Ukiwa kiongozi na kesi inapoletwa kwako utakuwa bwege wa kiwango cha lami kama utajikunja na kusikiliza upande mmoja na kupuuza upande wa pili,hutajua ukweli wowote
Walishindwa kumwita dr wa familia kuhakiki Hope kama anaumwa kweli,wanamwita kuhakiki mimba ya Maya,wakija kujua huyo Hope anatafuta uchumi hapo akitumia dr wa mchongo
From saudi Arabia 🇸🇦 ndani❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
❤ mimi nikiona simulizi inao anzia na Binti mawazo yote yanipereka Kwa BINTI LISA
Mm mwenyewe nilijua binti lisa
Hat mm khaaa tunawaz vibay jamb Lissa uko wapi
Eeeehhhh jamani nimekuwa wakwanza nipeni like zangu 🎉🎉
Haya BINTI AMAYA kafanyanini tena tunasikiliza hili tujuwe ili tujifunze ya dunia ✌️✌️✌️✌️
Ana majanga mazito ktk ndoa yake
❤❤❤❤❤ love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Asante anko jey lakini itafika hatuwa tutaunguza Hadi bangiya Kwa simulizi 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲💫💫💫💫
😂😂😂 utachambwa na mwarabu we
Me madam wng akija jikon akikuta nasikiliza utasikia zma kwnza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimekuwa wa pili ❤❤❤❤
Kazi nzuri kaka,listening from Kenya(Eldoret),much love.
Wow ❤❤❤❤ we ankojay acha niseme asante sana maana hautuachi wapweke we appreciate your work 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤Nice story tupondani
From🇹🇿 Buzuruga mwanza...anko hapoi haboiii❤❤😊
From Kenya much love
Asante Sanaa anko jay kwa simulizi nzuri ❤❤🎉
Anko jay naona hutaki tuku miss huu mfungo wa rama Dhani hongera sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️
Asante ankojay kwakutushushua mzigo mpya tukisubiri muenderezo wa lisa
Ahsante sana Anko kwa simulizi yetu hii nzuri, wacha nisikie kafanyaje bint Amaya,usisahau bado tuko pamoya, Ankoo much love ❤.
Leo wa kumi na Tisa naomba laki hâta 30😂😂
Kazi mzuri kka mungu akufayiye wpsi❤
Anko jay upo vzr sana nakukubali San anko jay
Wasabaaaa 7 nimewahi kumibora nimoooo❤❤❤❤
❤❤❤🎉🎉🎉 from Nairobi Kenya
From kenya
Vumilia mwaya kaa makini na familia ya mumeo 😢😢😢 pole Amaya Mungu akutangulie 💪💪💪💪
Woow kitu kipya nakupendea hivi tu Ankoo😂.
Nyie wa pili leo😢❤❤
Haya tukupe award sasa😁😁😁😍😍😍
Naomben like na mm nimewahi kidogooo
Leta hii anko Jay,Lisa inachosha sasa aise
Lastborn ctakufa moyo mie ipo ck nitakua wa qwanza 😂😂😂😂asante xn Ankojay❤❤
Asa anko we si ungeacha tu,kuliko kugugumia tu hvy jamani ❤❤
Bhbn story zingine uzitunze tu baada ya ramadhan hivi hv hazinog
Exactly 👏👏
Nakubali sana ❤❤❤🎉🎉
wa kwanza njamani leo🎉🎉
Ukiwa kiongozi na kesi inapoletwa kwako utakuwa bwege wa kiwango cha lami kama utajikunja na kusikiliza upande mmoja na kupuuza upande wa pili,hutajua ukweli wowote
Ahsante ❤❤❤❤ahsante anko Jay simulizi na wewemtunzi
Ktu kpyaaa asante ankojy mapesa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😊😊❤❤❤ Ankooooooowww 🎉🎉🎉🎉❤
Anko Jay ulivosimulia hii simulizi 😂😂😂😂😂😂😂umejuwa kunivunja mbavu nimecheka hadi machozi 😂😂😂😂😂
Ninapenda vile unavyojitahidi kutufurahisha unahakikisha hatupowi japokua uko pekeako😊😊❤❤❤❤❤❤❤❤
Yan ww anko j kwa simulizi zko kiboko ubarikiwe san kwa kaz ya mikono yko❤❤❤🎉🎉
Nasikiliza kutoka 🇶🇦
Ankojay unajuwa unajua tena mpaka unatumaliza tunakupenda wana family ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🥂🌸🌸🌸🌸🌸
Hadi nacheka kwasauti ebana wakuache umeeshim ramadhani
Tulimmiss uyu babie love🎉🎉🎉
From kenya much love❤.......
