EE BWANA USIKIE - J. MGANDU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
- Jina la wimbo: EE BWANA USIKIE
Mtunzi: JOHN MGANDU
Organist: PETER PERFECT
Studio: UCHAJI MEDIA
Waimbaji : UCHAJI MEDIA
Usisahau kusubscribe, kulike na kucomment
ASANTENI.
@KANISAKATOLIKITANZANIATEC @JugoMedia @rajopro @thegalaxypro6219 @tumainitelevision @KwayaYaMtSeciliaMakuburi @kftstjosephcathedral @kmkmakuburi @kwayayamt.josephmfanyakazi2842 @kftstjosephcathedral @kwayakatolikitza2042 @radiombiu372
Ninaposikiliza wimbo huu huwa nakumbka mbali Sana barikiwa Sana wakatolik wenzangu,mungu yupo amen
Napenda kuwapa pongezi waimbaji lakini kumkumbuka kwa sala mtunzi wa wimbo Dr. John Mgandu aliyekuwa nguli wa mziki enzi za uhai wake!
Wakatoliki mmekuwa mkiimba kwa utulivu sana big apu
Hakika Nyimbo za Katoliki zimetulia sana
Wimbo mzuri sana, mbarikiwe mno
Kati ya version zote this is the best Hongereni sana wanakwaya pamoja na mwalimu wenu. Kaka kilangavana umetuchezea kinanda safi sana.....weka like apo kwa ajili ya kumsifu mungu❤
Yaaan mziki mzur sana, nyimbo yangu pendwa nyakati zote🥰🙏
Mungu ni mwema🙏🙏🙏
Nmuogope nani🙏🏽
Umekuwa msaada wangu usunitupe.
Hakika umekuwa msahada wangu na usinitupe ee Mungu,
Hakika ndo msaada pekee
Kwa kweli Mungu umekuwa msaada kwangu usiniache popote
Amina Amina ❤❤❤
Asanteni sana,Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni
Nmefurah San wimbo mzur San👏👏👏🙏🙏🙏
Wimbo ni mazuri sana na unatafakarisha kweli! Hongereni.
Huu wimbo kiukweli unatia nguvu ya neno
Asanteni wimbo mtamu
Wimbo mzuri sana,wewe tu ndo kimbilio letu,tukihitaji msaada
Wimbo mzur na biti lake pia 🙏🙏🙏🙏
Ongera Kwa kazi nzuri ya kumtumikia mungu
Wooow❤ hongera sanaa ✅ wambaji kwa wimbo nzuri sana yakupendeza
Kazi nzuri. Inazifanya tungo na nyimbo za wakongwe wetu kutosahaulika au kupotea
Wimbo mtulivu sana...heko kwa kazi mzuri 🎉
❤
Kazi nzuri sana Mungu awabariki
Hongereni Sana
Hongereni sana sana
Hongereni sna kw kumtukuza mungu hawabariki sna tena sna
Wimbo safii sana mwenyezi mungu awabariki mtunzi na waimbaji wote na mpiga kinanda yupo vizuri
Iwish am one of you guys nimeipeda sana
Hongereni sana. Kazi nzuri mno. Mungu azidi kuwabariki sana🙏🙏
Hongereni sana majembe yangu kazi nzuri
Nimebarikiwa sana na wimbo huu hadi nimelia ....................
Hongerenii jamanii mmeimba vizuri❤
Wimbo mzuri👍
Muziki wa wa kutoa nyoka pangoni. The best quality version of this song. Very sweet!. Congratulations!
Huu wimbo unanibariki mnoo😊
Hongereni sana... Organist pia big up,...👏👏👏
Asante sana
Mungu AWABARIKI Kwa ujumbe mzuri hakika nimebariki sana Mungu awatunze
Amina
Enjoying from Spain 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸 🇪🇸
Amina
Great
Sikia bwana uwe msaada wangu nikuitapo
Jamaaaniii HONGERENI SANA kwa kumsifu na kumtukuza Mungu kama familia. Mwenyezi Mungu mnayemtangaza azidi kuwabariki na muendeleze utume wake kwa njia hii
🤲🤲 wala usiniache ee Mungu wa Wokovu wangu
Hongera Uchaji Media. Mungu awangezee siku za uhai
Lovely
Sichoki kuusikiliza jamn huu wimbo mbarikiwe san, mmeimba kwa utulivu wa hali ya juu🙏🙏♥️♥️
🙏🏼
Wimbo mzuri
Wimbo mtamu unaguza rohoni
Mbarikiwe sana. Natafuta sana audio yake
Tutumie email yako kwa ansrwenyu@gmail.com upate audio yake
Kazi njema Peter perfect and the team.
