MZEE HAMISI KILOMONI: MO AMEVUNJA SHERIA ZOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ส.ค. 2017
  • Mzee Hamisi Kilomoni leo akiongea na waandishi wa habari alielezea kutokubaliana na maamuzi ya wanachama ya kukubali kumkabidhi Mo Dewji hisa za asilimia 50 kumiliki klabu hiyo.
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
    ENDELEA KU SUBSCRIBE TH-cam CHANNEL YETU th-cam.com/channels/5fu.html...
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 279

  • @francomustafa9644
    @francomustafa9644 4 ปีที่แล้ว +1

    Uyu Mzee hanatuchelewesha sana

  • @athumanramadhan6814
    @athumanramadhan6814 5 ปีที่แล้ว +1

    Nakuchukia sana we mzeeeeer

  • @samalbert2723
    @samalbert2723 5 ปีที่แล้ว +1

    wew mzee njaa sanaa

  • @abdulaselmwalwiba4064
    @abdulaselmwalwiba4064 5 ปีที่แล้ว +10

    nyinyi wazee ndio mnao zivuruga timu yale yale ya mzee akili mali

  • @conradbuberwa6792
    @conradbuberwa6792 5 ปีที่แล้ว +2

    mambo yakizamani sanaaa.tuachie timu yetu.

  • @morlovzeboy4926
    @morlovzeboy4926 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha guys achen kutukan hi taarifa now 1 year ago alikua na njaa zake uyu mzee km umeanglia vzur km mm lyke yko tumpotezee uyu babu

  • @ndarogamba191
    @ndarogamba191 5 ปีที่แล้ว +1

    Anatumwa huyu na waganga njaa wake na Simba iko on fire mwache aweweseke na ndoto zake na hao vilaza waliomzunguka!

  • @rechomugilafaya6560
    @rechomugilafaya6560 5 ปีที่แล้ว +1

    We mzee mento kweli acha hizo muachie mo we hauwezi

  • @mohammediallykaboza5862
    @mohammediallykaboza5862 5 ปีที่แล้ว +1

    Mh Mo kwa ushauli tu huna haja ya kuingia ktk mvutano na hawa wazee kwa sababu huenda mkawa aidha tukawa tofauti fulaha yetu huzuni kwao nini kifanyike Tim zipo nyingi na zinaitaji ufadhili hakuna shabiki wa Kisasa anae shabikia jina shabiki wa sasa anashabikia Tim yenye uwezo japo mwanzo mgum utakapo enda kufadhili kama shabiki wa ukweli wa simba takuepo na tutakuepo japo loho itatuuma ilo kundi la wazee wameshindwa kufikilia inanini mbele yake na inatakiwa ifanyaje kwa wakati huu due!

  • @abdulndeka739
    @abdulndeka739 5 ปีที่แล้ว +1

    Huy mzee mchawi anataka kuvuruga analeta habar za kizaman aendezake huko hatutaki sifa sis tunataka maendeleo ya timu yetu

  • @bakarininga4100
    @bakarininga4100 5 ปีที่แล้ว +1

    Mbn unataka kuturudisha nyuma sana Mzee kabla ya mo ulikuwa wapi em tulia

  • @njemuyegela2835
    @njemuyegela2835 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee karudisha maisha magumu ya simba ,duh inauma sana

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 5 ปีที่แล้ว +1

    Weee Mzee unakera sanaaa

  • @bakarimahamudu2705
    @bakarimahamudu2705 5 ปีที่แล้ว +1

    Acha njaa mzee

  • @kasimuyusuph8227
    @kasimuyusuph8227 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu MZEE mjinga sanaaaa hata uwezo wa kulipa mshahara wa mlinzi (1) hana njaaa tu

  • @deusmyula5113
    @deusmyula5113 6 ปีที่แล้ว +1

    wew mzee,,, n mchawi inaonekana maisha yako uliishi kwa kula kpitisa simba sasa utakomaa ooooh mashaki wa simba tnatska ushindi ila wew unataka kula sio kingne wew mtu mmoja uwez ktukwamisha wanachama wameamua y unataka nguvu yako izid nguvu ya wanachama wengi,,,, mpira ushsbadilika,,, nenda kalale wew ishakukataaa

