POROJO LA MUHAMMAD BACHU LAJIBIWA: MASUFI HAWAABUDU KABURI // USTADH HAJI UPEPO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 152

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana sheikh haji upepo kwa darsa nzuri ,hawa mawahabi kazi yao kudanganya watu tu kusoma hawatakii

  • @silimakhamis7088
    @silimakhamis7088 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sikiliza kwa sikio la uadilifu❤🤝

  • @RamaNassry
    @RamaNassry 3 หลายเดือนก่อน +3

    KWA HAKIKA UISLAMU WA KWELI NI "KUIFUATA QUR,AAN,SUNNAH KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA{MTUME NA MASWAHABA NA WALIOWAFUATA KAMA WAO WALIVYO},KUACHANA NA UZUSHI KTK DINI YA ALLAH ILIYOKAMILIFU" HIYO INANITOSHA MIMI KAMA MUISLAMU

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 2 หลายเดือนก่อน

      HATA HAO WEMA WALIOTANGULIA HAWAKUWA NA UFAHAMU MMOJA KATIKA MASAAILU MBALI MBALI YA HUKMU ZA KIDINI,
      KWA HIYO HILO NENO : KWA UFAHAMU WA WEMA WALIOTANGULIA, HALIPO KATIKA KUTOLEA HUKMU MAMBO KIDINI.

  • @Assalafiyyah637
    @Assalafiyyah637 หลายเดือนก่อน +1

    Latetea usufi

  • @ahmadmadaai1357
    @ahmadmadaai1357 3 หลายเดือนก่อน

    Allah akulinde na hasad upo vzr maalim

  • @BashrahilAshaary
    @BashrahilAshaary 3 หลายเดือนก่อน +3

    mm nakubaliana na ww mawahabi ni makhawarij,,
    Shekhe Allaah akupe afya na Umri mrefu uzidi kuweka wazi kuhusu uwahabi,,

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 หลายเดือนก่อน

      Khwatruji wawajuwa ww au waropokwa na huyu shekhe wenu sijui mmeuokota wapi mtu mwenyewe hana ilmu anawavamia mashekhe wenye ilmu hivi uliona wapi kiroboto akamuangusha tembo chini ibada hizo zipo kweli na watu wanazifanya mnapinga nini ukiona mtu anapinga na mushiriki huwezi tetea ujinga video zipo mtandaoni kibao watu wanasuhudia na kuomba maiiti huyu kijana wenu mnaemtuma bado xana hana ilmu kabisa kazaliwa juzi tuu watu kitambo wanaabudia makaburi na wakijidai ni waislamu

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 หลายเดือนก่อน

      Ampe umri mrefu kutetea kuabudu makabuli sio shirki iendelee mwenye kumtetea mshirikina nae Ni mshirikina ninyi abudini Allah yupo anawangoja mbona kunawatu wanaomba kupitia yesu na Allah anawapa neema tuuh! So kama kawasahau anawapa umri Hana haraka nao na ninyi mnaotetea kuomba makaburi Allah yupo anawasubil ipo siku ambayo hakuna atakae mfaa mwenzake huyo upepo unae muamini ww atakuwa mchanga tuuu, kwa Allah mtume alikuja kataza shirki na watu kuomba mayti vile visivyo sikia na uwezo wowote mkavifanyia maombi na Allah mtajuta nyie hii dunia yupo aloumba na anawasubil madhalimu kuwapa mda wa kuishi tuu msifikili Allah atadhulika na kupunjika na hivyo mnavyomuwekea ushirika Allah aghafiriki navyo kabisa

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 3 หลายเดือนก่อน +3

    Wallahi bachu ni sindano kali kwa masufi hata kama wakifanya nini ulimwengu umesha jua. Hawawezi kuanza mada na wala hawalali kwa kufikiria tufanye nini tumzibe mdomo bachu. Lakini wallahi hawawezi kumziba mdomo kwa kua yuko kwenye haqqi. Allah ataendelea kumlinda na vitimbi vyenu.

