Hivi wewe hili neno Mashaallah unajuwa maana yake? kwa mujibu wa neno ulitumia huyo babau anajijengea kibanda motoni mbee ya Allah maana hilo neno uliotumia linaishia na Allah aliekharamisha miziki na ulevi sasa wewe unazidi kumuombea maangamizo
Maftah Mussa na juma juma acheni nogwa nyie kwani hakuna binadam aliyekamilika au ndio mnajifanya Mnajuwa Sana kukosiwa watu loooo kwedraaaaa huku nyoooo kujitia hashuo ovyoooo😏😏😏
@@officialzu3772 Kama tuna hashuo utakuja kututoa siku ya uwanja wa hukumu kwani nina uhakika asilimia mia moja tutaonana na tutaonyeshwa majibizano yetu, ila ww dada nahisi umpungufu wa imani ya kumuamini ALLAH na MTUME wake, tunajua kua hakuna mkamilifu ila kukumbushana kupo, ila ww endelea sisi kutuita wajinga lakini hatutoacha kukemea uwovu wa miziki kwani ni HARAMU kwa ushahidi wa QUR AN na hadithi za MTUME MUHAMMAD.
Hivi we adija mbona unaroho mbaya kiasi hicho unamuona mwenzio kadidimia kwenye shimo la moto kwa msingi wa imani yako na yake halafu bado unamuomba mungu amzidishie baada ya kuomba mungu amnusuru na jahanam we vp?
Onesheni kuumwa kwa matendo mabaya na dhambi anazofanya Mjukuu wenu, pamoja na mazuri aliyonayo. Muombeeni kwa Mungu wenu amuongoze aachane na kuimba na dhambi anazozisababisha kwa kazi zake hizi. Sote tuna wajibu wa kumuomba Allah, atuongoze katika haki na atusamehe makosa yetu. HATUJAFA, HATUJAUMBIKA
Kumbe maman dangote katokea ujiji....nimekubali maman hapatoke boi huko kwa waswahili wa kgm... 🔥🔥🔥wanao kuchamba hawajui vizuri kwamba unanajieshimu tu...
Mtangazaji leo hujazingua 😅😅😅❤️❤️❤️❤️🤗💘💘💘kma interview ya dula makabila ama Dullah ulimchukulia poa maana ni msela mwenzio ww usela nje ya kazi ss twataka maswali ya kiheshima na kistaarabu kama ya leo big up ma bro keep on 🔥🔥🔥
Watoto ni mali ya mama hata ukiwatunzaje kwao mama ni mbele kuliko baba huo ndio ukweli kama unabisha hata wewe katika familia yako angalia hilo utakiona. mama ndio namba moja kwao baba ni namba mbili Kuna bondi kubwa sana kati ya mama na mtoto kuliko baba facts hata ukimtunzaje mtoto na mbaya zaidi akiwa wa kiume wa kike kudogoooo afadhali
Kabisa kati ya wanaume wote waliocoments ukweli nawe ni mmoja wao,, , usisubiri uje useme baba ni baba, timiza wajibu, , huwezi chuma maembe kwenye katani ,, utavuna ulicho panda,
Asili ya wazazi wa baba yake diamond ni Uganda kama unafatilia vzr utakuwa unaelewa, na chimbuko la wazazi wake Tanzania linaanzia Unyamwezini, ndiomaana kama umewahi kusikiliza interviews mbalimbali lazima utakuwa umesikia kuwa baba yake inasemekana katokea Unyamwezini Tabora, lakini maisha yake yote Kakulia Kariakoo Dar
Kigoma hakutoki bwege, Babu umehongeya vizuri sana babu mjaja sana ongera kwako babu,na na ongera sana kwa Diamond platnumz happy 10 years music industry
Nili tegemea Mtamuusia amkumbuke Allah aachane kabisa nahayo kumbe ndio baado mnataka aendelee kuwachezasha uchi mabinti zawatu Aendelee kuwahimiza watu kula tungi nimemuona ndugu mwailwa sifa akiomba daimond azidi kukaza afike mbali Basi hio mbali iwe niyenye faida dunia na akhera kaka mwailwa Ikiwa nimbali yadunia tu hamjamtendea haki kijana wenu Akhera nikugum saana mimi nawakumbusha tu
Nawewe onesha kwa baba yako!! Vp mbona mnapenda kumpangia maisha utadhani mmemsaidia kutoka?mama yake kamsaidia kutoka kimaisha baba kaja baada ya jina kua kubwa acha ubwabwa wewe!!!
