RAIA WA PAKISTAN ALIVYOKAMATWA NA UHAMIAJI AKITAKA KUPANDA NDEGE TANZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 287

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 4 ปีที่แล้ว +21

    Inavyoonyesha Hana Nia mbaya huu mwacheni aende zake

    • @hasionshekiondo8876
      @hasionshekiondo8876 4 ปีที่แล้ว +1

      Hv waarabu unawajua wewe wanaakiri mbovu

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +2

      @@hasionshekiondo8876 . Huyo sio muarabu nawe bora unge sema muhindi kwakua ni majirani na India.

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +2

      Ndio hata wamesema hana ubaya ila hakutumia taratibu zaku ingia nchini. Kapitia chocho labda akashikiwa njiani kwenye roadblock. Na huu ni ujinga waku kwepa gharama ya visa. Sasa ataenda kulipa fine zaidi ya alicho kikwepa

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว +1

      Wapakistani ndiyo watekaji wa ndege. Eti hana nia mbaya. Je umemsoma kumwoyo?????

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@bjzee1981 Umejuaje hana nia mbaya????

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 4 ปีที่แล้ว +10

    Sasa mnamtangaza ili ??

  • @teulechristopher8937
    @teulechristopher8937 4 ปีที่แล้ว +15

    Anakosa gani sasa ,si mludisheni kwao MBNA na sis tz tunaishi inchi za watu na tukikamatwa tunaludishwa.

    • @eddakimambo6712
      @eddakimambo6712 4 ปีที่แล้ว

      Mie sion kosa mie ilinitokea n migration walinilipia ndege sijatozw chcht n sijapelekw mahakamani,mhhh msiwafanyie hiv mrudishen kwao kwaaman,,,Tz bwan

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว +2

    Jamani jamani....mbona Anaonekana Amezuhiliwa Uganda miezi 6 ...kachoka Anataka kurudi kwao njia zimefungwa Atapitia Wapi Ameona Tanzania panaamani ndo itakuwa Salama yake...mkumbuke Anafamilia pia....Naomba Mumtangulize Mungu mbele na Mtumie Busara Zaidi.....Mungu Awasimamie Jamani....

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 ปีที่แล้ว +1

    Oooh wamsameh2 jaman😪😥😥

  • @magorymara5515
    @magorymara5515 4 ปีที่แล้ว +19

    Mpen msaada siyo kumweka kwenye mavidio haisaidii

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 4 ปีที่แล้ว +1

      Shangaa na ww wanapenda sifa sana hawa jamaa

    • @TheMtandao
      @TheMtandao 4 ปีที่แล้ว

      Apewe msaada wa ubalozi aendelee na biashara kama sio wale wanaotumwa kuharibu uchaguzi! Tuwe makini na wageni hawawezi kumtumia mzungu ila mhindi na mchina ni rangi rafiki! Uhamiaji wana haki ya kumkamata

    • @dicksonmatulile1523
      @dicksonmatulile1523 4 ปีที่แล้ว

      Acha sheria ichukue mkondo wake

  • @BENITHOTv
    @BENITHOTv 4 ปีที่แล้ว +1

    #ayo_tv waambieni watangulize utu kwani rais wetu anatusisitiza tuwe na utu waache kumdhalilisha sheria sheria kitu gani bhna utu kwanza mtakuja sikia wabongo wamenasa Pakistan mtaona mziki wake namnawajua wale jamaa walivo ma roho ya kiyahudi

  • @lydialaurian4734
    @lydialaurian4734 4 ปีที่แล้ว +1

    Nashangaa kuona comments za watu wakisema aachiliwe, oh Mara haina ulazima wa waandishi wa habari..ikumbukwe kua Ukifanya kosa hili hili nchi zao hizo Tena zenye sheria kali! he!,Juzi tu apo tumeona Lybia ilivyokua ikiwatendea watu weusi waliokua Wana cross border..na kaz ya media Ni kuelimisha watu Kama hao kua Ukifanya kosa la dizain hii hutoachwa salama.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว +1

