Je unaweza kufuga njiwa kama mapambo nyumbani kwako?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
- 'Njiwa mmoja naweza kuuza hata shilingi 200,000 '
Kwa wengi njiwa ni kitoweo na hufugwa kwa mapenzi si biashara. Lakini Deogratius Temba, kijana kutoka Dodoma,Tanzania amebadilisha dhana hiyo.
Anafuga njiwa wa kipekee. Njiwa wa mapambo ambao hutumika kupendezesha makazi ambapo Kati zaidi ya aina 10 ya njiwa wa mapambo alionao, mmoja anauzwa kati ya dola $85 mpaka $180 au shilingi laki 4 za Tanzania.
Mwandishi wetu Yusuph Mazimu alimtembelea huko Dodoma na kuandaa taarifa hii.
#bbcswahili #tanzania #dodoma
Naomba namba kaka
kaka nikitaka njiwa simba ni bei au wote ni beii moja mkuu
Nawezaje kuipata iyo mbegu nipo songea
me nahitaji kupata namba yako
Aise nipataie Namba Yako namimi niweze kuwa pata hao njiwa Niko morogoro Tanzania
kaka namba yako ya simu napata vipii