Gachagua awataka vijana kumpa rais muda wa kutimiza ahadi alizotoa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Naibu Rais Rigathi Gachagua ametaka kundi la vijana la Gen Z kuwa na subira wakati Rais William Ruto anatekeleza mabadiliko kwenye serikali ikiwemo baraza la mawaziri. Hata hivyo, kiongozi wa chama cha DAP - K Eugene Wamalwa ameshikilia kwamba hatajihusisha kamwe na serikali ya rais William Ruto.

ความคิดเห็น • 99

  • @Kipash
    @Kipash หลายเดือนก่อน +20

    We GenZs said we wanted whole Cabinet sacked for Good. Sasa Kindiki, Duale, Wahome, Chirchir etc stand rejected.

    • @enaz283
      @enaz283 หลายเดือนก่อน +3

      Run for the post of presidency in Kenya...aacha nyeff nyeff..ati una advice Ruto??😢😅

    • @KELVIVKIPKEMOI
      @KELVIVKIPKEMOI หลายเดือนก่อน +1

      ​@@enaz283 bro tell him the hell does he think he is

    • @Kipash
      @Kipash หลายเดือนก่อน

      @@enaz283 Clap for yourself.

  • @AnnChebet-u9h
    @AnnChebet-u9h หลายเดือนก่อน +13

    Very ready for Tuesday 😂😂😂

  • @mjmutisya3312
    @mjmutisya3312 หลายเดือนก่อน +4

    Vijana kaeni ngumu. Don't retrieve. Keep the pressure on

  • @MA-ht7po
    @MA-ht7po หลายเดือนก่อน +2

    Sawasawa joho sio mwizi,naipenda hiyo

  • @brendawafula6592
    @brendawafula6592 หลายเดือนก่อน +6

    Tukutane Monday same time same place we don't want Kindiki ,,Duale,,Wahome,,Chirchir

  • @user-eu1pq2fb9x
    @user-eu1pq2fb9x หลายเดือนก่อน +11

    Tupatane Tuesday kama kawa

    • @InfiniteIgris
      @InfiniteIgris หลายเดือนก่อน

      We ni kama huna kitu ya maana kufanya.. Let's give it a rest kiasi tuone kama Kuna progress cause tunafaa kuangalia pia state ya country..Kuandamana Si kama kazi ya kila siku, Kuna more important things za kufanya brathe

    • @user-eu1pq2fb9x
      @user-eu1pq2fb9x หลายเดือนก่อน

      Are you gen z

    • @InfiniteIgris
      @InfiniteIgris หลายเดือนก่อน

      @@user-eu1pq2fb9x of course bro

  • @oumacalvin4756
    @oumacalvin4756 หลายเดือนก่อน +4

    Hon Eugene Wamalwa ako sawa

  • @viralkenyan6249
    @viralkenyan6249 หลายเดือนก่อน

    "Joho sio mwizi". 🤣🤣

  • @sellyraps2057
    @sellyraps2057 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wamekaa Kwa serikali wakati wa Moi hadi sai kwani hakuna vijana wenye wamesoma. Ruto hakuna siku utawaiskia sauti ya wakenya

    • @DavidMessi-h9c
      @DavidMessi-h9c หลายเดือนก่อน

      @@sellyraps2057 kusoma sioupate kanzi, kubaki alidai hata nyumbani kwenu kunakanzi, niwangapi wamesoma Ila wamejiajili?

  • @AnkoLolo-mv5bk
    @AnkoLolo-mv5bk หลายเดือนก่อน +4

    Huyu mama mzee wamalwa Nani amesema ana takikana na serikali

    • @MikeJohn-hk6td
      @MikeJohn-hk6td หลายเดือนก่อน

      Hii si nimatusi surly

    • @wilsonkinyua2154
      @wilsonkinyua2154 หลายเดือนก่อน

      Mama ni wewe njinga hii can yu c Kenya is going wrong direction through corruption and tribalism,just think mama mzee wewe

    • @tatujuma8781
      @tatujuma8781 หลายเดือนก่อน

      Sio vizuri...shame on u

    • @phylisboat6726
      @phylisboat6726 หลายเดือนก่อน

      There's something seriously wrong with our moral fabric. That's why someone like you feels so comfortable to write insensitive comments about someone else. You are not only insulting Eugene but also the entire female gender!
      Same reason why we are comfortable electing corrupt leaders because we are just like them!
      All of us need serious introspection before we attack these leaders because they are a reflection of our moral standards!!