    • @hb8350
      @hb8350 5 ปีที่แล้ว

      wewe mzee niwakupiga lisasi ufe unatuhalibia tim

  • @ibraibrah6238
    @ibraibrah6238 5 ปีที่แล้ว +1

    acha njaa mzee

  • @naiiemkosovo8132
    @naiiemkosovo8132 5 ปีที่แล้ว +7

    Miaka yote amjawahi kuleta wahekezaji leo ndio wapo wa canada sijui wapi uongo njaa tu inasumbua

  • @oskamateo7797
    @oskamateo7797 5 ปีที่แล้ว

    Uyu Mzee chizi njaa iyo

  • @kingthedon
    @kingthedon 5 ปีที่แล้ว +14

    Poleni kwa mataizo. Mo aliipenda timu lakini kilomoni aliipenda zaidi.

  • @Johnjoo196
    @Johnjoo196 5 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahaha Mamae

  • @chausamhando1844
    @chausamhando1844 5 ปีที่แล้ว +6

    Mchawi mkubwa umechok kapumzike timu ifanye vzr mo dewij ndo hbr ya mjn

  • @aliissa9373
    @aliissa9373 5 ปีที่แล้ว

    Awa wazee uwaga wanaharibu mpira tanzania. Mona ulaya amna wazee

  • @ambakisyemwanjemba3922
    @ambakisyemwanjemba3922 5 ปีที่แล้ว +1

    Wakushauri vizuri ndugu zako endelea na ujinga wako timu imetoka kwenye matatizo unataka kuirudisha nyuma tuondolee upumbavu wako ukiona MO amekosea hamia yanga huko kuna fulsa ya migogoro na bado wanachangisha na wapigaji wako huko iache simba na mo wetu kilomoni hatutaki ujinga wako zee zima limejaa migogoro mliizoea simba ya kuihujumu kila kukicha ,

  • @rashiddaud6531
    @rashiddaud6531 5 ปีที่แล้ว +1

    kwani hapo ukutani ndio picha ya somba mwenyewe kweli?mbona naona kama rasta asie na huduma.

  • @zunyagapeter4647
    @zunyagapeter4647 5 ปีที่แล้ว +1

    We mzee msenge kweli tutapambana na ww mpk mwisho acha ujinga kabx

  • @simbamaduhu1600
    @simbamaduhu1600 4 ปีที่แล้ว +1

    Mawazo ya kizee ukinunu hata kandambili atajigamba napata maendeleo

  • @aboubakarmansour1189
    @aboubakarmansour1189 4 ปีที่แล้ว +1

    Simba inatiiwa vidudu Kama Cuf mwisho wakauwa

  • @pauljames2270
    @pauljames2270 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Mzee hapendi maendeleo ya timu

  • @mpendapolejohn9322
    @mpendapolejohn9322 5 ปีที่แล้ว +6

    Ww mzee umetoa shilingi ngapi kusaidia Simba

  • @issashearer3505
    @issashearer3505 5 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sn ww mzee uko write sn wanaokubeza ndio hao wasiojua ktu yani big up khamis kilomon

  • @saidseleman6004
    @saidseleman6004 5 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe hii ya mwaka Jana kwendaaaaaaa

  • @daudyussuf9859
    @daudyussuf9859 5 ปีที่แล้ว +1

    hizi media zinaleta ukuma hichi kitu cha zamani mnakileta sasa

  • @mickmaheka2541
    @mickmaheka2541 5 ปีที่แล้ว +2

    Mbona mnatuchanganya nyie hii clip ya 2017 saivi tuko 2019 msituchanganye

  • @josephatolenoah6305
    @josephatolenoah6305 5 ปีที่แล้ว +4

    Kwahyo umeridhika kwa hizo mijengo fala wew ,kojoa ukalale

  • @allyissa5801
    @allyissa5801 5 ปีที่แล้ว +2

    hivi miaka 80 timu haina uwanja leo useme mta jenga hii nishida tupu mzee anaandaa mgogoro ndani ya timu

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 5 ปีที่แล้ว +7

    Asa wawekezaji toka south akati muwekezaji wa ndani yupo ndo nini kuigawa timu ivoo wee mzee mbn unahira ivoo apo umeona mafanikio na hujapata chochote ndo maana umejiinua

    • @geoffreyalbel3307
      @geoffreyalbel3307 5 ปีที่แล้ว

      huyu Mzee katumwa Na shetani,simba si club ya ukoo wenu Manchester united wewe

  • @saidimilanzi6403
    @saidimilanzi6403 6 ปีที่แล้ว +1

    ni kweli hii klabu ni ya watu sio ya mtu ,hao watu ndio wameamua mabadiliko sasa kinawakera nini ,hebu tulieni ,mbona mnaongea wenyewe

  • @rodinadaniel4309
    @rodinadaniel4309 5 ปีที่แล้ว +3

    Angalie vzr ripoti ni toka mwaka 2017

  • @raymondmissana7124
    @raymondmissana7124 6 ปีที่แล้ว +2

    Roho mbaya tu. Ww unataka wapewe watu wangapi.

