HISTORIA YA ZANZIBAR 1804 - 1964
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
- Follow kurasa zeta za online
Facebook | @zanzibarCCM
Instagram | ccm_zanzibar
Twitter | @ccm_zanzibar
Whatsapp | +255 625 883099
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 883099
CCM Zanzibar Media Crew
cc: Abeid Machano Khamis :: Graphics Designer / Developer / Photographer:
cc: Mgeni :: Graphics Designer / Developer:
cc: Kassim :: Graphics Designer / Developer / Photographer:
cc: Abdulsalam :: Graphics Designer / Developer / Photographer:
cc: Maulid :: Graphics Designer / Developer / Photographer:
cc: Yussuf Ali Kombo :: Cameraman
cc: Khamis Juma Omar :: Video Editors / Photographer:
#followforfollowback, #photography, #soundcloud, #a, #funny, #artist, #trending, #m, #s, #twitter, #f, #vlog, #likes, #newmusic, #o, #itunes, #live, #repost, #xbox, #bhfyp, #podcast, #sub, #fun, #game, #applemusic, #covid, #fashion, #followme, #cute, #edit, 1. #youtube
#youtuber, #youtubers, #youtubevideos, #youtubewtf, #youtuberewind, #youtubekids,#youtubechannel, #youtubeuse, #youtubebr
#followforfollowback, #photography, #soundcloud, #a, #funny, #artist, #trending, #m, #s, #twitter, #f, #vlog, #likes, #newmusic, #o, #itunes, #live, #repost, #xbox, #bhfyp, #podcast, #sub, #fun, #game, #applemusic, #covid, #fashion, #followme, #cute, #edit, 1. #youtube
#youtuber, #youtubers, #youtubevideos, #youtubewtf, #youtuberewind, #youtubekids,#youtubechannel, #youtubeuse, #youtubebr
Huu ndo ukweli kabisa wa historia,safi sana mzee wetu.
Wareno walirawala kimabavu kwa mika 200, waliua watawala na wana vyuoni. Wakatolewa na waarabu ea omani, wakiongonzwa na sultan wa oman,Saif bin Sultan Al Yourubi kwa vita, mwaka 1696,baada ya kuombwa na waafrika wa Kenya. Seyyid Said bin Sultan hakuwa muomani wa kwanza kutawala Afrika Mashariki.MBONA HAIJUI HISTORIA HUYU
hahahah siku anayotamani kustarehe hahaha wazanzibar bwana mna kiswahili kizuri sana
Ukweli wa mambo ikifika Wakati lazima usemwe!!! Good work 👍
Nasikiliza sana historia ya kisiwa chetu lakini hii sijaifahamu😊
Rabda wana ccm ndio watakao kusikiliza MNAFIK😅😅😅 mmoja
Huyu hajui historia kabisa, anababaisha na anataka kupotosha watu,ana chuki zake. Mwinyi mkuu alikuwa ni mwarabu toka Yemen. Hakusema hili. Sayyid Said bin Sultan, hakuvamia Znz. Hakuua muafrika hata mmoja.huyu kasema ati alivamia. Haya nimeyaona baada ya kusikilizi video yake kwa dakika 6. Ni uongo mtupu
Vizuri
Huyu ni mpotoshaji sanaaaaaa na ni mtu asojijua moja tu ni kua wareno ndio walileta ukiristo huyu ni mpotoshaji na mropokaji hajui kitu zaidi ya fisadi na fitna mpuuuzeni
Takriban Bara Arabu lote raia hawapigi kura lakini maendeleo ya nchi yapo mbele hata kuliko nchi nyingi ulaya, Sisi tunaopiga kura katika nchi za Kiafrika na ulimwengu mzima hatuna lolote la msingi ila ufisadi na umasikini umezagaa kila mahala, HATUJENGI, HATUASISI CHOCHOTE !
Kwabahati.umechelewa.kutowa.historiy.yauongo.wazanzibar.tayari.historiy.wanayo.kwenye.nyoyo.zao..hakuna.mwarabu.aliyefanya.biyashara.yautumwa.nandomana.nchizote.za.warabu.hakukuwa.nambiyashara.yautumwa.kwasababu.walikuwa.warabu.walikuwa.hawana.dola.dola.ilikuwa.yawazungu.nandomana.huwezi.kuona.picha.yamwarabu.anamtumwa....rabdayakuchora.bali.utakuta.mzungu.anamuoneya.anamtesa.mtuwa.kama.hujuwi.tafuta.picha.au.cd.warabu.au.wafalime.walkuwa.wanavyuoni.bihole.alikuwa.ukti.akisomesha.bibi.zetu.mama.zetu.kwabahati.mbaya.wewe.muislamu.wezako.waliletwa.kuteteya.kuinusuru.dini.
Jifunze kuandika kwanza!
Muengereza alijuwa uchungu wa tajiri na masikini. Ndio maana wakamtumiya nyerere. Kuja kupandikiza chuki na uwDui. Wazungu wanafurahi kabisa kuwona chuki zao zimeishi na zimefanya kazi. Walijuwa kama hawakufanya unafik. Basi mwarabu angeliyimisha watu kimaisha kujitambuwa.
Mtu mzima hovyo hujui historia halisi ya Zanzibar unapotosha, inaonekana unasoma Hapo umeandikiwa na ma bwana zako
Kwa nini tusiadhimishe siku ya utumwa tanganyika na zanzibar??
