Nmejkuta natokwa na machozi juu ya hii nyimbo,na nyingne nying zlizoimbwa na Omari Omari, Kitambo hyo nipo lkwiriri rufji naptianyakati ngumu sana kwa mama wa kambo, ...😭😭😭
nakumbuka ktambo sana , alikua jlan yangu mama ally mungu amuweke maali pema , msafiri chiba r.i.p, salehe bangila na wote walio tangulia mbele za haki
Dah hii Ngoma naisikia now kipindi hiko nipo mbagala kiburugwa now nipo Canada dah maisha haya salute kwa wana wote waliomaliza shule ya msingi mbagala langu 3 2024 baharia nipo mbele now
Nakumbuka wakati huo nilikuwa nakaa Vingunguti alafu kila wiki Vingunguti palikuwa panapigwa mchiriku enzi hizo tulikuwa tukienda mimi na kaka yangu ambaye kwa sasa ayupo tena duniani na yeye ila yeye bloo baadaye akawa msela msela ivii kabla ya kifo chake Mungu amueke pema peponi amini
Nakumbuka siku moja Hassan chuna alikuwa na show yake , omari we Omarion akaomba apige kidogo chuna akagoma mwenye shughuri akarusu omari alivyopanda akaanza kuimba wimbo nilivyokuwa nakula nawe nilizania rafiki kumbe wewe adui yangu shughuri iliisha hapo hapi
Kumbe wewe ni mtoto wa Maputo? Tandika moja! Aisee. Hapo kulikuwa na ndugu zangu wanaishi Maputo baada ya kuvuka reli. Wanaitwa akina Matimbwa. Dada yangu ni Mariam Matimbwa.
Daaah..aisee hii noma leo nipo sweden 🇸🇪 ..enzi hizo nipo kitaa mburahati kwa jongo msikiti wa ngamia;)duka la kwa bungu;)huna hili wala lille;)..unaskiza tu mnanda kutoka dukani;)maisha ni mungu ndo ana jua next;)..shukrani sana kwa hili goma..rest in Peace masela wote kutoka mburahati kwa jongo..
Mimi nipo South Africa kipindi hicho nipo Muungano Primary School nakaa Manzese Midizini wee acha enzi hizo zilikuwa ndo nyimbo na zilikuwa na message nzuri
Hii nyimbo nakumbuka class mate wangu ambae Sasa ni marehemu matiko John baba yake ndiye mwenye batotosi ya abiola yombo alipenda Sana kuiimba nami ndio nikaifahamu
Kama itawezekana ipandishe nimetoa idhini aolewe binti yangu mana nyingi zilizopo zimeandikwa hivyo lakini ukiplay unakuta ni nyimbo tofauti natafuta sana hiyo nyimbo
Sielewi kitugani Mapaka kutaka kunitoa macho mwana wa mwenzio kwani ujue dhaabu kupata wala sitabu ila ulonitende ndio naona ajabu kama ulikua uzitaki kwavile elen za bati ungelenambia ingelikua poa
Muddyb Mwanaharakati Kaka Muddyb mwanao nimerudi tena kuulizia ngoma nyingine japo jina silijui na muimbaji pia simjui ila ni aina ya wimbo kama ngoma hii hapa juu ila wimbo huu unaenda hivi “ Kukaa kidogo kaja mtu kaja anatuuliza Eti kipara kafa saa ngapi watu wote tukashangaa kwani tulikua hatuna habari ah Alhamdullilah Si yeye peke yake Safari yetu wote ila yeye ametangulia ila ipo siku tutakwenda tu... ni hiyo Kaka kama unayo au una Idea ni ya nani tafadhaLi tufanyie mambo mzee. Heri ya mwaka mpya
SAIDI OMARY tulikuwa maskani maskani buzakanari kukaa kidogo kaja mtu kaja anatuuliza kipaka kafa saa ngapi tulikuwa hatuna habari kwenda kuuliza kumbe kweli.sio yeye peke yake safari yetu zote yeye ametangulia hata beka wa pwimbi utakufa tu.