  • @amademz6972
    @amademz6972 5 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndo wachawi wenyewe

  • @fauahamisi1097
    @fauahamisi1097 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee wangu achana na simba yetu watani zetu unaona kila cku na bakuli unataka tufanane nao? tuache kwanza huna lolote njaa mbya jmani

  • @stephanolukumay9553
    @stephanolukumay9553 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu yanga anatuzingua

  • @mhubirisamuel5245
    @mhubirisamuel5245 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee anaonekana ni mchawi, Mheshimiwa Makonda sukuma ndani huyu

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 6 ปีที่แล้ว +1

    Acheni umajununi njaa zinawasumbua process hizo za uwanja miaka 50 tumekupeni mumefikia wapi wacha tuwendane na maxingira yaliopo sasa sio ya miaka 40 iliopita

  • @florentbunzaly6391
    @florentbunzaly6391 5 ปีที่แล้ว +1

    We mzee kaoge kwanza.
    Kucheza bure kunatokana na mpito wa wakati

  • @halimasaleh5705
    @halimasaleh5705 5 ปีที่แล้ว

    2017

  • @chudeeally5837
    @chudeeally5837 5 ปีที่แล้ว +1

    tumia akili nyiyi

  • @hermanmwailanga642
    @hermanmwailanga642 5 ปีที่แล้ว +1

    Mpabaishaji tu huyu mzee anataka kuzeheka vby sana

  • @hermanmwailanga642
    @hermanmwailanga642 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna mzee anae nikela kama huyu hivi anamchango gan nasimba?atutolee giza sisi.

  • @amosimusso7589
    @amosimusso7589 5 ปีที่แล้ว +1

    Nyie wazee cjui Lin mtakufa wewe na akili mali timu cy za babaaenu wasenge sana hawa wazee

  • @jumazayumba4908
    @jumazayumba4908 5 ปีที่แล้ว +1

    Mzee ametumwa na wapinzani

  • @jumamohamed1526
    @jumamohamed1526 5 ปีที่แล้ว

    Ye2 macho

  • @ambokilemussa2180
    @ambokilemussa2180 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee yuko sawa sana ila limbukeni wasiojua kitu wanasumbua kinoma

    • @jacksonmsele1500
      @jacksonmsele1500 5 ปีที่แล้ว +1

      Wewe gongo wazi huwezi kutuvuruga tunaiombea Simba. Wewe kilomoja ulishawhi lips mshahara mchezaji yeyote Simba? Nenda kalale huko

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp หลายเดือนก่อน

    Mzee watu walikupinga lkn leo ndio tunaona mateso yake waliona kumpa mo team ndio kupata

  • @shaabanmusa5127
    @shaabanmusa5127 6 ปีที่แล้ว +1

    Rudi kwa Mola wako umri ushakwenda, tafuta Hatma yako juu ya mola wako ushafanya tosha Mambo ya kupita kulaximisha huko sawa n kutafuta kutukanwa n watoto una nguvu pijania Dini/Akhera yako zaidi kuliko ulimwengu, Dunia mapito n nistarehee fupi tu hio

  • @andreakomba1773
    @andreakomba1773 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee jinga sana walikuwa wapi njaa zenu hizo

  • @seifdavidmkama7752
    @seifdavidmkama7752 5 ปีที่แล้ว

    Pumzikeni wakati wenu umeisha hivi vilabu vya mpira ni Kama mbio za vijiti nyie mlifanya mkaishia hapo acheni na wengine waanzie hapo mlipoishia nyinyi kama rais wa nchi anastaafu ije kuwa nyinyi jamani hivi hamuwezi kuendesha maisha yenu bila vilabu acheni soka liendelee

  • @rashiddundo9822
    @rashiddundo9822 5 ปีที่แล้ว +1

    Waziri Weka ndani ilo fisadi tu Mo ndy kilakitu yeye nani bhana

  • @elisantewawa3047
    @elisantewawa3047 6 ปีที่แล้ว +2

    Mzee umfaya kwa wakati wako zama zinabadilika pumzika utakufu na puresha

  • @farajampombo1981
    @farajampombo1981 6 ปีที่แล้ว +2

    Sasa ww mzee Simba ni mali yako au??mbona wanasimba wote wanataka mabadiliko ww uko kinyume.