Yaani anko Jay 😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwenye kuficha mane nimecheka hadi machozi 😂😂😂😂😂😂😂😂mbavu zangu miye
Naona notification ya Binti nadhani ni Lisa 😂😂😂
😂😂😂😂kam mim jamn uwiiii
Tupo Sawa kimoyo❤️ kilikuwa kishafurahi..... Mh ila haya tu @ANKOJAY tuletee Lisa please 🙏🙏🙏🙏 anko wetu mzuri
Tumekua addicted na Binti Lisa 😂😂
Absolutely 💯
Kama mm jamani
😂😂😂wewe Ankojay tumefunga bwana hebu ruka vipengele vingine huko 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂 ndio maana anamung'unya maneno mengine,,,, ila nimecheka sana wallah
Nilizan rogan kamsarti lisa nakujiunga na maya duu kumbe rohan na amaya asate cna narongani naomba cn asimusart lisa wetu kwa chochote kle
Lisa na Rogan gani huyo jmn unijuze
Tam sna story I say huzuni kibao ila tutafika2 aso m2 ana mungu Amaya,, Allah atakucmamia wataumbuka2 mwishoni😢
Watu wa viporo njooni jamanini kitu kipya Anko ashakiachia cha kushukishia nacho shorba😅.
Jamani unanichekesha kweli kama unamajini kichwani😂😂
Akifika apo pa mapenz. Nimejikuta nacheka kwasauti😂😂😂😂
Unaniachaga hoi kwenye kunongoneza jamn anko jay
Leo nimechelewa sana Habari ndugu zangu wapenzi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anko ramadhan umekuwa kibogoyo maneno hayatoki
😂😂😂Ramadhan imemnyoosha uncle j
😂😂😂😂😂😂
Jamnn hayo mambo😢
Yan simulizi hii ni 🔥🤭😂🤣🤣
Haha we uncle achilia acha kutubania haha
Sawa Kaka nakuelewa sana asante
Weeeeeee Amaya pole kwa mapito ya mama mkwe
Huyu ni maya wa Alvin na ngacha😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Anko vip hauna meno😂😂😂😂😂
BABIE LOVE hufanyi poa unaeza kuandika simulizi yny mambo ya kikubwa mwezi kama huu unampatia Anko wakati mgumu wa kusimulia😮
😂😂😂upo hadi huku fanya kazi huko
@@DamariJohn 😀😀😀naongoa uchovu mwaya
Ooo ankojy umeamua kutuanzishia nyingine
Yani Ankoo Jay 😂😂😂😂 acha tu
Anko Jay mapesa hujambo 😂😂😂😂
Asante ubari kiwe tunaomba Lisa 46 please Ankoj wutu❤❤
Mwenzangu miy nimemiss lisa kweli😢
Wa 19 leo thanks ankojay 🥰🥰🥰
Mimi Leo wapili wadau nione like zenu jay pokea maua🎉🎉
😊
Vle anko jay alivyozoea kutuadisia mambo ya kitandan😂😂😂anavyopata tabu kutuadisia na Ramadan hii😂😂😂
😄😄 we acha tu
😅😅😅😅😂😂😂😂
Thanks a lot for a good job nice story ubarikiwe sana kaka yetu ankooooo big salute ❤❤❤🎉🎉🎉
Anko jay ila leo unetuweza kwa hii simulizi
Simulizi tamu sana ❤❤❤
Daah Pole amaya
Me nilijua tuu simuliz nzuri ivi iwe part 1 tuuy😅😅 2:06:31
Kuishi ukweni ni tabu
Yaan ndoa haiwez dumu
Jamani anko 😂😂😂😂❤❤❤
Tnx ancojay we miss you ❤❤❤❤❤
Wa tisa Leo naomba like zenu watu wangu wakenya
Fundi wewe hongera sana kakangu 🎉🎉🎉🎉🌹🌹🌹🌹🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️
Hee! Jaman anko unazingua Sasa unamung'unya maneno
Khaaa,ni afadhali ya kunyamaza tu na Mungu ataaamua kwa wakati wake
Nimeamka jamani mpaka watu wananishanga
Watu wanao ombea mabaya wenzao ni wengi dunia kuliko wema😂😂😂
simulizi tamu❤❤❤❤
Tamu ila inatia uluma xana
Ankoo utujuwe tunaokufatiliya
Nimekua wa 91😂❤
Anko nguo zimeunguwa na pasi😢
❤❤ nice
Jamani Leo nimecheka paka bax inauma lakini pia inachekesha sana jamani ndoa hizi duuuuuuuuuu haya,
Jmn kumbe sio lisa
Jamani tangu nizijue simulizi za anko j leo njo na wahi please naomba like zang
Hello Nami nimo wapenzi
Uwiii me cjuh ningefanyej jamn uy dad
What's happening here. Family issues my foot,,,, Yes Sir anko Jay. Let's go and move on. Am listening here and the ristoy is cool ❤
Mh mambo ni moto Asante sana anko wetu kwa kutujali ubalikiwe sana
❤❤❤❤
Unavyo ongea apo jamn
Uwiiiii!!!!🙆🙆🙆🙆
Walishindwa kumwita dr wa familia kuhakiki Hope kama anaumwa kweli,wanamwita kuhakiki mimba ya Maya,wakija kujua huyo Hope anatafuta uchumi hapo akitumia dr wa mchongo
From Kenya 🇰🇪🇰🇪
#50:43 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