Steve mwakisimba hapo kweli umeongea kabisa mama ahangaike na mtoto peke yake auze mpaka kanga zake na baba yuko jamani wa baba waangalieni watoto wenu kwa sababu hujui kesho atakuwa nani
Babu nyoosha maelezo, Dimond ni Mzaramo. Babake ni Abdul Juma na ni.Mzaramo amekuzaliwa na kukulia Dar Mtaa wa Pemba, Kariakoo. Na Mtoto hafuati kabila la Mama.
@@kenallday1115 sijahukumu, hapana hukumu niliyoitoa ila ni dhahiri kuwa anayofanya Nasib hayakubaliki kwenye dini; kuzaa watoto nje ya ndoa, kuvaa herini, kuvaa mkufu, kuimba. Kwa taarifa yako pengine huenda ikawa dini yako ni tofauti na yangu.
Kwel bangi sio sombe wew unauhakik naubay wake? ukitizam mema ambay anafany mengin muaciy Mungu sabab haun uhakik nay na yey njo mweny ku ukumu sio wey mtu
Unajidai unamjuku star wakati inaonekana maisha yako ni yachini u star unakusaidia nn ao mwanao wakumza ambae ni mama yake inaonekana hawajali wazazi wake km diamond anavo mjali dunia tunapita
Betting ni rahisi tu...njoo ujipatie mikeka ya uhakika kila siku....mikeka ni ya ushindi kila siku nichek 0620278995...nichek uweze ongeza kipato kupitia betting....
Watu wajinga tyu cfa nying hakuna ktu hy hyo baba yke mzaa Nan unakumbatia kabila la mama wakat la baba yake kaliweka kapuni Loooh baba diamond km ktuko kwa mwanae aiseh
Ao Ndio wazee ya kibwari na wa M'bembé Ila Ndio wa manyema hasili yetu ni wacongomani Hilo mjuwe wa haya ni wa Burundi na Rwanda uyo mkowa Ndio hasiliyake
Kweli kigoma imekwisha kimaadili ya dini sehmu iliokuwa kitowa wataalamu wa dini ya KISLAM katika kila fani leo kunatoka wataalamu wa SHETANI familia nzima inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Kigma msiba msiba 😭😭😭😭😭😭😭
@@alfredmsambaa1443 we usiwe mpuuzi ilipasa wawo wasikitike na kumuombea Allah amtoe huko katika ushetani na kumuogoza sio kuunga mkono na kumuombea aendelee huko aliko.
Babu wa taifa huyu kabisa 😂😂 😂😂 😂🙌 🙌😂 😂
babuuuuuuu
Kwa mujibu wa misingi ya imani yake kweli ni babau wa taifa la mashetani
Kulu nafsi dhaaika2lmauty,
Endeleeni2
Yaumi Rakateni
kabisa
Waislamu wa zama hizi hatari sana kama siyo Muslimus
Nyie waislam mnatafuta nin huku si muangalie qaswida
nafsi yako naona imekamilika
@@nahalevitalis3004 Yohana 8:44)
Babu uko vizuri sana
Duuu
Kama umeona sauti ya babu yake diamond inafanana na zahela gonga like hapa
Andrea Shayo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Et zahera😂😂😂 sema lkn ndy watu wa ujiji ndy lafudhi yao.
Umemuonae
Kama umesikia bibi kasema daimoni weka like hapa twende
Acha ushari ww huyo c rika lako
Babu kiswahili cha wacongomani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣 kama umesikia CWB weka like
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂tumbafu wewe utaniuwaaaaaa
😂😂
@@jaziraally6949 😂😂😂😂
Kama umetambua babu msomi wa biology weka like hapa.... 😁😁
Christ Mhema haswaaa katoa jibu la kisomi sio la kubahatisha..