    • @DavidMessi-h9c
      @DavidMessi-h9c หลายเดือนก่อน

      @@AnkoLolo-mv5bk sula Kama nyani, Hana hata wafuasi.

  • @alexomari6081
    @alexomari6081 หลายเดือนก่อน

    Noo kwanza gashagua n mtoto wa moi sababu sura hata wakikuyu wameanzaa kushutuka

  • @evansogutu4167
    @evansogutu4167 หลายเดือนก่อน

    Inafaa amwambie Raisi vijana wanataka nafasi za KAZI kwa Baraza lako mawaziri

  • @user-gv1sw7zf5d
    @user-gv1sw7zf5d หลายเดือนก่อน

    Mabadiliko ya mauaji 😢 Ruto jiuzulu

  • @sabasabinibinsaba356
    @sabasabinibinsaba356 หลายเดือนก่อน +1

    Muda zaidi wa kupora na kuchagua vibaraka baadala ya wachapa kazi bure kabisa!!!

  • @drjuniordurete422
    @drjuniordurete422 หลายเดือนก่อน +1

    Karungo senator huko sawa , Gen z wakireject serikali inafaa itii.

  • @lemonlifes8515
    @lemonlifes8515 หลายเดือนก่อน

    Ruto hawezi kutimiza ahadi yoyote, hata apewa miaka miamoja akiwa madarakani. Uwongo umeshaingia hadi ndani ya mifupa yake na uwongo ukifika kiasi hicho ahadi hawezi kutekeleza

  • @AMSDriver2
    @AMSDriver2 หลายเดือนก่อน +1

    Tuesday ndiyo siku kuu

  • @wilsonkinyua2154
    @wilsonkinyua2154 หลายเดือนก่อน

    This man gachagua is a man who plays with people minds,now he has a military chopper,he has now changed tone from a man with no voice,to a man with voice for Ruto

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน +1

      And 2027 the Kikuyus will vote for ruto in large numbers than before.Kikuyus are the problem we are facing now

  • @Wekeaudi-hc3cp
    @Wekeaudi-hc3cp หลายเดือนก่อน

    Tuesday reloded, no turning back

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 หลายเดือนก่อน +5

    Wamalwa hana maana yeyote

  • @moshenefm
    @moshenefm หลายเดือนก่อน

    Yes dad, let's meet on Tuesday 😂😂

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj หลายเดือนก่อน

    😂😂😂Mutaanyooka tu Round hii Tumbo zenu zimeja kiburi 😂

  • @DavidMessi-h9c
    @DavidMessi-h9c หลายเดือนก่อน +4

    Uyo anawafuaji wangapi sula Kama ngorila

    • @wanjirumungai3912
      @wanjirumungai3912 หลายเดือนก่อน +2

      Matusi inakusaidia nini? Hapa ulaya tunaitwa tunaangaliwa kama ngorila sote waafrika tembea dunia muone mengi nyinyi gen Z.

    • @hamisimzara1698
      @hamisimzara1698 หลายเดือนก่อน

      @@wanjirumungai3912mshamba uyu kila muache

    • @DavidMessi-h9c
      @DavidMessi-h9c หลายเดือนก่อน

      @@wanjirumungai3912 Hanamaana, manake Kila kitu anachakifanya ruto inaonekanika ciyo, watu wakawaida Dio wanaumia, vijana wanakufa, wakati watoto wao wako ulaya.

  • @AnnChebet-u9h
    @AnnChebet-u9h หลายเดือนก่อน

    Let's see those mp who will vote for the rejected CA,S alafuu watapata salamu moto moto 😂😂😂

  • @thomasronoh539
    @thomasronoh539 หลายเดือนก่อน

    God love Kenya we will not go Sudan way .....