Ccm unaijuwa wewe , kama ccm kweli usingepingwa VIGONGO
Anachichanganya na stori ikiwa yeye wakati huo hajazaliwa ilikuwa anapasea atuambie chanzo ithibati ya kusema hivyo
Hayo machuchu yalikuwa na urefi gani ya kufagia barabara.
Syd Said aliwakuta waomani akiishi Znz,hakuwaleta. Waomani ndio waliomfurusha Mreno. Huyu halijui hili.Hajui michezo ya wazungu.
YAA HUWA ILLA HUWA MAN LLAH HUWA ILLA HUWA
Kumbe we nimeambiwa na watu wazima wa umri wako huna radhi za baba wala za mama ndo maana kumbe watapata na kusema uongo, we ivo vooooooote ulivkjitoa ukakitumikia chama chako pendwa CCM Na m
Watunwahawajawahikupelekwauarabunibaaliwalipelekwa kuuzwa ukayanamarekani.wazungundiowaliohitaji watumwawalasiwaarabu.
Nikweli kabisa, kwanini hawasemi hao waliowanunua, tena anaona bora awatetee waingereza
Huna radhi kwa baba Yako wewe baraka
Hiyu mzee ni hazina kwa mharabu yeyote ata ona hayuko sawa
Muongo mtu Mzima ovyo ovyo ongooo hilooo pyeeeeee🤣🤣🤣🤣
Laana-tu-Allah....Historia gani ya uwongo isiyokua na ushahidi wowote !!! Soga la mikahawani ndio unaita historia kelbu mkubwa weye !!! Katika unafik wako huu mbona sijaskia maelezo yeyote kuhusu Wareno, wajerumani wala waingereza walivyofanya uhasama mkubwa dhidi ya waZanzibari na waTanganyika mbali na waafarika kote Barani Afrika ?????!!!!!
Una akili sana mzee,umeielezea historia vizuri sana na ndio uhalisia,umeeleza vizuri kwa kuwa hujatanguliza hisia za Kidini.Wanzibar asilia ni waafrika na mwaarabu pna mambo mabaya kama haya uliyoyasema waliyafanya kwa ubinadamu
Umejitolea sana mbaraka kwa moyo mmoja lkn chama chako hakikutaki wala hakikupendi ndo maana hujapata ata sheha, na hamna hamna kwa ivojitolea ilikua upate walau mkuu wa mkoa mbwa ww
Wewe muongo mbona wapo watawala wengine weusi kama hivyo wewe ambao mama zao walikuwa wa afrika walioolewa na wafalme na wala sio kuwaingilia watumwa uwongo wenu hauwendi sawa na events kihistoria ni contradictions nyingi.
Muhd Hujui historia ya Zanzibar unapotosha.
Jibwa linabweka lataka fupa ligwwgwenye
Kwisha habar yko ww ata ufanye nn kuch nehi babuchi😅
Omba tiba jamaa zako hawakutaki rudi kwa mungu
Tuwe na nidhamu ya kuzungumza ww umesoma kitabuni baraka kaona tumkubali nani ww uliezaliwa baada ya mapinduzi?
maskin anachuki za nafsi mpk anatia huruma 😅 anaongea mpk mate yanamkauka
Nitumie no yako nataka tuzungumze kdg pls
Hujuwi historiya ya Zanzibar wewe subiri kupingwa vigogo
Tusikilize historia
Muongo tena mnafik hu ijui stori kabisa mtu mzima ovyoo
DHIKRI FIKRI SHUKRI SUBRI
Hanarazi na mlevi huyo
Kuwa tayari kusubiria muendelezo wake
HIYO NI HISTORIA YA UWWONGO MKUBWA MUONGO SSANA CCM NYINYI
hahaha huyu mzee anafanya watu wote wajinga kama yeye
Wizara ya elimu Zanzibar ifikirie tena juu ya elimu hizi za historia Zanzibar maana watu wamekuaa wa ovyo sana kujua historia yao, inashangaza kuona Zanzibar ni watu weusi lakn wanaamini wao ni waarabu, ni ujinga wa kiwango kikubwa sana, wanaamini muarabu hawakuitawala Zanzibar sijui akili zao zinawaza nn? DU😂😂😂
Waarabu wametwala Zanzibar ila wazanzibar hawakuwa watumwa
Kwa iyo warab Sisi ni ndugu zetu wa damu
Mbona wewe hukufanywa mtumwa.muongo mkubwa wewe
Bunch of lies
Kawadanganye wanannchi wa jimbo la uzini huko ndio kunako wajinga walioifanya ccm dini
Watu Mfano WA Hawa wanastahiki kuenziwa mengi wanayajua na wameyaona
Kama unapenda kudanganywa
Hajui chochote huyo ametumwa kupotosha
Mungu amuweke
Huyu ni muongo mzandiki, me nimekwenda Oman mara ya kwanza 1999 wanawake wanaendesha gari kwa miaka kupita,
Huyu ni bingwa wa fitna sura yake imeungua kwa fitna
Unataka urejeswe kisura ndui hawakutaki wajinga wezio
Sasa unataka umfurahishe mwinyi unajipoza
Piga marungu tena huyo hajakoma
Iyo sharti umenunua kinda mgongo
Kumanayo
Wewe mungo mkubwa wewe
Aibu yako wewetu we mzee coward