Babu we Haya tu , aendelee mkachomwe moto wote
Familia ikiwa na msanii basi inaweza kubadili hata uchamungu bila yakua makini
Mashaallah babu kajieleza vinzu🔥😘
Hivi wewe hili neno Mashaallah unajuwa maana yake? kwa mujibu wa neno ulitumia huyo babau anajijengea kibanda motoni mbee ya Allah maana hilo neno uliotumia linaishia na Allah aliekharamisha miziki na ulevi sasa wewe unazidi kumuombea maangamizo
Acha kumsifu uyu mzee kwa kutumia jina la allah
Maftah Mussa na juma juma acheni nogwa nyie kwani hakuna binadam aliyekamilika au ndio mnajifanya Mnajuwa Sana kukosiwa watu loooo kwedraaaaa huku nyoooo kujitia hashuo ovyoooo😏😏😏
@@officialzu3772 Kama tuna hashuo utakuja kututoa siku ya uwanja wa hukumu kwani nina uhakika asilimia mia moja tutaonana na tutaonyeshwa majibizano yetu, ila ww dada nahisi umpungufu wa imani ya kumuamini ALLAH na MTUME wake, tunajua kua hakuna mkamilifu ila kukumbushana kupo, ila ww endelea sisi kutuita wajinga lakini hatutoacha kukemea uwovu wa miziki kwani ni HARAMU kwa ushahidi wa QUR AN na hadithi za MTUME MUHAMMAD.
Amen 🙏 Jambo kubwa kukumbuka nyumbani
Babu uko vizuri Mungu awazidishie 🙏❤
Adija Niyonkuru mtabwa wa ukweli
@@antoinea.katembo5326 kabisa ❤ Antoine
Hivi we adija mbona unaroho mbaya kiasi hicho unamuona mwenzio kadidimia kwenye shimo la moto kwa msingi wa imani yako na yake halafu bado unamuomba mungu amzidishie baada ya kuomba mungu amnusuru na jahanam we vp?
hawa sasa ndo wana WCB wenyewe - wengine tunadandia dandia makampuni ya watu .
nimefulai sana mond kwenda nyumbani kgm jitaidi bro uache kumbukumbu kigoma City ndonyumbani kwetu
Bibi Anamua kumwita dayimoni aw
Kweli huyu mtangazaji kutulia fresh anajua kuoj vzr
Babu anaongea kama zahera kama umeskia hiyo saut gonga like apa
Omarion Kindaile Congo moja. Wakimbizi
😁😁😁 jinga kwel ww
Ndio wale wale wakimbizi kitambo
Kwani baba diamond kabila gani ? Mbona mwanae kwao ni umamani tu kwa baba vip?
Sasa apo kwa mama yake but apo siyo kwawo twoneshe kwawo na mzazi wa baba yake njo pia
Babu janja inaonekana simba naee💪💪💪💪👍👍
Onesheni kuumwa kwa matendo mabaya na dhambi anazofanya Mjukuu wenu, pamoja na mazuri aliyonayo. Muombeeni kwa Mungu wenu amuongoze aachane na kuimba na dhambi anazozisababisha kwa kazi zake hizi. Sote tuna wajibu wa kumuomba Allah, atuongoze katika haki na atusamehe makosa yetu.
HATUJAFA, HATUJAUMBIKA
Nitamshirikisha babu diamond katika ngoma yangu babu super star tayar
napaona nyumbani hapo 🤛🏽😂
Kila nikizskilza story za Kuusu daimond chozi waga linadondoka kwa mbali kama unaamini hicho acha like yako hap
Unatakiwa utokwe na machozi kumuonea huruma Diamond kwa anachokifanya sasa maana sio katika mambo anayoyapenda Muumba!
@Greyson Mdee Nini?
