TAARIFA MPYA, ENEO LA BAR ALIPOZIKWA BARIKI LAVUNJWA,VIONGOZI, WANANCHI WALAANI ALIPOZIKWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 27

  • @georgeabdallah2897
    @georgeabdallah2897 10 วันที่ผ่านมา +17

    Huyu marehemu elbariki anaonekana alikua anaishi vizuri sana na jamii inayomzunguka❤mwenyezi mungu amlaze mahala pema pepon amen🙏🙏tuliobaki tuna mengi ya kujifunza...

  • @dallasmusic6465
    @dallasmusic6465 9 วันที่ผ่านมา +1

    Ukiskia mwisho mwema ndio huu wa bariki sasa 🎉🎉🎉Eeeh mwenyezi Mungu tujalie mwisho mwema

  • @lgdnce8309
    @lgdnce8309 7 วันที่ผ่านมา

    sijuwi niseme nini kuna kauli inasema ishi na watu vizuri kweli bariki aliishi na watu vizuri sana MUNGU azidi kukurehemu akuondolee azabu ya kaburini Amen

  • @DianaNyange
    @DianaNyange 10 วันที่ผ่านมา +1

    Nafwatiliya jmn hongereni sn viongozi waArusha ..!nimeipenda hiyo umoja ninguvu kwastahili hiyo tutafika hongereni sn hakika hakiyamtu haipotei hakika duuh nimeamini jmn waTanzania mmeona tujifunze kitu jmn mmh 3:57

  • @NemaAli-zh6hr
    @NemaAli-zh6hr 9 วันที่ผ่านมา +1

    Maskini Bariki huko ulipo ujue ulipendwa sn, Mungu akupumzishe salama Baba!

  • @NeemaMoshi-h3b
    @NeemaMoshi-h3b 10 วันที่ผ่านมา +1

    Viongozi wa chuga na wananchi wote❤❤❤❤❤

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 10 วันที่ผ่านมา +3

    Sio jamii tu hata mungu alikua na hofu nae tunamuomba mwenyezi mungu ampumzishe mahala pema peponi

  • @justinamunuo8006
    @justinamunuo8006 9 วันที่ผ่านมา

    Mungu amlinde mtoto wa Bariki
    Anastahili haki zote za Baba yake

  • @Fatima-v9k6f
    @Fatima-v9k6f 10 วันที่ผ่านมา +2

    From 🇧🇮 ni mependa🎉

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu 10 วันที่ผ่านมา +2

    Huyu Bariki inaonekana alizulumiwa Hali zake sana na hii yote ni baada ya mama yake kufariki baadhi ya mama wa kambo sio watu ni zaidi ya wanyama

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 10 วันที่ผ่านมา +1

    Shikamoo Mh diwani NHABOTH SILAS

  • @LovenessAlbert
    @LovenessAlbert 10 วันที่ผ่านมา +4

    Nimewapenda sana viongozi❤ pia yule dada police ❤❤❤.

  • @MtumishiWaMungu-c6m
    @MtumishiWaMungu-c6m 10 วันที่ผ่านมา +1

    Samia yupo vizur na wateule wake. Safi sana

    • @charleskibiki217
      @charleskibiki217 10 วันที่ผ่านมา +1

      Acheni kujipendekeza Samia anahusiana vip na huu uwamzi acheni uchawa kilakitu Samia msimbebeshe mama wa watu majukumu ambayo haya tambui mama Yuko bize na kutoka tuzo za walipakodi

    • @MtumishiWaMungu-c6m
      @MtumishiWaMungu-c6m 10 วันที่ผ่านมา

      @charleskibiki217 we unafikili haon haya au unafilil maamuz yaliyochukuliwa kayatoa mamayako.potea.Hongera Mama 5 tena

    • @monicaSamson-mc9ph
      @monicaSamson-mc9ph 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@MtumishiWaMungu-c6mwewe maongezi yote umesikia uyo mama akitajwa au nikukjrupuka anaetajwa àpo ni bariki sawa na SIO mama yako

    • @MtumishiWaMungu-c6m
      @MtumishiWaMungu-c6m 9 วันที่ผ่านมา

      @@monicaSamson-mc9ph monica na Charles mshaanza kunyapiana humu.aya fungen ndoa.pambav

  • @mirnababy5012
    @mirnababy5012 10 วันที่ผ่านมา +3

    Lala salama bariki

  • @Frankremishoy
    @Frankremishoy 9 วันที่ผ่านมา

    Bariki afufuki mmeendabali Sana

  • @kamarhelo
    @kamarhelo 10 วันที่ผ่านมา +2

    Arusha hoyeeeeeeeee

  • @ikungasyamwakitalu6540
    @ikungasyamwakitalu6540 10 วันที่ผ่านมา +1

    Wananchi wa eneo husika kwa kweli mmeonyesha ushirikiano mzuri sana

  • @MauriceHaseen
    @MauriceHaseen 10 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyekiti gonga tena....

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 10 วันที่ผ่านมา

    Shikamoo Arusha

  • @memehhhahshshdhdhd
    @memehhhahshshdhdhd 9 วันที่ผ่านมา

    Nguvu ya wananchi

  • @Frankremishoy
    @Frankremishoy 9 วันที่ผ่านมา

    Kwani angezikwa njiro angefufuka.kwanza nibeneo tengefu cemetery area

  • @tumainipauli4020
    @tumainipauli4020 10 วันที่ผ่านมา

    ocd ni mzuri sana hapigi mtu