    • @SaidIssa-tq3yv
      @SaidIssa-tq3yv 3 หลายเดือนก่อน

      Bachu bangi zinamsumbua .acheni ujinga waombeeni Dua wazee wenu ,

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@SaidIssa-tq3yvulimuona anavuta bangi? Utakwenda kujibu

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 2 หลายเดือนก่อน

    Hawo mawahabi Wana feats fikra yamayahudi

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 2 หลายเดือนก่อน

    Yaahla sh upepo ukovizulisana haoninani aliwambia wawe masalafi vitu havimo katika utaratibu wamafunfisho wanabii utapata shida Sana nahao

  • @YussufWakala
    @YussufWakala 2 หลายเดือนก่อน

    Shekh muogop Allah

  • @NzaraMreto
    @NzaraMreto 3 หลายเดือนก่อน

    ACHENI USHIRIKINA

  • @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh
    @Ahbabrasulintegratedacad-ok7uh 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh

  • @ImeldaNaliaka
    @ImeldaNaliaka 3 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah may Allah protect you shk

  • @husseinkhalfan8378
    @husseinkhalfan8378 3 หลายเดือนก่อน +2

    Acheni ushirikina masufi

  • @JumbiSecondary
    @JumbiSecondary 3 หลายเดือนก่อน

    ALLAHUMMA Ihdina bi hudaKA

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah 3 หลายเดือนก่อน

    Wallahi naapa;wa jina la Allah mawahabi ni pote ovu linalokufurisha waislam na si watu wa dini na kuhudhuria vıkao vya kiwahabi ni kutafuta mtihan

    • @Assalafiyyah637
      @Assalafiyyah637 หลายเดือนก่อน

      Matamanio ya nafsi imekuzonga

  • @ABUUALLY-ch5jr
    @ABUUALLY-ch5jr หลายเดือนก่อน +1

    Kwa maneno hayaa na bado wanapinga mawahabii 😂😂😂 ila sishangai sana kwa sababu watu waovuu ndivo walivyoo hata uwaambie nni hawaelewii kwa sababu nyoyo zao zishaotaa kutuu

  • @AmirathumaniSori
    @AmirathumaniSori 2 หลายเดือนก่อน

    Haji upepo acha ushirikina wa hazaran ww mbn humuongop mungu www

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA 3 หลายเดือนก่อน

    Dunia kumeiweka mbele sana.

  • @msabahkhamis9438
    @msabahkhamis9438 2 หลายเดือนก่อน

    Tulinganisheni hawa mashekhe2
    Anaegawa watu hayupo sahihi
    Anae waunganisha watu yuko sahihi kwaio mwenye macho haambiwa tazama hawa mashekhe2
    Yupi anagawa watu na yupi anaeunganisha watu hapo utapata jibu sahihi ni yupi yuko ktk haki
    Na uchaguzi huo chaguweni kwa ajili ya Allah na ushabiki tuache pembeni.

    • @msabahkhamis9438
      @msabahkhamis9438 2 หลายเดือนก่อน

      Na mimi nilotowa huu ushauri sijaegemea upande wwte

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA 3 หลายเดือนก่อน

    Mche allha munawagawa watu. Mutalipwa na Allah

  • @MahmoudKhamis-cv9pi
    @MahmoudKhamis-cv9pi 3 หลายเดือนก่อน

    Yaani shehe unawamaliza Mawahabi Maana hawataki kabisa kusikia mtume s. a. W. Anasifiwa. Wanataka wasifiwe mashehe wao kuliko mtume

  • @manrectorz
    @manrectorz 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo lenu hamtaki kuelewa kwa makusudi. Nyie mnafanya kuomba Watu waliokufa badala ya kuwaombea, Hakuna Tawasul aliwahi kufanya Mtume S.A.W wala Maswahaba, wala Salafy swaleh

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Hakuna anae omba maiti wanatawasal ww ulimsikia nani akiomba maiti ww tu ukiomba dua ili dua zako zikubaliwe lazima umswalie mtume s a w katika dua zako na mm naeeza kutawasal kwa mtume s a w ama mwanachuoni ya Allah nijalie na maisha mazuri ama kazi mzuri kupitia huyu kiumbe chako bora ya Allah hapo unetawasal hujaomba maiti elewa

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน +1

      Ww chizi mtume s a w humuomba Allah kwa sababu hakuna kiumbe bora zaidi yake na mtume s a w atakacho Allah humpa na humridhia sasa ww chizi ukitaka kuomba utaomba kwa Allah lakini dua yako haitakabaliwi mpaka umtaje mtume s a w ama waeza kutawasal kwa waja wema

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @abuunufaysah5328
    @abuunufaysah5328 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nyinyi siyo Ahlu Sunnah waljamaa' bali nyinyi ni Ahlul bidaa' wal ahwaa,Allah awaongoze katika Tawhiid na sunnah.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Na ww ni nani wahabi kasome tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji mwamzushia mtume tawhed tatu mtume s a w hajafundisha wala maswahaba hawazijui tawhed tatu mumezitoa wapi nyinyi mawahabi wapotoshaji watu wa twarika ndio wamfuata mtume s a w kwa kila suna

    • @abuunufaysah5328
      @abuunufaysah5328 3 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj hakuna sufi mwenye akili timamu duniani,Allah awaongoze watu wabidaa' nyinyi,nguzo za swala,hija,udhu,swaumu au ndoa Mtume عليه الصلاة والسلام kafundisha kitabu gani?

