INGEKUWA HERI LEO | Instrument
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- Ndungu yangu katika Kristo, karibu tuendelee kumshukuru Mungu kwa vipaji na karama za watunzi mbalimbali kwa kusikiliza tungo zao kwa njia ya ala. Leo tunaburudika kipekee na wimbo wa mtunzi na mwalimu nguli wa muziki mtakatifu Mwl. John Mgandu.
Wimbo: Ingekua Heri leo
Mtunzi: John Mgandu
Organist: Eng.Fridolinus Boniphace Mushobozi
Sound Engineer: Fabian Mutayoba
Studio: Holy trinity studios.
Tubarikiwe sote, Karibu Subscribe, like, share na comment.
Maana ya mushobozi ni mtu anayefahamu mambo
ubarikiwe sana Mwalimu
❤ inapendeza Sana Mwalimu
Eng maua yako🎉🎉
🙏🙏🙏🙏 nice brother
Apewe 2 maiwa yake🎉
Waitu mahyo nootinisaa nke entare
Huyu jamaa sijui alitoka tumboni na ka kinanda mkononi🤔
Maestro, moja ya zaburi zinazowapa changamoto sana organist wengi🙌
Hongereni sana kwa majukumu yako mzee wetu tunakupenda sana 🎹🎶
❤🇰🇪
Eng Frido katika ubora wake 🔥 🔥 🔥 kazi nzuri Sana kaka
Shukrani Sana Brother
kweli nimwalim me naomba jamn fundishe tu kucheza kinanda namkubali san
Heko heko kaka Mushobozi, hongera sana umeucheza vizuri sana wimbo wa J.Mgandu, kati ya nyombo za marehemu J.Mgandu huu ni chaguo langu. Hongera umeutedea haki.
Asante Sana Fr. , karibu tuburidike pamoja Baba.
My role model 🫡🫡🫡🎹🙏🙏🙏🙏🙏🙏 vitu vingine ukishasikiliza ni sala tosha Hakika Mungu ni mwema Hongera sana maestro 🫡
Amina tumshukuru Mungu
Ubarikiwi mtumishi WA Mungu
Greatest of all the Time 🎉🎉🎉
Kazi safi sana mr Fridolinus.. Kenya twakupenda sana mwalimu na nyumbo na utaalamu wako kwa upigaji kinanda
Asante Sana Ndugu yangu
@@fridolinusboniface3574 karibu sana Kenya mwalimu 🙏🙏👏
🔥🔥🔥 You are always my role model as far as the world catholic music is concerned🔥🔥🔥
Thanks to God Brother
Greatest of all time ,, Mshobozi ❤
Shukrani Sana
Mkongwe kazini, hujawahi kuwa mnyonge, hakika una kipaji
Tumshukuru Mungu
😂😂😂dah! Engineer ever....
Kazi Nzuri sana
Shukrani Sana
Hunaga kazi ndogo mungu abariki kazi ya mikono yako❤❤❤❤❤❤
Amina mkuu
Amina mkuu
Mimi sitaki kuamini kuwa wewe ni fundi wa mziki,ila na naomba niamini kuwa wewe ni hadhina na zawadi pekee tuliyozawadiwa Tanzania kwa mziki wa kikatiriki
Tumshukuru Mungu ndugu yangu.
@@fridolinusboniface3574 AMINAAAA
Good job
@@fridolinusboniface3574this is El 90 how did you set it please direct
Maestro 🙌🙌
Hongera sana kaka mushombozi 🎉🎉🎉
Shukrani Sana Brother
Ubarikiwe eng, safi sana na umetulia sanaa
Tumshukuru Mungu ndugu yangu
Bravo brother. Uzidi kubarikiwa.
Shukrani Sana mkuu
Safi sana mkuu🔥👌
Mwamba mwenyewe.
Tupigie na nyota ya mashariki ile ya mukasa
Apewe mauwa yake kaka Mushobozi
Amina shukrani Sana mkuu
🔥🔥🔥🔥
Baba Fransiscus.... 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante Sana mkuu
Hiiiii aisee penyewe
🎉 maua yako mengi
Shukrani Sana
Nakubari sanaaa mkuu🙏🙏🙏
Nahene Nkoi
🎉🎉🎉❤
Nice
big up kaka mkubwa
Thanks
Wachungulia pedal movements mmetunyima fulsa
Heko Kaka!
Shukrani Sana Fr.
Ni nzuri
Amen
Very nice
Thanks Brother
Sasa niseme nini mimi ,nashauri pale pharmacy wawe wanaweka nyimbo kama hizi
Haturuhusiwi Kuona Pedal Mmeku?
😂😂😂😂kwani huzisikiii mkuuu kama ni DO MI TI MI LA LA RE TI DO DO........
Mnama Mbonyi
wewe ndo ulifanya ninunue kinanda nianze shule ya hii muziki kwa ujumla! utabaki wewe.
Mkuu umerudi?