Mungu amlaze pahali pema peponi ,alikua anajua polisi si kazi ilio na manufaa akhera,nikazi iliojaa zulma na uonevu bora alivyoiacha ingempeleka pabaya pia anatufunza tusing'ang'anie dunia.
Naomba msamaa, nimekumbuka mtu akiondokewa osimulaumu. Sijawahi muona marehemu lakini nangalia video zake hapa kwa TH-cam. Ina lilahi waina ilaihi rajiuni.
innalillahi wainnailayhiraajiun ________________________________ kwa habari kama hizi na mambo mbalimbali ya kidini usikose kubonyeza picha yangu na kusubscribe channel yangu. naamin utaipenda
Assallaam Allaykum Warahmatullahi Wabarakatuh TV zote za Zanzibar ikiwemo nyinyi online tv Nawaomba mtafuteni muendeshaji wa (HABARI MATUKIO ONLINE TV ) Mumwambie afute Videos aliyoichukua wakati mwili wa Sheikh Hussein Hassan Nyundo unalazwa kaburini Ndugu zangu Jambo lile ni lafaragha huku tunakoelekea wapi nduguzangu Wallahi ningelikuwa huko Zanzibar huyu jamaa ningemtafuta mm mwenyewe na ningempata Wallahi kitu ambachoningemfanya ingekuwa fundisho kwa wengine wenye tabia hiyo na hatakama amefurahiya kifo Cha Sheikh wetu huyo niyeye Sasa hasijionyeshe dhahiri hivyo mtafuteni huyo (Habari Matukio) online tv mwambieni Afute hiyo Video haraka pale amezuiya tusiweze kucomments Ila tuana wapa nyinyi samu hizi na mfikishieni kwa ajili ya Allah.
Wacha ufala wewe kampikie mumeo wewe ndio nyie mlio semwa munaacha kuwapikia waume zenu kazi umbea tuuu. Huyo kama hakuzaliwa 74 kahafilika huyo ni ndugu yake wa damu
Allah amfanyie wepes ktk safar yke hii ya mwsh In sha Allah
Allah amlaze peponi shekhe wetu na maiti wetu wote walotangulia amin poleni sana
Ameen yarraby
INNA LILLAHI WA INNA ALAYAN WARAJUNU MY ALLAH WILL PUT IN JANNAT FIRDUOS SHEIKH FROM ZANZIBAR 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Waislamu tuwatunze masheikh wetu pind wanapokua hai
Mungu amlaze pahali pema peponi ,alikua anajua polisi si kazi ilio na manufaa akhera,nikazi iliojaa zulma na uonevu bora alivyoiacha ingempeleka pabaya pia anatufunza tusing'ang'anie dunia.
dah polisi ya Tanzania mtihani,mimi nlikosa lakini wala sikulalamika
Allah amueke mahali pemä. Aameen. Ahsante kwa historia, lakini usieleze details sana. Allah awape subra. Aameen.
Naomba msamaa, nimekumbuka mtu akiondokewa osimulaumu. Sijawahi muona marehemu lakini nangalia video zake hapa kwa TH-cam. Ina lilahi waina ilaihi rajiuni.
Allah akuhifadhi mwalim hussen
Mashaallah
innalillahi wainnailayhiraajiun
________________________________
kwa habari kama hizi na mambo mbalimbali ya kidini usikose kubonyeza picha yangu na kusubscribe channel yangu. naamin utaipenda
allah yarhamuhu sheik
Innaa lillahi wa innaa ilayhi raajiuun
Jamani kwer shkh nyundo anaumli wa 45 sikwer
Kama 45 basi alikua bado mbichi kabisa kifo hakina umri maalum Allah atupe mwisho mwema
MWENYEZI MUNGU AMUWEKE PAHALA PEMA PEPONI
Assallaam Allaykum Warahmatullahi Wabarakatuh
TV zote za Zanzibar ikiwemo nyinyi online tv Nawaomba mtafuteni muendeshaji wa (HABARI MATUKIO ONLINE TV ) Mumwambie afute Videos aliyoichukua wakati mwili wa Sheikh Hussein Hassan Nyundo unalazwa kaburini Ndugu zangu Jambo lile ni lafaragha huku tunakoelekea wapi nduguzangu Wallahi ningelikuwa huko Zanzibar huyu jamaa ningemtafuta mm mwenyewe na ningempata Wallahi kitu ambachoningemfanya ingekuwa fundisho kwa wengine wenye tabia hiyo na hatakama amefurahiya kifo Cha Sheikh wetu huyo niyeye Sasa hasijionyeshe dhahiri hivyo mtafuteni huyo (Habari Matukio) online tv mwambieni Afute hiyo Video haraka pale amezuiya tusiweze kucomments Ila tuana wapa nyinyi samu hizi na mfikishieni kwa ajili ya Allah.
Ningeshangaa alioa na miaka 16
Mnyasa mtu wa Ruvuma uyo
Sote twaelekea
Ni mzanzibari lakini ana asili ya bara sema ivoo kaka
Mbona kaka yake kasema 68 huyu muongo sana
Huyu muongo Nyundo kazaliwa 72, sio 74
Uongo wake nini na yeye ni ndugu yake na msiba ni faradhi ila kwa anae fikwa na msiba huafilika pia. Sasa wewe wacha kusema watu waongo wewe
Wacha ufala wewe kampikie mumeo wewe ndio nyie mlio semwa munaacha kuwapikia waume zenu kazi umbea tuuu. Huyo kama hakuzaliwa 74 kahafilika huyo ni ndugu yake wa damu
kazaliwa 74 mnamo miaka ya 80 alikuwa mfanyabiashara du!
@@bobsulejunior1051 ndio lbda 88-89,kwann baadaa ya biashara je km alikuaa anauza tende je
Usiseme muongo sema kakosea kwenye miaka