mm mzawa wa Tmk kipindi hicho Tmk kuna urwahibu,umorali,ziporali nilishawai kutoka Tmk mwsh hd machine ya maji No 5 kufika pl jau nakisikia tena mbali na mwanangu Side Boy hd kufika saa 5 Usk tuligeuza tunafika hm tunakisikia kota yaani htr sn
Nmejkuta natokwa na machozi juu ya hii nyimbo,na nyingne nying zlizoimbwa na Omari Omari,
Kitambo hyo nipo lkwiriri rufji naptianyakati ngumu sana kwa mama wa kambo,
...😭😭😭
Pole sana ndugu tupo pamoja
nakumbuka ktambo sana , alikua jlan yangu mama ally mungu amuweke maali pema , msafiri chiba r.i.p, salehe bangila na wote walio tangulia mbele za haki
Mwenyez mungu awalaze wote waliotangulia mbele za haki, Omari, juma mpogo, John kidijo, Fred nyanje, Noel nyanje, Jofley mwakyaja, mama yang mpendwa
Wakuja mtupishe enzi izi mjini wenyewe wazawa...
Nakumbuka enzi hizo npo Keko Omary Omary anaevaa miwani aina kioo
Dah hii Ngoma naisikia now kipindi hiko nipo mbagala kiburugwa now nipo Canada dah maisha haya salute kwa wana wote waliomaliza shule ya msingi mbagala langu 3 2024 baharia nipo mbele now
Kaka cku hizi huku nyumbani vijana wanatuimbia nyimbo za matusi TU!!!! Yaani huwezi kusikiliza hata na watoto wako ni balaa sana kk 😮
Nyimbo izo inafundisha sio za matusi nakumbuka kitambo hicho nipo manzese midizini@@georgempuya9343
Daah. Nakumbuka. Mbali. Sana. Mimi
Kipindi. Kire.tnaishi.mikoroshini..jamani.kwenye.nyumba.ya.kna.mwanyiro daah 😭😭pumzika. Kwaamani. Kaka. Mwanyiro. Na. Jirani. Yangu. Omar omari 😭😭 nawakumbuka. Sana. Saidi. Ndiga.nawengineo
Mwanyiro nae pia amekufa.!?
Asma wa mikoroshini mwenzangu Mimi nilikuwa nakaa mitaa duka la kona
Hivii ule wimbo wake wa mv bukoba unaitwaje. Nimejaribu kuutafuta ila bila bila
Dah hii nyimbo nakumbuka mbaali saana 😭 Pili Mama Ally nae ametutoka juzi tu 😭 Allah awape kaul thabit🙏
Ambaye alikuwa mke wa marehemu Said au?
Ndio
😭😭
Amina
@@aishakhamis714daaaaa!!! Upo wew
Daaah nyimbo hizi nakumbuka nilikua primary yaan nazipenda sana R.I.P kwa wote waliotangulia
Dah omari omari wajina tangulia sana mzee
Huuiii naenjoy jamani wao 💃💃💃💃💃💃💃💃💃
Nipo tunainjoi wote dadiii
Nakumbuka wakati huo nilikuwa nakaa Vingunguti alafu kila wiki Vingunguti palikuwa panapigwa mchiriku enzi hizo tulikuwa tukienda mimi na kaka yangu ambaye kwa sasa ayupo tena duniani na yeye ila yeye bloo baadaye akawa msela msela ivii kabla ya kifo chake Mungu amueke pema peponi amini
Nakumbuka siku moja Hassan chuna alikuwa na show yake , omari we Omarion akaomba apige kidogo chuna akagoma mwenye shughuri akarusu omari alivyopanda akaanza kuimba wimbo nilivyokuwa nakula nawe nilizania rafiki kumbe wewe adui yangu shughuri iliisha hapo hapi
Nyimbo imebeba hisia kali sana Mwenyezi Mungu awarehemu marehemu wote
Kipindii ikooo nakumbukaaa gommssi kwaa mama muachee maseraaa Maseraaa Kweri kinaa vandamee dotooo seraaa kwenaaa sswekaa kuvaaa mjinii mjini Kweri waunii Kweri unakabwa ataaa mmchana temekee mikoroshini Atari apooo
doto seraa bado yupo kuna bendi inaitwa pentagon maeneo ya vikindu mkuranga, bendi yao ina muunganiko na seven savaiva
@@mnandamchirikutv5399 OK inapigaaa kiraaa njumaaa ngap mazoeziiii nimemisiiii atariii mmnandaaa kaka
Enzi hizo kitaa kwa Mnyamani tulienda kuishangaa hii ajali pale Buguruni mataa wakati tupo wadogo
Unajua wewe ndugu yangu bhana
Aligongwa na gari?