  • @bagalucha
    @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน

    Ama huu ni Upepo mtupuu.

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk 2 หลายเดือนก่อน

    Majaji upepo hana ki2 chochote nyny mwaomba makaburi

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamani imamu shafi kaona mbali Kwa masufi

    • @Hamis-ks1sy
      @Hamis-ks1sy 3 หลายเดือนก่อน

      Ahmaq

  • @khalifa_kuchi
    @khalifa_kuchi 3 หลายเดือนก่อน

    Hawa jamaa kwel wameishiwa na hoja sasa kumuomba allah kua anjaalie awe na mtume peponi na kwenda kumuomba maiti mtu ambae ashakufa yake mwenyew hayajui yapoje then akakuchukulie na mzigo wako pia hii si balaa engekua hakuna muislam mweny zambi hata mmoja dunian

  • @salemaliy1963
    @salemaliy1963 3 หลายเดือนก่อน

    Bachu Hana adabu tu ..Hana elimu mbwembwe nyingi tu

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i 2 หลายเดือนก่อน

    Shirki nikumwabudu mwezimungunakitukingine

  • @JumaMohamed-y4w
    @JumaMohamed-y4w 3 หลายเดือนก่อน

    Wengine wanajiita salafi kama manyumbu tu sikiliza upate faida acha kukaririshwa misimamo.haji toa faida hawa masafi hawana elim bali wanamisimamo tu yanamfaata m

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 3 หลายเดือนก่อน +1

    Raha kuwa na vijana wanazuoni.

  • @ramadhaniissa6703
    @ramadhaniissa6703 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani mawahabi na masalafi wanfikiria kuwa mtu akifa hajiwezi tena ilihali mtume anasema hao wanasikia kuliko walohai hawa kweli ni makhawariji na hadith ipo wazi kuhusu wavurugaji hawa wa dini

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน

      Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @abuukarata9653
    @abuukarata9653 3 หลายเดือนก่อน

    Shekh la majini ulijitahidi vizuri lakini hili umeanguka

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk 2 หลายเดือนก่อน

    Bado hajasema ki2 upepo

  • @JumaMohamed-y4w
    @JumaMohamed-y4w 3 หลายเดือนก่อน

    Mambumbu yameshika misimamo baadhi hayajui hata swala misimamo bila elim wewe si nyumbu tu haji faida huyo bachu wenu alikimbia maburui ananini huyo someni acheni adarawesh.

  • @SeifSimba-qq8rk
    @SeifSimba-qq8rk 2 หลายเดือนก่อน

    Kwaiyo masalafi ndio nyinyi au???

  • @rashidhemed1444
    @rashidhemed1444 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mawahabi mkosoeni kama anachokisema sio sahihii so munapenda kupiga Raddi

  • @DiudaKozi-qu8sl
    @DiudaKozi-qu8sl 3 หลายเดือนก่อน +1

    Haji upepo kashaingia kwenye uchizi.

    • @KhamisiOmar-v3h
      @KhamisiOmar-v3h 3 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ndie chizi wa kwanza wakiwahabi wenye kuabudu miungu mitatu.

    • @taurehassan7399
      @taurehassan7399 3 หลายเดือนก่อน

      Unatkiwa umpinge kw hoja,mwambie hizo hadithi zote sio sahihi au utoe maana yko ww ulivyoelewa na SI kuongea ujeur,Hali ikikudhihirikia gusta atkm kasema mtu usompenda

    • @AbdurahmanMahfoudh
      @AbdurahmanMahfoudh 3 หลายเดือนก่อน

      Mawahabi ni tabaka la waingereza ujeruman ufaransa Italy na America nyuma ya uyahudi watawajuaje ahtasawf iyo bahri nyenyengine aje bagamoyo tumfundishe zawiyatulqadiria I Nawatakia majuha kama hao
      On

    • @hamidaawadh9024
      @hamidaawadh9024 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@KhamisiOmar-v3hhayo ni mawazo yako

  • @adammaulid2356
    @adammaulid2356 24 วันที่ผ่านมา

    Sas itakua vp mawahabi wawe salaf sswaaleh ,vp watakua wapenz wa mtume wakati ushasema wapo mbali na uisilamu, wkt ushawakufurisha ushasem mayahudi !?nyiny masufi at mukilia mukihuzunik nyiny c wa mwanz, ch msingi acheni shirk n makaburi

