Yesu Aka Walaniya (Paroles)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.พ. 2025
  • Lyrics
    Couplet 1 :
    Yesu aka walaniya watu waliyo, mpinga tanguu awali "aka anzia katika vijiji ambamo alimo fanya Majabu" 2x
    Refrain 1:
    (Yesu hunenaa) "Eenyi ninyi waatu (enyi wajoli) itakapo kuja siku ya hukumu wengi waatangaaamizwa" x2
    Couplet 2 :
    Enyi wapingao Mungu wa uzima olé ni kwenu ninyi "Enyi muliyo na njaa na kiu njoni mupokeye roho" x2
    Refrain 2 :
    (Njoni mutwae) "Njoni njoni njoni (njo mutwae) njoni mutwaeeeh maji ya Uzima mpewe roho mtakatifu" x2
    Couplet 3 :
    Mimi nina wagizeni maagizo ya Milele ijaapo Siku zile kubwa "mizigo wamaneno munayo yafanya itazidi nguvu sana" x2
    Refrain 2 :
    (Njoni mutwae) "Njoni njoni njoni (njo mutwae) njoni mutwaeeeh maji ya Uzima mpewe roho mtakatifu" x2

ความคิดเห็น • 3