Nchi 7 zataka raia wake kuondoka LEBANON hofu ya VITA kamili kati ya ISRAEL na HEZBOLLAH ikiongezeka

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 96

  • @henry1933
    @henry1933 2 วันที่ผ่านมา +12

    Millard Ayo na wadudu wake SnS katika viwango vya kimataifa

  • @user-st1zs1ng2x
    @user-st1zs1ng2x 2 วันที่ผ่านมา +16

    Naomba hii vita itimie ili wote tuonje joto la jiwe 😢 .. Dhulma imevuka viwango.. 🙌💔🇸🇩

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา +5

      Wapigane waarabu wote na wazungu wote waafrika tuwauze chakula tu😂

    • @user-st1zs1ng2x
      @user-st1zs1ng2x 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@ce-08 itatuonja wote Dunia yote haitakua salaama.. America keshasambaza meli za kivita baharini... Unaeza kupata pic yajayo hayafurahisha

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 2 วันที่ผ่านมา +2

      Hamna hii vita itakua kubwa sio bora kuomba vita watu wanateseka

    • @AliNassor-qt6fm
      @AliNassor-qt6fm 2 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@ce-08tunateseka sisi mafuta mafuta yatapanda bei

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา +4

      @@AliNassor-qt6fm sasa wakipigana tutatafuta njia nyingine acha waumizane na wao kwanza hapo ndiyo tutapata akili yakujitegemea maana watakuwa hawazalishi Kuna mda shida inakupa akili

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 2 วันที่ผ่านมา +5

    Hapa ndio naamini habari zake Big up

  • @HusseinMohamad-pl2cf
    @HusseinMohamad-pl2cf 2 วันที่ผ่านมา +5

    Bas watalike kwa wa kwanza kukoment😂😂😂

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 2 วันที่ผ่านมา +6

    Israel awatofanya kitu uko lebanoni anaogopa.propaganda iyo kataze jwenda na israel.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 วันที่ผ่านมา +6

    Mwislam mnyonge ni yule ambae hajainua silaha, vita ya mwisho ya Israeli na hawa jamaa jasho liliwatoka hadi Marekani aliingilia kati, Wapigani wote wa Kiislam wataingia Lebanon, na Hezbola watalazimisha vita iende ya ana kwa ana hapo ndipo hali itakavyokuwa mbaya kwa Israel 🇮🇱

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 2 วันที่ผ่านมา

      Kwaiyo hii kumbe ni vita ya waislamu?

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@lakasid3860wameshaingiza udini tayari

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 วันที่ผ่านมา

      Kwaani Israel kuchangiwa na waislam itakuwa mara ya kwanza

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo 2 วันที่ผ่านมา

      Hakuna watu waoga kama islam's

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 วันที่ผ่านมา

      Mbona wameshindwa kuwasaidia wapalestina mpaka muda huu? Wanawashangaa tu wanakufa na kuteseka au wao si waisilamu?

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hiyotam kbs 🇧🇮💐❤️

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kwa dalili hizi vita vipo hapa wameshapanga hawa Israel kuingia vitan yetu macho acha tuone time will tell kama DJ Sma anavopenda kusema

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 2 วันที่ผ่านมา

      Israël kajipanga kama gaza tuone kitakachotokea 😂😂😂

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 2 วันที่ผ่านมา +4

    Wakiwashe tu

  • @AliNassor-qt6fm
    @AliNassor-qt6fm 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sio bora kuomba life is going to be more than harder

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 2 วันที่ผ่านมา +3

    Sinza madukani #ndovudentalclinic

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 2 วันที่ผ่านมา +1

    Chama kubwa sns

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 2 วันที่ผ่านมา +1

    Waache wajifanye superior waone Lebanon ndiyo itapigwa wasiondoke Israel wataambulia majivu

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 2 วันที่ผ่านมา +3

    Hofu nikwamba Israel wapo safi sana maangamizi ya anga na atapiga popote lazima nchi ambazo raia wake ambao wapo Lebanon watoke

    • @dannywillson5874
      @dannywillson5874 2 วันที่ผ่านมา +3

      Hao sio hams 😂😂hatoboi hii itakuwa vita Yao ya 3 na hajawah kushinda

    • @directortwicep3028
      @directortwicep3028 2 วันที่ผ่านมา

      @@dannywillson5874 anglia hiith-cam.com/video/h7wiiKSYrv8/w-d-xo.htmlsi=gHsgGzAOQrpJZi9a

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@dannywillson5874ISRAEL ana nuclear KUMBUKA ilo