  • @khamisali5942
    @khamisali5942 3 หลายเดือนก่อน

    Kwan hili jambo mumesema wenyew hajakusemen bachu mbona mumrmsakama sana halafu unasema tusikilize kwa uadilifu wakat we mwrnyrw sio muadilifu mtukanaji tu elimu yenyew ya kuunga unga

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Kwa sabubu bachu anasema na ilimu hana amefuata wale wapotufu waliomtangulia

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye 3 หลายเดือนก่อน

    Ametoa hadithi na Aya zijibuni kutukana si jawabu

  • @yusufntamila541
    @yusufntamila541 3 หลายเดือนก่อน

    Wape elimu hawajui

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd 3 หลายเดือนก่อน +1

    mawahabi ni makafri au utawaita pembe ya shetwani kam muhamd ibn wahabi

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 3 หลายเดือนก่อน

      Huna akili wew , hakuna sheikh lako la kisufi linamuweza Abdul Wahab

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 3 หลายเดือนก่อน

    Mawahabi kweli ni vipofu summun bukmun jamani vitabu ni vyenu vinawashinda kusoma hata hawajavielewa kisha wanakurupuwa kutafsiri vitabu ambavo hawana elimu navyo...

  • @abdul_azeez_almaamir
    @abdul_azeez_almaamir 3 หลายเดือนก่อน

    "Vitabu vya wahuni" hii ni aibu kwako Shaykh

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyo Ibnu Taimia ni muhuni

    • @abdul_azeez_almaamir
      @abdul_azeez_almaamir 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-lp3gi5wd4e mtihani, kwamba chuki zinazidi mpaka Vitabu vilivyo tungwa kwa bidii na jitihada kubwa na wengi tuna yakin kwamba hawakutaka kwa Vitabu vyao hivyo ispokua kheri Leo waitwa wahuni na watu ambao hata kutawadha hawajui.. Allah amrehemu aliesema
      رحم الله امرأ عرف قدر نفسه فلزمه، وعرف حده فوقف عنده، وعرف ما عنده فقنع به ولم ينازع الحق أهله، وحفظ المعروف فلا يغدر ولزم الصدق فلا يكذب وحفظ العهد فلا ينكث.

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 3 หลายเดือนก่อน

    SUBIRI MUHAMMAD BACHU AJEAKUFUNDISHE USIFANYE UBABAISHAJI.
    HUNA HOJA POROJO TUUUU.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo kikojoozi atafundisha nini, atawapeleka motonitu. Yani hamtaki mtume SCW kasema. Unatu leteya momhamas Bachu Kikojoozi na wakina Fouzan.

    • @binzubeir6510
      @binzubeir6510 3 หลายเดือนก่อน

      @@abdikadirshariif5311 Hoja zenu matusi tu tutawachapa kwa RADDI mpka mkae sawa mkifanya UBABAISHAJI hauwaachi.

    • @binzubeir6510
      @binzubeir6510 3 หลายเดือนก่อน

      @@abdikadirshariif5311 Sasa bila ya kukojoa wewe ungezaliwa?
      Hamna hoja.
      tafuta TUSI jengine utokane.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 3 หลายเดือนก่อน

      @@binzubeir6510 lkn ya shehe weenu ameonikanwa na waatu woote hadi watoto waka cheka na kushanga mtu mzima kukojoa.

    • @abdikadirshariif5311
      @abdikadirshariif5311 3 หลายเดือนก่อน

      @@binzubeir6510 hilo siyo tuusi bali ni tendo lililo fanyika.

  • @mussakisope7207
    @mussakisope7207 3 หลายเดือนก่อน

    Upepo mtupu

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5k 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe mjini mpotofu Mtu wa bidah
    Iyo ni tofahuti na kuabudu makaburi
    Mnavyo fanya nyinyi masufi na mashia
    Wewe uwepo kwanini usimuombe Allah direct

  • @KomoraMohamed
    @KomoraMohamed 3 หลายเดือนก่อน

    Bachu ni mkware muacheni asingejikojolea msa yule zuzu mmoja

  • @AthumanRajabu-re8cm
    @AthumanRajabu-re8cm 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu upopo nimhuni mana atetea ata uvu hata kama anajua alafu utafuta umalufu kupitia suna jaman Sufi nasuna wapina wap

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 3 หลายเดือนก่อน

      We huna unachokielewa hujielewi

    • @mhusinigau3231
      @mhusinigau3231 3 หลายเดือนก่อน

      Kivipi

    • @user-qy9qx5hd2u
      @user-qy9qx5hd2u 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa kuandika kiswahili tabu utaelewaje kama bumbuna?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 3 หลายเดือนก่อน

      Wewe Athumani Rajabu
      Acha ushabiki
      Kama una Elimu jibu maswali wala usilete balbala zako .
      Ust HAJI amenukuu katika vitabu vya lBNU TAYMIA na lBNUL kayyim
      Na wao ndio wanayoyasema maneno hayo. Jee nao ni washirikina ??