  • @syliveriokilimila5865
    @syliveriokilimila5865 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mzee hajitambui

  • @BontamLee
    @BontamLee 5 ปีที่แล้ว +11

    SIMBA INA MIAKA 80,WEWE UNA MIAKA 100 Au?acha tamaa ng'ang'ania Mali za baba yako SIO SIMBA.

  • @vakwawesanga733
    @vakwawesanga733 5 ปีที่แล้ว +1

    Kwendaaaaaa mzeee kilon simba ya mwaka 1930 ww wa mwaka gani mzeee acha zako nzito hizo

  • @kyangalakevin8866
    @kyangalakevin8866 5 ปีที่แล้ว

    These old people are pulling us backward

  • @zedicuszerrander7006
    @zedicuszerrander7006 5 ปีที่แล้ว

    Mmmmmmmmmmhhhh tunaenda wapi tena

  • @hamadkhamis2067
    @hamadkhamis2067 5 ปีที่แล้ว +1

    Mpiraa wa burew upooo kwanii dunia hiii

  • @yusuphsheghembe3529
    @yusuphsheghembe3529 5 ปีที่แล้ว +1

    Acha kuhujumu timu

  • @issajongo5126
    @issajongo5126 5 ปีที่แล้ว

    Bora mungu akuchukue,umekalia njaa zako.Kwakua ulicheza kwa lidha ukupata mafanikio unataka ujilipe leo pumbaaaaavuuuuuuu zako

  • @user-cp2do9pd5k
    @user-cp2do9pd5k 4 หลายเดือนก่อน

    Unajua nimegundua kitu wanasimba wengi akili nyingi sana hao wanao lalamika njaa tuuu

  • @iddiking6963
    @iddiking6963 5 ปีที่แล้ว

    Simba si ya mo, simba ni ya kila Mtu

  • @boniphacemarwa6141
    @boniphacemarwa6141 5 ปีที่แล้ว +1

    We mzee iachie simba huku hatukutaki kabisa.

  • @mohdseif3903
    @mohdseif3903 5 ปีที่แล้ว +3

    Njaa mzee inakusumbua ufilimbali

  • @mbogomagembe6318
    @mbogomagembe6318 6 ปีที่แล้ว +1

    huyu mzee mshezi yaani yeye alicho Fanya kikubwa anaona ni jengo la gorofa je angejega uwanja si ndo angeikatalia kabisa ikawa yake!

  • @emmanuelnyove8292
    @emmanuelnyove8292 5 ปีที่แล้ว +2

    Kuna mzee pembeni hapo anaonekana ananjaa maana mdomo umepasuka utafikili yupo kwenye swaumu haaaa jaaaa haaaa.

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 5 ปีที่แล้ว

    Acheni njaa mara muende mbele mara mnarudi nyuma mlikua wapi siku zote kuleta wawekezaji leo mnajitia mnajua wanafik nyie

  • @sikandarsuleimanTV
    @sikandarsuleimanTV 5 ปีที่แล้ว

    Wewe Mzee inakuaje umehudhuria kwenye hafla ya Wapinzani wetu ?!

  • @godfreyumtiti7689
    @godfreyumtiti7689 5 ปีที่แล้ว +1

    yani we mzee unavyo nikela kwanza hiyo timu ya baba yako

  • @olivakyando2707
    @olivakyando2707 5 ปีที่แล้ว +1

    we mzee umri umeenda tulia nyumbani

  • @mohdseif3903
    @mohdseif3903 5 ปีที่แล้ว +1

    Umechele mzee kilomoni kila kitu kimeisha

  • @kallahassan4896
    @kallahassan4896 5 ปีที่แล้ว

    wazee kama hawa ata uwakute wanaelekea kufa nikuwamalizia ingekuuwezowangu

  • @simontamba1285
    @simontamba1285 5 ปีที่แล้ว +1

    Njaaa zako unatumiwa na Yanga wewe Timu inaonesha matumaini ya kufanya vizuri mnainuka kurudisha maendeleo nyuma

