@@AliNassor-qt6fm sasa wakipigana tutatafuta njia nyingine acha waumizane na wao kwanza hapo ndiyo tutapata akili yakujitegemea maana watakuwa hawazalishi Kuna mda shida inakupa akili
Mwislam mnyonge ni yule ambae hajainua silaha, vita ya mwisho ya Israeli na hawa jamaa jasho liliwatoka hadi Marekani aliingilia kati, Wapigani wote wa Kiislam wataingia Lebanon, na Hezbola watalazimisha vita iende ya ana kwa ana hapo ndipo hali itakavyokuwa mbaya kwa Israel 🇮🇱
Hao wote naona niwachochezi wa Vita kwani bila hatua wanazo chukua Israel wasinge pata jeuri yakushambulia rebanon kama Ben gants alivyo sema huko marekani katika ziara yake majuzi ila tunaiyombea rebanon mwisho mwema katika vita hii maana wanataka kuifanya iwe kituvo cha Vita iliyo yalemea mataifa makubwa pande zote 🙏🙏
@@FridayMwassa hao sio waasi utamuona ni muasi kulingana ni mpinzani wako sku zote yule uliye taka aishi kama wewe unavyo tako iwapo atapinga nayeye kuanzisha empire yake utamuona msalit na muasi ndio hawa sasa waarabu na wazungu
Sijui kwnn iziraili haiogopew kila nchi inaidindia waizirail toka waumbwe hawajawah kuish kwa amani ujue Hawa wanalaana ya milele kwakule kuwauwa mitume kwa wing mitume wengi walikua wanawauwa hawjamaa ata uyo isa wanaijifanya ndo mung pia walinfukuza wamuuwe sem mung akampaisha juu
Acha uongo wa dini yako.Taja mitume walio wauwa kama siyo uongo wako.kitabu chenu kinabumba bumba habari za kucopy kwenye biblia ili kionekane cha kweli
@@FridayMwassa unaonekana hujui chochote kwny historia mitume walio wauwa ni zakarya wali kereza kwa msumeno nabii yahya walimkata kichwa manabii karibu wote waliteremshwa iziraili lakini wali wakataa nahuyu isa wakanwita mingu hasa yan apo ndo wamempenda
Israel ikiingia vita saiz inaenda kuw sio taifa tena n ndio waisraeli halisi ambao n weusi(wabantu) watajulikn lkn hana namna lazm unabii utimie n ukwel ulud kwao. #MWALIM N MMOJA TU #ZOULOULA100
Huu ni mwaka wa 100 anapigana na akikuzidi maeneo yatachukuliwa Israel aiogopi kitu wanajua ndo maana wanawazuia raia wao kwenda Lebanon akiwa na maana kwamba Lebanon itakuwa majivu
@@user-ik4jj5gb6hvipi kuhusu taliban wanatoa jeshi lao laki moja na iraq laki moja na siria wanatoa laki moja alafu yemen wamesema watatowa jeshi laki mbili unazungumziaje hapo😂 wakati israil imeomba juzi wamepungukiwa na wanajeshi 8000
@@salumabdallah2990wameshindwa kuwatolea Wapalestina ,watawatolea Lebanon? Ujue hata Palestine Kuna watu waliwapa kiburu but now hawana pa kukaa, shule hakuna ,hospital shida na hakuna anayewasaidia
Hii si mara ya kwanza Hezbollah kupigana na Israel na casualties zilikuepo Kwa pande zote Israel kufungua font nyingine ya vita ikiwa yupo kupigana na hamas itampa wakati mgumu
Israel 🇮🇱 hawezi kupigana na Lebanon 🇱🇧 kwa sasa Bali imetangaza wazi wazi kuwa kwa sasa lseral hatuna mda wa kupoteza kupigana na heziballa Bali tutatumia nyukilia ☢️☢️☢️ ☢️☢️ tuu
@@saidiomar6642 sio kweli ikipgwa nyuklia hakuna nchi itakayo Fanya fyooo kama Haina uwezo wa nyuklia sababu na wao watajua kitakachofata nikupigwa nyuklia japo mm sidhan kama nyuklia itatumika.