@@thehunter5920 Yap
Kazikwa wapi pili mama Alli mrembo wetu kitambo hicho
Nipo apa nangoja watuambie wapi amezikwa uyu mama ally😢😢
Hizi ngoma zinanikumbusha miaka ya 1995 na 1996,
Nakumbuka maputo kipindi cho bado nipo kimwali 🥰🥰
Kumbe wewe ni mtoto wa Maputo? Tandika moja! Aisee. Hapo kulikuwa na ndugu zangu wanaishi Maputo baada ya kuvuka reli. Wanaitwa akina Matimbwa. Dada yangu ni Mariam Matimbwa.
Mi ni wa Maputo, Mtaa wa Nansio
Omari omari daah!! hii story au wimbo unauzunisha Sana imezungumzia ajali imetokea buguruni na nipo buguruni rozana najikita nimechoka Tu 😢😢😰😰
Ndio mkali enzi ukikisikia mwenge unajuwa mwananyamala kumbe kitu kinapigwa mburahati au kigogo
hatari sana ngoma izi noma sana
Hahahaaa
Daaah..aisee hii noma leo nipo sweden 🇸🇪 ..enzi hizo nipo kitaa mburahati kwa jongo msikiti wa ngamia;)duka la kwa bungu;)huna hili wala lille;)..unaskiza tu mnanda kutoka dukani;)maisha ni mungu ndo ana jua next;)..shukrani sana kwa hili goma..rest in Peace masela wote kutoka mburahati kwa jongo..
Oyo mburahati kwa bubu tupo pamoja mwanangu
Dah wanikumbusha mbali sana
Dah kitambo sana by j mabera mburahat
Mimi nipo South Africa kipindi hicho nipo Muungano Primary School nakaa Manzese Midizini wee acha enzi hizo zilikuwa ndo nyimbo na zilikuwa na message nzuri
Kitambo sana hiyo watoto wa Mburahati na Manzese Midizini... Santa Mijibwa hapaa.
Hii nyimbo nakumbuka class mate wangu ambae Sasa ni marehemu matiko John baba yake ndiye mwenye batotosi ya abiola yombo alipenda Sana kuiimba nami ndio nikaifahamu
Daah!umenikumbusha mbali sn,enz za baba asha akulinda sungusungu
Eee bwana Baba Asha akulinda sungu sungu unanikumbusha nipo Muungano Primary school nilikuwa na rafiki yangu Idi Ali alitokea kuupenda sana huo wimbo
Hizi ndio zetu sasa sarute mzazi
Wapumzike. Kwa. Amani. Wote
Waliotangulia. Mbereza. Aki. 😭😭😭
Kitambooooooo dah enzi hizo bado Kula Kula kwa mama na baba dah mungu ampumzishe my mam kwa Aman kipindi hi nyimbo inaimbwa mama Yu hai dah
Pole Sana isee mm ni Kama ww Mungu awalaze pema Mama zetu tunawapeda tunawaombea tutapatana nao tena
Amina
Tutafutie nyimbo za urahibu night star, eleven Star ,dar nyota,
Tulikua tunaenjoy sana nyimbo mwazo mwisho ujumbe
Kama itawezekana ipandishe nimetoa idhini aolewe binti yangu mana nyingi zilizopo zimeandikwa hivyo lakini ukiplay unakuta ni nyimbo tofauti natafuta sana hiyo nyimbo
Andika uchungu wa mwana
Mimi mwenyewe nautafuta huo wimbo sana sijaupata
Nakumbuka enzi zile pale Uponera na kina Daudi luhala,casto Kawera,Erasto mgwiri,Husein Mbumi,mood Mbumi,mzigizigi ,Juma ngongo,Agnes julu,,Daudi julu,Deo lundera,ostack kisesa,Magdalena shiraga,Damian lyuu (Afande),Christian lyavu,Athuman LYUU,Gud matale,JOHN BOSCO MANDITI,Getu manditi,Evance msanga,Zuena Saidi, daaah maisha haya
Wamba hao!
Nilikuwa mdogo sana nipo na mzee tunatoka kinondoni B tunaelekea mwananyamala.