      Mtu kama wewe ndiye tunayemhitaji. Thank you sanaaaa my dear. Unajua watu wanapima mambo kwa macho. Halafu wanasahau hichi kipindi cha uchaguzi. Mmmh Nimekupenda bureee my

  • @dss2838
    @dss2838 4 ปีที่แล้ว +1

    Afande sasa👀🙄!!! 😂😂😂😂

  • @donaldthobias9071
    @donaldthobias9071 4 ปีที่แล้ว +1

    Mpatie msada aende zake

  • @amoscharz5606
    @amoscharz5606 4 ปีที่แล้ว +15

    Kosa dogo hivo mnajaza waandishi wa habari😏

    • @francolazaro8646
      @francolazaro8646 4 ปีที่แล้ว +2

      Hapo hata akienda nchin mwao atawasmulia jamaa zake watawacheka sana... 😂 😂 😂 😂

    • @ahmedalshaibany
      @ahmedalshaibany 4 ปีที่แล้ว

      Nikosa kubwa kuingia nchi ingine kimagumashi, karibia nchi zote zikikugundua umeingia kimagumashi unawekwa jela.

    • @lydialaurian4734
      @lydialaurian4734 4 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ivi unajua Nini maana ya sheria...Afate sheria...Kafanye hivi kwao, tutakusahau broo, Ndo maana Kuna sheria na taratibu

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@ahmedalshaibany Mmesahau Waafrika wenzetu wanazamishwa baharini, siyo????

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@ahmedalshaibany Mmesahau Waafrika wenzetu wanazamishwa baharini, siyo????

  • @tanzaniatouristsattraction1622
    @tanzaniatouristsattraction1622 4 ปีที่แล้ว +3

    Hawa uhamiaj kwa kupenda sifa mnataka muonekane mnafanya kazi sasa ill ni kosa la kuita media kumtangaza mtu mi nilidhan kakamatwa na madawa au kaua

    • @rahmumohamedy1589
      @rahmumohamedy1589 4 ปีที่แล้ว

      Hawana akili kabca

    • @husseinshabani9522
      @husseinshabani9522 4 ปีที่แล้ว

      Wangetumia Busara tu.nahisi jamaa kachoka kazuhiriwa Uganda miezi 6 Anatafuta njia yakurudi kwao...wangefanya mawasiriano Wajuwe.mbona Anaonekana Anashida yaugaidi ...sizani kabisa Wamsamehe tu..Mungu Awasimamie .

    • @tanzaniatouristsattraction1622
      @tanzaniatouristsattraction1622 4 ปีที่แล้ว

      @@husseinshabani9522 kabisaa wamekosa kaz kuonea watu

  • @salisali3738
    @salisali3738 4 ปีที่แล้ว +16

    Huyo police atafuta sifa kumdhalilisha mtu wa watu mwacheni aende anakoenda

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว +1

      Weeee usikute ni snipper balaas

    • @rehemahamisi9971
      @rehemahamisi9971 4 ปีที่แล้ว

      Ujui sheria bora tu utulie😷

    • @erickmsilu6308
      @erickmsilu6308 4 ปีที่แล้ว

      Ndugu yangu usipende kumwamini kila mtu ,isitoshe hiyo sio kazi yako waacha wenye kazi yao wafanye yao.Uzembe huo huo ndiyo unaofanya baadhi ya nchi zinakuwa na ualifu mwingi ukiwemo ugaidi

    • @rehemahamisi9971
      @rehemahamisi9971 4 ปีที่แล้ว

      @@erickmsilu6308
      👏👏👏

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@erickmsilu6308 Asanteee Erick. Unajua kitu tunaitaga ujuaji. Ndiyo maana bomu likilipuka ama bunduki, utaona watu wanakimbilia kwenye mshindo. Bongo jamani sihami. Hahahha

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 4 ปีที่แล้ว

    Kumbukeni Nyimbo zetu za kitanzania....wimbo wa Tanzania Tanzania Nakupenda....ndo mtatumia busara ya kumwachia....