mnao ibeza Israel mnajidanganya Israel nitaifa lilio balikiwa na mungu na wanahakili nying xana na wanaxilaha zakixaxa hao iziblaa mtawaxikia watakoxa pakukimbilia watawaletea watoto wao majanga
Millard Ayo na wadudu wake SnS katika viwango vya kimataifa
Naomba hii vita itimie ili wote tuonje joto la jiwe 😢 .. Dhulma imevuka viwango.. 🙌💔🇸🇩
Wapigane waarabu wote na wazungu wote waafrika tuwauze chakula tu😂
@@ce-08 itatuonja wote Dunia yote haitakua salaama.. America keshasambaza meli za kivita baharini... Unaeza kupata pic yajayo hayafurahisha
Hamna hii vita itakua kubwa sio bora kuomba vita watu wanateseka
@@ce-08tunateseka sisi mafuta mafuta yatapanda bei
@@AliNassor-qt6fm sasa wakipigana tutatafuta njia nyingine acha waumizane na wao kwanza hapo ndiyo tutapata akili yakujitegemea maana watakuwa hawazalishi Kuna mda shida inakupa akili
Hapa ndio naamini habari zake Big up
Bas watalike kwa wa kwanza kukoment😂😂😂
Israel awatofanya kitu uko lebanoni anaogopa.propaganda iyo kataze jwenda na israel.
Mwislam mnyonge ni yule ambae hajainua silaha, vita ya mwisho ya Israeli na hawa jamaa jasho liliwatoka hadi Marekani aliingilia kati, Wapigani wote wa Kiislam wataingia Lebanon, na Hezbola watalazimisha vita iende ya ana kwa ana hapo ndipo hali itakavyokuwa mbaya kwa Israel 🇮🇱
Kwaiyo hii kumbe ni vita ya waislamu?
@@lakasid3860wameshaingiza udini tayari
Kwaani Israel kuchangiwa na waislam itakuwa mara ya kwanza
Hakuna watu waoga kama islam's
Mbona wameshindwa kuwasaidia wapalestina mpaka muda huu? Wanawashangaa tu wanakufa na kuteseka au wao si waisilamu?
Hiyotam kbs 🇧🇮💐❤️
Kwa dalili hizi vita vipo hapa wameshapanga hawa Israel kuingia vitan yetu macho acha tuone time will tell kama DJ Sma anavopenda kusema
Israël kajipanga kama gaza tuone kitakachotokea 😂😂😂
Wakiwashe tu
Sio bora kuomba life is going to be more than harder
Sinza madukani #ndovudentalclinic
Chama kubwa sns
Waache wajifanye superior waone Lebanon ndiyo itapigwa wasiondoke Israel wataambulia majivu
Hofu nikwamba Israel wapo safi sana maangamizi ya anga na atapiga popote lazima nchi ambazo raia wake ambao wapo Lebanon watoke
Hao sio hams 😂😂hatoboi hii itakuwa vita Yao ya 3 na hajawah kushinda
@@dannywillson5874 anglia hiith-cam.com/video/h7wiiKSYrv8/w-d-xo.htmlsi=gHsgGzAOQrpJZi9a
@@dannywillson5874ISRAEL ana nuclear KUMBUKA ilo
Heeee moto unalipuka sasa
Hao wote naona niwachochezi wa Vita kwani bila hatua wanazo chukua Israel wasinge pata jeuri yakushambulia rebanon kama Ben gants alivyo sema huko marekani katika ziara yake majuzi ila tunaiyombea rebanon mwisho mwema katika vita hii maana wanataka kuifanya iwe kituvo cha Vita iliyo yalemea mataifa makubwa pande zote 🙏🙏
Bila Iran pasingekuwa na vita, Iran ndiyo anagawa silaha kwa waasi
@@FridayMwassa hao sio waasi utamuona ni muasi kulingana ni mpinzani wako sku zote yule uliye taka aishi kama wewe unavyo tako iwapo atapinga nayeye kuanzisha empire yake utamuona msalit na muasi ndio hawa sasa waarabu na wazungu
@@FridayMwassaachakuvutia pande 1 bila wamagaribi Palestine kusingerikua vita .
