaaa,Tanzania one ndo huyuuuuu.....😂😂😂😂🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Niko hapa juu ya P Jay hajai angusha
Dope song#Prof.J
Nakubali sana unavyo andika prof but no body listening wahusika wanakunywa chai and close their ear's... Keep the fire burning .hata misri haikujengwa kwa siku moja.
King na Simba WA Hip Hop East Africa Wakutana.
Kunatiiisha ile balaaa.
Big up my Heros. Love from Kenya
Daaah ipaze juu sauti ya mnyonge kwa kweli ....big up to the legends
Msilie!
Bonge la Meseji brother
Vina vikali Jay
Umetisha
oyooo pini kaliiii kinomaà
Maisha ni mchanganyiko wa milima na mabonde much respect kwenu
hili dude nomaaaa le prof umetisha respect kwako kama zote yani 🔝
kama sitaacha comment yangu apa ntakua cjatenda haki, yani hili goma fireeeeee"msilie maisha ni mchanganyiko wa milima na mabonde"
Nyimbo nimeikubari, Aluta continua
First comment 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥☑️
254 from south Carolina am lckd.
Nakuelewa sana kaka prof
Bongo is back .. love from Kla.
Lamaa kalinyoosha hil bit
Hujawaigi kutuangusha,,, mbunge unaeongoza binadamu na wanyama,,,
Polomosheni like za kutosha kama ishara ya kupaza juu sauti ya mnyonge na kuacha kulia lia,,,,
Kali sana mzee
mh ..nakutabiria makubwa
uyo noooma profesa
Shikamoooo!.. The heavyweight Eemc+Chuma nondo,
Rushwa imeshikwa hatamu naghafla itakua halali ...huyo ndo Mbunge anayeongoza Binadamu na wanyama.Heshima kwako kaka
Kali saanaaa
juuu kama mwezi
Hivi jaman hii ngoma kuna watu wanaweka dislike wanaakil kwel?
Chumaaa
Chidii rudi kwenyee game bana
Mr hitt
Ngoma imetulia balaa #Msilie
I support chidi Benz arudi
🔥🔥🔥we real missed that jay
htl sana we jmaa nkubli sana ila mkumbuke Dogo mmoja wakuitwa colourless
Ngoma kal broo
Big-up Prof Jay
Mziki mnene kama kawaida...una beep wanakimbia..
Professor wa mziki kweli!
Thanks brother for the nice massage
Sijamsikia chid
kwenye chorus
tisha sana
Dah hii ngoma nimeitafuta sana
Big talent j
Wow ngoma kali snaa, but chid ajachana nilitamani achane..
Motoooo i
J ngoma kal sn,tunaomba vidio tafadhar
nice boy
Huwa nikisikia sauti za maligendary kama wewe nafurahi sanaaa
mjedengwa poizon Prof ni legend na kazi zake ni legendary
Hii ngoma kali ila km nishawai isikia hv
Ngoma ya muda tu!
Gonga like apa...👍
Hii nyimbo bado ina vibe ile ile, acha bhana. Hizi nyimbo na mambo tunayopitia kipindi hiki daah
hii yenyewe
Like down km ngoma umeikubali
..it sounds like an old song..ilirecordiwa kitambo hii ngoma
we missed this
chid wewe ni mkali lkn sijuwi wapi una kwama kaka
Kassim Ali hujui VIP kama anatumia madawa?
Kizazi
King Kong Chuma
Tawire
ALUTA CONTINUA
Kupitia ngoma hii ndio utaelewa maana ya mkubwa dawa
Nice
Msilie
legend wa hip hop
Hatar sana broooo.. Unazeeka na ukali wako
Kaka anaweza tangu na tangy
Saf2
👊
Gonga like kama wewe unasubiri video usilie
PROF HAANDIIKI HIVI TENA ALIPATA PESA TAKO LIKALIA MBWATA
Uchama unakusumbua viva pro jay
No one like u chid what is wrong brother
+254
Hivi hawa walio dislike hii, hawaelewi maana ya dislike au watakuwa wachawi hawa 😂😂😂😂😂😂
Wachawi wa Lumumba hao bro 😀😀
ngoma Kali pf j
Keeping the real hiphop alive
huyu ni shida tupu kwenye game
Video