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz ปีที่แล้ว

    Pole

  • @zefamange7281
    @zefamange7281 4 ปีที่แล้ว +4

    MSIWE NA HARAKA KUSEMA AACHIWE AENDE, NANI ANAJUA KUTOKA MOYONI KWAKE ALIFWATA NN HAPA? NA JE WAO WAKIMKAMATA MTANZANIA WANAMWACHIA KIHOLELA?

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว +26

    Muacheni tuu aende zake huenda kakosa ndege kwingine akaona aje tz maan ndege zaenda,so muulizen uzr tena ila aonekan hana kosa kabisaaa huyo amefata safar tu apate ndege ya kwenda kwao jmn

    • @rewaatesh4877
      @rewaatesh4877 4 ปีที่แล้ว +2

      Miezi 6 lockdown imemchanganya.. Akaamua kutoroka Uganda. Atafanyiwa utaratibu na balozi wa Pakistani aende zake Dubai anakotaka.

    • @msetikebwasi6895
      @msetikebwasi6895 4 ปีที่แล้ว +3

      six month's lock down Mseven amefel kwa kupenda hela za msaada.

    • @sniperboy7098
      @sniperboy7098 4 ปีที่แล้ว +3

      Alikuwa anataka kwenda kwao sawa ila tunataka zifuatwe taratibu lazima ufanyike uchunguzi wakisema wamuachiye hatujuwi itakuaje

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว +1

      @Hemed Mohamed Seif kweli kabisaa nimetizam na kumsikiliza nimemuonea huruma haswaa na huyo si mhalifu kwa muonekano wake tu wahindi wenye uhalifu wanaonekan huyo no hana uhalifu kabisa kafata usafir tu ila tumbeen dua naongee nao arejee kwao kam huko Uganda alienda fanya uhalif bc walishindwa kumkamata bc hapa aachiwe tu na Uganda wahind wapo wengi mno wamejenga kabisaaa si kam kwetu tz wanapanga tu magorofa k koo. Otabey masaki Uganda wamejenga so huenda pia alikuja kutembelea ndugu jamaaa marafik hivyo yaan tumsaidien tu miezi 6 upo nchi ya watu so mchezo jamn asaidiwe tu huyo tuwe wazalendo kam cham chetu cha ccm

    • @lydialaurian4734
      @lydialaurian4734 4 ปีที่แล้ว +1

      Afate sheria...kwao ukifanya hivi raia wa kigeni unafungwa tena mweusi ndo utanyongwa kabisa sheria zao Ni kali sana alaf nchi yetu wanaigeuza shamba la Bibi.

  • @rukiyahussan4190
    @rukiyahussan4190 4 ปีที่แล้ว

    Mnamuonea tu tanzania sio wanyanyasaji mngemwambia halipe hela yakibali mnawaita waandishi wahabari kama mmemkuta namadawa makufuri kawanyoosha sana kitu kido mnaita wahadishi

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂tuna maliziwa tu mb kumbe kikosa ndio hiki

  • @tamimwatamim3427
    @tamimwatamim3427 4 ปีที่แล้ว

    Mwacheni Bwana Arudi Dubai Atokomee Kwao Huko.km alvojielezeya.MCMSUMBUWE .
    Wee KAMISHNA MZR WA UHAMIAJI UNAZUNGUMZA ENGLISH YACHEKECHEYA.!!!!!
    MM NIKO NA LG 4 FRENCH. SPANISH. GERMANY.Italy lg Ukiachya Kswahili.
    Ww kamishna Mzma Unadodosa English. Majanga Hayo!!
    MNATUNUKIWATU HZ KAZ PACPO NAVGEZO MAJANGA HAYO!!!😉