Hiyo vita itakua mbaya sana
Mm kama marekani hajaondoa raia wake hapo bado ni salama amini amini nawambieni marekani ndio israel na israel ndio marekani
Sijui kwnn iziraili haiogopew kila nchi inaidindia waizirail toka waumbwe hawajawah kuish kwa amani ujue Hawa wanalaana ya milele kwakule kuwauwa mitume kwa wing mitume wengi walikua wanawauwa hawjamaa ata uyo isa wanaijifanya ndo mung pia walinfukuza wamuuwe sem mung akampaisha juu
Acha uongo wa dini yako.Taja mitume walio wauwa kama siyo uongo wako.kitabu chenu kinabumba bumba habari za kucopy kwenye biblia ili kionekane cha kweli
Wenye laana ni wanaokufa kama vifaranga vyenye kidere na kuombaomba huruma ya Dunia na Dunia inawaacha wale Cha moto
Tena mnasema hawa wa Israeli sio wale walioandikwa kwenye Biblia!!! Mnachanganya mambo!!!! Naf
@@emmadora7848Wanaokufa ni kina nani? Maana hata Israel watu wanakufa sana pamoja na kwamba wanapewa misaada kedekede na nchi tajiri zaidi duniani
@@FridayMwassa unaonekana hujui chochote kwny historia mitume walio wauwa ni zakarya wali kereza kwa msumeno nabii yahya walimkata kichwa manabii karibu wote waliteremshwa iziraili lakini wali wakataa nahuyu isa wakanwita mingu hasa yan apo ndo wamempenda
Muwambiege hata uko Israeli waondoke acheni kujidanganya mashoga
na vipi kwenda Israel ni salama
Ndio
Mwisho wa Izrael umefika
Ndo napakia apa niondoke zangu
😂😂
Hesebolla wamejichanganya, sasa waombe Mungu suluhu ya maongez kuliko vita
Fuatilia historia wamepigana mara ngap? mara ya mwisho ilikuwa 2006... israel ali retreat
Hao raia waambiwe kuondoka na Israel wasichukulie powa Israel inaweza futwa pia
Is not easy
Israel ikiingia vita saiz inaenda kuw sio taifa tena n ndio waisraeli halisi ambao n weusi(wabantu) watajulikn lkn hana namna lazm unabii utimie n ukwel ulud kwao.
#MWALIM N MMOJA TU #ZOULOULA100
Huu ni mwaka wa 100 anapigana na akikuzidi maeneo yatachukuliwa Israel aiogopi kitu wanajua ndo maana wanawazuia raia wao kwenda Lebanon akiwa na maana kwamba Lebanon itakuwa majivu
@@user-ik4jj5gb6hvipi kuhusu taliban wanatoa jeshi lao laki moja na iraq laki moja na siria wanatoa laki moja alafu yemen wamesema watatowa jeshi laki mbili unazungumziaje hapo😂 wakati israil imeomba juzi wamepungukiwa na wanajeshi 8000
@@salumabdallah2990vita siyo uwingi wa askari bali zana na mbinu
@@salumabdallah2990wameshindwa kuwatolea Wapalestina ,watawatolea Lebanon? Ujue hata Palestine Kuna watu waliwapa kiburu but now hawana pa kukaa, shule hakuna ,hospital shida na hakuna anayewasaidia
Hizo sehemu zote umetaha ni maskini wa kutupwa ,halafu u think Israel atakosa wa kumuunga mkono? Ombeni amani acheni wehu
Mbona islaeli hawawasihi wasiende uko
Pls
SAFARI HII TUNAINGIA TELAVIV NA JERUSALEM. KUTISHA HAKUNA.
😄😄😄wanaowasifia ezibolaha, ndio aoao watasema lebanon inaonewa, HAYA NYIE WAPONZENI
Hii si mara ya kwanza Hezbollah kupigana na Israel na casualties zilikuepo Kwa pande zote Israel kufungua font nyingine ya vita ikiwa yupo kupigana na hamas itampa wakati mgumu
Soo mara ya kwanza kupigana multiple front,,,and wanajiua na walishajiandaaa
Israel hawatapigana saivi kama gaza,,,watatumia nguvu kubwa kuliko mwanzo
Tuwone nani atapata hasara Izrael umefika mwisho wake
Israel 🇮🇱 hawezi kupigana na Lebanon 🇱🇧 kwa sasa Bali imetangaza wazi wazi kuwa kwa sasa lseral hatuna mda wa kupoteza kupigana na heziballa Bali tutatumia nyukilia ☢️☢️☢️ ☢️☢️ tuu
Akitumia nyuklia ndio israil imeisha
@@saidiomar6642imeisha kivipi ebu nielekeze
@@saidiomar6642Kivipi labda
@@saidiomar6642 sio kweli ikipgwa nyuklia hakuna nchi itakayo Fanya fyooo kama Haina uwezo wa nyuklia sababu na wao watajua kitakachofata nikupigwa nyuklia japo mm sidhan kama nyuklia itatumika.
@d255tvwatachapwa vizuri shida Kuna mkono wa marekani pale
Kilichotokea gaza kitatokea labanon mara dufu mana hezbollah walijipendekeza wenyewe
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma
mnao ibeza Israel mnajidanganya Israel nitaifa lilio balikiwa na mungu na wanahakili nying xana na wanaxilaha zakixaxa hao iziblaa mtawaxikia watakoxa pakukimbilia watawaletea watoto wao majanga
Lebanon mashoga tu ....
Mda sio mrefu wataanza kupiga kelele Israeli wanaua watoto
hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma