Kuishinda Njaa, Uzembe Na Tamaa. Akili Sehemu Sehemu Ya 22 Dr. Elie V.D Waminian.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 28

  • @ayubukibiki5690
    @ayubukibiki5690 3 ปีที่แล้ว +20

    Kama unapenda chomoza gonga like

    • @riikostar5950
      @riikostar5950 3 ปีที่แล้ว

      Salama anacheka hii sauti ya chomoza KIMEO... Ukilinganisha na ya kipindi chake cha Salama na...

  • @hamidafundi5890
    @hamidafundi5890 3 ปีที่แล้ว +1

    Jifunze kusikiliza, maisha ni kujifunza, kukanusha na kujifunza tena .Historia yako ni yale unayoyaficha si yale yaliyobayana. MWENYEZIMUNGU pekee ndiye ajuwaye Historia yako hasa . Asante Chomoza, shukurani Dr Waminian. 🙏

  • @shukurkatembo2807
    @shukurkatembo2807 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante Dr. Eli pamoja na team nzima ya Chomoza. Mnatubadilisha katika mambo mengi.
    Mungu awajaalie na kubariki kazi za mikono yenu.

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 3 ปีที่แล้ว +3

    God bless you. Somo tamu Sana.🌺🌺

  • @aminakupila3079
    @aminakupila3079 3 ปีที่แล้ว

    Thank you Jesus for your life I love ❤️ doctor 👨‍⚕️ kila unachoongeaga ndicho kinakuwaga kiko kwenye akili yangu Hallelujah sio rahisi watu wengi kukuelewa isipokua yule aliye kuwa na Mungu wa kweli ndio atakuekewa☝️🙏❤️❤️❤️❤️❤️🙏☝️🙏👍.

  • @IsraelKijaga
    @IsraelKijaga 4 หลายเดือนก่อน

    Doctor wew ni mtume, nakiri hivo
    Kutokana nakile nacho kisikia kutoka kwako

  • @shafymkeremy7653
    @shafymkeremy7653 3 ปีที่แล้ว +2

    Jim Naomba Uwenausikivu Kwa Dr Maaana Unapo Muuliza Katikati Ya Kipindi Unamchanganya Nakupoteza Mwelekeo Wa Dr

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi6792 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awabariki sana

  • @meshackmbangule1336
    @meshackmbangule1336 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @nelsonyohana2778
    @nelsonyohana2778 ปีที่แล้ว

    tafadhali doctor naomba namna yako

  • @jafetimlelwa9042
    @jafetimlelwa9042 3 ปีที่แล้ว

    Be blessed

  • @aquilineanthony1115
    @aquilineanthony1115 2 ปีที่แล้ว

    DR ELLY MIMI NIMEGUNDUA WANAUME WALIO WENGI NI JEURI . NA UJEURI WAO WAMEJIKIKUTA WAKIENDA ISIVYOSTAHIKI. KTK MAISHA ILI YAENDE VYEMA KUNA MAMBO HAJATAKI UJEURI.
    HASA MALEZI NA MAKUZI YA FAMILI YANAHITAJI UTULIVU USIKIVU UNYENYEKEVU

  • @iddysagut2190
    @iddysagut2190 3 ปีที่แล้ว

    Iko poaa sanaaa

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 ปีที่แล้ว

    Respect

  • @witnesstemba1914
    @witnesstemba1914 3 ปีที่แล้ว

    Jimmy naomba kujua somo hili la akili lilikuwa na sehemu ngapi(mpaka mwisho) maana naona kuna hapa TH-cam kuna sehemu hazipo

  • @JumaNgasinda
    @JumaNgasinda ปีที่แล้ว

    Topic hii ya akili mwisho no sehemu ya ngapi

  • @chris_jabari
    @chris_jabari 3 ปีที่แล้ว +1

    20:20 Listern and observe

  • @JumaNgasinda
    @JumaNgasinda ปีที่แล้ว

    Sehemu ya 23 ipo wapi

  • @chris_jabari
    @chris_jabari 3 ปีที่แล้ว +1

    15:53 build in total silence

  • @safimusa1011
    @safimusa1011 3 ปีที่แล้ว +2

    Mda mwingine tamaa inanijaa yaani natamani kila siku iwe jumapili ili nijifunze

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana Chomoza...ombi langu zile cd zinazojumuisha masomo yote tangu Chomoza imeanza tunazipataje?

  • @nsajigwakipembe2763
    @nsajigwakipembe2763 3 ปีที่แล้ว

    Dr naomba namba yako ya WhatsApp

  • @yohanabtz7343
    @yohanabtz7343 3 ปีที่แล้ว

    Sauti inakua dogo sana

  • @mleusatoshi3278
    @mleusatoshi3278 2 ปีที่แล้ว

    My history is irrelevant.
    build in silent,
    Kiburi = Kirusi

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 3 ปีที่แล้ว +2

    Amen