  • @Justus-ch4bg
    @Justus-ch4bg หลายเดือนก่อน

    HUYU WAMALWA NAYE SIMPENDI, NA ANAPENDA SANA KIKI

  • @resusmugithimusic
    @resusmugithimusic หลายเดือนก่อน +2

    even if all competent ministers can come from one family and serve in honor..nobody cares, we care about competence na sio kutoka mahali Fulani.

  • @rosewambo1158
    @rosewambo1158 หลายเดือนก่อน

    Ruto must go with all this 🐖

  • @noahson7164
    @noahson7164 หลายเดือนก่อน

    No more negotiation,Ruto is mocking us

  • @braniceadika5077
    @braniceadika5077 หลายเดือนก่อน +1

    No way why is he recycling people

  • @ianmuthaka1912
    @ianmuthaka1912 หลายเดือนก่อน

    RUTO MUST GO!!!!!..........

  • @FrancisAudi
    @FrancisAudi หลายเดือนก่อน

    We want change in government

  • @josephmudaki5443
    @josephmudaki5443 หลายเดือนก่อน +4

    Anguka nalo😅

  • @enaz283
    @enaz283 หลายเดือนก่อน +1

    Who is eunice wamalwa in this country??😅😅😅

  • @shuaibalula9003
    @shuaibalula9003 หลายเดือนก่อน +3

    Who is Gakagua?au yeye ndiye spoksman

  • @christine848
    @christine848 หลายเดือนก่อน

    NO!

  • @el-roiwingstv3909
    @el-roiwingstv3909 หลายเดือนก่อน

    Kwanza huyo Eugine ndio hatukutaka aingia serikali kabisaa afadhali amekataa

  • @briodiaz-qv1iv
    @briodiaz-qv1iv หลายเดือนก่อน

    Very ready for Tuesday

    • @InfiniteIgris
      @InfiniteIgris หลายเดือนก่อน

      🤦🏽‍♂️

  • @iambogitah
    @iambogitah หลายเดือนก่อน

    But the president doesn't realize he is repeating the same mistake GenZ saved him from coz he couldn't save himself, let's wait and see the MP who will vote in Kindiki, wahome, Duale, Chirchir and Soipan we have so many qualified Kenyans not this Character Questionable we kicked out

  • @christine848
    @christine848 หลายเดือนก่อน

    Ka chonjo Rigiji, Ruto na Raila washaelewana..wamekuweka kando...

  • @robertmarwa2750
    @robertmarwa2750 หลายเดือนก่อน

    Ruto na gachagua waende.

  • @kennetholuoch1723
    @kennetholuoch1723 หลายเดือนก่อน +3

    Baba ako mlimani waking for the 10 commandments

  • @DominicMwania-q4c
    @DominicMwania-q4c หลายเดือนก่อน

    True lies ziko na huyu

  • @erickjuma7643
    @erickjuma7643 หลายเดือนก่อน

    But Ruto how do you dissolve an entire cabinet only to again return them.
    Gachagua tell your police to take care of those hijacking the protests because i don't see the protests stoppolibg just yet

  • @jameskihonge7449
    @jameskihonge7449 หลายเดือนก่อน

    Kanisa na serenading wanaoana tena .

  • @micaangote2138
    @micaangote2138 หลายเดือนก่อน

    HAMJASKIA ..

  • @kitamisiofficial5150
    @kitamisiofficial5150 หลายเดือนก่อน

    Tupatane Tuesday 😂😅

  • @Georgegichiagg
    @Georgegichiagg หลายเดือนก่อน

    Still unaogea ukiwa church we need to fix the church mbona wanapea liars and manipulaters chance ya kuongea remove mudavadi remove duale remove kindiki no recycling

  • @MARKNZIOKI-yy2ff
    @MARKNZIOKI-yy2ff หลายเดือนก่อน

    Kenya kwisha tapeli wauaji

  • @evansaggreyonyango1988
    @evansaggreyonyango1988 หลายเดือนก่อน

    Who is Eugine who is this woman in men's apparel

  • @gaichingaesam
    @gaichingaesam หลายเดือนก่อน

    Dalili ya mvua ni mawingu. Ruto has not given us a reason to trust him. He's doing things the same old way. We want a fundamental shift on how the government administered

    • @antibiotic7238
      @antibiotic7238 หลายเดือนก่อน

      You will still vote for him in coming election.Count yourself as a fool walking!

    • @gaichingaesam
      @gaichingaesam หลายเดือนก่อน

      @@antibiotic7238 I have never voted for him ever. Am not that stupid

  • @FatiMa-nb5ps
    @FatiMa-nb5ps หลายเดือนก่อน

    Mbona.watu..wa.mombasa.wanamtaka.joho.hakuna.wasomi..pka.joho

  • @RozzyGoldmukami
    @RozzyGoldmukami หลายเดือนก่อน +1

    All these politicians are the same,Ati joho and oparanya ,what about other kenyans,hii nchi iuzwe maramoja kila mtu apewe share yake,AM TIRED

  • @annemungai4562
    @annemungai4562 หลายเดือนก่อน

    Gachagua mimi nimekurejeck. Kama ungekua mzuri ungekataa ile pesa bibi yako alikua anapewa. We want competent leaders, not trible leaders. They are all the same. They don't care about us!

  • @flilechi
    @flilechi หลายเดือนก่อน

    What happened to in 100 days theatrics

  • @SusanKolela
    @SusanKolela หลายเดือนก่อน

    Dp rg wewe ndio uko na akili kwa hiyo mbunge advice Mr zakayo ackize Kenyans watoto wetu walikufa Bado mnarudisha wale mlifukuza why why ilifanyika wapi why why why fikirieni

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo6075 หลายเดือนก่อน

    Tupatane Tuesday

  • @user-fo9tz4vx6f
    @user-fo9tz4vx6f หลายเดือนก่อน

    𝐊𝐢𝐧𝐚𝐰𝐚𝐫𝐚𝐦𝐛𝐚 𝐌𝐨𝐬 𝐌𝐨𝐬

  • @imwas3429
    @imwas3429 หลายเดือนก่อน

    What's making this guys think we have all the time in the world

  • @fatumaadam7970
    @fatumaadam7970 หลายเดือนก่อน

    Why are you sending snipers?

  • @HellenKosgei-lz5wl
    @HellenKosgei-lz5wl หลายเดือนก่อน

    Eunice wamalwa wewe nyamaza hujawai tusaidia anything

  • @pattiz4876
    @pattiz4876 หลายเดือนก่อน

    Wote hata wewe mwende na ruto

  • @aliabdurahman4245
    @aliabdurahman4245 หลายเดือนก่อน

    Gachagua aongee kama yeye ni part of government

  • @saidhashi2856
    @saidhashi2856 หลายเดือนก่อน

    Hakuna criminal wakubwa kuliko nyinyi... mashetani

  • @user-yf5kp5kh3u
    @user-yf5kp5kh3u หลายเดือนก่อน

    We are not your sons and daughters bro

  • @jonahsanga9150
    @jonahsanga9150 หลายเดือนก่อน +1

    Eugene yuko opposition kwani ni lazima awe katika serikali?

    • @flilechi
      @flilechi หลายเดือนก่อน

      Wewe na hii akili baba yako angemwaga tu nje

    • @jonahsanga9150
      @jonahsanga9150 หลายเดือนก่อน

      Ukitaka kujua wewe ndio uko na akili punguani,angalia vitu chenye unapost social media ? Kwani unadhani babako akuwest hizo vitu kuzaa ngombe kama wewe?

  • @ruthkarimi2646
    @ruthkarimi2646 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa wache mchafuko😊

  • @pattiz4876
    @pattiz4876 หลายเดือนก่อน

    Joker

  • @njirumwaura6201
    @njirumwaura6201 หลายเดือนก่อน +1

    Idiocy

  • @enaz283
    @enaz283 หลายเดือนก่อน

    Amole Booker the gensii😂😂😂

  • @jamilkassim2437
    @jamilkassim2437 หลายเดือนก่อน

    How may years now. Sisi sio wajinga

  • @fatumaadam7970
    @fatumaadam7970 หลายเดือนก่อน

    Anza kufunga virago hata wewe.

    • @JaneWaweru-gs9by
      @JaneWaweru-gs9by หลายเดือนก่อน

      Hata yy ameanza kuwa a different person from whom we knew