  • @user-km7xi4ev9j
    @user-km7xi4ev9j 3 หลายเดือนก่อน

    Linajifanya kuangalia huku na huku kama limezunguukwa na waaaa2 vile.

  • @omarabdullah3412
    @omarabdullah3412 3 หลายเดือนก่อน

    Hili sufi pumbavu kweli. Lajitoa fahamu kama chizi. Haliwazungumzii masufi wenziwe kusujudia, kugaragara na kulia makaburini wazi wazi. Lazirusha, lachekeshaaa!

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 3 หลายเดือนก่อน

      Ndugu omar Abdullah Acha matusi dini ni nasaha kama una Dalili toa na mungu akuongoze

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 2 หลายเดือนก่อน

      YEYE KATOA HADITHI
      ZA KUHALALISHA,
      WEWE TOA ZA KUHARAMISHA IKIWA UNAZO, KAMA HUNA BASI KEJELI NA MATUSI HAZITOKUSAIDIA CHOCHOTE ZAIDI YA KUJIJAZIA UCHAFU TU KWENYE MAGUNIA YA AMALI ZAKO.

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA 3 หลายเดือนก่อน

    Muongozo ni kufanya munavyo fanya

  • @kitosio
    @kitosio 3 หลายเดือนก่อน +1

    Labda Sufi huyu lakini wenzake wingi wanaabudia Makaburi

    • @mzeerajab9154
      @mzeerajab9154 3 หลายเดือนก่อน

      Yeye anatoa dalili kielimu wewe una ushabiki.

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Nani aliabudu qaburi siku yakiyama utataja aliomba vp qaburi hakuna anae omba kaburi sawa watu wanazuri na mtu akiwa na shida zake anatawasal na wale wanazuoni anae ombwa ni Allah yani mtu amesoma miaka 40 Mia 50 amjua Allah na mtume wake alafu mtu aombe qaburi kuweni makini ulimi kitu kibaya utakuingiza motoni bila kujua

    • @kitosio
      @kitosio 3 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj
      Huwaoni ama unajitia Pambani. Masufi. Basi waulize wanaokwenda India Bangladesh, kuna kipi kinachofanywa Kwa Makaburi yaliyomo ndani na nje ya misikiti. Kwa kukusaidia Ingia hapo2 You Tube Search Namna Sufi wanavyoomba makaburini, kisa NI mawalii . ALLAH anataka aabudiwe na aombwe yeye Tu. Mwamba fuatilieni sio mnazingua2

  • @Abuu-lr5bz
    @Abuu-lr5bz 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe upe wallah huijui tauhiid aliokuja nayo mtume swallallahu alaihi wasallamu wallah huijui fatilia baadhi ya masufi wenzako wanavyoomba kwenye makaburi wewe upepo kausome uislamu
    Uislamu huujui

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 3 หลายเดือนก่อน

    موتو بغيضكم
    WW Upepo bas bachu Ni kimbunga

  • @Ramadhan12623
    @Ramadhan12623 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndio mnaomb mait kuna msuf mwenzio tanga kweny kabur na Mohammed ayub anasema ukiwa na shida kiuno kina uma ety njoo kwa kwabwana mkubwa huyu kila kitu kitakaa sawa alaf mtu wenyew kafa asa apo mnamuomba ALLAH au mnaomb alieko kwenye kabur nyie ongeen mtakavyoongea ila itikad zenu mnawaomb mait

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 3 หลายเดือนก่อน

      Wanaomba kweli Mimi nimejionea mwenyewe Bagamoyo wanaita mazialani

  • @ramadhaniissa6703
    @ramadhaniissa6703 3 หลายเดือนก่อน

    Masufi ndo watu wa sunna hakuna wanafuata sunna kuliko sufi

  • @Breezy9757
    @Breezy9757 3 หลายเดือนก่อน

    Na ww ndio wale wale

  • @alisharifsalim
    @alisharifsalim 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mohammed Bachu ni mbwa wa motoni

    • @user-wh3et9pu3h
      @user-wh3et9pu3h 3 หลายเดือนก่อน

      weye ni nguruwe wa jahannam

    • @la_raib953
      @la_raib953 3 หลายเดือนก่อน +1

      Allah akuongoze.mwenyewe haki ya kuhukumu ni Allah sw pekee

    • @fauznuhu9981
      @fauznuhu9981 3 หลายเดือนก่อน

      Habibi mimi ni kipenzi wa haya mambo lakini kutusi bachu ume kosea hiyo siyo dabiya yetu ya matusi sisi wa sufu

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 3 หลายเดือนก่อน

      Na wew nguruwe wa motoni

    • @masoudtalib4734
      @masoudtalib4734 3 หลายเดือนก่อน

      Wew ndio Unaetoa hukmu Sio?