  • @abdallahjuma3263
    @abdallahjuma3263 4 ปีที่แล้ว

    Duh nahisi kama tumejidhalilisha watanzania mana uyo anajihami na kaingia nchi salama afanye safari ya kurudi dubai kwenye biashara zake....nahisi kashindwa kupitia immigration kwavile aliganda ug kwa lockdown alijua hawatomkubalia kuingia tz ndio mana amepita njia za panya

  • @annquinones
    @annquinones 4 ปีที่แล้ว

    So Nice 💘💘💘💘💘💘

  • @collinsmakanta6898
    @collinsmakanta6898 4 ปีที่แล้ว

    Sio Habar Ya Kuita Waandishi Wa Habari Kiivyo Mirad Serikali Yangu Naomba Imsamehe

  • @thekingbudah3711
    @thekingbudah3711 4 ปีที่แล้ว

    Mwacheni huyo wameteseka sana uganda Msaidieni

  • @juliethhouseofdesigns147
    @juliethhouseofdesigns147 4 ปีที่แล้ว

    Kama alikuwa Uganda na aliingia kiarali kule na shida yake ni kwenda kwao msaidieni afike ubalozi wake, asaidiwe aende kwao. Inawezekana alienda Uganda kibiashara na kule bado hawajafungua mipaka hivyo muulizeni kwa utaratibu sio vita.

  • @mechanicaldesignbrain
    @mechanicaldesignbrain 4 ปีที่แล้ว

    tukio maalum ndo hilo 😀😀😀

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 4 ปีที่แล้ว

    Kwani amekosea nini Mimi naona kaogopa Corona ameona apitie Tz Ivo mwacheni acheni kutafuta Kiki ndio maana napenda warabu ukiwa Omani unakibali wakikumata unalipa 50kwa mwezi unaendelea na shughuli zako akuna jera

  • @abdihq4228
    @abdihq4228 4 ปีที่แล้ว

    Mwacheni aende na pccb wawafatilie hao uhamiaji wanataka kupata pesa naomba kesi yake iende mahakamani na arudi kwao bila kutoa rushwa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 ปีที่แล้ว

    Hichi kichwa cha habari hakina mshiko.,kwani raia wa Pakistan hafai kupanda ndege? Kama hajafanya makosa ya kualifu mwacheni binadamu mwenzetu, dunia ni yetu sote, mipaka waliweka wazungu tu wache hustle aendelee na safari yake.

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd2890 4 ปีที่แล้ว

    Kuonea watutu mmeshindwa kudiri na majambazi sugu

  • @MaryamMaryam-gi9zw
    @MaryamMaryam-gi9zw 4 ปีที่แล้ว

    Hakuna kosa dogo apewe adhabu kali wao kwao wanajiona sana hawa washenzi arudi kwao huko na faini juu

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว +15

    SASA HIYO NDIO INAHITAJI PUBLICITY KIASI HICHOO?? Hebu muachieni fanyeni kazi nyingine za maana, wenzenu ulaya anarudishwa hapohapo kwanini mpoteze gharama za serikali kumshikilia na ku mtu za kwa kosa dogo tu kama hilo?? Hivi nyinyi nendeni mkapate elimu zaidi nje

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 4 ปีที่แล้ว +1

      Wauzaji wa madawa sugu ao hakuna nchi inayo ruhusu mtu kuingia hovyo hovyo

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว +1

      Aisha Chambo ni kweli ila inaelekea keshaenda kuyauza uganda au amewazima polisi wetu, ila kama hawajamkamata na Madawa why waste time piga repatriation hapohapo mnamalizana, ndo wanafanyaga wazungu ulaya, kuliko kupoteza muda kwenda vyombo vya habari kupiga porojo huku labda watu wamechukua cha juu 😁

    • @bjzee1981
      @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +2

      Kweli. Kasha jielezea na wame mkuta Hana kosa zaidi ya kuingia bila kibali. Wange mtoza fine na wa mpe kibali cha mda anao subiri usafiri kurudi kwao

