suala hapa ni katiba mpya tu,mengine ni ngonjera tu,eti kuna vyamba vingine vipii??Chadema ni chama kikubwa chenye wanachama nchi nzima,sio busara kukipuuza.
This time around, things will never be the same. Most Tanzanians aren't fools, as they think. They will understand the language, "no reform no election."
Hamjamuelewa mwenyekiti Lisu,mbona alifafanua vizuri kuwa anayepaswa kusimamia hili ni Mhe,Rais na si mwenyekiti wa chama na unaposema Raisi unampata Samia wala so wasira
@@gasperpanga4422 katba ,KATIBA, kaibaaaa.tuwe tunajifunza.hata,kwa mashemeji zetu ( wakenya),KATIBA wamerekebisha Mara ngapi? Nchi imetulia?Kenya Lila.siku vurugu .hamuoni. Sasa nikwambie KATIBA Ni watawala tuu.wakiamua kufanya vizuri hiyo ndio KATIBA..Sasa jiulize serikali yako imefanya mangapi mazuri? Inawezekana kutawala nchi bila KATIBA mpyaa.na Mambo yakaendelea.kikubwa amani upooo????
Ccm mnajificha kwennye mazungumzo ikifika kwenye uchaguzi mnapola uchaguzi mnakata majina ya wagombea wa upinzani Bora lisu awaeleze ukweli *+huyo wasila saizi yake ni makamu mwenzake John heche
Wasira hana jipya na hatakisaidia ccm zaidi ya kukipunguzia mvuto kwa wananchi, wananchi tumemchoka, kama Jimbo tu lilimshinda atawezaje kukisaidia chama???
Tunataka katiba mpya katiba mpya katiba mpya hatutaki ngonjera zenu mmelewa madaraka mnadhani nchi hii Ni mali ya CCM hii nchi Ni mali ya watanzania wote
Wewe ndo haujaelewewa LISU kamaanisha kiongozi wa Serekali sio wa chama tatizo lipo kwenye katiba ya nchi sio katiba CCM. Wasira hahusiki yeye aishauri serekali yake. Ili Samia achukue hatua maoni ya maridhiano yalikataliwa kwa barua ikawakatisha tamaa chadema kuona wanadanganywa sasa msingi wa maridhiano nini ?
Lissu yuko sahihi. Sasa CCM na sheria za uchaguzi wapi na wapi. Hili ni suala la kiserikali. Matatizo ya uchaguzi Wasira atayatatua vipi wakati hata serikalini hayupo.
Mheshimiwa lisu anategemeya sana nchi za nje kuliko ndani haya ndo yale alosema Dr salmin miaka ya nyuma wanaenda lalamika kwa wakubwa kanifinya hapa kanishika hapa Nasema mtamkumbuka mboe karibu
HIZI NDIO PROPAGANDA ZA CHUKI NA NDIO INAYOWAHUKUMU KILA UCHAO,HIVI MNAPATA WAPI UJASIRI HUO WA KUMWAMBIA RAIS NI MKIMBIZI?!! CHADEMA HAINA SIFA YA VIONGOZI WENYE BUSARA YA KUIONGOZA NCHI,WAMEKWISHA POTEZA MUELEKEO,NA WAMEFILISIKA KISIASA.MLICHO BAKI NACHO NI CHUKI NA PROPAGANDA ZA UONGO.SIO WA KWELI KABISA.KWANZA CHAMA CHA MAPINDUZI,HAMUWEZI KULINGANISHA NA HICHO CHAMA CHA WAROPOKAJI WA MANENO YA UONGO, FITINA NA CHUKI.NA CHADEMA HATUTOWEZA KUSHINDANA NA C.C.M HATA SIKU MOJA IKASHINDA.KWANZA HAO WANACHAMA ILIO NAO TUPEKE YAKE NCHI NZIMA WANATOSHA KUIPA USHINDI C.C.M!!! C.C.M. Vs CHADEMA NI SAWA SAWA,NA KUIPAMBANISHA YANGA NA COPCO YA MWANZA,ILIYOTAFUNWA GOLI 5-0.PIGENI KELELLE WEE MWISHO MTAISOMA NAMBA.C.C.M.NUMBER ONE.
