BWÀNA Mwema Wakati wote Oooooo Atukuzwe YEHOVA ALIYEHAI ndio wewe Sasa Kusudi limetia Ndio maana Uliokolewa Dunia nzima wanakusikia. Glory Glory to Almighty God. Ni kweli. Hongela
Asubuh ya leo nimekufikiria na nilkuona zaman nikiwa mdogo tulikuwa majirani pale boman Tarime na ulikuwa unarafik yako Ayub, cha ajabu napta mtandaoni nakuona.Mungu akubariki, ila ulikiwa ujawa mchungaji ulikuwa umeokoka, kama sikosei ulikuwa unadambaza majani ya chai
Hakika Mungu anastahili utukufu na heshima. Zamani nilikuwa namfwatilia Cosmas Chidumule alipookoka na wimbo wa 'Siku zote tunaimba, Yesu ni Bwana!'. Lakini sasa tunaye Mwamba huyu hapa - Rev Mwita...DMS itasababisha uamsho mpya, kwa TAG mpya! Naona sehemu ya nusu ya hali ya kimbingu imeshashuka tayari
😭😭😭😭😭 ushuhuda unaliza sana huuu baba ukweli mkurugenzi DMS Mungu Akutunze sana baba Yani hayo mashaili ya huo wimbo natamani sana kama unge tutengenezea nasisi maana unaujumbe unao gusa sana maisha yangu🙏🙏🙏🙏
Bwana Yesu unapendeza Mwokozi.
Unapendeza Mfalme Yesu
Unapendeza rafiki Mwema❤❤❤❤❤
Neno safi na Mungu atusaidie tuishi ktk neno lake
Bwana Yesu ni mtamu jamani!!!!!!!
Haleluya!!!!! kumtumikia Mungu kuna faida ya kutosha!!
Bwana Yesu unashangaza; huzoeleki Mfalme!!!!
Pastor mwita nimetiwa moyo sana na ushuhuda wako!!!
Nimejisikia vizuri kukusikiliza, aisee mbinguni Kuna Raha sana
Mp8
Wewe Mchungaji ni mnyenyekevu sana. Watu kama wewe ni hadimu mno.
Utainuliwa ushangaze ulimwengu. Nimekupenda sana.!!!
AMEN Yesu utabaki wewe kuwa mtoshelevu Wangu cku za uhai Wangu
Mungu akubariki Mtu wa Mungu endelea mbele uzidi kuinuliwa na Bwana
Aisee Mungu ni mkuu sana
Amen 🙏 🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Nimehudumiwa kipekee sana, Ubarikiwe sana Mkurugenzi pastor Mwita
Yesu yu hai, Yesu nitosheleze
Mungu ukubariki kwa kweli kwa ushuhuda.siku na mimi nitashudia amen
Asante yesu kwa kutuhurumia
Amen Amen 🙏
Mungu ni mwema sana mipango yake haichukuziki
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
Mchungaji Mungu akubariki sana huduma yako inanibariki sana
Kweli YESU ni mzuri anastahili kuabudiwa milele utukufu kwa Mungu wetu 🙏🏼
❤❤❤❤ ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Acha Mungu Aitwe Mungu kwa Hakika....,
BWÀNA Mwema Wakati wote Oooooo Atukuzwe YEHOVA ALIYEHAI ndio wewe Sasa Kusudi limetia Ndio maana Uliokolewa Dunia nzima wanakusikia. Glory Glory to Almighty God. Ni kweli. Hongela
Mungu azidi kukuinua kwa somo zuri sana sanaaa
Mbarikiwe sana
Tunatazamia badiliko kubwa kutoka kwenye hii idala
Mtumishi wa BWANA, Mwanza unapatikana wapi/ sehemu Gani?
Asubuh ya leo nimekufikiria na nilkuona zaman nikiwa mdogo tulikuwa majirani pale boman Tarime na ulikuwa unarafik yako Ayub, cha ajabu napta mtandaoni nakuona.Mungu akubariki, ila ulikiwa ujawa mchungaji ulikuwa umeokoka, kama sikosei ulikuwa unadambaza majani ya chai
Ubarikiwe mtumishi 😭😭😭 kusudi la MUNGU halizuiliki
Machine ya yesu ya kazi piga kazi mara ya kwanza kumuona kawe tanganyika pekaz SOS adveture alinibariki sana usimwache yesu songa mbele
Amen,Amen Mungu mukuu kabisa
😭😭jaman huyu YESU nakupenda Bwana Yesu
Duuuh yesu ndiye njia ya kweli na uzima
Kwakweli Mungu ni Mkuu,abarikiwe sana huyu mtumishi wa Mungu
Mmm aiseee mungu ni mwema
Hakika Mungu anastahili utukufu na heshima. Zamani nilikuwa namfwatilia Cosmas Chidumule alipookoka na wimbo wa 'Siku zote tunaimba, Yesu ni Bwana!'. Lakini sasa tunaye Mwamba huyu hapa - Rev Mwita...DMS itasababisha uamsho mpya, kwa TAG mpya!
Naona sehemu ya nusu ya hali ya kimbingu imeshashuka tayari
Utukufu ni wa Mungu
Jamani huo wimbo Yesu pokea heshima ameimba nani?
Hakika Yesu pokea heshima
Hakika Mungu ni Mungu
Jina la Bwana LIHIMIDIWE
Amen tunaabarikiwa sn
Hakika Mungu anatupeleka mahali namtukuza.
Chai jaba
Ameewn balikiwaaa sana
Amem
😭😭😭😭😭 ushuhuda unaliza sana huuu baba ukweli mkurugenzi DMS Mungu Akutunze sana baba Yani hayo mashaili ya huo wimbo natamani sana kama unge tutengenezea nasisi maana unaujumbe unao gusa sana maisha yangu🙏🙏🙏🙏
Ee bwana mungu ninakushukuru maana wewe huu mtosholevu
Ameeni
Umeniongeza kitu