  • @frankmombo9487
    @frankmombo9487 5 ปีที่แล้ว +1

    mbona hii clip ya 2017 kabla Mo hajawa mmiliki wa simba...pumbav

  • @petandy1779
    @petandy1779 5 ปีที่แล้ว

    Mbona hii clip ni ya mwaka 2017

  • @godsoncharles135
    @godsoncharles135 5 ปีที่แล้ว

    Published on august 2017

  • @anodiantoni6639
    @anodiantoni6639 5 ปีที่แล้ว

    Ivi wazee wakitanzania wanaabudu sana uchawi yaani MTU anajiamini eti kisa uchawi shida tupu

  • @hermankoba4970
    @hermankoba4970 5 ปีที่แล้ว

    Kanyweni kahawaaaa na kashata

  • @marypeter7380
    @marypeter7380 5 ปีที่แล้ว +4

    Wawekezaji wa nje wa nini wakati wa ndani yupo,sio mzalendo wewe

  • @marypeter7380
    @marypeter7380 5 ปีที่แล้ว +1

    Muacheni MO hamuoni mafanikio ya timu kama haya yaliwahi kutokea lini?mpira pesa mna hela ya kuendesha timu bila MO! Usituvuruge we mzee!

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 5 ปีที่แล้ว

    Miaka themanini klabu haina hata uwanja jengo kitu gani bwana

  • @mwachamwacha5538
    @mwachamwacha5538 5 ปีที่แล้ว

    hao wawekezaji wa nje walikuwa wapi siku zote ..tukienda vizuri kidogo nyie mchwa mnaingia .tena mshindwe kabisa nyie wazee sio ndio mnazuiaga maendeleo mahali popote hamnaga maana kabisa ..hizi klabu mnazitumia kama miradi yenu .hamfai kabisa ..tokaaaaaa

  • @mathiusthomas3074
    @mathiusthomas3074 5 ปีที่แล้ว

    Wazee kama kuna mtu anawatuma basi mwambieni ajitokeze mwenyewe acheni kutumika timu pindi inayumba kiuchumi nyinyi na hao mama zenu mlikua wapi? ,msipandishe hasira za watu asee njaa zisiwafanye muhatibu utaratibu wa timu,..wapumbavu kabisa.

  • @kusekwasita1576
    @kusekwasita1576 5 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe na nyie simba mnahiki kirusi kama cha yanga ki akilimali ahahaha hiv vzee

  • @emmanuelnyove8292
    @emmanuelnyove8292 5 ปีที่แล้ว +6

    Huna mchango wowote tembea mzee acha ujinga wako kajitundike basi ufe njaa waombe wanao wakupe Pesa

  • @mamaally6134
    @mamaally6134 5 ปีที่แล้ว

    huyu mzee vipi katumwa na chura nini anatakiwa simba isimsikilize maana sioni kauli yake

  • @josephchales5222
    @josephchales5222 5 ปีที่แล้ว

    Pumbav zake

  • @pascalpembamoto8172
    @pascalpembamoto8172 5 ปีที่แล้ว +4

    Nenda kadai mahakamani mzee unaonekana una njaa kubwa sana mafanikio yote ya klab bado una shida na wawekezaji wewe unataka kuuza timu wewe ni mwizi kabisa.

  • @philimondeo7859
    @philimondeo7859 5 ปีที่แล้ว +1

    Ww mzee unataka kuhalib timu yetu huna hta hela yeyote ya kusaidia timu ww acha unafik

  • @eliahmwingwa8839
    @eliahmwingwa8839 5 ปีที่แล้ว +2

    Mzee anaona gepu la kupiga hela linapungua, mzee tuachie timu, MO akiondoka we utafanyaje?

    • @njireikumbo2956
      @njireikumbo2956 5 ปีที่แล้ว +1

      we mzee iache timu yetu hata kama umecheza bure natunataka tuwe na maendeleo makubwa acha polojo zako umekosa marupurupu tu ndo unaona chuki za nn sasa kama unajiona unafedha siugezamini ww saiz inakuuma nn iache timu yetu

  • @habibrwegoshora9653
    @habibrwegoshora9653 5 ปีที่แล้ว +2

    MO ALIINGIA KIBABE B..20 NI PESA NDOGO KULINGANA NA THAMANI YA SIMBA