Tutamkumbuks Sana Magu.alikuwa makini hataki mzaha kwa wapumbafu..Bi Mkubwa alifanya makosa.watu wengine sio wa kuwaonea huruma.lisu Hana ADABU..alitakiwa abanwe huko huko asirudi tz.hatufai
CCM acheni ngonjera watanzania wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi acheni ujanja ujanja nyinyi ndiyo tatizo ndiyo mnaokwamisha mpango wa kuwaletea watanzania katiba mpya tunatakiwa katiba mpya
Acha ujinga, mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba yalitolewa muda mrefu mkapuuzia. Hilo la kutokuwa na muda kwa sababu bunge litavunjwa June halina mashiko.
Lissu yuko sahihi, alieleza vizuri tuu mwenye mamlaka ya kutatua mifumo ya uchaguzi ni rais sio ccm maana ni wanufaika, sasa unampingaje Lissu muache ukajanja wenu wananchi tumechokaa nanyie
Sasa wewe unaongea Kama nani? Watanzania wanataka katiba mpya na ukumbuke nchi hii si ya wanaccm nchi hii Ni ya watanzania wote tunataka rasimu ya warioba itumike itumike iwe katiba mpya
Hili Swala linahitaji Busara Zaidi kuliko vitisho na Kauli za huyu msemaji zimejaa command mgejipanga na kujibu kidipromasia, hakuna Chama kilicho bora kukizidi kingine.....!!!
Makamu mwenyekiti wa CCM anakaimu muda wote kwa kuwa muda mrefu mwenyekiti anafanya majukumu ya Serikali hivyo makamu anafanya majukumu mengi ya mwenyekiti isipokuwa tu linapokuja suala la vikao au majukumu ya chama kitaifa
Kimsingi ccm ilishapotea Tanzania ktk ramani ya siasa. Kivuli chao kinalindwa dola tu. No dola no ccm,hata wao eanajua hivyo. Ndo maana kivuli cha ccm kinaogopa katiba mpya, maana ikiwepo hicho kivuli kinapotea kabiiiisa. Ndo maana hata huyu anayeongea sasa hivi kwa kusemea kivuli cha ccm,anaweweseka tu.
KWANINI CCM WASIONDOE WASIMAMIZI WA UCHAGUZI, WATENDAJI, WAKURUGENZI, WAKUU WA WILAYA KWA NINI WASIWATOE HAO USIMAMIZI UWE KAMA CHADEMA WALIVYO FANYA? KILA KITU KIWE WAZI? AU MAREKANI? KILA KITU WAZI WAZI.
suala hapa ni katiba mpya tu,mengine ni ngonjera tu,eti kuna vyamba vingine vipii??Chadema ni chama kikubwa chenye wanachama nchi nzima,sio busara kukipuuza.
This time around, things will never be the same. Most Tanzanians aren't fools, as they think. They will understand the language, "no reform no election."
Lisu yupo sawasawa katibu c cm hayupo kisisa bali yupo kitumbo
😂😂😂 lissu kaisha wavurugaa watu hukuuu, wanachanganyikiwa huku 😅😅😅 na bado hamjasema .... .
Hamjamuelewa mwenyekiti Lisu,mbona alifafanua vizuri kuwa anayepaswa kusimamia hili ni Mhe,Rais na si mwenyekiti wa chama na unaposema Raisi unampata Samia wala so wasira
Nyinyi watu wa ccm mbn mnatumia nguvu sisizo na maana hii inchi sio ya ccm
Povu tu hakuna hoja hapa. mtaelewa tuouemtaka kaja sasa
Kwa huyu Lissu, mda sio mrefu CCM mtalala kitandani na VIATU
😂😂😂😂 lissu ni kiboko yao
Nyie mafisiemu kwani katiba ni ya kwenu au ni ya wananchi
Huyu wa ccm anayehojiwa naona ndio anavuruga kabisa
Uvumilivu umetosha tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
@@gasperpanga4422 katba ,KATIBA, kaibaaaa.tuwe tunajifunza.hata,kwa mashemeji zetu ( wakenya),KATIBA wamerekebisha Mara ngapi? Nchi imetulia?Kenya Lila.siku vurugu .hamuoni. Sasa nikwambie KATIBA Ni watawala tuu.wakiamua kufanya vizuri hiyo ndio KATIBA..Sasa jiulize serikali yako imefanya mangapi mazuri? Inawezekana kutawala nchi bila KATIBA mpyaa.na Mambo yakaendelea.kikubwa amani upooo????
Na bado ntatoa mapuvu mwaka huu
Ccm mnajificha kwennye mazungumzo ikifika kwenye uchaguzi mnapola uchaguzi mnakata majina ya wagombea wa upinzani Bora lisu awaeleze ukweli *+huyo wasila saizi yake ni makamu mwenzake John heche
Wasira hana jipya na hatakisaidia ccm zaidi ya kukipunguzia mvuto kwa wananchi, wananchi tumemchoka, kama Jimbo tu lilimshinda atawezaje kukisaidia chama???
Mzee atawaweza vijana?umri alionao ni wa kushinda kanisani na kuwa karibu na Mungu siyo umri wa mipasho ya siasa.mi ni ushauri wangu
NILIJUWA TU HUYU MAKAMU NA LISU HAZITAEVA
Mtanyooka tuu huyo ni TUNDU LISSU nyie maizi ya CCM kiboko wenu huyo ni tofauti na mbowe ambaye mlikuwa mnamuhonga pesa zenu halamu?
kama wapo vyama vyengine na washiriki lakini chadema no reform no election , kazi kwenu CCM.
Lisu yupo sawa ccm hamna jipya kabisa
Tunataka katiba mpya katiba mpya katiba mpya hatutaki ngonjera zenu mmelewa madaraka mnadhani nchi hii Ni mali ya CCM hii nchi Ni mali ya watanzania wote
Hapana, unakosea, hawapaswi kuomba! Wanapaswa kudai!
Huwezi kuomba hili ni jambo la sheria si mlisema Mbowe anadai demokrasia wakati yeye kang'ang'ania kiti sasa ameachia mnataka tena arudi
Wewe ndo haujaelewewa LISU kamaanisha kiongozi wa Serekali sio wa chama tatizo lipo kwenye katiba ya nchi sio katiba CCM. Wasira hahusiki yeye aishauri serekali yake. Ili Samia achukue hatua maoni ya maridhiano yalikataliwa kwa barua ikawakatisha tamaa chadema kuona wanadanganywa sasa msingi wa maridhiano nini ?
Ccm akili zao ziko tumboni sio kichwani
Uchaguzi bila ya chadema inawezekana 😂😂😂
@@halimamasai2234 kwa vyama vya kununua inawezekana lakini ujue ni laana usifikiri wizi wa kura unambariki Mungu
Jibu swali ulilouzwa msemaji wa CCM!
Aside heshimu mama wa mwezie unue wakwake atamvua nguo
Tusiye mtaka kaja uyu lisu atatuuwa ataki mariziyano da sasa tukubali kubadilisha katiba maana ikibadilishwa tu jela tumeenda naiziela tunazo waibiya wa Tz tutakula wapi tena jamani lisu wewe unataka kutuuwa napresha
😂
Lissu yuko sahihi. Sasa CCM na sheria za uchaguzi wapi na wapi. Hili ni suala la kiserikali. Matatizo ya uchaguzi Wasira atayatatua vipi wakati hata serikalini hayupo.
Kwani Lisu yuko serikalini.basi kama wasira hayuko serikalini atamalizana na huyu Lisu asiyekuwa serikalin
Mheshimiwa lisu anategemeya sana nchi za nje kuliko ndani haya ndo yale alosema Dr salmin miaka ya nyuma wanaenda lalamika kwa wakubwa kanifinya hapa kanishika hapa
Nasema mtamkumbuka mboe karibu
Utamkumbuka wewe kwa kuwa mlizoea kumhonga hela
Anayehojiwa hana lolote make bwana lissu alieleweka vizur sana. Samia ndio anayepaswa kusimamia hayooo
Kichanganyeni mtajua hamjui tunawasikiliza tu!
Samia hana muda na mkimbizi 😂😂😂
HIZI NDIO PROPAGANDA ZA CHUKI NA NDIO INAYOWAHUKUMU KILA UCHAO,HIVI MNAPATA WAPI UJASIRI HUO WA KUMWAMBIA RAIS NI MKIMBIZI?!! CHADEMA HAINA SIFA YA VIONGOZI WENYE BUSARA YA KUIONGOZA NCHI,WAMEKWISHA POTEZA MUELEKEO,NA WAMEFILISIKA KISIASA.MLICHO BAKI NACHO NI CHUKI NA PROPAGANDA ZA UONGO.SIO WA KWELI KABISA.KWANZA CHAMA CHA MAPINDUZI,HAMUWEZI KULINGANISHA NA HICHO CHAMA CHA WAROPOKAJI WA MANENO YA UONGO, FITINA NA CHUKI.NA CHADEMA HATUTOWEZA KUSHINDANA NA C.C.M HATA SIKU MOJA IKASHINDA.KWANZA HAO WANACHAMA ILIO NAO TUPEKE YAKE NCHI NZIMA WANATOSHA KUIPA USHINDI C.C.M!!! C.C.M. Vs CHADEMA NI SAWA SAWA,NA KUIPAMBANISHA YANGA NA COPCO YA MWANZA,ILIYOTAFUNWA GOLI 5-0.PIGENI KELELLE WEE MWISHO MTAISOMA NAMBA.C.C.M.NUMBER ONE.
Tutamkumbuks Sana Magu.alikuwa makini hataki mzaha kwa wapumbafu..Bi Mkubwa alifanya makosa.watu wengine sio wa kuwaonea huruma.lisu Hana ADABU..alitakiwa abanwe huko huko asirudi tz.hatufai
Unakuelewa unachokimaanisha?
Hata kuwe na kiza kiasi gani Imani yangu patakucha tu ni swala la 🕛🫵👆
Nyinyi CCM hiii sio nchi yenu ,,, hakuna tena kukaa mezani na nyinyi wapumbavu. tunasema tena. Hakuna uchaguzi hapaaaa
Tunataka katiba mpyaaa.
Wananchi wanataka katiba moyaaa.
Hauna lugha nzuri usiseme Lisu kama nani na wewe ni kama nani
Mnajua chadema ni moto hakuna hoja yakutulia hapa ni tume huru lazina acha upuuzi wako
Mazungumzo ya nini watekeleze yaliyolalamikiwa
Mpaka mseme 😂😂😂😂 bado hamjasema
Kwanza huyo mzee ana hila halafu hana la kusema na lisu afanye analo ona ni la maana kwani ccm bila fujo hawapo tayari
Muwe waelewa tundu alisema anataka kuongea serikali na siyo chama,ndo maana akasema anatakakuongea na rais
MAZUNGUMZO MUHIMU NI KATIBA MPYA NA TUMEHURU CHADEMA HAKUNA MUDA TENA KUONGEA NA WASIRA
Wewe mzungumzaji wa CCM tumia lugha ya adabu.Lissu M/K kama SAMIA CCM.
Samia Raisi Lisu mwenyekiti tena mkimbizi toka ubelgiji shenzi wewe
@@halimamasai2234Unagongwa mala ngapi kwa siku????
Katiba mpya sijui insaidia nini sisi tunafurahia maendeleo tunayoyaona ccm hoyee.Sera mmeitimiza kwa kishindo
Kama hufahamu katiba inasaidia nini, maana yake hujui katiba ni nini. Pole.