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe kama ni sufibona maheikh wa kisufi hajakukubali....

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 3 หลายเดือนก่อน

    Watu wabidaa hawana IN-SWAFI hemu ukizungumza wewe upepo Bainisha ao Mawahabi vizuri izo kauli zao usichukue baadhi ya maneno ukawadanganya watu.
    Haya unayoyazungumza ni Dini na utaulizwa na ni dhimma hiyo mbele ya Allah.

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 หลายเดือนก่อน

      Wacha mihemko yakujitoa muhanga.
      Kwahiyo Ibnu Taimia nimuhuni!?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-lp3gi5wd4e
      Kwani hujui akhy kiwa mawahabi wengine hawana ata akili ??
      Mara nyengine bora Mkristo anatumia akili kuliko mawahabi .
      Ukisema Ust HAJI ni MUHUNI AU MSHIRIKINA AU MPOTEVU kwa sabb ya anayoyasema .. halafu humuiti lbul Qayyim wala lBNU TAYMIA ni MUHUNI ,MSHIRIKINA ,MPOTEVU .
      BASI. BORA PUNDA KULIKO WEWE .. KWASABABU ALIOWANUKUU NI IBNU TAYMIA NA IBNUL QAYYIM .

  • @KhamisiOmar-v3h
    @KhamisiOmar-v3h 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa bachu kwe yuko na laana ya babake.lini ama wapi ama kitabu kapo ama mafundisho yapi yanayo wafundisha waislamu hivyo kwenda kuabudia makaburi.yeye anachukua vitu vya watu wa mila potifu kisha huwambandikia masufi na hizo ndio tabia za mawahabi warongo kama ndugu yao ibilisi..

    • @idisaidi287
      @idisaidi287 3 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwa siku laana inatolewa ?

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน

      Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo

  • @ALLYMTAWATAWA
    @ALLYMTAWATAWA 3 หลายเดือนก่อน

    kwani amekwambia wewe

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e 3 หลายเดือนก่อน

    Wwnaomba kweli uliona wapi mwizi akakubali kuwa mimi mwizi kweli

    • @saba-gv3mj
      @saba-gv3mj 3 หลายเดือนก่อน

      Sasa akili yako finyu utafananisha vp mwizi na mja kuomba mwizi hawezi kukubali sawa na mtu anae tawasal atakubali mm nakubali tawasul hakuna anae omba qaburi watu wanatawasal kupitia yule mja mwema ila anae ombwa ni Allah nyinyi mawahabi wapotoshaji na hamuna ilimu mtume s a w aliwatabiri kutakuja watu wakiwatusi wanazuoni wakijiona wanailimu lumbe wanawapotosha watu kina bachu na wenzake mawahabi

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj Ninyi ndo washirikina wakubwa mnaotetea kuabudu makaburi wapi ushahidi wa quruani na hadithi mtume aliwaambia waislamu mkawaombe mait kwenye makabuli washirikina wakubwa nyie Wana kupotea Allah anasema ombeni Mimi nitawaitika waambieni nipo karibu yao kama mshipa wa fahamu na shingo nasikia maombi yao Sasa wapi mtume aliomba kupitia maiti na makabuli ikiwa mwenyewe tuu aliomba duwa allahuma latajala lkbaburi wathnan yulbad ewe Allah naomba usijaalie kaburi langu wasije lifanya sanamu la kuabudiwa kama mtume tuuh! Kamuomba Allah amuepushe na watu kuja kuliomba kaburi lake wakalifanya sanamu la kuabudiwa vipi we unae enda kuomba makaburi ya mashekhe acheni shirki Allah anasema meenye kumshirikisha Allah haramu pepo kwake, mwenye kumshirikisha Allah matendo yake yote huporomoka, mwenye kumshirikisha allah, hatoisikia harufu ya pepo ninyi ibilisi amewashughulisha na hayo makaburi yenu mkaona muombe pamoja na Allah subili jibu lipo Allah Hana haraka na madhalimu anawapa muda ipo siku ndo mtajuwa kilichokatazwa na mawahabi mnaosema kilikuwa Ni hakki Ni muda ambao hutorudi kufanya touba na Allah mtukufu hana haraka kabisa si kunawatu wanaomba kupitia yesu Allah anawasubili endeleni kuabudia makaburi yenu hayo

