Hakika mnavuka mipaka sana mungu ana mfano wala afanani na yoyote chochote kile .....basata kama mtaiona ii comment Mimi kama shabiki siwezi kubali ili hakika hali ya yote tuache utani wakijinga
Aza nakukubali sana mwanangu ila kwa upambavu huu utaharbu mashabiki wa siku nying kwa clip moja njaa isikupande kichwan ukakosa hekima na imani ya dini yan Leo ndota unamuitwa jibril shenz nyie
Tukicheka nao sana sote tutakua kwenye makosa, ipo haja ya kiwakataa Kuna vitu wavuka mipaka. Hizi sifa za kijinga mungu hafananishwi na mtu yoyote. Sio poa kuwafanya watu ni mungu
You're moving to the next level
Thanks sana
Hahahahaha kumbe mbinguni watu awalali,,,sema pitapita hizo
Ndo tunakupa siri
Hakika mnavuka mipaka sana mungu ana mfano wala afanani na yoyote chochote kile .....basata kama mtaiona ii comment Mimi kama shabiki siwezi kubali ili hakika hali ya yote tuache utani wakijinga
Innalillah wainna ilayhi rajiun hakika huu ni msiba mkubwa
Kakakakakakka nyie nae mnazinguwa
@@mohamedayub3666 hicho kiarabu acheni watu wafanye kazi nani mwenye mali ya halali
Hao wamemuigiza Gabriel na Michael hao ni Malaika sio Mungu jamani
We nae mwehu
Mtahukumiwa kwa ujinga wenu.MUNGU haletewi upumbafu wenu
KESHO NAWEKA STORY YA MARIOO NA DIAMOND
Mpo. Good xanaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 from naivashaa kenyaaa
😁😁😁😁😁 baba levo umetisha
😂😂😂 machawa rais kawapa shavu
Nakubal sana kaka
Mondi natamani nyimbo ya asake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 babalevo bane🤣🤣🤣
Aza nakukubali sana mwanangu ila kwa upambavu huu utaharbu mashabiki wa siku nying kwa clip moja njaa isikupande kichwan ukakosa hekima na imani ya dini yan Leo ndota unamuitwa jibril shenz nyie
Hakika sisi ni wamungu na kwake tutarejea
Hahaha makubwa
Fanyeni mabo uenu yote lakini
Msifanye mchezo na mungu nyie washenzi
Amina
Acheni kuvuka mipaka mungu hataniwi kiasi hichi
Hao wamemuigiza Gabriel na Michael hao ni Malaika sio Mungu jamani
Em mtuache tuchekee 😂😂😂
Chawa hadi mbinguni
Mbinguni kuna boda boda zinapita hapo boy mmechemka
Ni moja kati ya dalili za qiyama allha wasamehee
Tunakufuru waungwat
Kama comed zimewachinda bora 2 mukae, kuliko kuufanya ujinga kama huo. KUMA🇲🇿
😂😂😂😂😂
Mnajua.sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mnajifanya muwalokole acheni ujinga waachen vijana
Nyny mbwa hmna adab mnamtania Allah
😁😁😁😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣pita uku
Acha tuuu
Huna Idea nyingine
Fatilia account
Asake wa tandale
Naombeni like zangu
Upewe
😀😀😃😃😃😃😃😃
Igizo
Astaghafirullah astaghafirullah astaghafirullah
Mmevuka mipaka nyie
Daamondi wa leo kaongea eti
Amechangamka tyr
Acheni mumevuka mp
😂😂😂
Acheni kufuru
😂😂 follow
Tukicheka nao sana sote tutakua kwenye makosa, ipo haja ya kiwakataa Kuna vitu wavuka mipaka. Hizi sifa za kijinga mungu hafananishwi na mtu yoyote. Sio poa kuwafanya watu ni mungu
Baba levo
Naam
Vijinga ivi 😂😂😂😂