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 4 ปีที่แล้ว

      Duuh hii ni issue gani ya kuekwa mtandaoni, nilijua kaua Uganda labda, kwa hivo interpol imefanya kazi🙆‍♀️

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว

      Yaan hawa bhna walichofanya sicho mm binafsi ninavyoona han kosa kafata usafir tu ujue lockdown ya miez 6 si mchezo na hajategemea jmn muachien tu kafat usafir muachien awndw kwao jmn

  • @sahiqkhan3169
    @sahiqkhan3169 4 ปีที่แล้ว

    Angekuwa na nia mbaya asingepita airport.. mwacheni tu huyo kama ana jambo la msingi mpeni visa alipie na faini... au mrudisheni kwao

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว +3

    Sasa si alikua kwenye lock down. Ana makosa gani . Tatizo hakupitia uhamiaji kuomba visa

  • @balloondecorationtz3190
    @balloondecorationtz3190 4 ปีที่แล้ว

    Napenda kumshukur mwe....
    Napenda kumshukur muheshimiwa Raisi

    • @carenmihayo7991
      @carenmihayo7991 4 ปีที่แล้ว

      kumbe umesikia ee yaan ma mbwa haya yanajipendekeza kwa huyo magu wao mpaka yanamkufuru mungu

  • @ashoramajaliwa5944
    @ashoramajaliwa5944 4 ปีที่แล้ว

    Na vimacho vyake kama vya paka.hujui hata sisi tupo nchi za watu.

  • @agnesoqwaa9848
    @agnesoqwaa9848 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana uhamiaji

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 4 ปีที่แล้ว

    Jamani Mpimeni .kamahana corona mwachieni aendezake msameheni madam hakuwana madawa.yakulevya mwacheenitu

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 4 ปีที่แล้ว

    Hakuwa na nia mbaya Lengo lake ni kuondoka kurudi kwao

  • @ramadhanikasim7485
    @ramadhanikasim7485 4 ปีที่แล้ว

    Mwachen ata nikifunga sio sababu ya afsanaona Kama unataka maujiko iv mbu muachen nikajua nimemkuta labda ata na bastola aanaonekana mpole

  • @sahiqkhan3169
    @sahiqkhan3169 4 ปีที่แล้ว +1

    Hii ni nchi ya amani mpeni malezi mazuri tuwe mfano katika dunia

  • @Jumashadhil380
    @Jumashadhil380 4 ปีที่แล้ว

    Asa c mmuache Aende au muacheni Aishi Au Vip Jaman🙌

  • @jacklinemosh5249
    @jacklinemosh5249 4 ปีที่แล้ว +3

    Jeshi letu lpo vzur,Mungu aendele kuwasaidia

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 ปีที่แล้ว

    Mumu saidie Tu jamani tatizo ni korona asinge kuja

  • @Mastermind25491
    @Mastermind25491 4 ปีที่แล้ว +2

    Msameheni,,#humbleguy

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael3698 4 ปีที่แล้ว

    Msaidieni jua huku siyo kwao sasa anataka kwenda kwao sasa Uganda hawezi kutoka Kwa kibali jamani watoto wetu jamani mweeeeeeee korona hiiiiii kachoka looooo

  • @dicksonmatulile1523
    @dicksonmatulile1523 4 ปีที่แล้ว

    Acha sheria ichukue mkondo wake

  • @gideonmwalyego466
    @gideonmwalyego466 4 ปีที่แล้ว +6

    Ww acha unafki sema tunashkuru Mungu,Magufuli ndio kaondoa Corona,kwl tunawatendji kama hawa wanapewa vyeo kwa hisani tu.