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e 2 วันที่ผ่านมา +2

    Heeee moto unalipuka sasa

  • @Rey_D669
    @Rey_D669 2 วันที่ผ่านมา +3

    Hao wote naona niwachochezi wa Vita kwani bila hatua wanazo chukua Israel wasinge pata jeuri yakushambulia rebanon kama Ben gants alivyo sema huko marekani katika ziara yake majuzi ila tunaiyombea rebanon mwisho mwema katika vita hii maana wanataka kuifanya iwe kituvo cha Vita iliyo yalemea mataifa makubwa pande zote 🙏🙏

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 วันที่ผ่านมา

      Bila Iran pasingekuwa na vita, Iran ndiyo anagawa silaha kwa waasi

    • @Rey_D669
      @Rey_D669 2 วันที่ผ่านมา

      @@FridayMwassa hao sio waasi utamuona ni muasi kulingana ni mpinzani wako sku zote yule uliye taka aishi kama wewe unavyo tako iwapo atapinga nayeye kuanzisha empire yake utamuona msalit na muasi ndio hawa sasa waarabu na wazungu

    • @HusseinAbdul-is9xq
      @HusseinAbdul-is9xq ชั่วโมงที่ผ่านมา

      ​@@FridayMwassaachakuvutia pande 1 bila wamagaribi Palestine kusingerikua vita .

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hiyo vita itakua mbaya sana

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 วันที่ผ่านมา

    Mm kama marekani hajaondoa raia wake hapo bado ni salama amini amini nawambieni marekani ndio israel na israel ndio marekani

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 2 วันที่ผ่านมา +4

    Sijui kwnn iziraili haiogopew kila nchi inaidindia waizirail toka waumbwe hawajawah kuish kwa amani ujue Hawa wanalaana ya milele kwakule kuwauwa mitume kwa wing mitume wengi walikua wanawauwa hawjamaa ata uyo isa wanaijifanya ndo mung pia walinfukuza wamuuwe sem mung akampaisha juu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 วันที่ผ่านมา

      Acha uongo wa dini yako.Taja mitume walio wauwa kama siyo uongo wako.kitabu chenu kinabumba bumba habari za kucopy kwenye biblia ili kionekane cha kweli

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 วันที่ผ่านมา

      Wenye laana ni wanaokufa kama vifaranga vyenye kidere na kuombaomba huruma ya Dunia na Dunia inawaacha wale Cha moto

    • @BarnabaBuhoma
      @BarnabaBuhoma 2 วันที่ผ่านมา

      Tena mnasema hawa wa Israeli sio wale walioandikwa kwenye Biblia!!! Mnachanganya mambo!!!! Naf

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@emmadora7848Wanaokufa ni kina nani? Maana hata Israel watu wanakufa sana pamoja na kwamba wanapewa misaada kedekede na nchi tajiri zaidi duniani

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@FridayMwassa unaonekana hujui chochote kwny historia mitume walio wauwa ni zakarya wali kereza kwa msumeno nabii yahya walimkata kichwa manabii karibu wote waliteremshwa iziraili lakini wali wakataa nahuyu isa wakanwita mingu hasa yan apo ndo wamempenda

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d 2 วันที่ผ่านมา +1

    Muwambiege hata uko Israeli waondoke acheni kujidanganya mashoga

  • @feisalkhamis9445
    @feisalkhamis9445 2 วันที่ผ่านมา +2

    na vipi kwenda Israel ni salama

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h 2 วันที่ผ่านมา +4

    Mwisho wa Izrael umefika

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 วันที่ผ่านมา +3

    Ndo napakia apa niondoke zangu

    • @Rey_D669
      @Rey_D669 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂

  • @frankbutati8343
    @frankbutati8343 2 วันที่ผ่านมา

    Hesebolla wamejichanganya, sasa waombe Mungu suluhu ya maongez kuliko vita

    • @Goldentouch_Ab
      @Goldentouch_Ab วันที่ผ่านมา

      Fuatilia historia wamepigana mara ngap? mara ya mwisho ilikuwa 2006... israel ali retreat

  • @user-pd5hl9di2q
    @user-pd5hl9di2q 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hao raia waambiwe kuondoka na Israel wasichukulie powa Israel inaweza futwa pia

  • @richwase6550
    @richwase6550 2 วันที่ผ่านมา +2

    Israel ikiingia vita saiz inaenda kuw sio taifa tena n ndio waisraeli halisi ambao n weusi(wabantu) watajulikn lkn hana namna lazm unabii utimie n ukwel ulud kwao.
    #MWALIM N MMOJA TU #ZOULOULA100

    • @user-ik4jj5gb6h
      @user-ik4jj5gb6h 2 วันที่ผ่านมา +1

      Huu ni mwaka wa 100 anapigana na akikuzidi maeneo yatachukuliwa Israel aiogopi kitu wanajua ndo maana wanawazuia raia wao kwenda Lebanon akiwa na maana kwamba Lebanon itakuwa majivu