Akili zako zipo miguuni.
Tatizo CCM mnadhani Kila wakati ni utani hata wakati watu wako Silias nyie mnafikiri ni utani
CCM acheni ngonjera watanzania wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi acheni ujanja ujanja nyinyi ndiyo tatizo ndiyo mnaokwamisha mpango wa kuwaletea watanzania katiba mpya tunatakiwa katiba mpya
Maridhiano sio ya chma ni ya nchi
Acha ujinga, mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba yalitolewa muda mrefu mkapuuzia. Hilo la kutokuwa na muda kwa sababu bunge litavunjwa June halina mashiko.
Wasira anaongoza Serikali?
Katiba Tunaitaji kutoka Serikali sio Kwa CCM
Wasira saizi yake ni heche na lisu saiziyake ni samia
Tundu lisu hana lolote ni mkimbizi tu kutoka ubelgiji 😂😂😂
Wala huiljielwi.
@ Hongera wewe unayejielewa 🤣🤣
@@halimamasai2234 nani alimsababishia maumivu mpaka akaenda kutibiwa nje ukijibu hili nami nitaungana nawe
INAONSHA WAZI KABISA CCM HAWAKUTAKA LISU ASHINDWE HADI MUNATUSIA BILA SONI
Mropokaji hawezi kuongeogea na rais wetu
Hakuna maridhiano ni uongo kungekuwa na maridhiano uchanguzi wakihuni haungefanyika 2024 kwa kuenguwa wagombea wa upinzani
Wewe kicheche.Kwani CCM ni tofauti na Chadema? Vyote ni vyama vya siasa.
Tanzania inavyama vingi,Tundu lisu chadema wakigoma,haitawasaidia uchaguzi utaendelea tu,na hakuna mwananchi wakuandamana au kuleta fojo,uchaguzi utakuwepo mtake msitake,Tz sio Kenya,ukileta za kuleta mtapigwa tu.Mama samia mitano tena.
Chaguzi zilizopita hazikuwa huru tatizo haki zinapindishwa katiba mpya kwanza
Wassira siyo Rais wa Serikali. Vyama vya siasa vyote viko sawa Kikatiba!
Unapo Sema Lisu ni Nani we ni nani Lisu ni mwenye kiti wa Chama ataongea na mwenye kiti kama yeye.sio mwingine
Huyu chawa wa ccm analopoka
Shida yenu CCM manaiba chaguzi kupitiliza ad mkanunua wabunge 19 mkawachia mbunge1 wanaona bila tume huru hawawezi kutoboa tena wanahis vitajirudia
Lissu yuko sahihi, alieleza vizuri tuu mwenye mamlaka ya kutatua mifumo ya uchaguzi ni rais sio ccm maana ni wanufaika, sasa unampingaje Lissu muache ukajanja wenu wananchi tumechokaa nanyie
Sasa wewe unaongea Kama nani? Watanzania wanataka katiba mpya na ukumbuke nchi hii si ya wanaccm nchi hii Ni ya watanzania wote tunataka rasimu ya warioba itumike itumike iwe katiba mpya
Hapo Kwa Mzee wasira Lisu yupo vizuri Katiba ni serikali itupeee. Nyie ccm tutendeeni Haki hivyo vyama vingine ni CCM B
Hili Swala linahitaji Busara Zaidi kuliko vitisho na Kauli za huyu msemaji zimejaa command mgejipanga na kujibu kidipromasia, hakuna Chama kilicho bora kukizidi kingine.....!!!
Haki aiombwi mkikataa utulazimisha haki iwepo,,hii much siyo ya ccm Niya watanxania wote,,lakini ccm mnajona no wenye haki
Kwenye CCM hakuna mtu wa kuhojiana na Tundu Lissu akashinda. Lissu anajua nini aongee, aongee wapi, lini na aongee Kwa nani.
Harafu hayo nimaneno yanamtoka lakini rohon hayapo njaa ztawaua
Anatakiwa kuongea na Heche huyu Wasira Tundu lisu ni mwenyekiti wa chama kama alivyo Samia Acha ubwege ndg Chawa
Wewe ndo hujui Lisu haitaki kuongea na chama anataka kungogea na serikali,serikali inacho jivunia ni Dora tu ndo kibuli hicho
Makamu mwenyekiti wa CCM anakaimu muda wote kwa kuwa muda mrefu mwenyekiti anafanya majukumu ya Serikali hivyo makamu anafanya majukumu mengi ya mwenyekiti isipokuwa tu linapokuja suala la vikao au majukumu ya chama kitaifa
Kimsingi ccm ilishapotea Tanzania ktk ramani ya siasa. Kivuli chao kinalindwa dola tu. No dola no ccm,hata wao eanajua hivyo. Ndo maana kivuli cha ccm kinaogopa katiba mpya, maana ikiwepo hicho kivuli kinapotea kabiiiisa.
Ndo maana hata huyu anayeongea sasa hivi kwa kusemea kivuli cha ccm,anaweweseka tu.
Wewe unaeongea msenge
Katiba ni Serikali na siyo Chama
Lissu huyoo jembe anajua anachokifanya,
Kabisa na tunamwelewa sana lissu
Kwani usipo fanyika uchaguzi kwa huu mwaka nini kitaharibika uchaguzi usogezwe reform fest
KWANINI CCM WASIONDOE WASIMAMIZI WA UCHAGUZI, WATENDAJI, WAKURUGENZI, WAKUU WA WILAYA KWA NINI WASIWATOE HAO USIMAMIZI UWE KAMA CHADEMA WALIVYO FANYA? KILA KITU KIWE WAZI? AU MAREKANI? KILA KITU WAZI WAZI.
Yaaan huoo ni mwanzo 2 mpaka msemee
Tundu lisu anaongea na selikali ,na akuna aliye juu ya katiba kila mtanzania anahaki sawa na wengine
tunataka katiba mpya
Samia, wala Kinana, hawapaswi kuwabeba CHADEMA, mzungumzaji unadhani unawapa fadhila!
Huyo aneongea nahisi niuchawa unamsumbua Hana lolote aneongea NN SASA hapo
Hahaaaa joto limeanza mapemaaaa😂😂
Mheshimiwa lisu ni mwana harakati
Endelea kujipa Moyo kuwa kuwa Chama kitajifa. Inamaana wewe hauono Tatizo kwny Uchaguzi. Au Una maslahi binafsi
ONDOENIWAKURUGENZI NA MIFUMO YA SERIKALI KUSIMAMIA UCHAGUZI MPAKI CHAMA KAMA CHAMA HAPO PATAFURAHISHA WANANCHI HAMUONI WENZENU WOGA WANINI?
Kuna bunge hapa Tanzania kweli
Hakuna uchaguzi kama hakuna mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi niuongo mtu acha kuongea utumbo au umetumwa na samia na Abdul
UCHAWA MWINGI MARDHIANO GN?
We mwana ccm acha kutupotezea muda
Utaelew tu,
Wasira ni mzee wa propaganda,Hawezi kusaidia nchi yetu,Hasa kwenye kipindi hiki kigumu,KalI zake zinaonyesha Hawezi,wasira SAWA na Yusufu Makamba
Kwani si yeye kamtaka mwenyekiti mwenzie
Wewe ni mwongo sana
Kwani maridhiano ni ya CCM au ya Serikali?
KWANI HUYO MWENYEKITI HAYUPO MBONA MADOGO HAYO POVU
Hivyo vyama vingine si vya kwenu??
Kishindo Cha Lisu hicho!!
Wewe unaongea ki ccm tu,huna jipya
Ulitaka tumsikie anayeongea kichama Gani?
Mmesikilizwa miaka 64 Sasa mmeng'ang'ania madarakani!
👆HAWAKUTAKA ASHINDE