    • @zuwenaalamini4158
      @zuwenaalamini4158 4 ปีที่แล้ว +2

      Nikwel wamemsahau hadi mungu wajinga hawa

    • @adolfmathew9698
      @adolfmathew9698 4 ปีที่แล้ว +2

      naona anayo hofu ya mh rais kuliko MUNGU ALIETUPA PUMZI

    • @gideonmwalyego466
      @gideonmwalyego466 4 ปีที่แล้ว

      @@zuwenaalamini4158 Yaan njaa mbya sna Zuwena,unamtnguliza binadamu nimradi tu aone kuwa amemtaja mkuu wke atakuwa salama na cheo chke.Mungu awasamehe hwa wanafki

    • @jumasaid8892
      @jumasaid8892 4 ปีที่แล้ว +2

      @@zuwenaalamini4158 watanzania wengi ni wajinga sana yaan wanamsahau hata aliewaumba wanamtukuza Mtu kuliko hata Mungu

    • @gideonmwalyego466
      @gideonmwalyego466 4 ปีที่แล้ว +1

      @@adolfmathew9698 ni vcheksho hv,ndio tulpofkia Adolf ndgu yngu,watu wnatetea matumbo yao kulko kujua Mungu ndio mkuu kulko chochote.

  • @toreskatelezu2600
    @toreskatelezu2600 4 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe alikuwa anajiridhisha tu kuwa Tanzania has got no Corona virus, now confirmed

  • @mussamassawe7624
    @mussamassawe7624 4 ปีที่แล้ว +1

    Mwachien aende zake!....

  • @ngwanafabian9668
    @ngwanafabian9668 4 ปีที่แล้ว

    Watanzania mnajifanya mna huruma sana. Aachiwe aende ili iweje sheria zetu zinasemaje?

  • @savege-zh8yk
    @savege-zh8yk 4 ปีที่แล้ว +1

    Kama aanasherie na alikuwa akiamini kuwa TZ njo kimbio basi mumupe sheriya yaishe bana

  • @aybkham5795
    @aybkham5795 4 ปีที่แล้ว

    Mi nikimuangalia Hanna nia mbaya... Na uzuri Alikuwa inaondoka, anasema ukweli na kwa kuwa Luna majanga basi mpeni onto tu... Sio mbaya...

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada9570 4 ปีที่แล้ว

    Kweli kwa muonekano anaonekana hana nia mbaya, sema hatujui tu yaliyomo Moyoni mwake, asamehewe tu jamani dah!

  • @divaimafuru2394
    @divaimafuru2394 4 ปีที่แล้ว

    Tumieni husara sio inshu kuubwa ki vile nilifikiri kashikwa na mabom duh aisee mpimeni kisha mruhusuni aendelee na mambo yake

  • @jumbechachujunior7206
    @jumbechachujunior7206 4 ปีที่แล้ว +3

    Sasa hili nalo ni lakuita press ?

  • @sahiqkhan3169
    @sahiqkhan3169 4 ปีที่แล้ว

    Kweli mwachemi huyo mrudisheni tu kwao

  • @gallibmhammed8971
    @gallibmhammed8971 4 ปีที่แล้ว

    Em mchunguzeni wasilianeni na Uganda kama hana makosa huko alipotoka ni mtu safi muacheni aende ana family ana majukum ndo maana wakat mwingine inabd kujitoa muhanga

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 4 ปีที่แล้ว

    Wale eritrea na waethiopia wanaopita border to border na ma Fuso mbona hamwadhalilishi hivi?

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 4 ปีที่แล้ว

    Hana pesa tu huyo jamani mwacheni

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 4 ปีที่แล้ว +1

    King 🤴

  • @madamloveness7274
    @madamloveness7274 4 ปีที่แล้ว

    Kikubwa msaidieni kurudi kwao sababu anaonekana sio mkosaji huyu ,hata watz wakikamatwa nchi za wenzetu huwa wanarudishwa TANZANIA