    • @salumabdallah2990
      @salumabdallah2990 2 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@user-ik4jj5gb6hvipi kuhusu taliban wanatoa jeshi lao laki moja na iraq laki moja na siria wanatoa laki moja alafu yemen wamesema watatowa jeshi laki mbili unazungumziaje hapo😂 wakati israil imeomba juzi wamepungukiwa na wanajeshi 8000

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@salumabdallah2990vita siyo uwingi wa askari bali zana na mbinu

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@salumabdallah2990wameshindwa kuwatolea Wapalestina ,watawatolea Lebanon? Ujue hata Palestine Kuna watu waliwapa kiburu but now hawana pa kukaa, shule hakuna ,hospital shida na hakuna anayewasaidia

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 2 วันที่ผ่านมา

      ​Hizo sehemu zote umetaha ni maskini wa kutupwa ,halafu u think Israel atakosa wa kumuunga mkono? Ombeni amani acheni wehu

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona islaeli hawawasihi wasiende uko

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 2 วันที่ผ่านมา

    Pls

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 2 วันที่ผ่านมา

    SAFARI HII TUNAINGIA TELAVIV NA JERUSALEM. KUTISHA HAKUNA.

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 2 วันที่ผ่านมา +3

    😄😄😄wanaowasifia ezibolaha, ndio aoao watasema lebanon inaonewa, HAYA NYIE WAPONZENI

    • @meckymichael1880
      @meckymichael1880 2 วันที่ผ่านมา +1

      Hii si mara ya kwanza Hezbollah kupigana na Israel na casualties zilikuepo Kwa pande zote Israel kufungua font nyingine ya vita ikiwa yupo kupigana na hamas itampa wakati mgumu

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo 2 วันที่ผ่านมา

      Soo mara ya kwanza kupigana multiple front,,,and wanajiua na walishajiandaaa

    • @Williamstozzo
      @Williamstozzo 2 วันที่ผ่านมา

      Israel hawatapigana saivi kama gaza,,,watatumia nguvu kubwa kuliko mwanzo

  • @user-xc6ls9xn8h
    @user-xc6ls9xn8h 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tuwone nani atapata hasara Izrael umefika mwisho wake

  • @JoelFortunatus-du8ww
    @JoelFortunatus-du8ww 2 วันที่ผ่านมา

    Israel 🇮🇱 hawezi kupigana na Lebanon 🇱🇧 kwa sasa Bali imetangaza wazi wazi kuwa kwa sasa lseral hatuna mda wa kupoteza kupigana na heziballa Bali tutatumia nyukilia ☢️☢️☢️ ☢️☢️ tuu

    • @saidiomar6642
      @saidiomar6642 2 วันที่ผ่านมา

      Akitumia nyuklia ndio israil imeisha

    • @godblesshudson1564
      @godblesshudson1564 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@saidiomar6642imeisha kivipi ebu nielekeze

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@saidiomar6642Kivipi labda

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา

      @@saidiomar6642 sio kweli ikipgwa nyuklia hakuna nchi itakayo Fanya fyooo kama Haina uwezo wa nyuklia sababu na wao watajua kitakachofata nikupigwa nyuklia japo mm sidhan kama nyuklia itatumika.

    • @reubenbushiri1753
      @reubenbushiri1753 2 วันที่ผ่านมา

      ​@d255tvwatachapwa vizuri shida Kuna mkono wa marekani pale

  • @user-nz8bv6xn9r
    @user-nz8bv6xn9r 2 วันที่ผ่านมา

    Kilichotokea gaza kitatokea labanon mara dufu mana hezbollah walijipendekeza wenyewe

    • @Goldentouch_Ab
      @Goldentouch_Ab วันที่ผ่านมา

      hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma

  • @JoyceSekele-n2f
    @JoyceSekele-n2f 2 วันที่ผ่านมา

    mnao ibeza Israel mnajidanganya Israel nitaifa lilio balikiwa na mungu na wanahakili nying xana na wanaxilaha zakixaxa hao iziblaa mtawaxikia watakoxa pakukimbilia watawaletea watoto wao majanga

  • @walker-96
    @walker-96 2 วันที่ผ่านมา

    Lebanon mashoga tu ....
    Mda sio mrefu wataanza kupiga kelele Israeli wanaua watoto

    • @Goldentouch_Ab
      @Goldentouch_Ab วันที่ผ่านมา

      hao sio mara yao ya kwanza kupigana...mara ya mwisho ilikuwa 2006 ...israel alirud nyuma