Kweli kaka hata mimi nakumbuka mbali sana
mimi nakumbuka mbali sana kipindi hicho yana mbaka uwa natakaga kulia nikisikiliza hii
Omary Omary nyimbo isikupate shughuli kakae chini ya muembe...siipati
Dah nakumbuka commando yoso
Said Dabani alitoka kupora cheni maeneo ya Buguruni, kipindi anakimbia akagongwa na gari wakati anavuka barabara.
Rest in peace makamanda pande za ughaibun nawapata
Daaa saidi dabani km namuona alikuwa fundi sana wa kupiga ndole vetenary
Basi mi nikajua ni stori tu tu katunga kumbe ni kisa Cha kweli alikuwa mtu kweli huyo Said daban
Enock wa mbeya na magoma wanalia...!!!
Kaka nimetokwa na machozi Enock wa mbeya na magoma wanalia
@@mansamussa9071 Binafsi nilimpenda sana double ommy kwa nyimbo zake nyingi zenye ujumbe wa kufundisha jamii
Mkunguni fresh chama Chini ya uongozi wa popa diki for for two
Noma saanaa!
Mudy tutafutie albamu yote ya baba asha 1&2. Asante sana kwa hii Kazi
Haina noma
@@abdallahfunga6076 mkuu tupandishie wimbo wa double omy wa mv bukoba. Au kama unajua ule wimbo unaitwaje
Dah atali mungu awalehem wababe awa co poa
Dash kiukweli dunia imepita watu.
Kipindi kile full mchakamchaka wahuni. Waendao walienda kujipakia mitumbwi na kudondoka mtoni
Kumbuka na ile ndala y'a rangi y'a njano sky way kanunua Nani Kama so Mimi, kibaka mdudu, sielewei Kitu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mfungwa achagui gereza bro itupie kma vp
Nadhani ninayo hiyo... Ngoja niangalie ustaarabu kaka!
Dah hivi bro zipolali unao??
Naomba mfungwa hachagui Gereza kama ipo naomba utupie
@@TamuzaKale muddy vp mbn hadi leo haujaturushia mfungwa hachagui gereza
Hiyo ngoma ina bonge la funzo
Mwana naomba tuwekee ile mfungwa hachagui gereza
Sielewi kitugani Mapaka kutaka kunitoa macho mwana wa mwenzio kwani ujue dhaabu kupata wala sitabu ila ulonitende ndio naona ajabu kama ulikua uzitaki kwavile elen za bati ungelenambia ingelikua poa
Hahahaahaha
Hyo sielewi ni kitu gan,marehem dog mfaume aliirudia fresh kabisaaa
Huu msumari ulikuwa 🔥🔥🔥
Mudi tutafutie mfungwa hachagui gereza ya Omary Omary
Ninakumba zamani nikishi tandika omari mkari sana kwa nyimbo za mchiriku
Wala si uwongo kaka!
Muddyb Mwanaharakati Kaka Muddyb mwanao nimerudi tena kuulizia ngoma nyingine japo jina silijui na muimbaji pia simjui ila ni aina ya wimbo kama ngoma hii hapa juu ila wimbo huu unaenda hivi “ Kukaa kidogo kaja mtu kaja anatuuliza Eti kipara kafa saa ngapi watu wote tukashangaa kwani tulikua hatuna habari ah Alhamdullilah Si yeye peke yake Safari yetu wote ila yeye ametangulia ila ipo siku tutakwenda tu... ni hiyo Kaka kama unayo au una Idea ni ya nani tafadhaLi tufanyie mambo mzee.
Heri ya mwaka mpya
Anamzid juma mpogo
@@gooddeeds162 ngoma inaitwa kipaka kaka, ilitoka 1995
Mbona ipo humu inaitwa Saidi dabani
Duh amna mtu mwenye ngoma ya atomic band mzee kipaka kafa saa ngapi omary omary alikuwepo kwenye hlo kundi
Nalikumbuka.. Ngoja niangalie maktaba yangu!
Muddyb Blast shukrani bro, ukipata ata za juma mpogo pia kma ajari kibada wamenitoka usije mjini na n.k jagwa maneno saidi misape n.k
SAIDI OMARY tulikuwa maskani maskani buzakanari kukaa kidogo kaja mtu kaja anatuuliza kipaka kafa saa ngapi tulikuwa hatuna habari kwenda kuuliza kumbe kweli.sio yeye peke yake safari yetu zote yeye ametangulia hata beka wa pwimbi utakufa tu.