  • @sajjadzahir8533
    @sajjadzahir8533 4 ปีที่แล้ว

    Noma,iyo ni mateso sasa

  • @bernardinaa7565
    @bernardinaa7565 4 ปีที่แล้ว +5

    Kuweni makini hawa waarabu ni hatari sana

    • @richboy1041
      @richboy1041 4 ปีที่แล้ว

      Ww kuku acha chuki uyo muhindi kenge weee

    • @fathiyaalfalahi5062
      @fathiyaalfalahi5062 4 ปีที่แล้ว

      Acha ujinga wapakistan sio waarabu

    • @salisali3738
      @salisali3738 4 ปีที่แล้ว

      Huyo ni mpakstan sio mwarabu

    • @fahminasser3855
      @fahminasser3855 4 ปีที่แล้ว

      Huyo aleta ubaguzi watu wengine kama wana funza wa matakoni

  • @smartmwashoma4992
    @smartmwashoma4992 4 ปีที่แล้ว

    Mwacheni huyo mtu msameheni anaonekana hana tatzo japo kuwa hamjamuuliza kafuata nini Tanzania na no biashara gani kaleta?

  • @johnjohnson9374
    @johnjohnson9374 4 ปีที่แล้ว

    Hilo sio kosa la kujaza waandishi wa habari hii dunia kuna leo kesho hatujui kutokana hali ilivyo ilitakiwa ubinadamu utumike.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 4 ปีที่แล้ว

    Msaaidieni afike kwao kama hana nia mbaya na siyo kumfanya maonyesho kwenye mitandao

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd2890 4 ปีที่แล้ว

    Huyo hana kosa lolote anajitafutia rziki yake

  • @annylove5009
    @annylove5009 4 ปีที่แล้ว +3

    Uyo ni kama mkimbizi msimfungi mpelekeni kambini

  • @godlovemasamakibatandu2092
    @godlovemasamakibatandu2092 4 ปีที่แล้ว

    kuna uhusiano wa sura na akili ya mtu,ona kuanzia wafanyakaz wa nec,polisi waliofanya madudu kipind hiki cha uchaguzi na uje uhamiaji,hili kulkuwa na umuhumu gani? ma cheki sura lake

  • @donaldthobias9071
    @donaldthobias9071 4 ปีที่แล้ว

    Nilijuwa kamatwa na madawa ya kulevya kumbe anasepa zake tu

  • @aishaasumany561
    @aishaasumany561 4 ปีที่แล้ว

    Wacheni ushubwada wenu muachieni baba wawatu kwani ye ndio wakwanza mmbwa nyie wachieni hata sisi watanzania tuko nchi zawatu. Na tuko sawa tu nyau nyiw

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 4 ปีที่แล้ว

    Hakuna kaso kubwa ki hivyo ni mizunguko ya usafiri tu jamani

  • @juniorjuma6884
    @juniorjuma6884 4 ปีที่แล้ว

    Ovyoooo kosa ndo Hilo

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 4 ปีที่แล้ว

    Sasa Lazima mumtangaze... Si muache aende zake jamani

  • @kalufunyangenyakinyungu5087
    @kalufunyangenyakinyungu5087 4 ปีที่แล้ว

    Hivi ni kwann watz msiohusika na vitengo vya matukio fulanifulani mnakuaga wajuaji kuliko wenye vitengo hivyo. Nimesoma comments za wengi humu ni wajuaji watupu,asa kisa anavyotia huruma baada ya kukamatwa. Unajua kuwa ni kawaida ya binadamu mkosefu kunywea kama mkate ndani ya chai hasa akutwapo na makosa? Umewahi kukutana na jambazi pindi akiwa kapumzika shughuri zake na ukamtofautisha na pindi awapo kazini? Msipende kurahisisha mambo,acheni wahusika watumie weledi wao coz ndo taaluma yao hiyo. Unyumbu tu ndo umetujaa wabongo. Na mnapokomenti humu mjue mnaliaibisha taifa kimataifa coz point zetu zinaonekana dunia nzima, mwishowe tunajikuta tumo kwny nchi zenye IQ ndogo duniani. Kuweni wazalendo enyi watz wenzangu,I'm out.👋👋👋

