@@muksinimbaruku1233 Sasa wanaongelea nini mechi enyewe ni matokeo wamekutana nayo hawajaangalia sasa unachambua nini hujaona hata mechi au wachezaji 😂😂😂 ila bongo bhana 😂😂😂 nacheka kwa dharau sana tena sana so kidogo Uyo Jeff sjui ani ndo mechi zake za kuchambua izi behind the scenes 😂😂😂
Mungu ibariki simba
Kama we ni shabiki wa simba gonga like 😊
Simba nguvu moja
Wewe gongowazi unaeponda mechi ya Simba kafie mbali
Sema Hans nakuelewa kwa hoja zakoo
Nachowaogopa Yanga wakishindwa mpira watawapiga misumari
Hiyo ndo simba timkubwa club kubwa.
tuombe mungu timu kaesawa
Usijisifie mmecheza natimu gani iyo ndondokapu mzee mbona hawakuiyonyrsha
Kwa kasi iliyoonyeshwa, naona wazi kw AJUZA FC wanakuja kuvunjwa nyonga😂😂😂😂
Ok,nadhan ktk hizo mechi 5 zijazo mtaomba kucheza na pyramid fc😂😂
Wahun wa uto walishakisahau miaka 2 yet avc town walikuwa wanacheza na zamna gn huo ushenz 2 wa uto
.
Sema utopolo tuwagonge watakua na heshima
Halafu wewe dada unaelezea unaboa na unachosha Kuna maana Gani kuwepo kwa hao wachambuz
Wachambuz bhanaa yaan hata mpira hawajauona wanasifia tuu...
Nasemaje hawa wachezaji ambao mnawasifu leo subir wakutane na Yanga mtawakataa
Kwani yanga kitu gani bwanaa?
Na hawa watasumbua sana nbc wao si wana majina sasa sisi tuna wachezaji
Acheni ngonjera mbivu na mbichi zinajulikana TU.
Soon
8 8
Vichwa maji kinachoongelewa kingine ww una kaza fuvu kukalia ushabiki
@@muksinimbaruku1233 Sasa wanaongelea nini mechi enyewe ni matokeo wamekutana nayo hawajaangalia sasa unachambua nini hujaona hata mechi au wachezaji 😂😂😂 ila bongo bhana 😂😂😂 nacheka kwa dharau sana tena sana so kidogo Uyo Jeff sjui ani ndo mechi zake za kuchambua izi behind the scenes 😂😂😂