Jamani hadi raha watu wa kigoma hawana maneno mengi kama watu wa Dar es lam
Kumbe maman dangote katokea ujiji....nimekubali maman hapatoke boi huko kwa waswahili wa kgm... 🔥🔥🔥wanao kuchamba hawajui vizuri kwamba unanajieshimu tu...
Innalillah wainna illaih rajiun, msiba huu jamani, akhera kuna mambo jamani.
Mtangazaji leo hujazingua 😅😅😅❤️❤️❤️❤️🤗💘💘💘kma interview ya dula makabila ama Dullah ulimchukulia poa maana ni msela mwenzio ww usela nje ya kazi ss twataka maswali ya kiheshima na kistaarabu kama ya leo big up ma bro keep on 🔥🔥🔥
Witney Rachma duuuh
CWB😂😂 babu
Babu na bibi wajomba wamechangamka vizuri sana
Wcb naomba ipewe zaidi ya heshima naombeni
Shivam Ya Akram Muhammad wapewe heshma kwa sababu wanafundisha maadili ya dini ao?
Babuuuuuu
baba lao mung azid kukubarik
Nilichogundua watu wa kigoma wanazungumza kiswahili kwa ufasaha sana tena ssafi kabbisa,
Kabisaaa
Ni kwel
Dunia ya sasa watoto huwa wanalipa kisas ukimkataa mtoto nae atakukataa mkubwa tujitaid kuwatunza watoto wetu il tuspate aibu wakifanikiwa
Watoto ni mali ya mama hata ukiwatunzaje kwao mama ni mbele kuliko baba huo ndio ukweli kama unabisha hata wewe katika familia yako angalia hilo utakiona. mama ndio namba moja kwao baba ni namba mbili Kuna bondi kubwa sana kati ya mama na mtoto kuliko baba facts hata ukimtunzaje mtoto na mbaya zaidi akiwa wa kiume wa kike kudogoooo afadhali
Kabisa kati ya wanaume wote waliocoments ukweli nawe ni mmoja wao,, , usisubiri uje useme baba ni baba, timiza wajibu, , huwezi chuma maembe kwenye katani ,, utavuna ulicho panda,
Babu nimwalimu mstafu lazima ajieleze vizuri , kanifunndisha kitongoni shule ya msingi
Babuuuuuuu wa kigomaa
Kama umemsikia Babu anasema kijana huyu hatari
Nani kamskia bb akisema mm ndo bb yk daimoni baada ya daimond
Nimependa kiswahili chao wanaongea kiswahili safi
Babuuuuuu
Nimependa mzee haogopi maiki
Mkana kwao MTUMWA diamond mtoto wa tanga Leo anajiita wa kigoma kwa sababu ya mama from kigoma.. 🤣🤣🤣🤣Hii kubwa kuliko..
Tanga kwa Nani wakati umesikia ka kulia Dar
@@bjzee1981 hata ukulie ulaya bado utakuwa na sehemu husika alikotoka baba
Asili ya wazazi wa baba yake diamond ni Uganda kama unafatilia vzr utakuwa unaelewa, na chimbuko la wazazi wake Tanzania linaanzia Unyamwezini, ndiomaana kama umewahi kusikiliza interviews mbalimbali lazima utakuwa umesikia kuwa baba yake inasemekana katokea Unyamwezini Tabora, lakini maisha yake yote Kakulia Kariakoo Dar
meddy starter kama hajalea akomaaeeeee
Aliona tabu alizo pata mama yake akipo mlea Kama baba akuwa karibu nae ya nn ajipendekeze amehenda akipo jaliwa
Kama umesikia babu kasema cw gonga like
Mashallah family inaraha mashallah