  • @rahiminamsangi8558
    @rahiminamsangi8558 4 ปีที่แล้ว +3

    Uhamiaj mtakiwa niwe waelewa kidogo sheria na kumsoma mtu alivo ni upako so hiyo hana kosa anamtafta njia tu sense na safar Ake

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 4 ปีที่แล้ว

    Utadhania kakamatwa na madawa ya kulevya au kakamatwa na kiungo cha binadamu Huyu askari anatafuta apate cheo na atopata

  • @yoshuawane7106
    @yoshuawane7106 4 ปีที่แล้ว

    Sheria sinaumiza sana

  • @bethuelchrist1633
    @bethuelchrist1633 4 ปีที่แล้ว

    msimlaumu sana polisi...kipindi cha uchaguzi, ulinzi uko makini sana...hata akipita mtu yeyote, nchi lazima ijue.

  • @engineerar2436
    @engineerar2436 4 ปีที่แล้ว

    What happen actually any one translates

  • @stevenmsaaada.msaada.389
    @stevenmsaaada.msaada.389 4 ปีที่แล้ว

    Hivi watanzania akilinzenu zimeenda wapi? Mnawakosoa maaskari kumkamata huyu, iv mmesahau kuwa juz tu bukoba shule ya kiislamu imengua moto nakuua watoto kibao? Mnajuwa ninani wanaoratibu hayo? Juz moshi tumeona hayo hayo kwenye shule ya kiislamu tena. Kwaiyo waacheni police wajilidhishe.

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648 4 ปีที่แล้ว

    Mkikosa vitu vya kutangaza si mtulie na wake zenu manyumbani?

  • @abdulsalim8900
    @abdulsalim8900 4 ปีที่แล้ว

    Askari wa Wakibongo wanazengua nao

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 4 ปีที่แล้ว +8

    Just let him go! Jama hana shida

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      Do you know why he avoided going through legal check points??? Why is he here illegally???

    • @theoriginals3240
      @theoriginals3240 4 ปีที่แล้ว

      🤷‍♂️

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 4 ปีที่แล้ว

    Kha

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 4 ปีที่แล้ว

    Kwhy mtakaa nae mpk lini?

  • @mohamedjeizan5929
    @mohamedjeizan5929 4 ปีที่แล้ว

    Utafikiria labda kauwa wakati ni mambo ya kawaida tu.
    Na waandoshi wa hbr mumekosa hbr ya maana? Hiyo ndio nn sasa

  • @petermamu3452
    @petermamu3452 4 ปีที่แล้ว

    Dah!!

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 4 ปีที่แล้ว

    wamrudishe kwao tu

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 4 ปีที่แล้ว +2

    eti commisioner msaidizi!!!

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 4 ปีที่แล้ว +1

    Waambie watu wa uhamiaji wa kule bukoba waachie kucheza na kazi. Maana hao ndo wenye makosa.

  • @aronnasloyaljr7945
    @aronnasloyaljr7945 4 ปีที่แล้ว

    Lengo lake sio baya sema askari wa bongo sifa tu

  • @mariamtzd2890
    @mariamtzd2890 4 ปีที่แล้ว

    Hilo nalo nitukio mbona mnakuwa wajingammemkamata naninisasa usengetu

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 4 ปีที่แล้ว

    Sasa ana shida gani jamani mpaka mahakamani kama kulipa fine mlipisheni aende zake na safari zake mbona mambo madogo tunapenda kuyakuza

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias9002 4 ปีที่แล้ว

    Police wa tz hawana akili

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh

  • @classicviewdaily6416
    @classicviewdaily6416 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/NyySFKiElBk/w-d-xo.html jionee utata wa magufuli kwa China hapa

  • @emmanueljoshua4298
    @emmanueljoshua4298 4 ปีที่แล้ว

    Mahakan akachukue nin kwan huyo ni bubu ajieleze mwachien mt angoe zake

  • @lilzombies7821
    @lilzombies7821 4 ปีที่แล้ว

    Nikajua kakamatwa na nyuklia kumbe mpita njia