Iddi Salum Ali Duchi duh!
Iddi Salum Ali Duchi maskani Famagusta!
Tutafutie ngoma ya atomic radhia
Hasa kwa mzaz mwenzie😢😢
sema baba msalimie juma mpogo fundi was mnanda
ebana kuna ngoma waliiamba wauni wangu omari omari ft dogo mfaume pamoja na easy man inaitwa akiri ya madawa naitafuta kinyama kama ipo kaka tupia
Ngoja naichek
Nakumbuka mbali sana
Mungu amrehemu
Ismail Kalla amin Insha Allah..
ommy ommy alikuwa tishio sana
Said daban alikuwa mwizi sana
Mungu amsamehe makosa yake
Balaa sana baba asha nazo
Swadakta mkubwa wa kazi....Kunta...Kinte.
Webster Sinje vyombo vyako hivi. Kunta Kinte.
Umeenda wapi huu muziki hakika tumeumisi
wanauita SINGELI sasa yani wameharibu
said dabani
We kichaa tupia kitu cha Jerry
Sadakta mkuu
Vingunguti Miami kabla ya faru jeuri
Daaah kitaaambo sana
Mpwaaa! Usije-lia tu!
@@TamuzaKale kwakweli...leo kumbukumbu zangu zimefika mbali sana mpwa. Ahsante kwa kutuwekea madini haya
@@maundumwingizi8027 Daah! Msala sana!
Tokyo kono la shetani tutafutie ngoma zake
hiyo longi kweli tokyo ngoma hatari dondosha tokyo
Enzi hizo nilikuwa mdogo
Dunia mapito
Ndio kipindi ambapo nilipaanza kuitwa.mudi. kandinga
Music was tanzania
Kitambo sana migo migo kota tupia na ya jerry
Kweri kk
Utawala
Kitambo na hicho
Sauti ya utawala.
Frola
jamani nataka nyimbo ya gari kubwa naludi nyumbani
Ipo kwangu.. Sachi GARI KUBWA NARUDI NYUMBANI
@@TamuzaKale Mudi,naomba mawasiliano yako.Mimi ni mdau mkukwa wa mziki huu lakini kuna manyimbo mengi san natayatafuta,namba yangu ni 0713963812.
Mwenye kuweza kunisaidia nitampa posho(tip) ya kiushikaji,kuna nyimbo na bendi nazisaka namba yangu ni 0713963812
Nani anajua hizo
Noumaa sana
Daah dunia ni ua
SI mchezo kitambo
safi sana
Iko wapi ile ya Machemba?
tokyo ngoma vp zinapatikana
Bendi zingine kuzipata imekua ngumu mno,mfano hiyo Tokyo ngoma,Kombora ya Hassan Chuna zote imekua tabu
Nakumbuka enzi ya tops milembe tmk mikoroshini
Urahibu wazee wa mitapa bw issa kihange. Dondosha Miami beat kina zamkwezi
Hahahaaa,
Inakubidi uwe Mtu wa Kinanda hasa ili ujue maana ya maneno kama MITAPA au KINANG'ULA!
@@abdallahcooper7174 kweli kabisa
Huyu issa kihange..ni wa mzee Yahaya msikitini kule!? yu hai kweli nae
Sai
Enzi hizo nipo shule ya msingi
Omi
naitafuta Sana aisee fanya kuni0677288198 nakubali Sana ii kitu
du long time
Mmm ndani ya ccm bustani kata 16
Wapi ndimbe ari baharia machemba kinyago msera
jaji mkwanda
мкulugenzi Gulam temino WiFi cochi baba vitengo aoooo pamoja sana weka loliondo limkx
mm mzawa wa Tmk kipindi hicho Tmk kuna urwahibu,umorali,ziporali nilishawai kutoka Tmk mwsh hd machine ya maji No 5 kufika pl jau nakisikia tena mbali na mwanangu Side Boy hd kufika saa 5 Usk tuligeuza tunafika hm tunakisikia kota yaani htr sn
nasisi izo enzi zetu maana wkt huo uyo alikua namba mbili WA kwanza alikuwa Clinton mungu awalaze mahari pema peponi amin
@. Tu
Mchlriku
.tupia.baba.asha
Kwani hakuna? Ngoja nitazame!