Kigoma hakutoki bwege, Babu umehongeya vizuri sana babu mjaja sana ongera kwako babu,na na ongera sana kwa Diamond platnumz happy 10 years music industry
Namuona mwailwa hapo karibu na babu wa Diamond
Babu young
Nili tegemea Mtamuusia amkumbuke Allah aachane kabisa nahayo kumbe ndio baado mnataka aendelee kuwachezasha uchi mabinti zawatu
Aendelee kuwahimiza watu kula tungi nimemuona ndugu mwailwa sifa akiomba daimond azidi kukaza afike mbali
Basi hio mbali iwe niyenye faida dunia na akhera kaka mwailwa
Ikiwa nimbali yadunia tu hamjamtendea haki kijana wenu
Akhera nikugum saana mimi nawakumbusha tu
Maneno ya maskini bwana hayana mvuto
Diamond kwa baba rwanda kagame family kwa mama congo kimaisha tanzania
😂😂😂😂👁
Ganga una tisha
Nani arie sikia mtoto wa Dada binadamu wabaya😂😂😂😂
Kamaanisha mtoto wa dada ake
Huyu babu msomi kabisa 😂😂 😂😂 😂😂 😂🙌 🙌😂 😂🙌 🙌
Kwa wale watu wa betting njoo upate mikeka ya uhakika kila siku odds za ushind kila siku nichek kwa 0620278995
Kwel hawa Bibi zetu
Awafuatili kabisa mzic
Et Mimi bibi ake DAIMON
Hahahahahahahaaaa
Sawa huko kwao na Mama yake na Diamond kwa Baba yake ni wapi?
Kofia kubwa uyu kijana lakini kichwa kitupu waallah
Ujiji huku kwa waswahili....babu mswahil piaaaa
Babu wa taifa uyo
Babu mzaa chema.wajukuu wote wamewakilishwa na diamond.
Sawa kumbe kigoma kwa mama tuonyesheni kwa baba ndio kwao
Dar
Nawewe onesha kwa baba yako!! Vp mbona mnapenda kumpangia maisha utadhani mmemsaidia kutoka?mama yake kamsaidia kutoka kimaisha baba kaja baada ya jina kua kubwa acha ubwabwa wewe!!!
Burundi/Rwanda
Steve mwakisimba hapo kweli umeongea kabisa mama ahangaike na mtoto peke yake auze mpaka kanga zake na baba yuko jamani wa baba waangalieni watoto wenu kwa sababu hujui kesho atakuwa nani
Baba ni baba tuu akusaidie asikusaidie atabaki kua baba ako na anatakiwa umshughulikiee
Babu yuko vizuri sana anajuw kujiheleza
Babu uko vizuri MASHA ALLAH
Babu nyoosha maelezo, Dimond ni Mzaramo. Babake ni Abdul Juma na ni.Mzaramo amekuzaliwa na kukulia Dar Mtaa wa Pemba, Kariakoo. Na Mtoto hafuati kabila la Mama.
Diamond ni muha kwao kigoma kwasababu kidini kuzaa bila ndoa mtoto anahusika upande 1 tu kwa Mama ndivyo Uislamu usemavyo
Makuzi yalikuwa upande wa mama si 👶 baba
Yaani kila mwanafamilia anaunga mkono uchafu unaofanywa na Nasib Abdul!!SubhanaAllah..tena tumwombee azidi kufanya uchafu huu...tumche Allah
Wacha kuhukumu wewe si Mungu
@@kenallday1115 sijahukumu, hapana hukumu niliyoitoa ila ni dhahiri kuwa anayofanya Nasib hayakubaliki kwenye dini; kuzaa watoto nje ya ndoa, kuvaa herini, kuvaa mkufu, kuimba. Kwa taarifa yako pengine huenda ikawa dini yako ni tofauti na yangu.
Maandiko yanasema tokeni kwake enyi watu wangu msishiriki zambi zake wala msipokeee mapigo yake someni maandiko ya dini
Asa mungu wangu ubaya wake uko wapi???