    • @user-yj5on8cz3e
      @user-yj5on8cz3e 3 หลายเดือนก่อน

      @@saba-gv3mj ninyi ombeni hamjakatazwa Ila Allah yupo anawasubili mbona watu wanaomba kupitia yesu na Allah anawapa neema anawashushia mvua Hana haraka nao azidi kuwapa umri mrefu waishi na wazidi kujidahau Allah ndo mueeza na mfalme wa kila Jambo haghafiriki na mbavyoviomba pomoja nae Ila ipo siku mtajuwa hayo matawasuli yenu kwenye makabuli na hawo mashekhe walowapoteza mtawakana siku na wao watawakana na vile mlivyoviabudu pamoja na Allah watafufuliwa waulizwe watakataa kule kufanyiwa ushirika hapo Ni kilio na kusaga meno tuuh! Akuna Cha hajji upepo alokudanganya we na amali zako tuuh! Uliabudia makaburi shirki we ni finnari jahanamu halidia fiha mtadumu motoni milele humo Allah amehaidi kusamehe madhambi yasiyo kuwa hayo ya shirki na Allah atowatazama kwa jicho la huruma mushirikina hatopata hata muombezi na mtume mwenyew atawaonbea watu shufaa lakini kwa mushirikina hapo halitoweza ninyi abudini vzr hawo mayti wenu makaburini na muwatukuze so wasema mnapata baraka kwao subuhana llah wataka baraka kwa mtu ambae ameoza na yey huko aliko huenda anataka msaada ninyi wasjirikina ombeni mtakavyo mtume alishaletwa na dini imekamilika ww tu kufata njia yake au kutofata sawa ww khurafi

  • @kitosio
    @kitosio 3 หลายเดือนก่อน

    Shekhe sisi tumeshuhudia haya. Nikamuuliza Kijana mmoja anapita mbele ya kaburi la shekhe. Nikamuuliza hili ndio kaburi la Mufti akasema ndio, " watu wanakuja kuomba hapo na kuondowa Nadhiri" na akasema wanafanikiwa. Bonge la shirki. Sema sio nyote manoyafanya haya. Waangalieni wenzenu Iran, Irak, na Mashia. Ingia TH-cam search utajionea mwenyewe.

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 3 หลายเดือนก่อน

      Hilo mbali Mimi nilijionea mwenyewe huko Bagamoyo mpaka wanapaita Madina ndogo,kwasababu Kuna makaburi ya sharifu na mtoto wake

    • @SeifSimba-qq8rk
      @SeifSimba-qq8rk 2 หลายเดือนก่อน

      Nyinyi mnafanya shirk 2 upepo wa kusi

    • @kitosio
      @kitosio 2 หลายเดือนก่อน

      @@SeifSimba-qq8rk
      AAA Mawahabi ktk Suala la shirki 100% hawana. Hawajihusishi hasaaa ni woga. Bora uniambie ktk Fik_hi wanaweza kugeuka lakini shirki za Ki Sufi hapanaaaaaaaaa 100%. Kuwaomba waliomo makaburini

    • @SeifSimba-qq8rk
      @SeifSimba-qq8rk 2 หลายเดือนก่อน

      @@kitosio masufi ndio wa2 wakuomba makaburini hao

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kumuomba maiti akuombee hiyo ni bidaa bali maiti anaombewa ndio MTUME amefundisha hivyo.

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 หลายเดือนก่อน

      Kwahiyi Ibnu Taimia ni sheik wa Bidaah!?

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 3 หลายเดือนก่อน

      Kwaivo lBNUL Qayyim NAE ni sheikh wa bidaah ??

  • @saidimkwinzu9106
    @saidimkwinzu9106 3 หลายเดือนก่อน

    Wewe haji ni kama mwenda wazimu tu halafu we na shafii yule shia hamna tofaut 😂 nyote nyie wapotevu na mtapoteza wajinga wenzenu

  • @user-wh3et9pu3h
    @user-wh3et9pu3h 3 หลายเดือนก่อน +1

    uzuri ni kwamba bachu hana habari na weye,kila ukijaribu kutaka uraddiwe yeye anakupotezea,

    • @Breezy9757
      @Breezy9757 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaa hakika

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline 3 หลายเดือนก่อน

      Huwa ujumbe umefika na majibu hakuna ndio maana .....

