Hivi kwa Nini kila kiongozi hata awe balozi tu wa nyumba kumi..lazima aseme tunamshukuru Raisi.. Kwa hili inaonyesha upeo mfupi wa kufikiria ..mama kaleta ..mama kafanya na waandishi nao wamekuwa machawa tu.. Lazima watu wajue tunalipa Kodi kuanzia sukari..maji..hata kiberiti ukinunua ni Kodi yako hivyo ni lazima iwe return kwako not Mama.. Upuuzi mkubwa mmmno!!
Mwambingiji huna hadhi ya kujilinganisha,na Tuli .Wewe nikama mbingu na nchi ukilinganishawa Tulai.Mwendazake ndiye alikuwa anapiga kura sasa mwaka huu na nwakani itKuwa zaidi kuliko unachokisema
huyo kwamba huwa nina enjoy kumsikiliza hachoshi utapata vitu huku utapata raha
Hivi kwa Nini kila kiongozi hata awe balozi tu wa nyumba kumi..lazima aseme tunamshukuru Raisi..
Kwa hili inaonyesha upeo mfupi wa kufikiria ..mama kaleta ..mama kafanya na waandishi nao wamekuwa machawa tu..
Lazima watu wajue tunalipa Kodi kuanzia sukari..maji..hata kiberiti ukinunua ni Kodi yako hivyo ni lazima iwe return kwako not Mama..
Upuuzi mkubwa mmmno!!
P dydy
Mwambingiji huna hadhi ya kujilinganisha,na Tuli .Wewe nikama mbingu na nchi ukilinganishawa Tulai.Mwendazake ndiye alikuwa anapiga kura sasa mwaka huu na nwakani itKuwa zaidi kuliko unachokisema
Wewe ni kama choko wengune