C ungebaki kanisan huku kwa mondi unafta nn acha kuzga kaangalie kwaya huko
Kwel bangi sio sombe wew unauhakik naubay wake? ukitizam mema ambay anafany mengin muaciy Mungu sabab haun uhakik nay na yey njo mweny ku ukumu sio wey mtu
Bibi yake Daimoni
Hahahahah nimecheka
Mashalaah
Unajidai unamjuku star wakati inaonekana maisha yako ni yachini u star unakusaidia nn ao mwanao wakumza ambae ni mama yake inaonekana hawajali wazazi wake km diamond anavo mjali dunia tunapita
Ulipenda afanane je? Tulia dawa ikuingie
kwa upande wa marehem aliefariki
umaskini taabu saana unasifia tuuuu
😍🙏
Betting ni rahisi tu...njoo ujipatie mikeka ya uhakika kila siku....mikeka ni ya ushindi kila siku nichek 0620278995...nichek uweze ongeza kipato kupitia betting....
Bett mwenyew si kwa ukata huu
@@eliatalented7592 njoo ufaidike kupitia betting ....unasubil nn kama vipi kachek video yangu ya jinsi navyo ingiza pesa
Mu kinyarwanda turavuga ngo amazi arashyuha ariko ntiyibagirwa iwabo wa mbeho,yakoze neza gusubira kwivuko
kama umesikia talent kutoka kwa babu weka like apa twende sawaa
Si kweli, huyo si baba mzazi.
Watu wajinga tyu cfa nying hakuna ktu hy hyo baba yke mzaa Nan unakumbatia kabila la mama wakat la baba yake kaliweka kapuni Loooh baba diamond km ktuko kwa mwanae aiseh
Duuu mama diamond kumbe ni mmanyema
Pole sana Babu wa simba kwa msiba
Ao Ndio wazee ya kibwari na wa M'bembé Ila Ndio wa manyema hasili yetu ni wacongomani Hilo mjuwe wa haya ni wa Burundi na Rwanda uyo mkowa Ndio hasiliyake
Babu kama umeona kafanana na mwinyi zahera gonga like zenu
Kweli kigoma imekwisha kimaadili ya dini sehmu iliokuwa kitowa wataalamu wa dini ya KISLAM katika kila fani leo kunatoka wataalamu wa SHETANI familia nzima inna lilahi wainna ilayhi rajiuun Kigma msiba msiba 😭😭😭😭😭😭😭
Uksikia roho mbay nd hiyo xax kwhy ulitak ndg zake wamkatae dah yan binadam
@@alfredmsambaa1443 we usiwe mpuuzi ilipasa wawo wasikitike na kumuombea Allah amtoe huko katika ushetani na kumuogoza sio kuunga mkono na kumuombea aendelee huko aliko.
@@maftahmusa9513 w fara nn kwhy unajiona w msafi xan kw mungu
Iman yak0 ndi0 silaha yak0 h0ngera babu kwakupata mjukuu jembee
Babu umesema vizuri sana
'Binaadamu', ilitoa taswira ya yeye kufika hapo
Namuona Abui hapo salum wapi?
Km umegundugu babu anajielewa xana ngonga like 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
We mtangazaji punguza uhuni mama dangote ndo nini sasa sema mama nasibu
Mjomba Ali koha ndani ya kwawa rd kwa mzee zuberi bukuku
Ila mkumbushe kwamba maisha haya ni mafupi Sana hapa duniani,,kuna siku za kulia na kusaga meno mbeleni,,Instagram @pilotelkan2
Acha kumtishia mwenzio kwahiyo kwako wewe maisha marefu????
Wewe haufi???
Shetani...wewe!
Jikumbushe piah na wewe, ungekuwa unapenda ibada ungekuwa una watch Mahubiri
Usiangalie kibanzi kilicho jichon kwa mwenzio anza kutoa cha kwako Kwanzaa
Kigoma moja
Mzee mshua huyu 😂😂😂
Kinoma kiswahili kimenyooka
Mzee Omary Bongoo wa BURUNDI BARA BARA YA 12 mburundi mzee omary bongoo
Manyota Skipper nenda Kigoma nusu saa tu.
Fremoson inakunyenyua hata wewe usiye julikana kama unaamini acha like
hatuachuli like
Babu wa taifa
simbakigomababarao
Mashallah babu
Familiya yote ya diamond iko hot..naiko pouwaaaa..happy imetawal