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 3 หลายเดือนก่อน +1

      KWANI BACHU NDIYO MKAMILIFU?
      UPO KUTAKA ELIMU AU UPO KUTAKA SHEKH MAFUTA NA BACHU?
      ANGALIENI MAWAHABI MSIJE KUWATUKUZA MASHEKHE ZENU KAMA MANASWARA WALIVYO MTUKUZA NABII ISSA KUWA MUNGU AU MWANA WA MUNGU
      MAANA MAWAHABI MAWA

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@salumhassanallymkurdistan7006umeangalia hiyo video vizuri kaanza kuweka video ya Bachu,inamaana hapo anamrad Bachu.

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 3 หลายเดือนก่อน

      BACHO ni mweupeee hawezi kujibu hoja hizo.
      Kwasabb Ust hajji kutumia hadithi za mtume na ufahamu wa wema waliotangulia ..
      Maiti wanasikia ...tena kwa ljmai ya WANACHUONI .
      Jee wewe unasemaje ??
      Mtume ndio aliposema maiti wanasikia ... Wewe MUWAHABI unasemaje ??

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4ex 3 หลายเดือนก่อน +1

    We unataka kujibiwa na bachu ni hali sio saiz yako bachu bado sana kijana wa kisufi

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 3 หลายเดือนก่อน +1

      KWANI MASHINDANO AU KUELIMISHANA?
      MAWAHABI HAMJASOMA MNAFATA MASHEKHE ZENU HAMFATI HADITHI
      MAWAHABI HADITHI KWAO ISEMWE NA SHEKH ZAO IKISEMWA HADITHI NA AMBAE SI SHEKH ZAO HIYO HAWAIYAMINI JAPO IWE SAHIHI
      MAWAHABI NIKUULIZENI HAO MASHEKHE ZENU WANAUTUKUFU MKUBWA KAMA NANI? AU MNAWAABUDU?

    • @user-lp3gi5wd4e
      @user-lp3gi5wd4e 3 หลายเดือนก่อน

      Huyo bachu mwenyewe alipigwa swali mpaka alijikojolea kule Mombasa,au mnajisaahulisha.

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 3 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-lp3gi5wd4esawa,Sasa kwanini kaweka video ya Bachu mwanzoni

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy 3 หลายเดือนก่อน

      BACHO ni mtoto mdogo
      Wala hawezi kujibu haya aliyoyazungumza Ust hajji upepo .
      Hebu sikilizeni kwa utulivu. Mtaona Ust HAJI ametumia hadithi Za mtume na ufahamu wa wema waliotangulia .
      Kama nyny mawahabi hamtaki kufuata maneno ya mtume wala ufahamu wa wema waliotangulia. ..
      Mnataka kutolewa ushahidi katika biblia ????
      Jibuni :
      Swahaba kaenda kumuomba mtume wala hajaenda kumuomba Allah.
      Suali :
      Jee swahaba yule ni MSHIRIKINA ??
      Jee Mtume kwa vile hajamkataza yule (Swahaba) bali karidhia jambo lile NAE ni MSHIRIKINA ???

    • @bagalucha
      @bagalucha 3 หลายเดือนก่อน

      @@salumhassanallymkurdistan7006 Hoja hii mashuhuri ndiyo waliyoitegemea washirikina katika zama za kale na bado wanaitegemea hivi sasa. Mitume (rehema na amani ya Mwenyezi Mungu ziwe juu yao wote) walikuja kuikanusha na kuikataza, na kuwalingania watu kumwabudu Mwenyezi Mungu peke yake, bila mshirika wala mshirika.” (Tafsiir Ibn Katheer 7/84-85).
      Waabudu makaburi wanafanana na washirikina wa Jaahiliyyah, kwa sababu makaburi haya yamekuwa kama masanamu ya watu wa Jaahiliyyah, kwani wathan (sanamu) ni jiwe linaloabudiwa.
      Allah Subhana wataalla anasema Az Zumar
      (2. Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.)
      (3. Hakika Dini Safi ni ya Mwenyezi Mungu tu. Na wale wanao wafanya wenginewe kuwa ni walinzi wakisema: Sisi hatuwaabudu ila wapate kutujongeza tu kumkaribia Mwenyezi Mungu - Hakika Mwenyezi Mungu atahukumu baina yao katika wanayo khitalifiana. Hakika Mwenyezi Mungu hamwongoi aliye mwongo kafiri.).
      Tatizo lenu masufi,kwakutaka kumshusha utukufu wake Allah,kwa kuzitilia nguvu hadith dhaifu,shetani kakughilibuni,hapo ndipo mnapozisisitiza na kushadidia,na kumshusha hadhi Allah Subhana wataalla kwa kuipiga vita Tawheed/utukufu wake,
      Laanatu llahu kwa wote wanaomshirikisha Allah,na chochote,wanamzulia mtume kwa Hadith za uwongo