PART2:MWANAUME JAMII YA FREEMASON AELEZA ALIVYOFATWA/NYOKA WALIKUWA NDUGU ZANGU/NIKITAMKA UNAKUFA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 27

  • @princebon1841
    @princebon1841 ปีที่แล้ว +1

    Asante Yesu bwana yupo nawe atazidi kukutetea

  • @paulkazi6274
    @paulkazi6274 ปีที่แล้ว

    Nakushauri Davistar Muulize mtoa mada maswali ya msingi, na ufafanuzi zaidi katika baadhi ya mambo. Kuna baadhi ya maelezo yanataka ufafanuzi zaidi. Listen ask leading questions and ongeza umakini kwny kusikiliza mada ila maswali yako yalenge kwny ufafanuzi wa mada zaidi

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy ปีที่แล้ว

    Ameeen mungu abariki kazi zake

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 ปีที่แล้ว +2

    Ila tuseme tu ukweli tu, Mtumishi alieitwa na mungu ufalme wa shetani hauwezi kumsogelea!

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 ปีที่แล้ว +2

      Kama yesu mwenyewe alietoka kufunga siku arobaini mchana na usiku alitokewa na ibilisi(shetani) ili amjaribu ataacha Kwa Mtumishi au mwanadam alie na Yesu ndani yake?, lakini pia sikua alimtokea tuu Yesu Bali alimwongoza na kumweka juu yakinara cha hekalu soma luka4:9 kwahio inawezekana kujaribiwa lakini kila jaribu ukikaa kwenye imani nakumshika Yesu kisawasawa linapita

    • @wemamanikana9791
      @wemamanikana9791 ปีที่แล้ว

      Fahamu ya kuwa watu walioamua kuishi maisha ya kumpendeza Mungu, ndio wanapigwa vita sana na na upande wa shetani. Nadhani unazisikia shuhuda nyingi za waliotoka upande wa shetani wanasema hivyo. Shetani hafurahii kuona watu wanaingia mbinguni

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke.ujaingiliananae kapata ujauzito mtoto wako talatibu mshikaji mimi wala simuelewi huyu jamaa kabisa ktk hii simulizi🇹🇿🇬🇷

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 ปีที่แล้ว

    Muulize mtumishi juu ya Hawa manabii,kweli wapo wa Mungu kwel?

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Hittler ni neno la freemason watumishi freemason ulitumia,

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Hittler alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu kwa mpango maalumu

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 ปีที่แล้ว

    Hakika wewe nimtumishi wa Mungu

  • @ashasaid9056
    @ashasaid9056 ปีที่แล้ว

    Kwanza mm leo

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 ปีที่แล้ว

    Part 3

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 ปีที่แล้ว

    Huyo noma tupe namba zake

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Hio ya bikira ni kweli hata yule wa dar ufanya hivyo

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 ปีที่แล้ว

    Ukisikia kusimamia kucha ndio io

  • @kulthumsaif2856
    @kulthumsaif2856 ปีที่แล้ว

    Cyc

  • @abdimohamed3953
    @abdimohamed3953 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaa Ila Davista maswali yako unanifanya nicheke

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Yule wa sauzi afrika na wa zimbabwe wote wapo chama kimoja

  • @heritier5119
    @heritier5119 ปีที่แล้ว

    Mizimu haitaki maendeleo

  • @florencerose859
    @florencerose859 ปีที่แล้ว

    Unapata chakula Cha Kila siku na unasema unangaika??ata baba yetu wa binguni tunaomba tu chakula Cha Kila siku jaijalishi ni wali ama ni mboga bora umepata

  • @simbamnyama2589
    @simbamnyama2589 ปีที่แล้ว

    Aah hii n uwongo..

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 ปีที่แล้ว

    Kareeni si ni majina ya majini? Au mimi ndo sjui vizuri?