Wimbo unafariji❤
Hongereni sana mungu awaongezeee siku za kuish
Kwa wimbo huu na jinsi waimbaji walivyouimba na kuucheza sasa Kanisa linarudi kwenye mstari wake (njia yake)
Kama vile namwona kev
Huu wimbo unanibariki sana, much love to the song writer and All singers ♥️♥️
Aweee ❤️ da Ansfrida nataka u nifundishe kuimba. 🙄Mmeupiga mwingiii
😂 nitakufundisha
Asanteni kwa tafakari njema... Hongera Uchaji.
Safiii 👍 hongereni, asante kwa ujumbe mzuri
Hongereni Sana...Taifa langu Tanzania nakupenda kwa Moyo wangu wote
Ongera sana Mungu awabariki
🎉 hongereni sana jmn.🎉🎉
Amen naupenda snaa huu wimbo nikiwa na. Pitia magumu lazima niusikiliz
Neema yake Mungu wetu na iwe kwenu naye Baba muumba wetu atukushwe Milele. ❤
MUNGU awabariki sana wakatoliki wenzangu kwa wimbo mzuri hakika MUNGU ni msaada wetu siku zote tunapoomba usikia na ujibu..
Nabarikiwa sana ah🥰🥰🥰
Mungu awabariki kwa muda mnaotenga kwaajili yake🙏🙏
💘💘💘💘
Nimeuona huu wimbo ticktock ukanibaririki sana🎉
Noted
Umekua msaada wangu usinitupe wala usiniache Ee Mungu wa wokovu wangu🙏
Hongereni sana Mungu awabariki, nawapenda bureee ❤❤❤❤❤
Ame
Saaaf sanaaaaa
Pure catholics 🎉
🙏🏾🙏🏾🙌🏾🙌🏾
Hongereni sana kwa ujumbe, MUNGU aendelee kuwainua katika hiyo huduma. Binafsi nimepokea na nimebarikiwa .
Asante sana Francis Mweko, habari za siku
Asante Francis, zidi kubarikiwa
Hakika nitamwimbia bwana mpaka sikuyangu ya mwisho wimb wangu niupendao hata nikiwa na magum nayasahau
❤❤eeh bwana usikie🕊❤️🩹
👍🏼
Hongeren sana Kwa kazi nzuri Mungu azidi kuwaongoza
2024 still listen to this masterpiece let's gather here
Hongereni Sana Familia ya Dr.Alex na Uchaji Productions...Kazi nzuri, Ujumbe wa Mungu unatufikia...tutakumbushwa Daima...Ahsanteni Sana Kwa Vipawa vyenu Nyote. Endeleeni Kumtukuza Mungu.
Peter perfect 👍 a cool guy
Wimbo mzuri❤ ee Bwana uuuisikie sauti yangu😢
Pongezi kwenu
Asante Calvin
Wimbo nzuri Sana. Mungu ni mwema sana.. Uchaji mnatisha . Nawapenda
Blessed nice song
What a music!!!....quite consoling.......this is Catholic melody now!!!
✔️👌🏿!!
Thanks
Safiii sanaa
Nyimbo nzuri. Shukrani kwaya kwa vyote. Mwenyezi Mungu Akubali kuwakumbuka katika utumishi wenu siku zote🙏
Kama wewe uliyetaja mapumbuli ni mkatoliki basi kuwa na Kiasi katika kuongea la si hivyo utatuangusha wakatoliki wenzako hatuja pokea mapokeo ya matusi wala kuwa kera watu wa Mungu acha waimbaji waimbe wote wasikilizaji wataamua.
Hii imeenda
😂
Pisi bado inapasua anga ❤
My heart is full.
Mungu hakika umekuwa msaada wangu usiniache
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Pongez kwenu mnatutia nguvu amen
The best catholic song of the day, great work, keep up the commitment with God
Hawajawahi kosea hawa kamwe
Am really touched with the song🙏🙏🙏
Beau texte et melodie. Tres meditative,que Dieu soit loué!
Merci beaucoup pour votre appréciation. N'hésitez pas à faire des suggestions pour améliorer toutes les œuvres afin de réaliser en douceur la mission de Dieu.
Roman Catholic identity. Walokole angalieni na mjifunze uimbaji siyo kupiga mapumpuli yenu na uimbaji wenu wa makelele bila mpangilio.
Kuimba ni utamaduni ambao Kila kundi la watu Huwa na WA kwao na huuona kuwa ni sahihi na ndio unawapendeza kuliko mwingine wowote.hivyo ni vyema kuheshimu namna wengine wanavyoishi
Proud to be a Catholic family
💣💣💣💣💣